Afya ya Tezi Dume

Afya ya Tezi Dume Tuna tatua tatizo la kuvimba kwa Tezi Dume Kwa Matibabu Ya Uhakika

Usichojua kuhusu matibabu ya saratani
22/09/2025

Usichojua kuhusu matibabu ya saratani

Kuna mengi usiyoyajua kuhusu tatizo la cancer
22/09/2025

Kuna mengi usiyoyajua kuhusu tatizo la cancer

23/06/2023

Je! unajua kuwa mwanaume utumia chini ya sekunde 30 wakati anapokojoa?
kwa mujibu wa tafiti bora kabisa zilizowai kufanywa na taasisi ya magonjwa ya mfumo wa mkojo zinasema kuwa mwanaume hutumia chini ya sekunde 30 anapokojoa k**a hana matatizo katika mfumo wake wa mkojo .
Na endapo mwanaume atatumia zaidi ya sekunde 30 kukojoa k**a hakunywa maji mengi sana ina maana tayari ameanza kupata matatizo katika mfumo wake wa mkojo.
Na tafiti zinaendele kusema wanaume wenye zaidi ya miaka 40 wako katika hatari kubwa ya kupata matatizo katika mfumo wao wa mkojo na katika mfumo wao wa uzazi , Na mara nyingi sana tatizo kubwa linalowakubwa wanaume wenye umri huu ni ''Tatizo la kuvimba kwa TEZI DUME''
Na hii hutokana na kuongezeka kwa vichocheo vya homoni katika mwili wa mwanaume hivyo kusababisha kuvimba kwa tezi hii na kuleta madhara katika mfumo wa mkojo.

Mpendwa msomaji wangu kabla ya kuendelea ningependa tupate kidogo kufahamu maana ya TEZI DUME.
TEZI DUME ni kiungo katika mfumo wa uzazi wa mwanaume na kiungo hiki kiko chini kidigo ya kibofu cha mkojo na kiungo hiki kinazu nguka mrija unaoleta mkojo nje.
Kiungo hiki hutumika kuzalisha ute telezi unaosaidia kupita vizuri mbegu za kiume zinapotoka nje.

Ni nini hasa hupelekea kiungo hiki kuvimba?
Yapo magonjwa ambayo yamedhibitishwa kusababisha kiungo hiki kuvimba nayo ni;

1: Uvamizi wa bakteria katika TEZI DUME{prostatitis}
2: Kansa ya TEZI DUME{prostate cancer}
3: Kukua na kuongezeka kwa TEZI DUME{benin prostate hypatrophy}

Utafiti unaendelea kusema kuwa aina hii ya tatu {3} ya tatizo linalosababisha kuvimba kwa TEZI DUME ndilo huwakumba wanaume wengi hasa wenye umri zaidi ya miaka 40.

Ni dalili gani utaziona baada ya TEZI DUME kuvimba?
Dalili zifuatazo huanza kuonekana baada ya tezi kuvimba.

1: kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku
2: Maumivu wakati wa kukojoa,
3: Kutumia nguvu kusukuma mkojo wakati wa kukojoa ,
4: Mkojo kupungua nguvu na presha wakati unapotoka
5: Kushindwa kuuzuia mkojo kutoka

09/06/2023

je unafahamu kuwa mwanaume utumia chini ya sekunde 30 anapokojoa?

Ukitaka kupona Kuvimba kwa Tezi Dume soma hii
15/05/2023

Ukitaka kupona Kuvimba kwa Tezi Dume soma hii

04/05/2023

Je unafahamu kuwa kuvimba kwa Tezi dume kunaweza kutibiwa bila operation?

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya Tezi Dume posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ya Tezi Dume:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram