The desert root products

The desert root products U.t.i vidonda vya tumbo,pid,presha.

Nipo tegeta Kwa ndevu~upanda wakwenda bunju,PK bar,,kwenye mnara wa simu wa kwanza kutoka barabara ya lami,,utaona hiyo gari kwenye cover photo
✅nakupa dawa usipopona nakupa dawa nyingine Bure mpaka upone☎️0784925998.

05/11/2025

❤️Nipo tegeta Kwa ndevu~upande wa kwenda bunju,,PK bar,,mbele ya kituo Cha Bodaboda barabara yakwenda machinjioni kwenye mnara wa simu wa kwanza kutoka barabara ya lami,,utaona hiyo gari kwenye cover photo
✅nakupa dawa usipopona nakupa dawa nyingine Bure mpaka upone☎️0784925998.
U.t.i vidonda vya tumbo,p.i.d,chango,heshima ya ndoa,hedhi.

23/10/2025

❤️Nipo tegeta Kwa ndevu~upande wa kwenda bunju,,PK bar,,mbele ya kituo Cha Bodaboda barabara yakwenda machinjioni kwenye mnara wa simu wa kwanza kutoka barabara ya lami,,utaona hiyo gari kwenye cover photo
✅nakupa dawa usipopona nakupa dawa nyingine Bure mpaka upone☎️0784925998.
U.t.i vidonda vya tumbo,p.i.d,chango,heshima ya ndoa,hedhi.

17/10/2025

💥 TEZI DUME 💥

❗️Unaelewa nini ukiambiwa kuwa unatatizo la Tezi Dume⁉️

❗️Unaelewa nini ukiambiwa unayo Saratani ya Tezi Dume⁉️

📌Tezi dume sio ugonjwa…Ni kiungo muhimu sana kwa mwanaume.

✍️Kazi yake kubwa ni👇👇👇

✅️Kuzalisha maji yanayounda shahawa, yanayolinda na kusaidia mbegu za kiume kusafiri ili kutungisha mimba...

⚠️Lakini mitindo mibovu ya maisha tunayoishi leo—Ukiachana kabisa na swala la kurithi...

🍁 CHANZO 🍁

1. Kukua kwa tezi dume (BPH – Benign Prostate Hyperplasia)..

✍️Kukua kwa tezi dume, haihusishi, saratani wala maambukizi...

2. Maambukizi ya bacteria (Prostatitis)..

✍️Huambatana na maumivu makali na huathiri uwezo wa uzazi.

3. Saratani ya Tezi Dume (Prostate Cancer),

✍️Hii ndio hatari zaidi husababisha vifo vingi vya wanaume duniani.....

🔥Tuone dalili kuu zinazojitokeza kwa wanaume wenye matatizo ya tezi dume🔥

♦️Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku (Nocturia)...

♦️Mkojo kutoka kwa shida au kuchelewa kuanza kutoka (Hesitancy)...

♦️Mtiririko dhaifu wa mkojo (Weak urine stream)..

♦️Hisia ya kutomaliza mkojo kwenye kibofu (Incomplete bladder emptying)...

♦️Maumivu au kuchoma wakati wa kukojoa (Dysuria)..

♦️Damu kwenye mkojo (Hematuria) au damu kwenye shahawa (Haematospermia)...

♦️Maumivu ya nyonga, chini ya mgongo au sehemu za siri endapo ni saratani....

❗️🤪Kuwa na dalili hizo sio kigezo, UCHUNGUZI WA TEZI DUME —Ni muhimu mno..(Diagnostic Workup)

💧Digital Rectal Exam (DRE), Daktari huingiza kidole kwenye njia ya haja kubwa kuchunguza ukubwa, umbo na uimara wa tezi dume...

💧Prostate Specific Antigen (PSA), Kipimo cha damu kupima kiwango cha protini inayoongezeka endapo kuna saratani au maambukizi...

💧Ultrasound ya tezi dume (Prostate Ultrasound / Transrectal Ultrasound – TRUS), Hutoa picha sahihi kuona ukubwa, umbo na uwepo wa uvimbe.

💧Urinalysis & Urine culture, Kuchunguza kama kuna maambukizi kwenye njia ya mkojo..

💧Biopsy (ikiwa inahitajika), Kuchukua kipande kidogo cha tezi dume kwa ajili ya uchunguzi wa saratani

💥  TEZI  DUME 💥❗️Unaelewa nini ukiambiwa kuwa unatatizo la Tezi Dume⁉️❗️Unaelewa nini ukiambiwa unayo Saratani ya Tezi D...
17/10/2025

💥 TEZI DUME 💥

❗️Unaelewa nini ukiambiwa kuwa unatatizo la Tezi Dume⁉️

❗️Unaelewa nini ukiambiwa unayo Saratani ya Tezi Dume⁉️

📌Tezi dume sio ugonjwa…Ni kiungo muhimu sana kwa mwanaume.

✍️Kazi yake kubwa ni👇👇👇

✅️Kuzalisha maji yanayounda shahawa, yanayolinda na kusaidia mbegu za kiume kusafiri ili kutungisha mimba...

⚠️Lakini mitindo mibovu ya maisha tunayoishi leo—Ukiachana kabisa na swala la kurithi...

🍁 CHANZO 🍁

1. Kukua kwa tezi dume (BPH – Benign Prostate Hyperplasia)..

✍️Kukua kwa tezi dume, haihusishi, saratani wala maambukizi...

2. Maambukizi ya bacteria (Prostatitis)..

✍️Huambatana na maumivu makali na huathiri uwezo wa uzazi.

3. Saratani ya Tezi Dume (Prostate Cancer),

✍️Hii ndio hatari zaidi husababisha vifo vingi vya wanaume duniani.....

🔥Tuone dalili kuu zinazojitokeza kwa wanaume wenye matatizo ya tezi dume🔥

♦️Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku (Nocturia)...

♦️Mkojo kutoka kwa shida au kuchelewa kuanza kutoka (Hesitancy)...

♦️Mtiririko dhaifu wa mkojo (Weak urine stream)..

♦️Hisia ya kutomaliza mkojo kwenye kibofu (Incomplete bladder emptying)...

♦️Maumivu au kuchoma wakati wa kukojoa (Dysuria)..

♦️Damu kwenye mkojo (Hematuria) au damu kwenye shahawa (Haematospermia)...

♦️Maumivu ya nyonga, chini ya mgongo au sehemu za siri endapo ni saratani....

❗️🤪Kuwa na dalili hizo sio kigezo, UCHUNGUZI WA TEZI DUME —Ni muhimu mno..(Diagnostic Workup)

💧Digital Rectal Exam (DRE), Daktari huingiza kidole kwenye njia ya haja kubwa kuchunguza ukubwa, umbo na uimara wa tezi dume...

💧Prostate Specific Antigen (PSA), Kipimo cha damu kupima kiwango cha protini inayoongezeka endapo kuna saratani au maambukizi...

💧Ultrasound ya tezi dume (Prostate Ultrasound / Transrectal Ultrasound – TRUS), Hutoa picha sahihi kuona ukubwa, umbo na uwepo wa uvimbe.

💧Urinalysis & Urine culture, Kuchunguza kama kuna maambukizi kwenye njia ya mkojo..

💧Biopsy (ikiwa inahitajika), Kuchukua kipande kidogo cha tezi dume kwa ajili ya uchunguzi wa saratani

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255616854995

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The desert root products posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to The desert root products:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category