30/04/2020
FAIDA ZA MATUMIZI YA MTANGA WIZI KIPINDI IKI CHA MLIPUKO WA CORONA
Tangawizi(GINGER) ni mzizi wa mtangawizi mea ambao unapatikana karibia kila bara apa duniani. Ni mmea familia ya zingiberqceae katika ngeli ya monokotiledoni.
MATUMIZI YA MTANGAWIZI
(1)Mizizi yake utumika K**a kiungo Cha chakula
2)unga wake utumika katika kutengeneza vinywaji
3)pia unga wake pia unatumika K**a kiungo Cha chakula
IZI NDIZO FAIDA ZA KUTUMIA TANGAWIZI
1)Utafiti wakisayansi unaonyesha tangawizi inaweza kusaidia kwenye matatizo ya utombo na kuzuia kutaapika
2)Imetazamiwa tangawizi inapunguza maumivu ya viungo vilivyo athiriwa na rumatizimu na athritisi
MADINI YANAYOPATIKANA KATIKA TANGAWIZI
Tangawizi Ina tupatia vitamin c katika miili yetu
FAIDA ZA VITAMINI C KATIKA KUPAMBANA NA KORONA
1)vtamini c husaidia kuondoa chembechembe fulani mwilini ambazo husababishwa na kuugua magonjwa mbali mbali .
Korona ni aina ya kirusi ambacho husababishwa na kirusi Cha korona.Kwa kawaida sio rahisi kirusi kutibiwa na dawa .kirusi huondoka mwilini mwamtu kutokana na uimara wa Kinga ya uyo mtu.Kutokana na ulimwengu wetu binadamu tunashambuliwa na magonjwa mbali mbali .Pia kutokana na ukuwaji mkubwa wa teknologia kwa kiasi flani magonjwa mengi yana dawa.Ila ukweli nikuwa dawa izi huacha chembe chembe za vijidudu ambavyo husababisha mtu kuumwa ugojwa mmoja zaidi ya maratatu na kazalika.Kwa asilimia kubwa hawa watu wanao umwa ugonjwa mmoja zaidi ya Mara moja hawazingatii matumizi ya VITAMINIC.
Tunashauri matumizi ya tangawizi ili kuua kabisa chembe chembe izo zilizobaki mwilini kwetu Ili ata tutakapo ingiliawa nakirusi chakorona miili yetu iwe na Kinga ya kutosha kuangamiza kabisa kirusi Cha corona
STAY HOME STAY SAFE RUKSA KUULIZA MASWALI
BY OMBENI Lyimo u
Up coming .....