10/10/2025
zungu
0625 438 481
AJAM HERBAL CLINIC
_____________________________
⚫ NGIRI/HERNIA
Ngiri hujulikana pia k**a “Hernia” kwa Kiingereza. Ugonjwa wa mshipa wa ngiri ni matokeo anayopata mtu kutokana na misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikilia au kubeba viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi na kupelekea viungo hivyo kutoshikiliwa vizuri katika sehemu vinapostahili kuwepo.
Ni kujitokeza kwa Organ ama tissue kupitia Tundu/uwazi/udhaifu usio wa kawaida na kusababisha uvimbe katika katika Udhaifu ama tundu hilo.
-Mfano wa Organ ni k**a Utumbo na Mfano wa Tissue ni k**a Misuli ,hivyo basi Either Utumbo ama Msuli nk unaweza kujitokeza kupitia uwazi huo kutokana na Mgandamizo kutokea ndan kuja nje na kusababisha uvimbe eneo ya Udhaifu.
Ngiri hutokea wakati ambapo Organ ama tissue hujitokeza/hujisukuma kupita eneo dhaifu katika Msuli ama tissue onganishi (Connective tissue) izungukayo eneo hilo dhaifu iitwayo FASCIA
⚫ Sehemu ambazo Ngiri inaweza kutokea ni pamoja na maeneo ya:
↪Tumboni
↪Eneo la kinena
↪Eneo la paja kwa juu
↪Eneo ambalo mtu amewahi kufanyiwa upasuaji siku za nyuma
↪Kifuani
Ugonjwa huu wa ngiri unawapata watu wa jinsia zote na wa umri wowote
⚫ AINA ZA NGIRI
Ugonjwa wa mshipa wa ngiri unaweza kujitokeza maeneo mbalimbali ya mwili na aina ya ngiri hutegemea na sehemu ngiri ilipojitokeza.
AINA KUU ZA NGIRI
⤵⤵⤵⤵⤵⤵
1.🔗Epigastric hernia
-Ni aina ya ngiri ambayo hutokea tumboni yaani juu ya kitovu hivyo huweza kuambatana na maumivu ya tumbo,miungurumo ya tumbo nk
2.🔗Hiatal hernia
-Ni aina ya ngiri ambayo hutokea kifuani na huweza kupeleka maumivu makali ya kifuani na kujitokeza uvimbe katika kifua na mara nyingi husababishwa na tatizo na acid nyingi tumboni ( GERD)
3.🔗Incisional Hernia
-Ni aina ya ngiri ambayo hutokea baada ya mtu kufanyiwa upasuaji usiokuwa wa ngrir tumboni mfano upasuaji wa kawaida k**a vile mjamzito anapojifungua kwa upasuaji nk
4.🔗Inguinal Hernia
-Ni ngiri ambayo hutokea maeneo ya kinena kwa pembeni na inaweza kupelekea maumivu makali,kujitokeza kwa uvimbe kwenye kinena na huweza kushuka mpaka kwenye korodani na kusababisha kuvimba kwa korodani.
5.🔗Femoral hernia
6.🔗Umbilical hernia
-Ni aina ya ngiri ambayo hutokea kwenye kitovu
7.🔗Anal hernia
-Ni aina ya ngiri ambayo hutokea sehemu ya haja kubwa
8.🔗Scrotal hernia
-Ni aina ya ngiri ambayo hutokea kwenye korodani
⚫ SABABU ZINAZOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA NGIRI ( KUJITOKEZA KWA ORGAN AMA TISSUE KUPITIA ENEO DHAIFU/TUNDU:
⤵⤵⤵⤵⤵⤵⤵⤵
1.🔗Uzito kupita kiasi
2.🔗Tumbo kujaa maji
3.🔗Kujisaidia choo kigumu
4.🔗Kunyanyua vitu vizito
5.🔗Ujauzito
6.🔗Kikohozi sugu (Chronic Obstructive Pulmonary Disorder)
7.🔗Kuumia kutokana na majeraha ya kawaida ama upasuaji
8.🔗Umri Mkubwa
9.🔗Uvutaji sigara
10.🔗Kurithi
⚫ DALILI ZA MTU MWEMYE NGIRI
Dalili za ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.
⤵⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️
1🔗Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.
2.🔗Kupiga mingurumo tumboni.
3.🔗Kujaa gesi tumboni.
4.🔗Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5.🔗Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6.🔗Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7.🔗Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8.🔗Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9.🔗Nuru ya macho hupotea taratibu.
10.🔗Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11.🔗Huvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12.🔗Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13.🔗Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14.🔗Uume kusimyaa na kunywea k**a wa mtoto
15 .🔗🔗Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi
16. 🔗Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia)
17.🔗 Tumbo kujaa na kuonekana k**a una kitambi kumbe ni gas.
18. 🔗Ukila vitu vyevye sukari nying k**a soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas
19. 🔗Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu(moja ama zote kwa pamoja)
⚫ MADHARA YA KUKAA NA NGIRI KWA MUDA MREFU
Kukaa na Ngiri/hernia kwa muda mrefu inaweza kupelekea matatizo yafuatayo:⤵⤵⤵⤵⤵⤵
1. 🔗Inaweza kusababisha Utasa ( Kushindwa kutungisha Ujauzito)
2.🔗Kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurejea tendo kwa wakati
3.🔗Dhakari kurudi ndan na kuwa na dhakari ndogo k**a ya mtoto mdogo
4.🔗 Kushindwa kumridhisha mke wakati wa tendo la ndoa kutokana na ulegevu na udogo wa dhakar
5.🔗Dhakar kusimama kwa ulegevu na hufikia hatua dhakar hushindwa kabsa kusimama.
6.🔗Kuathirika kisaikolojia hivyo inaweza kumsababishia mhusika kupata matatzo mengine kutokana na mawazo ,k**a vile magonjwa ya moyo(CVDs),Vidonda vya tumbo(PUD) nk
7.🔗Upungufu wa nguvu za kiume hii hutokana na kulegea kwa misuli ya uume na kupelekea uume kuwa legelege
8.🔗Kupata bawasiri kutokana na kupata choo kigumu (kuota kinyama sehemu ya haja kubwa)Ndugu zangu wenye dalili tajwa hapo juu msipuuzie hata kidogo kwan ngiri ni sababu kubwa sana katika kusababisha matatzo ya uzazi kwa mwanaume
⚫ VIPIMO VYA NGIRI/HERNIA
Vipo vipimo kwaajili ya ngiri kwa mgonjwa.
Kabla ya vipimo Dr.atakuangalia kwanza k**a una uvimbe hasa maeneo ya kinena na maeneo ambayo mgonjwa anahisi kuwa na Ngiri,atamuangalia mgonjwa kwa kumwambia akohoe ama asimame ili aangalie k**a kuna Uvimbe unaonekana eneo husika ama kwa kushika eneo husika nk
•Dr.anaweza kujiridhisha zaid k**a mgonjwa ana ngiri ama hana kwa kutumia vipimo vifuatavyo⤵⤵
- ULTRASOUND
- CT SCAN
- MRI
Hivi ni vipimo ambavyo vinaweza kuonesha k**a mtu ana ngiri ama hana.
ANGALIZO
• Hospital ngiri inafahamika kwa kule kuonekana kwake kujitokeza kwa kitu eneo husika hivyo basi unaweza ukawa na dall zote za ngiri lakin Hospital ukaambiwa hauna tatzo maadam tu ule uvimbe/kujitokeza kwa kitu eneo la ngiri hakuonekan.
• Ukija kwetu sisi tutakuuliza sana upate wa dall kwani ngiri hufahamika zaid kwa dalili zake na unaweza kwenda hospital na dall zote hizo ukaambiwa hauna Ngiri.
• Hospital hakuna Uwezo wa Kutibu Ngiri mpaka pale utakapovimba ndiyo huwarahisishia wao kufanya Upasuaj kwani hii ndio tiba ya Ngiri kwa hospital na hakuna dawa zaid ya Upasuaji.
• Lakini Upasuaji pia ni katika sababu za mtu kupata Ngiri.Kuna aina ya Ngiri inaitwa Recurrent Hernia,ni ngiri ambayo hutokea baada ya mtu kufanya Upasuaj wa ngiri hivyo pale ambapo alipofanyiwa upasuaj ngiri hurudi na huitwa Recurrent hernia.Na kuna ngiri huitwa Incissional hernia ni ngiri ambayo hutokea baada ya mtu kufanya Upasuaj wa kawaida either tumbon hivyo eneo la upasuaj huweza kutokea aina hii ya ngiri.
• Hivyo basi,Upasuaji wa ngiri si tiba sahihi sana katika kutibu Ngiri kwani kuna uwezekano mkubwa wa ngiri kurejea.
⚫Ngiri (hernia) inaweza kusababisha athari kwa mwili, ikiwa ni pamoja na
1.🔗Kupungua hamu ya tendo: Ngiri inaweza kusababisha maumivu au discomfort katika eneo la ngiri, na hii inaweza kuathiri uwezo wa mtu kufanya tendo la ngono kwa sababu ya maumivu au hofu ya kuongeza msukumo kwenye eneo hilo.
2.🔗 Mzigo kutosimama imara: Uwezo wa kusimamisha mzigo au kufanya kazi za kimwili nzito unaweza kuathiriwa na ngiri, kwani inaweza kusababisha maumivu au kubana katika eneo la ngiri.
3.🔗Kumaliza haraka: Maumivu au discomfort kutokana na ngiri inaweza kuathiri uwezo wa kudhibiti tendo la ndoa na hivyo kusababisha kumaliza haraka.
4.🔗Maumivu ya korodani: Kwa wanaume, ngiri katika eneo la inguinal inaweza kusababisha maumivu au kuvimba kwa korodani (testicles).
5.🔗Kuhusu ganzi sehemu za Siri: Kwa nadra, ngiri inaweza kusababisha shinikizo kwenye neva na kusababisha ganzi au hisia za kutoweza katika eneo la sehemu za siri.
Ni muhimu kutambua kuwa athari za ngiri zinaweza kutofautiana kulingana na ukubwa wa ngiri, aina yake, na jinsi inavyoathiri tishu za karibu.
⚫MATIBABU YA NGIRI
Matibabu ya ngiri yamegawanyika katika aina kuu mbili k**a ifuatavyo:⤵️⤵️⤵️
1.🔗 MATIBABU YA KISASA (HOSPITAL)
-Matibabu haya yanahusisha upasuaji wa eneo ambapo ngiri imetokea kisha huzibwa eneo lenye udhaifu. Mfano inaweza kuwa eneo la tumbo(Epigastric hernia),eneo la kinena(Inguinal& femoral hernia),eneo la kifua(hiatus hernia) nk.
Changamoto kubwa ya matibabu haya ni kwamba wengi wanaofanya upasuaji ngiri hujirudia tena kwasababu miongoni mwa visababishi vya mtu kupata ngiri ni upasuaji ndio maana kuna ngiri inayoitwa Insicional hernia/ventral hernia ambayo hutokea baada ya mtu kufanya upasuaji wa kawaida katika Tumbo(Abdomen).Mfano upasuaji wa mama mjamzito nk.
Lakin pia upasuaji huu ukikosewa huweza kuleta madhara makubwa katika mfumo wa uzazi na kupelekea mwanaume kushindwa kabisa kusimamisha Dhakar yake(uume).
2.🔗 MATIBABU MBADALA/ASILIA
-Matibabu haya yanahusisha utumiaji wa tiba mbadala ikiwemo Tiba asilia kwa kutumia mimea tiba. Faida kubwa ya Matibabu kwa njia hii ni kwamba haihusishi upasuaji lakini pia inaponesha kabisa ngiri bila upasuaji endapo mtu atapata dawa iliyofanyiwa utafiti wa kitaalamu kwaajili ya matibabu ya Ngiri.Zipo dawa nyingi za asili zenye uwezo wa kutibu ngiri bila upasuaji,
zungu
AJAMA HERBAL CLINIC
0625 438 481