Dr Filbert MedService Care

Dr Filbert MedService Care Medical items

Happy wife, happily life🌸💋
24/05/2025

Happy wife, happily life🌸💋

I will love you forever 🥰😘
10/03/2025

I will love you forever 🥰😘

❤️
12/02/2024

❤️

💓
31/01/2024

💓

Je unasumbuliwa na tarizo la kufika kileleni mapema!! (Premature ej*******on) 🍇Kufika kileleni mapema (Premature ej*****...
05/11/2023

Je unasumbuliwa na tarizo la kufika kileleni mapema!! (Premature ej*******on)

🍇Kufika kileleni mapema (Premature ej*******on) ni kitendo cha mwanaume kumaliza haja mapema chini ya dakika moja baada ya kuanza kwa tendo la ndoa!
>Huweza kutokea kabla ya uume kuingia kwenye uke ama baada tu kuanza tendo na hili hutokea kwa mwanaume mmoja kati ya watatu!
🍇Huweza kuwa ya muda mrefu (Lifelong /Primary) ambayo mwanaume daima huwa na tatizo hili toka alipofika umri wa balehe ama Ya muda mfupi (Acquired) na hi hutokea pasipo nyuma kuwa na tatizo hilo!
🍇Tatizo hili husababishwa na mambo yafuatayo
>Sababu za kisaikilogia (psychological)
~Ukatili wa kijinsia hasasa utotoni
~Kutokujiamini wakati wa tendo
~Hofu na sonona
~Shida katika mahusiano mfano ugomvi
>Sababu za kibaiologia (biological)
~Kupungua kwa homoni mfano testosteroni
~Kufungua kwa baadhi ya chemikali ambazo huratibu tendo mfano Serotonini
~Maambukizi kwenye njia ambayo shahawa hupita
~Kurithi vina saba vya tatizo hilo (inherited traits)
🍇Watu ambao wapo kwenye hatari zaidi ya kupata tatizo hili ni pamoja na
~Wenye msongo wa mawazo
~Wenye shida kwenye mahusiano k**a ugomvi
~Wenye kukosa uzoefu juu ya changamoto hiyo hasa vijana
~Homoni kutokuwa sawa
~Wenye magonjwa sugu k**a kisukari na shindikizo la damu
~Wanaotumia vileo na sigara
~Wenye historia ya kujiachua toka wakiwa wadogo
🍇Dalili ni pamoja na
~Kutoa shawaha mapema chini ya dakika moja
~Kutojiamini wakati wa tendo
~Kupoteza hamu ya tendo
🍇Matibabu yake ni pamoja na
~Maandalizi kabla ya tendo
~Kutumia baadhi ya dawa za kisasa ama mitishamba
~Ushauri kutoka kwa wanasaikologia
~Kubadili mfumo wa maisha

🌲Kwa ushauri wa shida ya kiafya ama mahusiano usisite kunitafuta kupitia 0738295661
.nelly_poppa

Unadhani leo kutakuwa na mada gani Na Daktari atakuwepo kwenye Love Clinic  kuanzia saa 4 usiku hadi saa 6 usiku nikiwa ...
01/11/2023

Unadhani leo kutakuwa na mada gani Na Daktari atakuwepo kwenye Love Clinic kuanzia saa 4 usiku hadi saa 6 usiku nikiwa na

nelly_poppa
Hutakiwi kukosa 😊😊😊

Je unapatwa na maumivu wakati wa hedhi yako?? 🌺Maumivu wakati wa hedhi (Dysmenorrhea)Dysmenorrhea (disiminorea)ni moja y...
26/10/2023

Je unapatwa na maumivu wakati wa hedhi yako??
🌺Maumivu wakati wa hedhi (Dysmenorrhea)
Dysmenorrhea (disiminorea)ni moja ya matatizo yanayowapata wanawake pindi wanapokuwa kwenye siku za hedhi na huambanatana na maumivu makali chini ya tumbo na huauadhiri majukumu yao ya kila siku!
>Maumivu haya huweza kuanza siku 2~3 kabla ya hedhi na huwa makali zaidi ndani ya masaa 24 ya kwanza na hupungua ndani ya siku 2~3
🌺Maumivu ya hedhi huweza kuwa ambayo hayana mahusiano na ugonjwaa kwenye via mfumo wa uzazi (Primary Dysmenorrhea) ama yale yanayosababishwa na sababu kadhaa kwenye mfumo wa uzazi (Secondary Dysmenorrhea)
🌺Maumivu wakati wa hedhi hasa husababishwa na kemikali aina ya Prostaglandini F (PGF) ambayo huzalishwa na kuta za mji wa mimba baada ya yai kushindwa kurutubishwa na hi hutokea baada ya kutokuwa na uwiano wa homoni za estrogeni na progesteroni. (Primary cause)
>Sababu nyingine zaweza kuwa pamoja na
-Uvimbe kwenye mji wa mimba (uterine fibroids, Leiomyoma)
-Magonjwa yanaadhiri via vya uzazi (Pelvic Inflammatory disease, PID)
-Ufinyu wa mlango wa kizazi (Cervical Stenosis)
-Endomeotriosis (aina ya seli zinazopatikana kwenye kuta za mji wa mimba kupatikana sehemu nyingine k**a kwenye mirija ama ovari)
🌺Watu wenye hatari zaidi ya kupata maumivu wakati wa hedhi ni pamoja na
>Umri zaidi ya miaka 30
>Hedhi za umri mdogo chini ya miaka 11 (early menache)
>Wenye lengo la kupunguza uzito
>Wenye uzito mkubwa
>Wasibahatika kupata watoto (Nullparity)
>Wenye kutumia sigara na vileo (pombe)
🌺Madhara ambayo husababishwa na maumivu wakati wa hedhi ni pamoja na
>Kushinda kutimiza majukumu ya kila siku kutokana na maumivu makali
>Huweza kupelekea kutapika na kuwa dhaifu
>Mengine pia hutegemea yamesababishwa na nini k**a ni uvimbo huweza pelekea
-ugumba
-Kupungukiwa damu (Anemia)

🌲Kwa ushauri wa kiufya ama tatizo lolote la kiafya usisite kupiga namba +255 738 295 661 na kusikiliza kipindi pendwa Love Clinic kupitia Furaha Fm (90.9)

nelly_poppa

"Same love created us,same love will sustain us"❤💋💖
11/07/2023

"Same love created us,same love will sustain us"
❤💋💖

14/08/2021
Its ur time to preorder medical items from Dr Filbert MedService care! Our products are original with cheap price!Tell y...
18/09/2019

Its ur time to preorder medical items from Dr Filbert MedService care! Our products are original with cheap price!Tell your friend including medical doctors, clinical officers, pharmacists, lab technicians and nurses!
More over we supply
~Full medical kit for doctors and clinical officers
~Nursing medical kit
~Lab coat
~Digital BP machine and Glucometer (medical personnel and non medical personnel use)

Most welcome and continue to follow us in our page!

16/09/2019

Karibu Medical Store supply kwa mahitaji ya vifaa vyote kwa watumishi,wanafunzi wa kada ya afya pia vinadumu na nivya uhakika. Karibuni wote.

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255758218639

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Filbert MedService Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr Filbert MedService Care:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram