DrMge health plants and natural remedes

DrMge health plants and natural remedes Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from DrMge health plants and natural remedes, Health & Wellness Website, Dar es Salaam.

Tawasaidia wagonjwa wa KISUKARI kukarabati seli zao kwa kutumia Selishina ili Kuboresha utendaji wake pamoja na kujifunza namna sahihi ya KUZILISHA seli ili zidumu kuwa Bora kwa Tiba lishe,Tiba Asili na mtindo Bora wa maisha!!

28/10/2025

*Hivi ndivyo inavyokuwa mishipa iliyojaa mafuta!!
Unaweza kuona namna ambavyo damu inapita kwa shida katika eneo hilo na kuna uwezekano wa kuziba kabisa na kushindwa kupitisha kabisa damu.*

*Fikiria hali hiyo itokee kwenye mishipa ya kichwa au moyo nini kitatokea?*

Na hii ndiyo faida mojawapo ya kutumia C9 unaenda kusafisha mafuta k**a haya yaliyoganda kwenye mishipa ya damu na kuzunguka organ muhimu za ndani k**a moyo, figo, na zinginezo!!

Nipigie / njoo whatsup kwa namba hizi ujipatie package yako ya C9 ijiunge na kundi kubwa la watu walioamua kujiwekea bima yao ya afya kwa kufanya usafishaji wa mwili, kwa siku 9 tuu!
0756602665

27/10/2025

Kwanini Stemcells (seli Shina) inaweza kutibu ugonjwa wowote?

Watu wengi wanauliza “kwanini bidhaa moja ya stemcell inatibu Ns kugeuza magonjwa mengi ambayo mtu anaweza kuwa anaugua?”

Acha nijibu haya kw lugha ya kawaida kwa faida yetu sote.

Seli shina za mimea zinapochukuliwa na mgonjwa kupitia njia ndogondogo (uwekazi poda ya seli shina chini ya ulimi) huenda moja kwa moja kwenye mkondo wa damu.itaingiza na kusababisha au kushawishi seli shina za mtu Kupitia mfumo wa neva wa kati kuzidisha na kuwa seli yoyote iliyoharibiwa. Hii itarejesha na kusahihisha kazi ya seli iliyoharibiwa.

STEMCELL kwahiyo ufanya k**a kichocheo kinachoshawishi seli shina za mwanadamu kuanza kuzidisha kwa kiwango cha haraka sana,ikiongeza idadi ya seli shina za binadamu kwenye mwili wa mtu ambazo zitawezesha mwili kujirekebisha.

STEMCELL uongeza kinga ya mwili,inaboresha upinzani wa mwili kwa magonjwa na kusababisha uwezo wa nwili kujiponya wenyewe kwa kutofautisha kwawseli shina katiia seli fulani za mwili.

Hii kwa hiyo hufanya mwili kufanya kazi hadi utendaji wake Mzuri. Hii ndiyo sababu tunasema, STEMCELL ni miujiza aliyepewa dawa ya ugonjwa wowote unaoathiri mwili wa mwanadamu.

Wacha tushirikiane kupambana na maumivu na mateso yako ya magonjwa mbalimbali;

Hivyo STEMCELL inaweza kushughulikia magonjwa mengi mara moja,
Usiwaze kuwa Tatizo lako halina suluhisho, tumia bidhaa zetu za STEMCELL/SELI SHINA ni suluhisho kwa zaidi ya magonjwa 200 yakiwemo

•Kisukari
•presha
•vidonda vya tumbo
•kulika kwa tishu katikati ya mifupa na mifupa au katikati ya kiungo na kiungo
•uvimbe wa aina yoyote
•cancer/saratani aina zote
•magonjwa ya ngozi aina zote
•stroke/kiharusi
•sickle cell/seli mundu
•matatizo ya uzazi
•matatizo ya figo
Na mengine mengi;

*KUNA TOFAUTI KATI YA KUPUNGUA KIAFYA NA KUKONDA.*  _NA HAPA NDIYO MAANA KUNA WATU WANAFANYA MAZOEZI MAKALI SANA NA KUJI...
16/10/2025

*KUNA TOFAUTI KATI YA KUPUNGUA KIAFYA NA KUKONDA.*

_NA HAPA NDIYO MAANA KUNA WATU WANAFANYA MAZOEZI MAKALI SANA NA KUJINYIMA KULA HALAFU WANAAMBULIA TU VIDONDA VYA TUMBO, KUKONDA NA KUCHUKIA MWONEKENO WAO LAKINI UNAKUTA ANAWEKA JUHUDI KUBWA SANA NA ANAPUNGUA KWA SHIDA NA AKIJIACHIA KIDOGO TU AMERUDI ZAIDI YA ZAMANI ANAAMUA KUSUSA NA KUJIACHIA TU._

Ukweli ni kwamba sio kila anayefanya mazoezi na kujinyima kula hufurahia mwonekano wake – wengine huishia kukonda kupita kiasi, kuugua tumbo na kuchukia miili yao.

Sababu kuu za hali hii:

1. Mazoezi bila mpango

Mazoezi yanapokuwa mengi kupita kiasi bila mwelekeo, mwili unachoma zaidi ya inavyohitajika. Badala ya kupata mwili wenye afya, mtu anakonda kupita kiasi.

2. Kula kwa kujinyima kupita kiasi
Wengine huamini kwamba “kuacha kula ndio afya.” Hii husababisha mwili kukosa nishati na virutubisho muhimu → kinga inashuka, asidi ya tumbo inaongezeka → vidonda vya tumbo.

3. Kupoteza misuli badala ya mafuta

Bila protini na virutubisho sahihi, mazoezi huunguza misuli na siyo mafuta. Mwili unakonda lakini hauonekani “fit” → mtu hukosa kujiamini na huanza kuchukia mwonekano wake.

4. Matumizi ya vigezo visivyo sahihi vya urembo
Baadhi hujilinganisha na “miili ya mitandaoni” → wanajinyima kula na kujiumiza ili kufanana, mwisho wanakosa kuridhika na mwonekano wao.

5. Stress na presha ya kisaikolojia

Kufikiria sana kuhusu mwili, uzito na mwonekano huongeza msongo wa mawazo, unaoharibu afya ya mmeng’enyo na kuongeza hatari ya vidonda vya tumbo.

✅ Suluhisho

Mazoezi yenye uwiano: si lazima kila siku yawe makali, changanya na kutembea, yoga, au mazoezi mepesi.

Lishe bora badala ya kujinyima: sahani kamili yenye mboga, matunda, protini, nafaka na mafuta mazuri.

Kujipenda na kukubali hatua: usijilinganishe na wengine, badala yake zingatia afya yako binafsi.

Afya kwanza, mwonekano baadaye: mwili wenye afya hujionyesha hata kwenye mwonekano.

Je, wewe ni mmoja wa wadau wenye ndoto ya kuwa fit lakini una mpango wowote wa kupungua au kumanage uzito wako kiafya?
Njoo inbox kupitia whatsup namna hii au piga simu kwa namba hii 0756602665

Hello, wale ambao wanahitaji kusafisha mwili na kupungua uzito! Huu ni muda wako! Tutakuwa na program maalum ya C9 tareh...
16/10/2025

Hello, wale ambao wanahitaji kusafisha mwili na kupungua uzito!

Huu ni muda wako!
Tutakuwa na program maalum ya C9 tarehe 1/11/2025

Tutafungua group maalum la whatsup kwaajili ya program hii !
Tutatoa muongozo maalum kila siku kwenye group

Utaruhusu mrejesho wa lishe na mazoezi kwa kila mmoja kila siku ili kupeana challenge
Na mwisho atakayeongoza kwa kupungua kg nyingi atapewa zawadi ya aloe vera jer moja!!

Ili kujiunga na group hili ni lazima uchukue C9! Hii ndiyo ticket yako ya kuingilia kwenye group hili!

K**a wewe ni mmojawapo ya wanaohitaji program hii njoo inbox tuzungumze uchukue box lako la C9 tayari kwa kujiunga na program!!

Dr. Mge
0756602665

11/09/2025

Kuongezeka kwa uzito ni ishara ya wazi kwamba kuna mlundikano wa sumu mwilini mwako!!!
Hii ni package itakayokusaidia kuondoa sumu,mafuta machafu (cholesterol) na kisha kupungua uzito wako na nyama uzembe zote kwa siku tisa tuu!!

0756602665
Karibu

IKIWA UMEKATA TAMAA NA HIZI TIBA ZA ASILI KUPITIA VIRUTUBISHO NA MITISHAMBA! **BASI JIULIZE SWALI HILO:* * KWANINI WENGI...
10/09/2025

IKIWA UMEKATA TAMAA NA HIZI TIBA ZA ASILI KUPITIA VIRUTUBISHO NA MITISHAMBA!

**BASI JIULIZE SWALI HILO:*
*
KWANINI WENGINE WANATUMIA BIDHAA HIZOHIZO NA WANAPONA?

*WEWE UNAKOSEA WAPI?*

HUENDA KUNA MAHALI UNAFANYA ISIVYOSTAHILI!

*TAFAKARI CHUKUA *HATUA?*

10/09/2025

WEWE MWANAMKE MWENYE CHANGAMOTO YA UVIMBE/FIBROID?

UMETUMIA NJIA GANI KUTIBU?
UMEFANYA UPASUAJI/OPERESHENI?

JE ,UVIMBE UMEISHA??

K**A BADO UNASUMBULIWA NA CHANGAMOTO HII SIKILIZA USHUHUDA HUU!

KUMBUKA TIBA KWA NJIA YA UPASUAJI INAWEZA KUATHIRI KIZAZI CHAKO NA USIPATE MTOTO TENA!!

JE UPO TAYARI KUKABILI MADHARA HAYO?

LAKINI PIA UVIMBE UNAWEZA KUJIRUDIA TENA KWASABABU CHANZO CHA TATIZO HAKIJAONDOLEWA(MVURUGIKO WA HOMONI)

TIBA HII INATIBU KUANZIA CHANZO CHA TATIZO(KUWEKA SAWA MFUMO WA HOMONI) HADI MATOKEO AMBAYO NI HUO UVIMBE!!

K**a ni wewe mwenye changamoto hii na unahitaji tiba ya uhakika ya changamoto yako

Tupigie au njoo whatsup kwa namba hizi 0756602665

*JINSI YA KUJITIBU PRESHA YA KUPANDA KWA NJIA MBADALA BILA YA KUTUMIA MADAWA!* Presha ya kupanda (Hypertension):~Huu ni ...
10/09/2025

*JINSI YA KUJITIBU PRESHA YA KUPANDA KWA NJIA MBADALA BILA YA KUTUMIA MADAWA!*

Presha ya kupanda (Hypertension):
~Huu ni Ugonjwa ambao hugunduliwa pale presha ya damu inapokua juu sana kupita kiwango chake cha kawaida.

Kawaida Damu inasukumwa na moyo kwenda sehemu mbali mbali za mwili.
Nguvu inayotumika kusukuma damu hiyo kutoka kwenye moyo kwenda sehemu zote za mwili na ambayo inakuwepo kwenye mishipa wakati damu inapita ndio huitwa presha ya damu.

Hivyo binadamu yeyote lazima awe na presha ya damu lakini katika kiwango kinacho hitajika ambacho ni 120/80mmhg mpaka 140/90mmhg.

Ikitokea mtu amepima kwa nyakati tofautii na presha yake ikaendelea kuonekana kua juu zaidi ya hapo _ Tunasema mtu huyu ana hypertension"

*Watu walio kwenye hatari ya kupata presha ya kupanda..*

1. Wenye uzito mkubwa/Unene.
~Kadri unavyo zidi kunenepa ndivyo moyo unataka nguvu nyingi kusukuma damu mwilini hivyo kuongeza presha.

2. Kutofanya mazoezi.
3. Kuvuta sigara.
~ Sigara ina sumu au kemikali inayoitwa Ni****ne inayofanya moyo kuwa na nguvu kubwa ya kusukuma damu. Ni****ne inafanya mishipa ya damu kusinyaa na kua finyu hivyo kufanya damu kutopita vizurii.

4. Ulaji mbovu/Chakula duni.
~K**a unakula mlo mbovu uliojaa chumvi, mafuta mabaya na vyakula vyenye chanzo kikubwa cha sukari_ Unakaribisha presha ya kupanda.

5. Kuridhi
~Ikiwa ndugu yako wa damu ana presha au aliwahi kuwa na presha _ upo katika hatari ya kupata ugonjwa huu.
Hii inatokea sio kwa sababu unaridhi vinasaba ila ni kwa sababu unaridhi tabia hatarishi za kupata ugonjwa huu.... Kuridhi vina Saba ni kwa asilimia ndogo sana ambapo unaweza kujiimarisha tu kwa kubadili tabia hatarishi.

6. Matumizi ya pombe.
7. Msongo wa mawazo.
Kuwa na mawazo mengi hufanya mwili kumwaga homoni inaitwa adrenaline kwenye damu ambayo huongeza presha ya damu Hivyo maisha usiyachukulie serious sana matatizo ni sehemu ya maisha

8.Baadhi ya magonjwa.
Mf. Kisukari, Magonjwa ya figo nk.

Mara nyingi ugonjwa huu hauna dalili maalumu na wakati mwingine huja kulingana na chanzo cha presha.
Kwa hatua za mwanzo wengi huwa hawaelewi japo dalili zake zinaweza kua ni pamoja na

~Kichwa kuuma
~Kutokwa na damu puani
~Kupumua kwa shida
~Kuishiwa nguvu
~Moyo kwenda mbio sana na
~Kutokwa na jasho jingi.

Jinsi gani unaweza kujitibu ugonjwa huu kwa hatua za awali kabla ugonjwa huu haujawa SUGU au kukusababishia madhara mengine..?

FUATA mikakati hii k**a unataka kuachana na dawa za presha.

Sijasema usitumie au uache dawa kwa ghafla ila cha muhimu ni uweke mkakati wa kuacha dawa na ukiyaishi haya ni muda mchache dawa utazisahau..!

"PUNGUZA UZITO"
Hakikisha uzito wako uwe sawa na urefu wako; Ukweli mchungu naomba nikuambie k**a wewe una presha alafu ni mnene unapoteza muda kwani ugonjwa huu utakutesa na utalazwa kila mara.
Muhimu k**a bado hufahamu njia sahihi za kupunguza uzito Wasiliana na mimi Ili nikupatie muongozo mzurii.

"FANYA MAZOEZI ANGALAU NUSU SAA KILA SIKU".
Hii itakusaidia kupunguza mafuta yalioganda ndani ya mishipa ya damu na kushusha cholesterol ambayo ni hatari kwa afya.

Mafuta haya ndio yanafanya presha ya damu inakua juu na husababisha VIFO vya ghafla kwa sababu ya kuziba mishipa inayo peleka damu kwenye moyo.

"ACHA KULA NYAMA NYEKUNDU ZOTE NA MAFUTA YA WANYAMA".
Nyama hizi zina lehemu nyingi/cholesterol na mafuta mengi mwilini ni hatari sio tu kwa wagonjwa wa presha tu hata kwa watu ambao hawaumwi presha.

Hivyo k**a unataka nyama kula nyama nyeupe yaani samaki aina zote, Na nyama za ndege aina zote mf. Kuku(wa kienyeji tu) Bata, njiwa, kanga, mbuni n.k

Wanyama wote wanao tembea kwa miguu minne usiguse kwanza kwa wakati huu ukiwa unaitengeneza afya yako.

Pia tumia hasa mafuta ya N**i, Mzeituni(Olive oil) Yana afadhaliiii zaidi kuliko mengine, ukikosa tumia ya alizet kiasi kwani mafuta yatokanayo na wanyama ni hatari kwa afya yako.

ACHA AU PUNGUZA ULAJI WA CHUMVI.
Hiki ndicho kitu kikubwa ambacho watu wengi hawakijui. K**a una presha hakikisha unakula mboga zako tofautii na watu wengine zikiwa hazina chumvi au zina chumvi kidogo sana.

Chumvi ina kimelea kiitwacho SODIUM Ambacho huvuta maji ndani ya mwili na kupandisha presha.

TUMIA UNGA WA MBEGU YA PARACHICHI.
Hii inasaidia sana kutibu presha k**a pia na hatua tulizo Jifunza hapo nyuma utazizingatia vizurii.
Kwangua mbegu ya parachichi k**a karoti hivi kisha anika kivulini. Baada ya siku 5 itakua imekauka kisha saga saga kupata unga.

Tumia kijiko 1 cha chakula~ weka kwenye maji ya moto kikombe kimoja asubuhi na jioni nusu saa kabla ya kula. Fanya hivi mfululizo ndani ya miezi mitatu hakika utaona mabadiliko.

K**a unatumia dawa za hospital ni vema ukawa makini na huenda ukawa unahitaji usimamizi wa karibu Ili kupata matokeo mazuri.

NOTE:
Mara nyingi presha ya kupanda inawapata watu wenye umri mkubwa yaani zaidi ya miaka 40+.

Hii ni kwa sababu uwezo wao wa mwili kuchukua Virutubisho kwenye chakula wanacho tumia hupungua sana

Lakini pia kulingana na ubize wa maisha watu huwa hawali mboga mboga za majani au matunda kwa kiwango kinacho tosha na matokeo yake hujikuta wengi wakitumia vyakula ambavyo havina lishe inayotakiwa na kusababisha maradhi haya.

Ili kupata matokeo mazuri na ya haraka zaidi ni muhimu kuupatia mwili Virutubisho ambavyo ni zaidi ya vyakula tunavyo tumia Ili kujiimarisha na pia kuondoa cholesterol mbaya kwenye mishipa ya damu.

Kupata Ushauri wa kina juu ya Virutubisho hivi Wasiliana nami kwa namba
0756602665
Mungu akubariki sana katika kuhakikisha unaijenga afya yako vema.

*🟢 SOMO: HATUA ZA KUPAMBANA NA KISUKARI (TYPE 1 & TYPE 2)*  *Kisukari (Diabetes Mellitus)* ni ugonjwa sugu unaosababisha...
10/09/2025

*🟢 SOMO: HATUA ZA KUPAMBANA NA KISUKARI (TYPE 1 & TYPE 2)*

*Kisukari (Diabetes Mellitus)* ni ugonjwa sugu unaosababisha sukari kuwa nyingi kwenye damu. Bila udhibiti sahihi, husababisha madhara makubwa k**a upofu, figo kushindwa, kiharusi, na vidonda visivyopona.

Lakini habari njema ni kwamba *kisukari kinaweza kudhibitiwa na hata kupona kabisa kwa njia sahihi*.
---
*✅ HATUA 5 ZA KUPAMBANA NA KISUKARI*

*1. Mabadiliko ya Lishe*
- Epuka vyakula vyenye sukari nyingi na wanga mweupe
- Kula matunda yenye nyuzinyuzi, mboga za majani, protini safi
- Kunywa maji mengi (lita 2–3 kwa siku)

*2. Kufanya Mazoezi Mara kwa Mara*
- Angalau dakika 30 kwa siku (kutembea haraka, kuogelea, yoga, n.k.)
- Husaidia mwili kutumia sukari na kuboresha kazi ya insulini

*3. Kufuata Matibabu ya Kawaida kwa Usahihi*
- Dawa za hospitali k**a Metformin (Type 2) au Insulin (Type 1)
- Vipimo vya mara kwa mara vya sukari
- Uchunguzi wa macho, miguu, figo, nk

*4. Kupunguza Msongo wa Mawazo (Stress)*
- Msongo huathiri viwango vya sukari

• Tumia muda kwa kutafakari, kusali, kushiriki vikundi vya msaada

*5. Matumizi ya Tiba Mbadala ya Kisasa (Complementary & Natural Therapies)*
- Virutubisho vya asili k**a *Cinnamon, Moringa, Chromium*, nk
- Hii ni sehemu ya hatua ya kisasa ya kusaidia mwili kujirekebisha
---
*🧬 TIBA YA KISASA: STEM CELL THERAPY*
*Matumizi ya seli shina kurejesha afya ya kongosho na insulini*

*Stem Cell Package* ni suluhisho ya kisasa linalolenga kusaidia mwili:
- Kufufua seli za kongosho zilizoharibika (Beta Cell).

- Kuboresha uwezo wa mwili kutengeneza insulini.

- Kupunguza hitaji la kutumia dawa kila siku.

- Kuboresha maisha ya mgonjwa wa kisukari kwa kiwango kikubwa.

🌿 *Stemcell Imeungwa mkono na tafiti nyingi za kisayansi* na wagonjwa wengi wameripoti mafanikio makubwa.
---
*UNATAKA KUSAIDIWA KUPAMBANA NA KISUKARI KWA NJIA YA KISASA?*

📦 *Stemcell Package iko tayari kukusaidia.*
Ina seli shina asilia vilivyoboreshwa kwa teknolojia ya kisasa kusaidia mwili kujitibu kutoka ndani.

*Maisha Bora huanza na Afya Imara*

Kwa ushauri na tiba piga 0756602665

Tofauti na kisukari wanaume wengi walifikia umri fulani huugua sana Tezidume!Dalili zake ni k**a ifuatavyoDALILI ZA TEZI...
09/09/2025

Tofauti na kisukari wanaume wengi walifikia umri fulani huugua sana Tezidume!

Dalili zake ni k**a ifuatavyo
DALILI ZA TEZI DUME (Prostate problems / Prostate cancer)

Tezi dume ipo kwa wanaume, chini ya kibofu cha mkojo, na huathiri mfumo wa mkojo inapovimba au kupata kansa. Dalili kuu ni:

Dalili za awali
• Kukojoa mara kwa mara, hasa usiku.
• Kushindwa kuzuia mkojo (leaking).
• Kutoa mkojo kwa shida au mkojo kutoka kwa kudondoka kidogo kidogo.
• Kutoa mkojo dhaifu au wa kusuasua.
• Hisia ya kibofu kutojisikia kimejaa vizuri hata baada ya kukojoa.

Dalili za hatari zaidi (kansa ya tezi dume ikisambaa)
• Damu kwenye mkojo au shahawa.
• Maumivu ya nyonga, mgongo wa chini, au mapajani.
• Upungufu wa nguvu za kiume (erectile dysfunction).
• Kupungua uzito bila sababu.
• Uchovu wa mara kwa mara.

Usiogope kwa kutumia miiracell plus una wenza kutibu changamoto zote mbili kwa wakati mmoja! Jipe imani kubali kutoa gharama
Jambo zuri huja na gharama!!

07/09/2025

Sasa kuna wale ambao mazingira yao hayaruhusu kupata hivyo vyanzo vya *NITRIC OXIDE* kutoka kwenye vyakula vyao vya kila siku ,tunayo hii bidhaa hapa inaitwa ARG+
Imetengenezwa kwa kutumia matunda hayo yenye viwango kikubwa cha *NITRIC OXIDE* ,unaweza kuitumia kiurahisi kabisa na inabebeka popote!

Ndiyo maana *Arg+* ukiitumia inaboresha mzunguko wako wa damu kwasababu inafanya damu yako kubwa nyepesi na inayotembea vizuri kwenye mishipa ya damu!

Na hii ndio sababu ukitumia *arg+* utajikuta unatibu maradhi yote yanayo husu ana na mzunguko wa damu k**a *Presha,kisukari,magonjwa ya moyo,figo na hata huko kupata ganzi za mara kwa mara kwenye mikono ,miguu na Sehemu mbalimbali za mwili!!*

*Nakushauri TUMIA ARG+*, *ILI KUIPATA TUPIGIE TU KWA NAMBA HIZI 0756602665*

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DrMge health plants and natural remedes posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to DrMge health plants and natural remedes:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram