JJ AFYA

JJ AFYA TUNASAIDIA WATU WENYE CHANGAMOTO ZA AFYA

MADHARA NI MENDI SANA YA NJIA HIZO(VIDONGE, NJITI, SINDANO,KITANZI N K)LAKINI HABARI NJEMA NI KWAMBA TIBA IPO YA MADHARA...
15/11/2025

MADHARA NI MENDI SANA YA NJIA HIZO(VIDONGE, NJITI, SINDANO,KITANZI N K)
LAKINI HABARI NJEMA NI KWAMBA TIBA IPO YA MADHARA YOTE NA USHAURI UPO

15/11/2025

TIBA ya kupata Ujauzito baada ya matumizi ya Njia za uzazi WA MPANGO
0676737155

19/10/2025

Eti nani anafahMu TOFAUTI kati ya U.T.I & P.I.D?

*1⃣KUTIBU CHANZO NI GARAMA NDOGO KULIKO KUTIBU MATOKEO YAKE/MADHARA*TUKUMBUSHANE HII HALI NI HATARI👇👇👇👇*2⃣.DALILI ZA BAW...
08/10/2025

*1⃣KUTIBU CHANZO NI GARAMA NDOGO KULIKO KUTIBU MATOKEO YAKE/MADHARA*

TUKUMBUSHANE HII HALI NI HATARI👇👇👇👇

*2⃣.DALILI ZA BAWASIRI*

✅Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia

✅Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa

✅Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)

✅Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.

✅Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha & kuuma sana

✅Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

✅Kuhisi kuchanganyikiwa na KUKOSA Furaha na utulivu

*3⃣.ATHARI ZA BAWASIR*

🔴Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA) k**a Damu itatoka KWA WINGI

🔴Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.

🔴Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.

🔴Kuathirika kisaikolojia
🔴Kukosa hamu ya tendo la ndoa.

🔴Kupungukiwa nguvu za kiume.

🔴Kukuathiri kisaikolojia KWAKUA ni UGONJWA wa Aibu

*4⃣. MATIBABU YAKE*

Bawasiri hutibika KWA njia zaidi ya moja Uendapo hospitali na maarufu ni *kufanyiwa UPASUAJI*

Lakini pia Unaweza KUTIBU changamoto hiyo KWA njia ya *kutumia Virutubisho lishe*

NJIA hii ya Virutubisho lishe ni bora zaidi KWAKUA Hutibu KUanziA chanzo cha TATIZO na HATIMAYE mgonjwa KUPONA KABISA.

*+255676737155*
tupigie KWA MSAADA wa huduma

⚠️ *Usichukulie poa BAWASIRI ni Hatari*

*1⃣KUTIBU CHANZO NI GARAMA NDOGO KULIKO KUTIBU MATOKEO YAKE/MADHARA*TUKUMBUSHANE HII HALI NI HATARI👇👇👇👇*2⃣.DALILI ZA BAW...
03/10/2025

*1⃣KUTIBU CHANZO NI GARAMA NDOGO KULIKO KUTIBU MATOKEO YAKE/MADHARA*

TUKUMBUSHANE HII HALI NI HATARI👇👇👇👇

*2⃣.DALILI ZA BAWASIRI*

✅Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia

✅Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa

✅Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)

✅Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.

✅Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha & kuuma sana

✅Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

✅Kuhisi kuchanganyikiwa na KUKOSA Furaha na utulivu

*3⃣.ATHARI ZA BAWASIR*

🔴Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA) k**a Damu itatoka KWA WINGI

🔴Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.

🔴Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.

🔴Kuathirika kisaikolojia
🔴Kukosa hamu ya tendo la ndoa.

🔴Kupungukiwa nguvu za kiume.

🔴Kukuathiri kisaikolojia KWAKUA ni UGONJWA wa Aibu

*4⃣. MATIBABU YAKE*

Bawasiri hutibika KWA njia zaidi ya moja Uendapo hospitali na maarufu ni *kufanyiwa UPASUAJI*

Lakini pia Unaweza KUTIBU changamoto hiyo KWA njia ya *kutumia Virutubisho lishe*

NJIA hii ya Virutubisho lishe ni bora zaidi KWAKUA Hutibu KUanziA chanzo cha TATIZO na HATIMAYE mgonjwa KUPONA KABISA.

*+255676737155*
tupigie KWA MSAADA wa huduma

⚠️ *Usichukulie poa BAWASIRI ni Hatari*

🍎🍎 *JE UNAFAHAMU MADHARA YA SUMU MWILINI?* +255676737155Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokan...
23/09/2025

🍎🍎 *JE UNAFAHAMU MADHARA YA SUMU MWILINI?*
+255676737155

Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao.

Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.

🍎🍎 *VYANZO VYA SUMU MWILINI*

Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana:

🍏MCHAFUKO WA HALI YA HEWA MFANO. VIWANDA NA MAGARI

🍏MATUMIZI YA DAWA ZA HOSPITALI KWA MUDA MREFU

🍏MATUMIZI YA POMBE NA TUMBAKU

🍏UCHAFUZI WA VYANZO VYA MAJI TUNAYOYATUMIA MARA KWA MARA

🍏UKOSEFU WA LISHE BORA
🍏MATUMIZI MAKUBWA YA VYAKULA VYA KISASA

🍏Uzito mkubwa

🍏Njia za uzazi wa mpango za kisasa

🥭🥭 *DALILI ZA KUWA SUMU MWILINI*

🍎 Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele n.k

🍎 Kuwa na uzito wa kupindukia

🍎 Kutopata choo au kupata choo kigumu

🍎 Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza

🍎 Kichwa kuuma kila mara (Dalili maarufu)

🍎 Kupata miwasho sehemu mbali mbali za mwili/ mcharuko

🍎 Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga

🍎 Kuwa na hasira mara kwa mara.
🍎Tumbo kujaa gesi nk

🍎ALLERGY YA VYAKULA AU HALI FULANI MWILINI

🥭🥭 *MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU*

🍎Kukosa hamu ya tendo la ndoa
🍅Kupata maambukizi ya figo

🍎Kupata maambukizi ya Ini
🍎Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)

🍎Husababisha uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke.

🍎Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)

🍎Mvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.

🍎Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.nk.

🍏🍏 *SULUHISHO LA KUDUMU*

*📌Kwa watu wenye changamoto hizo tumewaandalia PROGRAM YA tibalishe / virutubisho muhimu ili kuondokana na matatizo hayo.*

🌶🌶 *FAIDA ZA KUONDOA SUMU MWILINI* .

🍏Husaidia katika kuondoa matatizo ya upataji choo kigumu au mtu anayekosa choo.

🍏Husaidia katika kuimarisha mfumo wa mzunguko wa damu na upumuaji katika Mwili.

🍏Husaidia katika kuimarisha mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke

🍏Huweka hedhi sawa na kuondoa maumivu wakati wa hedhi.

🍏Husaidia kuongeza virutubisho na kuupa Mwili afya na kulainisha Ngozi na kuifanya Ngozi kuwa ng'avu na laini.

🍏Huondoa uchovu Na kuupa nguvu.

🍏Huondoa sumu zote mwilini

🍏Inaimarisha ubongo na kutunza kumbu kumbu

🍏Inaondoa madhara ya pombe na kulinda ini na figo

🍏Inaondoa mafuta yaliyo zidi mwilini

🍏Inazuia kuota kitambi baada ya kuitumia

🍏Inaondoa sukari iliyo zidi mwilini

🍏Ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu(presha)
+255757046981
+255676737155
TUPIGIE TUKUSAIDIE.

16/09/2025
Dar - ZANZIBARTUNATOA HUDUMA TANZANIA NZIMA KARIBUNI KWA UTATUZI WA CHANGAMOTO YOYOTE YA AFYA0676 737 155
16/09/2025

Dar - ZANZIBAR

TUNATOA HUDUMA TANZANIA NZIMA KARIBUNI KWA UTATUZI WA CHANGAMOTO YOYOTE YA AFYA
0676 737 155

NANI naifahamu hii ni Nini ?
12/09/2025

NANI naifahamu hii ni Nini ?

Vidonda VYA tumbo ni hàli ya kua na makovu, michubuko, au vidonda KATIKA MFUMO wa MMENG'ENYO WA CHAKULA wa mwanadam.Vido...
02/09/2025

Vidonda VYA tumbo ni hàli ya kua na makovu, michubuko, au vidonda KATIKA MFUMO wa MMENG'ENYO WA CHAKULA wa mwanadam.
Vidonda hivyo husababishwa na Bakteria ajulikanae k**a HELCOBACTER PYLOR (H.PYLOR)

+255676737155/+255757046981



👇👇👇👇
1.Gastric ulcers hivi hutokea ndani ya tumbo la chakula
2.Esophageal ulcers hivi hutokea ndani ya esophagus. Hii ni sehemu inayounganisha kati ya koo la chakula na tumbo la chakula.
3.Duodenal ulcers hivi hutokea kwenye sehemu ya juu ya utumbo mdogo inayoitwa duodenum



■Helicobacter pylori, huyu ni bacteria ambae kwa asilimia kubwa husababisha vidonda vya tumbo kwa kuharibu kuta za tumbo(layers) na kusababisha vidonda.
Pia kuna mazingira ambayo yanaweza kufanya mtu akaugua vidonda vya tumbo k**a
🖊️stress/msongo wa mawazo
🖊️kutozingatia mda wa kula
🖊️kula vyakula vyenye Acid nyingi
🖊️uvutaji wa sigara
🖊️unywaji wa pombe
🖊️madawa ya hospitalini (Antibiotics)

1⃣
🩸Kuchoka choka sana bila sababu maalum
🩸Kuuma mgongo au kiuno
🩸Kupungukiwa au kupoteza kabisa nguvu za kijinsia (WANAWAKE & WANAUME)
🩸Kizunguzungu
🩸Kukosa usingizi
🩸Maumivu ya Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali.Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano na kuacha.
🩸Kichefuchefu
🩸Kiungulia
🩸Tumbo kujaa gesi
🩸Tumbo kuwaka moto
🩸Maumivu makali sehemu kilipo kidonda
🩸Kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi
🩸Kutapika nyongo
🩸Kutapika damu au kuharisha damu
🩸kupata hasira mara KWA mara
🩸Kukosa hamu ya kula Au wakati mwingine Kula kupita kiasi
🩸Kusahau sahau .
🩸Kuwa na ugonjwa wa BAWASILI
🩸 WAKATI mwingine kuhisi kuchanganyikiwa.
🩸kuhisi umevaa gloves Mkononi/mguu k**a umevaa soksi
🩸Wasiwasi
🩸Mapigo ya moyo kwenda Kasi k**a una pressure

⬇️⬇️

2⃣

‼️🦠Kuvuja damu ndani ya mwili (Internal bleeding and serious blood loss)

‼️🦠Upungufu wa damu (Anemia)

‼️🦠 Kuanza kubagua vyakula

‼️🦠Kupata kinyesi cheusi na kigumu k**a cha mbuzi

‼️🦠Kuvurugika kwa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula (Obstructed digestion)

‼️🦠Shida katika kupumua

‼️🦠Saratani ya tumbo/ Utumbo (Stomach cancer)

‼️🦠Msongo wa mawazo (stress)

‼️🦠Kupungua kwa nguvu za kijinsia
‼️🦠 Kupata mashambulio ya moyo
‼️🦠Mwili kuchoma choma
‼️🦠Kupoteza maisha (Kufa)
‼️🦠 Kushinda kufanya kazi Kwa sababu ya ugonjwa
‼️🦠Sauti kubadilika na kuanza kukoroma n.k

package zetu za VIDONDA VYA tumbo zinatoa matokeo ya haraka na kuponesha kabisa. Dozi ni ya mwezi mmoja
0757 046 981

+255676737155

Address

Mliman City
Dar Es Salaam

Telephone

+255676737155

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JJ AFYA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to JJ AFYA:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram