AFYA NA IRENE

AFYA NA IRENE UKIONA UNACHEWA KUJIBIWA WHATSAP NIPIGIE SIMU NORMAL CALL
+255674582081
(1)

👩‍⚕️ Tiba ya Ndoa na Uzazi
🔵 Mtaalamu wa changamoto za tendo la ndoa kwa wanaume na wanawake
🔵 Natatua matatizo ya nguvu za kiume, hamu ya tendo, na maumivu wakati wa tendo
🔵 Natatua changamoto hizi kwa tiba salama za kisasa
📞 +255 674 582 081

21/10/2025

NILICHOGUNDUA WANAUME WANATESWA SANA KWENYE MAHUSIANO NA WANAHITAJI HEALING POWER. NITAKUWA HAPA MUBASHARA KUKUFAHAMISHA NAMNA YA KUWA MWANAUME MWENYE THAMANI NA UHESHIMIKE.

MWANAUME K**A UMEKUWA MSTARI WA MBELE KUONYESHA UPENDO KWA MWANAMKE ALAFU HAKUJALI FANYA HIVI
ITAKUSAIDIA KUTAMBUA NI SAHIHI AU SIO SAHIHI, NA HII ITAMFANYA ARUDI AU AONDOKE KWENYE MAISHA YAKO. UNACHOTAKIWA KUKIFANYA NI KUNYAMAZA ALAFU MPE DISTANCE, NAAMANISHA PUNGUZA CALL, MESSAGE ZA KUMJULIA HALI ALAFU KAA KIMYA
SASA HII ITAMFANYA NINI KWAKE??

ENDELEA KUFWATILIA

20/10/2025
Achagua asubuhi hii unataka na nini Jenga mwili wako kiafya, sio kwa tengeza magonjwa+255674582081
19/10/2025

Achagua asubuhi hii unataka na nini Jenga mwili wako kiafya, sio kwa tengeza magonjwa
+255674582081

18/10/2025

Zingatia ulaji tu Afya yako itaimarisha. Mwili haudanganyii

18/10/2025

This video is just for self awareness not for violating rules and relation , not intended for harassment

18/10/2025

Ukila hivi ASUBUHI , usiku unajihakikishia utakuwa vizuri active k**a SAA, libido itaongezeka, stamina utakuwa vizuri, misuli zitakuwa imara na nguvu ya kutosha

17/10/2025

Stress
Hasira
Ukiwa umechoka
Ukiwa unaumwa

Athari za Kufanya Ngono Mara Nyingi SanaNgono ni tendo la asili lenye faida nyingi — husaidia kupunguza msongo wa mawazo...
17/10/2025

Athari za Kufanya Ngono Mara Nyingi Sana

Ngono ni tendo la asili lenye faida nyingi — husaidia kupunguza msongo wa mawazo, kuimarisha uhusiano wa kihisia, kuboresha usingizi, na hata kuongeza kinga ya mwili. Hata hivyo, k**a ilivyo kwa mambo mengine yote maishani, ukizidisha sana bila kupumzika, mwili unaweza kuathirika kiafya.

Unapofanya tendo la ndoa mara kwa mara bila muda wa kupumzika au lishe bora, mwili huanza kutoa ishara kwamba umechoka — ni njia yake ya kukuambia “punguza kidogo” na ujitunze.

⚠️ Madhara ya Kufanya Ngono Kupita Kiasi:

Maumivu ya Viungo na Udhaifu wa Mwili:
Wakati wa tendo la ndoa, mwili hutumia nguvu nyingi na kuhusisha misuli na viungo vingi. Ukifanya mara kwa mara bila kupumzika, unaweza kupata maumivu ya misuli, viungo, na udhaifu wa mwili kwa ujumla.

Mifupa Kudhoofika na Maumivu ya Meno:
Kufanya ngono mara nyingi sana kunaweza kupunguza madini muhimu k**a kalsiamu na zinki, ambayo ni muhimu kwa afya ya mifupa na meno. Hii inaweza kusababisha meno kuuma, kudhoofika au hata kuvunjika kirahisi.

Uchovu Mkubwa na Kizunguzungu:
Kwa sababu tendo la ndoa huchoma kalori na kutumia nguvu nyingi, unaweza kujisikia mchovu, mzembe, au kizunguzungu — hasa k**a huli vizuri au hupumziki vya kutosha.

Njaa Kila Wakati:
Kufanya ngono mara nyingi huongeza kasi ya mwili kuchoma nishati (metabolism), na hivyo mwili huhitaji chakula mara kwa mara kujaza upungufu wa virutubisho.

Kinga ya Mwili Kushuka na Kupoteza Nguvu:
Mwili unapochoka na kukosa lishe bora, mfumo wa kinga hupungua nguvu, na hivyo unaweza kushambuliwa kirahisi na magonjwa.

💧 Mambo ya Kufanya Baada ya Tendo la Ndoa ili Kudumisha Afya:

Kunywa Maji Mengi:
Tendo la ndoa husababisha jasho na upotevu wa maji mwilini. Kunywa maji baada ya tendo husaidia mwili kurejesha maji na kuimarisha mzunguko wa damu.

Kula Vyakula Vyenye Protini:
Baada ya tendo, mwili wako unahitaji virutubisho vya kujenga upya tishu na kurejesha nguvu. Kula vyakula k**a maziwa ya soya, mtindi, maharage, mayai, samaki na vyakula vyenye virutubisho vya kutosha.

Pumzika na Kulala Vizuri:
Usingizi wa kutosha ni muhimu sana. Wakati wa usingizi, mwili unajijenga upya, kusawazisha homoni na kurejesha nguvu ulizopoteza.

16/10/2025

FURAHA yangu huja pale ninapopokea ujumbe mzuri k**a huu , Mungu ni mwema Mungu ni MWAMINIFU sana #

16/10/2025

Sababu za nguvu za kiume kupungua baada ya kutumia dawa zinaweza kuwa nyingi, na mara nyingi hutegemea aina ya dawa, muda wa matumizi, na mwili wa mtu. Hapa kuna maelezo ya kina:

🩺 1. Madhara ya dawa (Side effects)

Baadhi ya dawa huathiri homoni, mishipa ya damu au ubongo — vitu vinavyohusika moja kwa moja na nguvu za kiume.
Mfano wa dawa zinazoweza kusababisha hali hii:

Dawa za presha (hasa beta-blockers)

Dawa za msongo wa mawazo (antidepressants)

Dawa za kisukari au cholesterol

Dawa za kulevya au za kutibu maumivu makali

⚖️ 2. Homoni kubadilika

Baadhi ya dawa hupunguza uzalishaji wa testosterone, ambayo ndiyo homoni kuu ya nguvu za kiume. Ukipungua, matokeo ni:

Maumbile kulegea

Hamu ya tendo kushuka

Uchovu wa mwili

🧠 3. Akili na msongo wa mawazo

Baada ya kutumia dawa muda mrefu, mtu anaweza kupoteza kujiamini au kuogopa kushindwa kufanya tendo — jambo ambalo lenyewe hupunguza nguvu kwa sababu akili inashindwa kutuma ishara sahihi.

🍽️ 4. Lishe na miili kuchoka

Dawa zingine huchoma virutubisho vya mwili au kuathiri ini na figo, hivyo mwili unakosa nguvu za asili.
Ukikosa virutubisho k**a zinki, magnesiamu, na vitamini E, nguvu za kiume hupungua haraka.

🧬 5. Mwili haujapona vizuri

K**a dawa ulikuwa unatumia ni za tiba ya ugonjwa fulani (mf. kisukari, tezi, au kibofu), basi ugonjwa wenyewe unaweza bado upo ndani kwa kiwango kidogo na kuathiri mfumo wa uzazi.

16/10/2025

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NA IRENE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA NA IRENE:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram