Afya ya uzazi kwa wanawake.

Afya ya uzazi kwa wanawake. Tunatoa elimu ya afya ya uzazi kwa wanawake katika kutatua changamoto za uzazi.Karibu tukuhudumie.

Afya ya uzazi inategemea zaidi na mpangilio wa vyakula unavyokula kuujenga mwili ili kuwa na mpangilio mzuri wa homoni a...
15/11/2022

Afya ya uzazi inategemea zaidi na mpangilio wa vyakula unavyokula kuujenga mwili ili kuwa na mpangilio mzuri wa homoni ambapo changamoto nyingi za uzazi kwa wanawake zinaanzia kwenye homoni, mpangilio mzuri wa vyakula husaidia kulinda kinga ya mwili.

Mwili wako haujengwi kwa Kemikali za Viwandani hususani Vidonge isipokuwa mwili hujengwa na kulindwa na Vyakula vya Asili.

Amka mapema na tambua Asilimia ya magonjwa mengi yanayokumbua ni mfumo mbovu wa maisha unayoishi k**a vile kula vyakula vya Viwandani.
Jali mpangilio sahihi wa vyakula vyako.jali homoni zako.jali afya yako ya uzazi.

Tunatoa elimu ya afya ya uzazi kwa wanawake katika kutatua changamoto za uzazi.Karibu tukuhudumie.
07/11/2022

Tunatoa elimu ya afya ya uzazi kwa wanawake katika kutatua changamoto za uzazi.Karibu tukuhudumie.

Address

Victoria
Dar Es Salaam

Opening Hours

Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255626842702

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya uzazi kwa wanawake. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram