AJAM herbal plus

AJAM herbal plus tunawasaidia wahanga wa magonjwa mbalimabali kwa kutumia dawa za asili

0688 638 481   zunguAJAM-HERBAL CLINIC _______________________🟤 DALILI ZA PID🔗Kutokwa na uchafu ukeni mithili ya maziwa ...
08/03/2026

0688 638 481
zungu
AJAM-HERBAL CLINIC
_______________________

🟤 DALILI ZA PID
🔗Kutokwa na uchafu ukeni mithili ya maziwa mtindi
Utoko huu mara nyingi huwa na harufu mbaya
🔗kupata miwasho ukeni
🔗maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
🔗maumivu ya mgongo/kiuno
🔗maumivu wakat wa kukojoa
🔗kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi
🔗maumivu wakati wa tendo la ndoa
🔗kukosa hamu ya tendo la ndoa
🔗uke kuwa mkavu
🔗mimba kuharibika (miscarriage)
🔗wakati fulani kuhisi kichefuchefu na hata kutapika
🔗kupata homa

🟤 MADHARA YA PID
🔗Saratani ya shingo ya kizazi
🔗Mimba kuharibika
🔗Kutokushika ujauzito
🔗Kuvurugika kwa hormones
🔗Kupoteza hisia za kushiriki tendo la ndoa
🔗Kuziba mirija ya uzazi
🔗Kusababisha uvimbe

zungu
Tandika-dar es salaam
AJAM-HERBAL CLINIC
______________________

JE,UNAOTA NDOTO ZA KUTISHA MARA KWA MARA MPAKA UNAHISI UMEROGWA?⚫Miongoni mwa dalili kubwa za Acid reflux ni kuota ndoto...
24/02/2026

JE,UNAOTA NDOTO ZA KUTISHA MARA KWA MARA MPAKA UNAHISI UMEROGWA?

⚫Miongoni mwa dalili kubwa za Acid reflux ni kuota ndoto za kutisha kwasababu Acid humtengenezea mtu khofu,wasiwasi na mawazo mabaya hali inayompelekea kuota ndoto za kutisha anapolala.

⚫Wengi huhisi wamerogwa hali inayowafanya wakimbilie kwa waganga wa mizimu na wapiga ramli na wengine wakilazwa kwenye makaburi wakiamini watapona.

⚫ Ndugu una acid reflux acha kupoteza muda kwa waganga wa mizimu na wapiga ramli kwani unaongeza matatizo na kumkosea Mwenyezi bure.

NJOO TUKUSAIDIE KUONDOKANA NA ACID REFLUX

zungu
☎️0688 638 481
AJAM HERBAL CLINIC

⚫ZIJUE SABABU ZINAZOWAFANYA WAGONJWA WENGI WA BAWASIRI KUTUMIA DAWA NYINGI BILA MAFANIKIO. zungu (+255 688 638 481)Ajam ...
16/02/2026

⚫ZIJUE SABABU ZINAZOWAFANYA WAGONJWA WENGI WA BAWASIRI KUTUMIA DAWA NYINGI BILA MAFANIKIO.

zungu (+255 688 638 481)
Ajam Herbal Clinic
Tandika-dar es salaam

_Kwanza Mgonjwa wa Bawasiri anatakiwa kufahamu ya kwamba,matibabu si dawa pekee.Watu wengi wanaamin kwamba matibabu ni dawa pekee na jambo hili limepelekea wengi kuteseka na matatzo kwa muda mrefu sana bila mafanikio na kupelekea kukata tamaa ya kutafuta tiba na badala yake humuona kila mtoa huduma ni tapeli_

Zifuatazo ni sababu zinazowafanya wagonjwa wengi kuteseka na Bawasiri kwa muda mrefu licha ya kutumia dawa mbali mbali:

1.🔗 Kutopata dawa sahihi
-Si kila dawa inayotangazwa kutibu Bawasiri inaweza kutibu Bawasiri bali dawa yenye ufanisi wa kutibu ndio inaweza kutibu Bawasiri.

2.🔗 Kutofuata ushaur wa daktari.
-Usipofuata yale ambayo daktari anakuelekeza ili kupata suluhisho la Tatzo lako ni ngumu kupona tatzo lako.

3.🔗 Kutoziacha sababu zilizopelekea upate Bawasiri. Katika hili wengi wamefeli kwani haiwezekani ukapona Bawasiri ikiwa sababu zilizopelekea upate Bawasiri hutaki kuziacha mfano;
-Pombe
-Uzito mkubwa
-Ulaji mbovu
-Kuingiliwa kinyume
-Kula sana pilipili
-Kukaa sana chini
-Kunyanyua vitu vizito
-Kutotibu Magonjwa k**a Ngiri na Vidonda vya TUMBO,Acid reflux
-Kutokula vyakula vya kulainisha choo k**a vile Mboga za majani & matunda
-Kula udongo(wajawazito)
-Kujisaidia kwenye vyoo vya kukaa.
-Kuharisha mara kwa mara
-Kujisaidia choo Kigumu

Hata utumie dawa zaid ya 100,usipoziacha sababu hizo ni ngumu sana kupona Bawasiri na matokea yake kila mtoa tiba utamuona Tapeli kumbe sababu ni wewe mwenyewe kutofuata miongozo,maelekezo na USHAURI kutoka kwa daktar.

⚫ Ukizingatia hayo utapona Bawasiri kwa muda mfupi sana(week 1 mpaka 3) Biidhnillaah ja wapo wanaopona kwa siku 5 licha ya kukaa na Bawasiri kwa miaka kadhaa .

zungu (+255 688 638 481)
Ajam Herbal Clinic
Tandika-dar es salaam.

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ACID TUMBONI (ACI REFLUX-GERD)Gastroesophageal reflux disease (GERD).-Ni hali inayotoka...
01/02/2026

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ACID TUMBONI (ACI REFLUX-GERD)
Gastroesophageal reflux disease (GERD).
-Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

zungu
0688 638 481
Ajam herbal clinic
------------------------------------

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux)
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️

1.🔗 Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.🔗 Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.🔗 Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.🔗 Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.🔗 Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.🔗 Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.🔗 Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.🔗 Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.🔗 Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.🔗 Kupata kikokozi kisichoisha
11.🔗 Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.🔗 Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.🔗 Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.🔗 Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.🔗 Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.🔗 Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.🔗 Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.🔗 Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.🔗 Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.🔗 Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.🔗 Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.🔗Kichefuchefu na kutapika.
23.🔗 Maumivu ya Masikio
24.🔗 Kupata ganzi kwenye vidole vya miguu au mkono.

BAADHI YA MADHARA YA ACID REFLUX

1.🔗 Saratani/Kansa ya koo
2.🔗 Kupungua kwa ukubwa wa koo/Kuziba kwa koo(EUSOPHAGEAL STRICTURE)
3.🔗 Wasiwasi/Khofu isiyokuwa na kikomo.
4.🔗 Kukosa amani ya kuishi duniani na kuona dunia nzima imekutenga
5.🔗 Kupata Bawasiri kutokana na kujisaidia choo Kigumu
6.🔗 Kupoteza kuwezo wa kushiriki tendo (Wanawake & wanaume)
7.🔗 Mwili kudhoofika na kukonda kupita kiasi. Hasa pale Acid reflux hupelekea kupotea hamu ya kula.
8.🔗 Kunenepa kupita kiasi. Hasa pale Acid hupelekea upate njaa mara kwa mara na kupelekea kula mara kwa mara.
9.🔗 Kupata Fangasi wa mdomoni na katika mfumo mzima wa chakula
10.🔗 Kupata ngiri ya Kifua /Hiatal hernia.

MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI
1.🔗 Uvutaji wa sigara
2.🔗 Unywaji wa pombe
3.🔗 Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine k**a vile Kahawa,Chocolate, Soda nk
4.🔗 Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa
5.🔗 Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana.
6.🔗 Kutumia baadhi ya Madawa k**a vile ASPIRIN
7.🔗 Ngiri ya kifua pia husababisha GERD lakin pia GERD huweza kisababisha Ngiri ya Kifua(Hiatal hernia)
8.🔗 Kuwa Mjamzito
9.🔗 Uzito kupita kiasi (Obesity)
10.🔗 Matatzo ya mmeng'enyo wa chakula au kuchewa Kujisaidia pindi uhisipo haja kubwa.

TANDIKA SOKONI
DAR ES SALAAM
zungu
0688 638 481

CARDIO+  (Cardio plus)____________________________ DAWA YA PRESHA NA MOYO ____________________________⚫ Ni dawa inayotok...
01/02/2026

CARDIO+
(Cardio plus)

____________________________
DAWA YA PRESHA NA MOYO
____________________________
⚫ Ni dawa inayotokana na mimea tiba yenye ufanisi mkubwa katika magonjwa tajwa. Dawa hii imefanyiwa utafiti wa muda mrefu na kuonesha ufanisi mkubwa katika matibabu bila kuacha madhara yoyote kwa mtumiaji.Ni dawa iliyo katika mfumo wa UNGA (Powdery form).

⚫ FAIDA KUBWA ZINAZOPATIKANA KATIKA KUTUMIA DAWA HII:⤵️⤵️

1.🧷 Dawa hii ina uwezo mkubwa wa kuzibua mishipa ya damu iliyoziba kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo MAFUTA MACHAFU NA MRUNDIKANO WA MAFUTA KATIKA MISHIBA YA DAMU (ATHEROSCLEROSIS)

2.🧷 Dawa hii ina uwezo mkubwa na wa kutibu PRESHA YA KUPANDA (HYPERTENSION) NA PRESHA YA KUSHUKA (HYPOTENSION) Kwa ufanisi mkubwa sana na dawa huanza kuonesha matokeo ndani ya dakika 5 hadi 10 baada ya kuitumia.

3.🧷 Dawa ina uwezo mkubwa wa kutibu Magonjwa ya MOYO (CARDIOVASCULAR DISEASES) k**a vile MOYO KUPANUKA (CARDIOMEGALY),Ugonjwa wa moyo wa mishipa ya damu (CORONARY HEART DISEASE)MAGONJWA YA MOYO ULIOSHINDWA Pamoja na magonjwa mengine ya moyo endapo ikitumiwa kwa muda mrefu.

4.🧷 Dawa hii ina uwezo mkubwa wa kuyeyusha MAFUTA MABAYA KATIKA MISHIPA YA DAMU (CHOLESTEROL) ili Kuboresha mzunguko wa damu katika mishipa ya damu.

5.🧷 Dawa hii ina uwezo mkubwa wa kutibu na kuondoa dalili zote za magonjwa tajwa.

▪️ Huondoa maumivu ya kifua

▪️ Huondoa upumuaji wa tabu kwa wagonjwa wa Presha na Moyo

▪️ Huondoa Maumivu ya Kichwa na Chembe ya moyo kutoanana na Magonjwa ya moyo na Presha

▪️ Huondoa Ganzi na miguu kuvimbe kutokana na magonjwa ya Moyo na Presha.

▪️ Huondosha hali ya kutopata Usingizi *(INSOMNIA)* kutokana na Magonjwa ya Presha na Moyo.

6.🧷 Dawa hizi hurekebisha Mishipa ya damu iliyoharibika kutokana na shinikizo la damu la juu *(HYPERTENSION)*

7.🧷 Dawa Ina uwezo wa kurejesha afya yako k**a ambae hakuwahi kusumbuliwa na presha & Magonjwa ya moyo.

8.🧷Dawa hii ina uwezo mkubwa sana wa kukuepusha na matumizi ya dawa za vidonge za kila.
Itumie hii dawa itakusaidia Biidhnllah.
___________________________
MUDA WA MATIBABU: WEEK 4 HADI 6 KWA CHANGAMOTO ZA MOYO

NA IKIWA NI SHIDA YA PRESHA PEKEE,UTAITUMIA KWA WASTANI WA SIKU 6 HADI 10 TU.
___________________________

BAADA YA KUANZA MATIBABU,UTAPEWA MAELEKEZO NA MUONGOZO WA NAMNA YA KULA KIAFYA.

MAGONJWA YA PRESHA NA MOYO YANATIBIKA KWA 100%

AJAM HERBAL CLINIC
TANDIKA -DAR ES SALAAM
Tel: 0688 638 481
--------------------------------------------------------

0688 638 481  zunguAJAM-HERBAL CLINIC _______________________🟤 DALILI ZA PID🔗Kutokwa na uchafu ukeni mithili ya maziwa m...
23/01/2026

0688 638 481
zungu
AJAM-HERBAL CLINIC
_______________________

🟤 DALILI ZA PID
🔗Kutokwa na uchafu ukeni mithili ya maziwa mtindi
Utoko huu mara nyingi huwa na harufu mbaya
🔗kupata miwasho ukeni
🔗maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
🔗maumivu ya mgongo/kiuno
🔗maumivu wakat wa kukojoa
🔗kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi
🔗maumivu wakati wa tendo la ndoa
🔗kukosa hamu ya tendo la ndoa
🔗uke kuwa mkavu
🔗mimba kuharibika (miscarriage)
🔗wakati fulani kuhisi kichefuchefu na hata kutapika
🔗kupata homa

🟤 MADHARA YA PID
🔗Saratani ya shingo ya kizazi
🔗Mimba kuharibika
🔗Kutokushika ujauzito
🔗Kuvurugika kwa hormones
🔗Kupoteza hisia za kushiriki tendo la ndoa
🔗Kuziba mirija ya uzazi
🔗Kusababisha uvimbe

zungu
Tandika-dar es salaam
AJAM-HERBAL CLINIC
______________________

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUPANDA  KWA ACID KWENYE KOO LA CHAKULA    [ ACID REFLUX-GERD ]        zungu     ●Tandik...
23/01/2026

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUPANDA KWA ACID KWENYE KOO LA CHAKULA

[ ACID REFLUX-GERD ]
zungu
●Tandika-Dar es salaam
0688 638 481
__________________

-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️

1.🔗 Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.🔗 Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.🔗 Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.🔗Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.🔗Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.🔗Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.🔗 Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.🔗 Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.🔗Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.🔗 Kupata kikokozi kisichoisha
11.🔗 Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.🔗Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.🔗Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.🔗 Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.🔗 Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.🔗 Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.🔗Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.🔗 Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.🔗 Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.🔗Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.🔗 Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.🔗Kichefuchefu na kutapika.
23.🔗 Miwasho ya ngozi mwilini
24.🔗Masikio kupiga kelele/kuwa mazito.
25.🔗 Baadhi ya viungo vya mwili kutetemeka/kucheza mfano vidole na chini ya macho.
26.🔗 Mdomo kuwa mchungu/Mchachu
27.🔗 Presha kupanda mara kwa mara ikiambatana na dalili zingine za Acid reflux.

zungu
AJAM HERBAL CLINIC
TANDIKA -DAR ES SALAAM
---------------------------------------------------------

K**A UNA DALILI HIZI BASI NJOO INBOX HARAKA SANA:⤵️⤵️1. 🔗 Kuhisi kitu kimekwama kooni2. 🔗 Maumivu makali ya mgongo na ki...
19/01/2026

K**A UNA DALILI HIZI BASI NJOO INBOX HARAKA SANA:
⤵️⤵️

1. 🔗 Kuhisi kitu kimekwama kooni
2. 🔗 Maumivu makali ya mgongo na kifua
4. 🔗 Kuwa na wasiwasi na khofu bila sababu za msingi
3. 🔗 Kuhisi kuchanganyikiwa
4. 🔗 Kupumua kwa shida baadhi ya nyakati.
5. 🔗 Mwili kuishiwa nguvu.
6. 🔗 Kupata ganzi vidole vya miguu na mikono
7. 🔗 Kuhisi kukata tamaa ya kuishi ni Kuhisi kufakufa
8. 🔗Kupata maumivu yamabega na shingo
9. 🔗Tumbo kuwaka moto
10. 🔗kiungulia kikali
11. 🔗Kucheua chakula/kupeua mara kwa mara
12. 🔗Harufu mbaya mdomoni/fangasi mdomoni
13. Kukosa usingizi/ kuota ndoto mbaya/kushtuka bila sababu
14. 🔗kutoka vidude vyeupe mdomoni
15. 🔗Kupata choo kigumu
16. 🔗Macho kukosa nguvu yakuona vizuri

zungu
0688 638 481
AJAM HERBAL CLINIC

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AJAM herbal plus posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram