Happy Health

Happy Health Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Happy Health, Medical and health, Chamazi, Dar es Salaam.

health wellness
Helping people take control of their health ,care for their skin and make their cell health immunities high and bodies resist diseases and infection
For all chronical diseases which are non transmitted and associated with unhealth diet

Green Coffee ☕Hii ni kiboko si yakukosa K**a unataka muonekano mzuri FAIDA ZAKE NI: 🍏 kupungua uzito 🍏 Nyama zembe za ny...
16/08/2023

Green Coffee ☕
Hii ni kiboko si yakukosa K**a unataka muonekano mzuri
FAIDA ZAKE NI:
🍏 kupungua uzito

🍏 Nyama zembe za nyuma ya mgongo

FAIDA NYINGINE ZA GREEN COFFEE

🍏Inaongeza metabolism; inarahisisha uyeyushaji na uchomaji mafuta yasiyohitajika
Hii itasaidia kupungua.

🍏 Inapunguza hamu ya kula mara kwa mara,hii itakusaidi kupungua.

🍏 Pia inasaidia kupata choo laini,
kwahiyo ni nzuri pia kwa watu wenye matatizo ya kupata choo kigumu.
🍏 Pia inakufanya kua na nguvu na kuongeza umakini katika kazi .
Na kazi nyingine nyingi.

Call/Whatsapp;
0743761930

25000/= Box moja

Location:Ipagala Dodoma
Tunatuma popote

Weight management package
25/07/2023

Weight management package

02/01/2022

Habari yako

Mimi Lisa Jumbe

Nimeanzisha Project ya kuwainua Watu Kiuchimi ili waweze kutimiza Ndoto zao,Tunahitaji Watu/ Mawakala wakufanyanao kazi hivyo k**a Unahitaji Kuongeza Kipato cha ziada au Una Mtu unamfahamu anauhitaji wa kuongeza Kipato/ Kujikwamua Kiuchumi mlete tumsaidie

Pia nina supplement/ Virutubisho Tiba vinavyosaidia watu kuimarisha afya kwa kuongeza Kinga ya Mwili na Kutoa Sumu na Mafuta Machafu Mwilini kwa watu wote na hata kwa wenye changamoto zozote zile za afya Ganzi, Mifupa,Pingili,Mgongo,
Miguu kuvimba na kupata maumivu,Mishipa,Moyo, Kisukari,Presha,Stroke, Bawasili,Uvimbe, Pumu,Kukosa choo,UTI Sugu, PID,Ukosefu na Upungufu wa Nguvu za Kiume,Uvimbe,Vidonda vya Tumbo, Hormone Inbalance,Nguvu za Kiume,Wenye matatizo ya kushika Mimba,Mimba kuharibika,Kiungulia,Alergy,bidhaa za Wajawazito na Wanaonyonyesha na mengine mengi

Lakini pia Nina virutubisho vizuri kwa Watoto wasio penda kula,Mafuta ya Samaki kuongeza Kinga mwilini mtoto asishambuliwe na maradhi,kumuongezea mtoto kumbukumbu nauelewa darasani pia Kuzuia Kukojoa Kitandani

Project hii pia ina bidhaa ya Kilimo inaitwa SUPER GRO ambayo ni booster ya kusaidia kurutubisha mmea kuzalisha mazao mengiii yenye rutuba, makubwa na inaondoa nakuzuia Ukungu kwenye mazao hutumika kwa mazao ya aina zote

Tuna bidhaa kibokoo za Usafi kung'arisha sink,tiles,ukuta wa nyumba,pasi,fridge,sufuria,sofa,carpet,seat cover,engine za magari,matunda,mbogamboga,hereni na mengine mengi

Penda Afya yako
Ongeza Uchumi wako
Karibu sana

By Lisaprecious Jumbe

Fursa Fursa Fursa
28/12/2021

Fursa Fursa Fursa

EWE MAMA MJAMZITO HIVI UNAJUA BAADHI YA CHANGAMOTO WANAZOZALIWA NAZO WATOTO ZINAEPUKIKA?NA JE UMESHAWAHI KUISIKIA OMEGA ...
07/11/2021

EWE MAMA MJAMZITO HIVI UNAJUA BAADHI YA CHANGAMOTO WANAZOZALIWA NAZO WATOTO ZINAEPUKIKA?
NA JE UMESHAWAHI KUISIKIA OMEGA 3 SALMON OIL ?
PATA DARASA BUREE LA FAIDA ZA OMEGA3 SALMON OIL.

FAIDA ZA OMEGA3 KWA MAMA MJAMZITO

1.Kujenga nerves za Mtoto tumboni

2.Inasaidia Mama mjamzito kuto jifungua kabla ya wakati/kuto pata MISCARRIAGE

3.Inasaidia kubalance cholesterol mbaya

4.Inasaidia kuongeza uzito pindi mtoto atakapozaliwa

5.Kuondoa msongo wa mawazo kipindi cha ujauzito na baada ya kujifungua.

6.Inasaidia Mama mjamzito awe active...

7.awe na ngozi nzuri (Wale wanaoharibika nhozi kipindi cha ujauzito)

8.inamuepusha mjamzito kupata macomplication K**a pressure,Kifafa Cha mimba nk

9.inajenga Ubungo wa Mtoto tangu akiwa tumboni..SALMON Ina DHA na EPA hizi zinafanya Kazi ya kuongeza kumbukumbu na kuimarisha afya ya Ubungo…Mtoto wako atakuwa na akili mnoo(usije kutumia pesa nyingi mtoto anapoanza kufeli darasan wakati unaweza kumtengeneza akiwa tumbon)

10.inasaidia mjamzito asivimbevimbe…asivimbe uso,pua wala miguu…
Nipo kwenye bei ya punguzo
ILI HII OFFER ISIKUPITE
Piga/WhatsApp
#0623591494
#0759908370

06/11/2021
Kinachotokea...ukiwa mjamzito immunity inashuka zaidi...kwahyo kupata infection ni rahisi sana..!jitahidi upone maana hu...
06/11/2021

Kinachotokea...ukiwa mjamzito immunity inashuka zaidi...kwahyo kupata infection ni rahisi sana..!jitahidi upone maana huu ugonjwa ni hatari kwa ujauzito wako..

Hizi sio Dawa zangu kwamba natengeza mwenyewe nyumbani Wala sio vile vitu vya Ajabu vya huko mitandaoni wapendwa hizi Ni...
06/11/2021

Hizi sio Dawa zangu kwamba natengeza mwenyewe nyumbani Wala sio vile vitu vya Ajabu vya huko mitandaoni wapendwa hizi Ni natural remedies kutoka board ya wanasayansi Duniani (SAB) hii ndio board kubwa Duniani na ndio maana Huduma yetu unapata popote ulipo Duniani kwa sababu pia zimethibishwa na center of Deseas Control (CDC) hili Ni shirika kubwa la kupambana na magonjwa Duniani, na zimethibishwa na (WHO) shirika la afya Duniani ndo maana nasambaza nchi zote Duniani bila wasi wasi.....na ndio maana huna nakuhakikishia kupona kwa sababu ubora wake Ni wa Hali ya juu Sana Sana......... hakikisha unaaza dose yako mapema Sana ...yaani K**a Ulishawahi kuhanghaika hii Ni mwisho wa matatizo.

WhatsApp au Piga simu
📞0623591494

Ni kwa virutubisho tu
04/11/2021

Ni kwa virutubisho tu

Hebu tuongee kwanza,hii ni kwa wanaume na wanawake nitasoma comments na mwisho nitatoa maelezo stahiki na suluhisho
01/11/2021

Hebu tuongee kwanza,hii ni kwa wanaume na wanawake nitasoma comments na mwisho nitatoa maelezo stahiki na suluhisho

Hii ni sabuni ya mtoto ambayo haina harufu kali... hii sabuni haina kemikali ya kuharibu ngozi ya mtoto....Kuna watoto w...
26/10/2021

Hii ni sabuni ya mtoto ambayo haina harufu kali... hii sabuni haina kemikali ya kuharibu ngozi ya mtoto....
Kuna watoto wengi wenye matatizo ya ngozi na wakitumia sabuni mbalimbali zenye harufu kali basi wanapata na reaction k**a rashes na mikunjo ya ngozi.
Hii sabuni inaleta raha na amani kwa mtoto sababu inahimarisha ngozi na kuifanya iwe nyororo... inaleta rangi moja mwili mzima... mtoto anakua mzuri yani hana rangi mbili tofauti
Utumiaji wa hii sabani k**a unavyoiona unatumia nusu maji nusu sabuni. Yaani hiyo chupa unagawanya unatoa nusu unaacha nusu then unaongeza maji masafi....
Ipo kwenye package ya OFA. Unatumia kwa muda wa miez 6.
Jaribu kufanya kitu cha tofauti kwenye afya ya ngozi ya mtoto wako.
Mawasiliano
0623591495
0675715178

Address

Chamazi
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Happy Health posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram