Tabibu hajra

Tabibu hajra Ninawasaidia watu wenye Vidonda Vya Tumbo kwa kuwapatia Elimu, Ushauri na Tiba. Tuwasiliane

24/09/2025

🌿 Ushuhuda wa kweli kutoka kwa wateja wetu!Tunashukuru kwa kila mmoja anayetuamini katika safari ya uponyaji.Hakika afya njema ni baraka kubwa 💚.👉 Je, na wewe umepata nafuu kwa kutumia tiba asilia? Acha ushuhuda wako kwenye comment au DM, tupone pamoja!

28/08/2025

🌿 Ushauri kwa wenye vidonda vya tumbo 🌿Vidonda vya tumbo ni ugonjwa unaoweza kudhibitiwa kwa mtindo bora wa maisha.✅ Kula kwa wakati bila kuruka mlo✅ Epuka vyakula vyenye pilipili, mafuta mengi na pombe✅ Punguza msongo wa mawazo (stress)✅ Wahi matibabu ili kupunguza athari kubwa✅ Tumia tiba sahihi kwa ushauri wa kitaalamuKumbuka: Afya njema huanza na maamuzi bora ya kila siku. 💚Mawasiliano – 0719 291 570 Tunapatikana – MBEZI LUIS DSM

12/08/2025

👩‍⚕️Vidonda vya tumbo vinaweza kusababisha maumivu ambayo huonekana kuwa hayahusiani na tumbo.😩Maumivu ya kifua: Vidonda vya tumbo mara nyingine husababisha maumivu yanayofanana na maumivu ya moyo (angina) au kiungulia, hasa ikiwa asidi ya tumbo inapanda juu na kuchochea njia ya umio. Hali hii inaweza kuwachanganya watu kufikiri wanapata matatizo ya moyo.😰Maumivu ya mgongo: Ikiwa kidonda kiko sehemu ya nyuma ya tumbo (posterior ulcers), maumivu yanaweza kusambaa hadi mgongoni, na mara nyingine kugundulika k**a tatizo la mgongo badala ya tumbo.🩸Dalili za upungufu wa damu: Ikiwa kidonda kinaambatana na kutokwa na damu ndogo kwa muda mrefu (haemorrhage ya muda mrefu), mtu anaweza kuhisi uchovu mwingi, maumivu ya kichwa, au kufa ganzi mikononi na miguuni kwa sababu ya upungufu wa damu (anemia), bila kujua kuwa vidonda vya tumbo ndio chanzo.📝Hii inaonyesha kwamba vidonda vya tumbo vinaweza kuwa na athari zisizotarajiwa na wakati mwingine kugunduliwa vibaya k**a magonjwa mengine. Ni muhimu kuzingatia dalili zote na kumwona daktari kwa uchunguzi wa kina.kuwasiliana namimi kwa ELIMU, TIBA na USHAURI au kunipigia kwa namba hizi hapa chini.Mawasiliano – 0719 291 570 / 0757 970 089 Tunapatikana – MBEZI LUIS DSM💡kwa msaada wa kitabibu, elimu na ushauri, tuwasiliane 0719291570

Sina tena usemi mwenye macho haambiwi tazama natumai k**a unaumwa vidonda vya tumbo basi wahi kutumia dawa hii chaguo sa...
08/08/2025

Sina tena usemi mwenye macho haambiwi tazama natumai k**a unaumwa vidonda vya tumbo basi wahi kutumia dawa hii chaguo sahihi linajulikana 🙏🏽

Maisha mapya yameanza! Ndivyo mgonjwa alivyo pona vidonda vya tumbo. Kwa nini usijiunge naye  kwenye safari ya kupona na...
28/07/2025

Maisha mapya yameanza! Ndivyo mgonjwa alivyo pona vidonda vya tumbo. Kwa nini usijiunge naye kwenye safari ya kupona na dawa hizi? “

kwa msaada wa kitabibu, lishe, tuwasiliane
0719291570





























Address


Opening Hours

Monday 08:00 - 19:00
Tuesday 08:00 - 19:00
Wednesday 08:00 - 19:00
Thursday 08:00 - 19:00
Friday 08:00 - 19:00
Saturday 09:00 - 17:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tabibu hajra posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Tabibu hajra:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram