LOMI _Afya

LOMI _Afya Kula chakula kama Dawa uepuke kula Dawa kama chakula

Kila Mara Kabla ya kula Tunda lolote kumbuka kuliosha vizuri. NARUDIA Usile tunda lolote kabla hujaliosha vizuri.
13/11/2022

Kila Mara Kabla ya kula Tunda lolote kumbuka kuliosha vizuri. NARUDIA Usile tunda lolote kabla hujaliosha vizuri.

K**a unapenda kula mihogo, kunja ngumi namna hii…✊✊✊halafu jipigepige kifuani huku ukisema… “mihogo ni mitamu…😋😋😋😋”..hiv...
05/11/2022

K**a unapenda kula mihogo, kunja ngumi namna hii…✊✊✊halafu jipigepige kifuani huku ukisema… “mihogo ni mitamu…😋😋😋😋”
..hivi umewahi kula mihogo ya kukaanga iliyochanganywa na kachumbari yanye kapilipili kwa mbaaaali…hatari sana…😋😋😋😋

Tuache utani bwana…mihogo si ya kuchukulia poa. Hizi hapa faida zake

• Mbali na kuwa na wanga mwingi, muhogo una vitamini C nyingi ambayo huimarisha kinga ya mwili dhidi ya magonjwa.
• Muhogo una madini ya chuma, vitamini A, B na pamoja na vitamini C.
• kisamvu cha muhogo kina protini nyingi kuliko mboga za majani za aina yoyote
• Muhogo una madini ya kalsiamu ambayo huimarisha mifupa
Usiichukulie poa mihogo mtani…

ANGALIZO: Hakikisha mihogo na kachumbari zimeandaliwa katika mazingira safi na salama.

CHANZO | Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC)

Je unafahamu umuhimu wa ulaji wa mbogamboga?
23/10/2022

Je unafahamu umuhimu wa ulaji wa mbogamboga?

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when LOMI _Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram