HANS MGAYA Hospital

HANS MGAYA Hospital Hospital

HM! Tunapenda kuwataarifu  kuwa tunatoa huduma bora za Afya kwa watu wanaotumia BIMATunahakikisha kwamba kila mtu anapat...
30/10/2025

HM! Tunapenda kuwataarifu kuwa tunatoa huduma bora za Afya kwa watu wanaotumia BIMA

Tunahakikisha kwamba kila mtu anapata matibabu yanayostahili

Chagua Huduma Bora na Salama , karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!







Kujifungua kwa njia ya upasuaji (C-section) ni mchakato wa kipekee unaohitaji wakati wa kupona na uangalizi wa kipekee, ...
27/10/2025

Kujifungua kwa njia ya upasuaji (C-section) ni mchakato wa kipekee unaohitaji wakati wa kupona na uangalizi wa kipekee, hasa kwa kidonda cha upasuaji. Kidonda cha operation ya uzazi hutumia muda wake ili kupona kikamilifu, lakini wakati wa uponaji unaweza kutofautiana kulingana na mambo mbalimbali, kama vile afya ya mama, njia ya matibabu, na jinsi alivyoshughulikia mabadiliko haya.

Chagua Huduma Bora, karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 Kama ungependa kukutana
na Daktari Bingwa.



Karibu HM HospitalKwa ushauri, uchunguzi na matibabu au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi.
26/10/2025

Karibu HM Hospital

Kwa ushauri, uchunguzi na matibabu au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi.





• Pumzika muda mrefu na hakikisha vitu unavyohitaji kwa ajili yako na huduma za mtoto unavifikika kirahisi.• Usinyanyue ...
24/10/2025

• Pumzika muda mrefu na hakikisha vitu unavyohitaji kwa ajili yako na huduma za mtoto unavifikika kirahisi.

• Usinyanyue vitu vizito zaidi ya kilo 10 katika wiki 3-4 za mwanzo.

• Tumia dawa za kuzuia maumivu zilizo shauriwa na Dakari kwa kuzingatia
usalama wa mtoto anaponyonya.

• Punguza hatari ya maambukizi ya bacteria na maumivu, kwa kutojamiiana (sexual intercourse) kabla ya wiki 6 baada ya upasuaji.

• Usitumbukize kitu chochote ukeni kabla ya wiki 6 baada ya upsuaji.

• Zingatia maelekezo ya klinki ya wazazi kuhusu huduma ya Afya ya Mama na Mtoto hata baada ya kujifungua pamoja na ratiba ya chanjo.

Chagua Huduma Bora, karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 Kama ungependa kukutana
na Daktari Bingwa.




• Mtoto kuchoka kutokana na dhiki ya hewa ya ‘oxygen’ yaani ‘fetal distress’. Nini maana ya mtoto kuchoka? Mabadiliko ya...
22/10/2025

• Mtoto kuchoka kutokana na dhiki ya hewa ya ‘oxygen’ yaani ‘fetal distress’.

Nini maana ya mtoto kuchoka?

Mabadiliko ya kiwango (rate) na mdundo
(rhythm) wa mapigo ya moyo ya mtoto huashiria dhiki ya hewa ya ‘Oxygen’. Hivyo, ni kidokezo cha hatari kwa mtoto akiendelea kukaa ndani ya tumbo la mama.

- Hitilafu za kimaumbile ya mtoto kabla ya kuzaliwa.

- tatizo la moyo, mapafu, mafigo nk.

- Dawa za kulevya na zingine zinazoweza kumlewesha mtoto anapokaribia kuzaliwa.

- Upungufu mkubwa wa maji yanayomzunguka mtoto.

Chagua Huduma Bora, karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 Kama ungependa kukutana
na Daktari Bingwa.



Kwa mara nyingi, uhitaji wa kujifungua kwa upasuaji wa kwanza au ujauzito mwingine haujulikani mapema mpaka pale ujauzit...
22/10/2025

Kwa mara nyingi, uhitaji wa kujifungua kwa upasuaji wa kwanza au ujauzito mwingine haujulikani mapema mpaka pale ujauzito utakapokuwa na kidokezo hatarishi au anapoanza uchungu wa kujifungua.

Hii ndiyo sababu ya huduma za H.M Hospital kuzingatia kutoa maelezo na ushari wa maandalizi ya kujifungua
wakati wa mahudhurio la kliniki. Pia wahudumu H.M Hospital

Kwa uchunguzi na matibabu, Karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!





Ili kuhakikisha mama na mtoto kuwa chini ya ungalizi wa kutosha na kutoa tiba ya dharura ili  kuepusha:•Changamoto ya mu...
20/10/2025

Ili kuhakikisha mama na mtoto kuwa chini ya
ungalizi wa kutosha na kutoa tiba ya dharura ili
kuepusha:

•Changamoto ya muda mfupi ya kupumua
kutokana na mabadiliko ya mazingira ndani na
nje ya mwili wa mama, baada ya kujifungua

•Kutokwa damu nyingi wakati wa upasuaji
na baadae

•Maambukizi ya n´bacteria kwenye kidonda
cha upasuaji na njia ya uzazi

•Madhara ya damu kuganda kwenye mishipa
mikubwa baada ya upasuaji

•Madhara ya muda mrefu na vifo nya mama na mtoto.


Kwa uchunguzi na matibabu, Karibu ujifungulie H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!





HM Hospital tunapenda kukutaarifu kuwa tuna huduma ya kukodisha gari za ambulance! Tunaelewa umuhimu wa usafiri wa harak...
19/10/2025

HM Hospital tunapenda kukutaarifu kuwa tuna huduma ya kukodisha gari za ambulance!

Tunaelewa umuhimu wa usafiri wa haraka na salama kwa wagonjwa na tunajitahidi kutoa suluhisho la kukidhi mahitaji yako ya matibabu.

Kwa mahitaji ya kukodisha wasiliana nasi kwa namba +255734111555



Afya ya mama na Usalama wa Upasuaji hutathminiwa na Datkari wa Usingizi na Ganzi pamoja na Daktari Mpasuiaji• Majadilian...
15/10/2025

Afya ya mama na Usalama wa Upasuaji hutathminiwa
na Datkari wa Usingizi na Ganzi pamoja na Daktari Mpasuiaji
• Majadiliano ya mahitaji ya uzazi wa mpango wakati
wa upasuaji yaani Kufungua kizazi ‘Bilateral tubal ligation’ au Kuweka kutanzi ‘intrauterine contraceptive device’ hufanyika mapema

• Majadiliano na idhini ya kufanya upasuaji hukamilishwa
na kusainiwa na mama mjamzito kwa kushauriana na familia yake

•Vipimo vya maabara hukamilishwa pamoja na: Kupima
ukamilifu wa chembe za damu (Full blood picture), Kutambua kundi la damu (blood grouping) na kuhifadhi damu kwa ajili ya mahitaji ya dharura, na kipimo cha utendaji kazi wa mafigo, uwezo wa damu kuganda wakati wa upasuaji na kiwango cha madini muhimu

• Vipimo vingine ni pamoja na kipimo cha Ultrasound kuhakiki Afya ya mtoto na Kipimo cha mapigo ya moyo (ECG)

• Vipimo vingine hufanyika kutokana na mahitaji ya Kiafya
ya mjamzito mf: Kipimo cha moyo (ECHO) n.k.

Kwa uchunguzi na matibabu, tembelea H.M Hospital
au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!





Kwa mara nyingi, uhitaji wa kujifungua kwa upasuaji wa kwanza au ujauzito mwingine haujulikani mapema mpaka pale ujauzit...
13/10/2025

Kwa mara nyingi, uhitaji wa kujifungua kwa upasuaji
wa kwanza au ujauzito mwingine haujulikani mapema mpaka pale ujauzito utakapokuwa na kidokezo hatarishi au anapoanza uchungu wa kujifungua.

Hii ndiyo sababu ya hudma za H.M Hospital kuzingatia
kutoa maelezo na ushari wa maandalizi ya kujifungua
wakati wa mahudhurio la kliniki. Pia wahudumu H.M. Hospital

Kwa uchunguzi na matibabu, Karibu H.M Hospital
au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!





Kujifungua kwa njia ya upasuaji ni njia mbadala ambayo utumika kwa mama mjamzito pindi anapokuwa na dharura au matatizo ...
10/10/2025

Kujifungua kwa njia ya upasuaji ni njia mbadala ambayo utumika kwa mama mjamzito pindi anapokuwa na dharura au matatizo ya kiafya yanayofanya kushindwa kujifungua kwa njia ya kawaida.

Njia za upasuaji ziko za aina mbili yaani kubwa ile ya kuchana sehemu ya chini ya tumbo (operesheni kubwa) na ile ya kuongeza njia ya uzazi kidogo(operesheni ndogo).

Kwa ushauri zaidi unaweza tembelea hospital yetu
kupata msaada zaidi, Aina yoyote ya shida za kijinsia inapaswa kupewa umakini mkubwa

Chagua Huduma Bora na Salama , tutembelee HM Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!







Address

165 Kitunda Street Off Mabwepande Road, Bunju B Area, Kinondoni
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when HANS MGAYA Hospital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to HANS MGAYA Hospital:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category