Elimu Ya Afya Kwa Wote

Elimu Ya Afya Kwa Wote Kila mtu anastahili kupata Afya Bora na Elimu Juu ya Afya yake.

🔵FAHAMU FAIDA ZA KUTUMIA BAMIA KWA WINGI👉Bamia ina kiasi kikubwa Cha vitamini A,C, K na pia inafolic Acid ya kutosha, uk...
02/02/2023

🔵FAHAMU FAIDA ZA KUTUMIA BAMIA KWA WINGI
👉Bamia ina kiasi kikubwa Cha vitamini A,C, K na pia inafolic Acid ya kutosha, ukiwa mlaji mzuri wa bamia, mnywaji mzuri wa bamia unapata faida kubwa mwilini.
🔵KWA AFYA YA UZAZI KWA MWANAMKE.
1: Husaidia kuponya Kwa wenye tatizo la Mvurugiko wa hedhi, unaweza kutumia Kwa kupika au kunywa juice yake.
2: Inaongeza Ute ute ndani ya Muda mchache, wale mnaoumia wakati wa tendo landoa.
3:Afya ya nywele, nywele zinakuwa na afya nzurii, (wale wenye vipilipili)🌚🌚
🔵FAIDA ZINGINE KIAFYA KIAFYA
👉Kulainisha Mmeng'enyo wa chakula.
👉 Huongeza Kinga ya mwili.
👉Huondoa Mafuta mabaya mwilini, bad cholesterol
👉Huondoa vimelea vya sumu kwenye Ngozi.
👉Husaidia Kulainisha choo na kuongeza hamu ya kula.
👉Inasaidia kuondokana na hatari za kupata tatizo la Kisukari.
👉Wenye shida ya vidonda vya tumbo tumieni bamia.
Nje ya kupika, namna ya kutengeneza juice, chukua bamiaa kiasi kata kata, na loweka kwenye maji walau Lita 1ya Maji, yakae masaa walau. 12 halfu kunyw

Mawasiliano
0787367182
🙏🏻🙏🏻

Address

Kijitonyama
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Elimu Ya Afya Kwa Wote posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Elimu Ya Afya Kwa Wote:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram