DrMge health plants and natural remedes

DrMge health plants and natural remedes Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from DrMge health plants and natural remedes, Health & Wellness Website, Dar es Salaam.

Tawasaidia wagonjwa wa KISUKARI kukarabati seli zao kwa kutumia Selishina ili Kuboresha utendaji wake pamoja na kujifunza namna sahihi ya KUZILISHA seli ili zidumu kuwa Bora kwa Tiba lishe,Tiba Asili na mtindo Bora wa maisha!!

Leo nimeamshwa na swali hili👆👆👆Huenda kuna mwingine mwenye changamoto k**a hiyo!K**a na wewe unachangamoto hii nipigie a...
28/11/2025

Leo nimeamshwa na swali hili👆👆👆
Huenda kuna mwingine mwenye changamoto k**a hiyo!
K**a na wewe unachangamoto hii nipigie au njoo whatsup nikupe audio ya majibu haya uiikilize!!

*UKISHINDWA KUTIBU KISUKARI, JIANDAE* *KUTEMBEA NA BOMU LINALOITWA FIGO* * Kisukari si mchezo. Si “sukari iko juu tu.”Ni...
28/11/2025

*UKISHINDWA KUTIBU KISUKARI, JIANDAE* *KUTEMBEA NA BOMU LINALOITWA FIGO*
*
Kisukari si mchezo. Si “sukari iko juu tu.”
Ni sumu tulivu inayochoma mwili kimya kimya. Ukikataa kukitibu kwa usahihi, unakuwa unaipa ruhusa iingie mpaka kwenye mishipa midogo ya damu ya figo zako—ambazo zikiharibika, hakuna dawa ya kuzifufua.

Ukweli mchungu ni huu:
Figo hazipigi kelele. Hazilalamiki. Haziumii. Zinakufa kimya kimya.
Na ukiona dalili, mara nyingi ni kuchelewa.

Ndio maana watu wengi huamka siku moja na kuambiwa:
“Figo zako zimelegea. Unahitaji dialysis. Maisha yako yote.”

Haya yote huanza na jambo moja tu:
KISUKARI KILICHOPUUZWA.

Sukari ikiwa juu kwa muda mrefu:

Inaharibu mishipa inayolisha figo,

Inapandisha presha,

Inasababisha maji kukwama mwilini,

Na hatimaye figo kuanza kuzima hatua kwa hatua.

Na ukifikia hapo, hakuna tena kuomba dua ya miujiza.
Dialysis, gharama, maumivu, na kudra ya Mungu ndiyo inabaki.

Lakini jambo la kushangaza ni hili:
Huyu shetani aitwaye kisukari anaogopa hatua ndogo tu—ukiamua leo kuboresha mwili wako wote, kuondoa taka mwili, kupunguza mafuta mabaya, kubalance homoni, na kurekebisha mfumo wa sukari.

Ukitibu kisukari kwa usahihi, unazima bomu la figo kabla halijalipuka.

Wasiliana kwa ushauri zaidi *0756602665*

```Miaka 3 sasa bila kunywa soda 😎Ilinichukua takribani miezi 3 kuweza kuelewa kwanini sukari ni mbaya kwa afya.Nikasoma...
26/11/2025

```Miaka 3 sasa bila kunywa soda 😎

Ilinichukua takribani miezi 3 kuweza kuelewa kwanini sukari ni mbaya kwa afya.

Nikasoma vitabu vingi sana, lakini kimoja kilichonivutia sana na ni Cha Pure White and Deadly by John Yudkin baadae Huyu mwamba ameeleza kwa uchungu mkubwa vile sukari na biashara zake zinaharibu maisha ya watu pia niliongezea ufahamu kupitia group hili la Dr.mge unaweza lichukulia poa lakini linagusa Sana kwa yeyote anayetambua thamani ya afya katika haya maisha k**a wewe sio mbinafsi kwa kizazi chako kinachokutegemea😆

✔️Baada ya kujielimisha vya kutosha niliamua kuchukua hatua zifuatazo:
- Kuacha kutumia sukari
- Kuacha kunywa soda
- Kuacha kunywa juisi za viwandani
- Kupunguza ngano
- Kupunguza ugali
- Kuacha wali
- Kuacha vyakula vyote vinavyopandisha sukari mwilini

✔️Iko hivi:
Sukari ya mezani na sukari nyingi k**a soda na energy zina tabia ya kupandisha sukari mara moja,
Kitaalam tunasema zina high glycemic Index.

Yaani ukinywa soda, chap unajisikia high.
Punde, sukari inashuka na unajisikia low na vibaya.
Utataka tena kunywa kitu cha sukari.
Pengine utakunywa chai au juisi.
Utajisikia vizuri, lakini baadae utarudi kule kule.

Ndo maana sukari inaleta uraibu.

Baada ya kufanikiwa kuacha kabisa sukari na washirkka wake,

Sasa nina zaidi ya miaka 3 situmii hivi vitu.

✔️Na hizi ndizo faida nilizopata:
- Sina njaa za mara kwa mara
- Ni nadra sana kusikia njaa
- Sina cravings kabisa za vyakula
- Nakula napojisikia mwenyewe
- Nimefanikiwa kuishi kwa milo 2 kwa siku
- Na sasa nataka kuhamia mlo 1 kwa siku
- Energy yangu inakuwa juu muda mwingi
- Sasa hivi ukiniwekea sukari kwenye kinywaji nahisi kichefuchefu
- Kwa ufupi nina total freedom na ulaji wa chakula

✔️K**a umechoka na matatizo ya:
- kukosa mzuka
- Kuugua vitu usivyovijua
- Kula mara kwa mara
- Kuota kitambi
- Unene kupitiliza
- Nguvu za kiume
- Hormonal imbalance

Basi hakikisha unaikataa sukari na washirika wake wote.

Kuacha sukari ni ushindi mkubwa.

Jikomboe na afya yako. Kuwa huru tena.

Kula sukari kunakufanya teja wa chakula.

ACHAAAAAAAAAAAAAA


DR.MGE
0756602665

UNAJUA KWANINI ULIAMBIWA KISUKARI NA PRESHA HAYATIBIKI?? SABABU NI HII::Wanatibu dalili/matokeo ya ugonjwa na sio chanzo...
24/11/2025

UNAJUA KWANINI ULIAMBIWA KISUKARI NA PRESHA HAYATIBIKI??

SABABU NI HII::

Wanatibu dalili/matokeo ya ugonjwa na sio chanzo!!

Ndio maana kila siku unatumia dawa za kisukari na presha ili iwe sawa!!!
Cha ajabu kuna siku inapanda na wala hasikii dawa!

Siku utakapo acha kutibu dalili za ugonjwa na kushughulikia mzizi /chanzo cha ugonjwa ndio siku utakayoagana nao!!

Kwa tiba na ushauri tupigie
Dr. Mge 0756602665

*TATIZO LA PRESHA (SHINIKIZO LA DAMU):**1. Maana:*  Presha ni hali ambapo shinikizo la damu linalosukumwa kwenye kuta za...
24/11/2025

*TATIZO LA PRESHA (SHINIKIZO LA DAMU):*

*1. Maana:*
Presha ni hali ambapo shinikizo la damu linalosukumwa kwenye kuta za mishipa huwa juu sana au chini sana kuliko kawaida.

- *Presha ya juu (Hypertension):* Shinikizo la damu linaongezeka kupita kiwango cha kawaida.
- *Presha ya chini (Hypotension):* Shinikizo la damu linashuka kupita kiwango cha kawaida.

*2. Chanzo cha presha ya juu:*
- Msongo wa mawazo
- Unene kupita kiasi
- Ulaji wa chumvi nyingi
- Kutofanya mazoezi
- Uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe
- Kurithi katika familia
- Ugonjwa wa figo au homoni

*3. Dalili:*
- Maumivu ya kichwa
- Kizunguzungu
- Kuchoka haraka
- Mapigo ya moyo kwenda kasi
- Kupoteza fahamu (katika hali mbaya)
- Kutoona vizuri

*4. Madhara:*
- Kiharusi (Stroke)
- Msh*tuko wa moyo (Heart attack)
- Kushindwa kwa figo
- Kupoteza kumbukumbu
- Macho kuharibika

*5. Watu walio kwenye hatari zaidi:*
- Watu wazima/wa umri mkubwa
- Wenye historia ya familia
- Wenye uzito mkubwa

Habari njema ni kwamba,tunalo suluhisho la kudumu la presha, hutatumia vidonge vya presha tena,utapata tiba ya asili na ya kudumu ya changamoto yako bila madhara yoyote ndani ya miezi mitatu tuu!
Kwa ushauri na tiba tupigie
Dr.Mge health care and natural remedy
0756602665

Unakula mboga za majani kiasi gani? Unafahamu umuhimu wa mboga za majani?
16/11/2025

Unakula mboga za majani kiasi gani?
Unafahamu umuhimu wa mboga za majani?

28/10/2025

*Hivi ndivyo inavyokuwa mishipa iliyojaa mafuta!!
Unaweza kuona namna ambavyo damu inapita kwa shida katika eneo hilo na kuna uwezekano wa kuziba kabisa na kushindwa kupitisha kabisa damu.*

*Fikiria hali hiyo itokee kwenye mishipa ya kichwa au moyo nini kitatokea?*

Na hii ndiyo faida mojawapo ya kutumia C9 unaenda kusafisha mafuta k**a haya yaliyoganda kwenye mishipa ya damu na kuzunguka organ muhimu za ndani k**a moyo, figo, na zinginezo!!

Nipigie / njoo whatsup kwa namba hizi ujipatie package yako ya C9 ijiunge na kundi kubwa la watu walioamua kujiwekea bima yao ya afya kwa kufanya usafishaji wa mwili, kwa siku 9 tuu!
0756602665

27/10/2025

Kwanini Stemcells (seli Shina) inaweza kutibu ugonjwa wowote?

Watu wengi wanauliza “kwanini bidhaa moja ya stemcell inatibu Ns kugeuza magonjwa mengi ambayo mtu anaweza kuwa anaugua?”

Acha nijibu haya kw lugha ya kawaida kwa faida yetu sote.

Seli shina za mimea zinapochukuliwa na mgonjwa kupitia njia ndogondogo (uwekazi poda ya seli shina chini ya ulimi) huenda moja kwa moja kwenye mkondo wa damu.itaingiza na kusababisha au kushawishi seli shina za mtu Kupitia mfumo wa neva wa kati kuzidisha na kuwa seli yoyote iliyoharibiwa. Hii itarejesha na kusahihisha kazi ya seli iliyoharibiwa.

STEMCELL kwahiyo ufanya k**a kichocheo kinachoshawishi seli shina za mwanadamu kuanza kuzidisha kwa kiwango cha haraka sana,ikiongeza idadi ya seli shina za binadamu kwenye mwili wa mtu ambazo zitawezesha mwili kujirekebisha.

STEMCELL uongeza kinga ya mwili,inaboresha upinzani wa mwili kwa magonjwa na kusababisha uwezo wa nwili kujiponya wenyewe kwa kutofautisha kwawseli shina katiia seli fulani za mwili.

Hii kwa hiyo hufanya mwili kufanya kazi hadi utendaji wake Mzuri. Hii ndiyo sababu tunasema, STEMCELL ni miujiza aliyepewa dawa ya ugonjwa wowote unaoathiri mwili wa mwanadamu.

Wacha tushirikiane kupambana na maumivu na mateso yako ya magonjwa mbalimbali;

Hivyo STEMCELL inaweza kushughulikia magonjwa mengi mara moja,
Usiwaze kuwa Tatizo lako halina suluhisho, tumia bidhaa zetu za STEMCELL/SELI SHINA ni suluhisho kwa zaidi ya magonjwa 200 yakiwemo

•Kisukari
•presha
•vidonda vya tumbo
•kulika kwa tishu katikati ya mifupa na mifupa au katikati ya kiungo na kiungo
•uvimbe wa aina yoyote
•cancer/saratani aina zote
•magonjwa ya ngozi aina zote
•stroke/kiharusi
•sickle cell/seli mundu
•matatizo ya uzazi
•matatizo ya figo
Na mengine mengi;

*KUNA TOFAUTI KATI YA KUPUNGUA KIAFYA NA KUKONDA.*  _NA HAPA NDIYO MAANA KUNA WATU WANAFANYA MAZOEZI MAKALI SANA NA KUJI...
16/10/2025

*KUNA TOFAUTI KATI YA KUPUNGUA KIAFYA NA KUKONDA.*

_NA HAPA NDIYO MAANA KUNA WATU WANAFANYA MAZOEZI MAKALI SANA NA KUJINYIMA KULA HALAFU WANAAMBULIA TU VIDONDA VYA TUMBO, KUKONDA NA KUCHUKIA MWONEKENO WAO LAKINI UNAKUTA ANAWEKA JUHUDI KUBWA SANA NA ANAPUNGUA KWA SHIDA NA AKIJIACHIA KIDOGO TU AMERUDI ZAIDI YA ZAMANI ANAAMUA KUSUSA NA KUJIACHIA TU._

Ukweli ni kwamba sio kila anayefanya mazoezi na kujinyima kula hufurahia mwonekano wake – wengine huishia kukonda kupita kiasi, kuugua tumbo na kuchukia miili yao.

Sababu kuu za hali hii:

1. Mazoezi bila mpango

Mazoezi yanapokuwa mengi kupita kiasi bila mwelekeo, mwili unachoma zaidi ya inavyohitajika. Badala ya kupata mwili wenye afya, mtu anakonda kupita kiasi.

2. Kula kwa kujinyima kupita kiasi
Wengine huamini kwamba “kuacha kula ndio afya.” Hii husababisha mwili kukosa nishati na virutubisho muhimu → kinga inashuka, asidi ya tumbo inaongezeka → vidonda vya tumbo.

3. Kupoteza misuli badala ya mafuta

Bila protini na virutubisho sahihi, mazoezi huunguza misuli na siyo mafuta. Mwili unakonda lakini hauonekani “fit” → mtu hukosa kujiamini na huanza kuchukia mwonekano wake.

4. Matumizi ya vigezo visivyo sahihi vya urembo
Baadhi hujilinganisha na “miili ya mitandaoni” → wanajinyima kula na kujiumiza ili kufanana, mwisho wanakosa kuridhika na mwonekano wao.

5. Stress na presha ya kisaikolojia

Kufikiria sana kuhusu mwili, uzito na mwonekano huongeza msongo wa mawazo, unaoharibu afya ya mmeng’enyo na kuongeza hatari ya vidonda vya tumbo.

✅ Suluhisho

Mazoezi yenye uwiano: si lazima kila siku yawe makali, changanya na kutembea, yoga, au mazoezi mepesi.

Lishe bora badala ya kujinyima: sahani kamili yenye mboga, matunda, protini, nafaka na mafuta mazuri.

Kujipenda na kukubali hatua: usijilinganishe na wengine, badala yake zingatia afya yako binafsi.

Afya kwanza, mwonekano baadaye: mwili wenye afya hujionyesha hata kwenye mwonekano.

Je, wewe ni mmoja wa wadau wenye ndoto ya kuwa fit lakini una mpango wowote wa kupungua au kumanage uzito wako kiafya?
Njoo inbox kupitia whatsup namna hii au piga simu kwa namba hii 0756602665

Hello, wale ambao wanahitaji kusafisha mwili na kupungua uzito! Huu ni muda wako! Tutakuwa na program maalum ya C9 tareh...
16/10/2025

Hello, wale ambao wanahitaji kusafisha mwili na kupungua uzito!

Huu ni muda wako!
Tutakuwa na program maalum ya C9 tarehe 1/11/2025

Tutafungua group maalum la whatsup kwaajili ya program hii !
Tutatoa muongozo maalum kila siku kwenye group

Utaruhusu mrejesho wa lishe na mazoezi kwa kila mmoja kila siku ili kupeana challenge
Na mwisho atakayeongoza kwa kupungua kg nyingi atapewa zawadi ya aloe vera jer moja!!

Ili kujiunga na group hili ni lazima uchukue C9! Hii ndiyo ticket yako ya kuingilia kwenye group hili!

K**a wewe ni mmojawapo ya wanaohitaji program hii njoo inbox tuzungumze uchukue box lako la C9 tayari kwa kujiunga na program!!

Dr. Mge
0756602665

11/09/2025

Kuongezeka kwa uzito ni ishara ya wazi kwamba kuna mlundikano wa sumu mwilini mwako!!!
Hii ni package itakayokusaidia kuondoa sumu,mafuta machafu (cholesterol) na kisha kupungua uzito wako na nyama uzembe zote kwa siku tisa tuu!!

0756602665
Karibu

IKIWA UMEKATA TAMAA NA HIZI TIBA ZA ASILI KUPITIA VIRUTUBISHO NA MITISHAMBA! **BASI JIULIZE SWALI HILO:* * KWANINI WENGI...
10/09/2025

IKIWA UMEKATA TAMAA NA HIZI TIBA ZA ASILI KUPITIA VIRUTUBISHO NA MITISHAMBA!

**BASI JIULIZE SWALI HILO:*
*
KWANINI WENGINE WANATUMIA BIDHAA HIZOHIZO NA WANAPONA?

*WEWE UNAKOSEA WAPI?*

HUENDA KUNA MAHALI UNAFANYA ISIVYOSTAHILI!

*TAFAKARI CHUKUA *HATUA?*

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DrMge health plants and natural remedes posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to DrMge health plants and natural remedes:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram