HANS MGAYA Hospital

HANS MGAYA Hospital Hospital

HM! Tunapenda kuwataarifu  kuwa tunatoa huduma bora za Afya kwa watu wanaotumia BIMATunahakikisha kwamba kila mtu anapat...
06/12/2025

HM! Tunapenda kuwataarifu kuwa tunatoa huduma bora za Afya kwa watu wanaotumia BIMA

Tunahakikisha kwamba kila mtu anapata matibabu yanayostahili

Chagua Huduma Bora na Salama , tutembelee H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!






bimazaafya
bima

Kilinki ya Masiko , Pua na Koo ya Hans Mgaya hospital imejipanga kutoa hufuma bora inayo ambatana na mashauriano na dakt...
05/12/2025

Kilinki ya Masiko , Pua na Koo ya Hans Mgaya hospital imejipanga kutoa hufuma bora inayo ambatana na mashauriano na daktari bingwa na vipimo vya ndani kwa kutumia darubini na vifaa maalumi vyenye uwezo wa kutathmini usikivu, hitilafu ya nje na ndani ya sikio, kuona koo lako na pia sehemeu za ndani na pua.

Tumia fursa ya kupata huduma bora. Onana na Daktari Bingwa wa Masiko, Pua

Karibu matibabu na uchunguzi kutoka kwa Daktari Bingwa – ‘ENT Specialist’

Kwa uchunguzi na matibabu, Karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!




pua
healthythroat
gooddoctor
hansmgayahospital

Klinki ya Masikio, Pua na Koo ya Hans Mgaya Hospital ina jukumu la kufanya uchuguzi, kutibu na kudhibiti matiatizo ya si...
04/12/2025

Klinki ya Masikio, Pua na Koo ya Hans Mgaya Hospital ina jukumu la kufanya uchuguzi, kutibu na kudhibiti matiatizo ya sikio, pua, koo, kichwa na shingo kwa watoto na watu wazima.

Huduma za Kilinki hii zinalenga kuimarisha Afya yako ikiwa ni pamoja na uchunguza na kutibu: Kuziba masikio na kupungua usikivu ‘Hearing abnormalities’, Kutokwa uchafu na kujaa Nta masiko masikioni - ear discharge and excessive wax; Maumivu ya kichwa na usoni; Kutoka damu puani; Kuvimba na kuota nyama kwenye koo na pua, magonjwa mengine ya Allergy na mengineyo mengi.

Karibu matibabu na uchunguzi kutoka kwa Daktari Bingwa – ‘ENT Specialist’

Kwa uchunguzi na matibabu, Karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!




pua
healthythroat
gooddoctor
hansmgayahospital

Ni muhimu kutumia kiwango cha dawa na mbinu sahihi ya matumizi ya dawa ya matone ya jicho. Hakikisha umeandikiwa karatas...
02/12/2025

Ni muhimu kutumia kiwango cha dawa na mbinu sahihi ya matumizi ya dawa ya matone ya jicho. Hakikisha umeandikiwa karatasi ya dawa na mtoa Huduma sahihi ambaye ni Daktari.

Unapopata fursa ya Kuonana na Daktari Bingwa itumie ipaswavyo. Watoa huduma ya Hans Mgaya Hospitali, Daktari Bingwa wa Macho wanahimiza na kushauri matumizi ya dawa ya Macho ya matone k**a ifuatavyo:

1. Angalia tarehe ya mwisho wa matumizi (expiry date) kwenye chupa ya dawa ya macho na kuhakiki kuwa dawa bado ipo katika muda wake wa matumizi.

2. Nawa mikono yako kabla ya kufungua chupa ya dawa

3. Lala au kaa chini na geuza kichwa chako nyuma kwa kutazama juu.

4. Tengeneza ngumi kwa mkono mmoja na utumie vidole vyako kuvuta kope la chini kuelekea chini.

5. Shikilia chupa ya dawa kwa mkono wako mwingine wenye uwezo wa kubonyeza chupa ya dawa iweze kudondosha matone

6. Tazama juu na dondosha tone moja la dawa kwenye kope la chini

7. Funga jicho lako na ubonyeze kwa upole kona ya ndani ya jicho lako kwa sekunde 30-60 ili kuhakikisha kuwa tone limefyonzwa kabisa.

8. Rudia kuweka dawa kwenye jicho lingine.

Ni muhimu kujikinga na matatizo ya Macho, yenye jukumu kubwa katika masha yako ya kila siku. Kliniki ya Macho ya Hans Mg...
29/11/2025

Ni muhimu kujikinga na matatizo ya Macho, yenye jukumu kubwa katika masha yako ya kila siku. Kliniki ya Macho ya Hans Mgaya Hospital inaendelea kushauri yafuatayo ili kuhakikisha Afya bora ya Macho yako. Tafdhali zingtia yafuatayo:

1. Kinga macho kutokana na mwanga mkali wa jua ulio na mionzi ya urujuanimno (UVrays). Miozi hii ni kihatarishi cha magonjwa mengi ya macho, ikiwa ni pamoja na mtoto wa jicho na saratani.

2. Punguza muda wa kutumia vifaa vinavyopiga mionzi machoni kwa kupunguza matumizi
na utegemezi wa vifaa vya dijitali vinavyosababisha mfano: kompyuta, simu za mkononi n.k

3. Fanya vipimo vya uwezo wa kuona mara kwa mara ilikutambua matiatizo ya Macho mapema

4. Hudhuria mazoezi ya uchunguzi wa macho pale yanapotolewa kwa jamii

5. Punguza unywaji wa pombe unaoweza kuzidisha dalili za ugonjwa wa Macho

6. Acha kuvuta sigara ambazo huongeza kasi ya maginjwa ya macho kwenye Retina, na pressure ya Macho, na pia kuzorotesha matibabu ya kiharusi na Afya ya mapafu na
moyo.

Karibu matibabu na uchunguzi kutoka kwa Daktari Bingwa – ‘ENT Specialist’

Kwa uchunguzi na matibabu, Karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!




macho
healthyeyes
gooddoctor
hansmgayahospital

Pamoja na matibabu yanayotolewa kwenye vituo vya afya ubora wa lishe ni muhimu kwa ajili ya kudumisha uwezo wa macho kuo...
27/11/2025

Pamoja na matibabu yanayotolewa kwenye vituo vya afya ubora wa lishe ni muhimu kwa ajili ya kudumisha uwezo wa macho kuona vyema.

Ni pamoja na mboga mboga, vyakula vyenye protini pamoja na matunda

Ni ukweli ulio bayana kuwa, miongoni mwa misingi ya afya bora ni pamoja na kula chakula, baadhi ya vyakula vina virutubisho muhimu ambayo husaidia kuimarisha afya zetu katika maeneo mbalimbali mwilini ikiwemo kuboresha uoni.

Karibu matibabu na uchunguzi kutoka kwa Daktari Bingwa – ‘ENT Specialist’

Kwa uchunguzi na matibabu, Karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!




macho
healthyeyes
gooddoctor
hansmgayahospital

Kwa wanajamii wanaovaa miwani au lenzi – ‘contact lenses’, wanawajibika kupima na kurekebisha kipimo cha miwani kadri ki...
25/11/2025

Kwa wanajamii wanaovaa miwani au lenzi – ‘contact lenses’, wanawajibika kupima na kurekebisha kipimo cha miwani kadri kinavyobadilika muda unavyopita.
Zaidi ya hayo, mtu anayevaa miwani anaweza kupta matatizo mengine ya macho. Hivyo, hana
budi kufanya uchunguzi wa kipimo cha miwani kunachoambatana na uchunguzi wa matatizo
mengine ya macho.

Katibu Kliniki ya Macho ya hans Mgaya Hospital upate fursa ya kupata tiba sahihi kwa wakati

Kwa uchunguzi na matibabu, Karibu, H.M Hospital
au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!

H.M Hospital tunatoa ushauri wa kina kabla ya kutoa matibabu. Kuwa na afya njema zingatia lishe bora wakati wote.

Kwa uchunguzi na matibabu, Fika H.M
Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303
kwa maelezo zaidi .



afyayamacho

HM Hospital tunapenda kukutaarifu kuwa tuna huduma ya kukodisha gari za ambulance! Tunaelewa umuhimu wa usafiri wa harak...
23/11/2025

HM Hospital tunapenda kukutaarifu kuwa tuna huduma ya kukodisha gari za ambulance!

Tunaelewa umuhimu wa usafiri wa haraka na salama kwa wagonjwa na tunajitahidi kutoa suluhisho la kukidhi mahitaji yako ya matibabu.

Kwa mahitaji ya kukodisha wasiliana nasi kwa namba +255734111555

Uchunguzi wa magonjwa ya macho unahitaji ushirikiano wako kwa kujituma na kujitambua dalili za awali zatatizo la macho. ...
21/11/2025

Uchunguzi wa magonjwa ya macho unahitaji ushirikiano wako kwa kujituma na kujitambua dalili za awali zatatizo la macho. Weka kipao mbele cha kufanya uchunguzi wa mara kwa mara.

Matatizo ya Macho yanatambuliwa kwa usahihi kwa kutumia vipimo malumu vinavyofanywa na
wataalamu wa tiba ya macho. Huwezi kutambua tiba ya tatizo la macho k**a linhitaji miwani au
la bila kufanya kipimo.

Zaidi , kuna matatizo ya Macho ambayo mara nyingi hukua polepole na yanaweza yasionyeshe
dalili mwanzoni mpaka tatizo linapokuwa kubwa . Kwa mfanoi: mtoto wa jicho - cataract,
pressure ya macho - glacoma, na kuzorota kwa ‘macular’.

H.M Hospital tunatoa ushauri wa kina kabla ya kutoa matibabu. Kuwa na afya njema zingatia lishe bora wakati wote.

Kwa uchunguzi na matibabu, Fika H.M
Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303
kwa maelezo zaidi .



Uchunguzi wa magonjwa ya macho unahitaji ushirikiano wako kwa kujituma na kujitambua dalili za awali zatatizo la macho. ...
17/11/2025

Uchunguzi wa magonjwa ya macho unahitaji ushirikiano wako kwa kujituma na kujitambua dalili za awali zatatizo la macho. Weka kipao mbele cha kufanya uchunguzi wa mara kwa mara.

Klinki ya Macho ya Hans Mgaya Hospital inachukua jukumu la kusaidi kutambua matatizo yote ya Macho yanayoweza kutokea kabla hayajawa matatizo makubwa yasiyotibika. Ni jukumu la Daktari wetu kutathmini uwezo wa ko wa kuona kwa usahihi na kubaini tiba
sahihi.

H.M Hospital tunatoa ushauri wa kina kabla ya kutoa matibabu. Kuwa na afya njema zingatia lishe bora wakati wote.

Kwa uchunguzi na matibabu, Fika H.M
Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303
kwa maelezo zaidi .



HM! Tunapenda kuwataarifu  kuwa tunatoa huduma bora za Afya kwa watu wanaotumia BIMATunahakikisha kwamba kila mtu anapat...
16/11/2025

HM! Tunapenda kuwataarifu kuwa tunatoa huduma bora za Afya kwa watu wanaotumia BIMA

Tunahakikisha kwamba kila mtu anapata matibabu yanayostahili

Chagua Huduma Bora na Salama , karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!





Kwa wengi, ni rahisi kupuuza umuhimu wa uchunguzi wa macho mara kwa mara hadi tatizo linapotokea. Mara nyingi tunatenga ...
12/11/2025

Kwa wengi, ni rahisi kupuuza umuhimu wa uchunguzi wa macho mara kwa mara hadi tatizo linapotokea. Mara nyingi tunatenga muda wa chughuza Afya ya Macho tunapohisi tatizo la kutoona vizuri, ukavu na adha machoni au maumivu ya macho au kichwa. Ukisubiri mpaka
upate dalili hizi unaweza kuwa umeshapata hitilafu ya macho ambayo ingeweza kuzuilika;

Hudhuria Kliniki ya Macho ya Hans Mgaya Hospital kwa uchunguza wa mapema uepuka madhara yasiyotibika pamoja na upovu usiyo walazima.H.M Hospital tunatoa ushauri wa kina kabla ya kutoa matibabu.

Kuwa na afya njema zingatia lishe bora wakati wote.

Kwa uchunguzi na matibabu, Fika H.M
Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303
kwa maelezo zaidi .

Address

165 Kitunda Street Off Mabwepande Road, Bunju B Area, Kinondoni
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when HANS MGAYA Hospital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to HANS MGAYA Hospital:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category