ZEDD Pharmacy

ZEDD Pharmacy IMMORTALIZING HEALTH. Pharmaceuticals | Medical Tourism | Supply Chain | Medical Equipments

10/02/2026

Bingwa wa kutoa:
- Chunusi
- Darkspots
- Excess Oil

💰Bei: 50,000/=
📍ZEDD Pharmacy: Sinza, Dar & SGR Station Dodoma

Sorbet Salted Caramel: Body Mist & Hand Cream💰Bei: 50,000 complete setLimited stock🔔📍ZEDD Pharmacy: Sinza, Dar & SGR Sta...
06/02/2026

Sorbet Salted Caramel: Body Mist & Hand Cream

💰Bei: 50,000 complete set
Limited stock🔔
📍ZEDD Pharmacy: Sinza, Dar & SGR Station, Dodoma.

06/02/2026

Serum hizi ni suluhisho kamili kwa waliopata changamoto za ngozi kutokana na
☀️ jua kali
🧴 matumizi ya mafuta makali
😩 stress na uchovu wa ngozi
🌿 Hatua ya 1:
Repairing Serum Cream
✔️ Hutoa sumu na athari mbaya kwenye ngozi
✔️ Hutuliza na kurekebisha ngozi iliyoharibika
🌸 Hatua ya 2:
Nourish + Restore Ceramide Serum
✔️ Hulisha ngozi kwa undani
✔️ Hurudisha muonekano mzuri na mng’ao wa asili ✨
💰 Bei: 25,000/= kila moja
📍 Inapatikana: Sinza, Dar es Salaam & SGR Station, Dodoma

06/02/2026
Pregnacare Plus Omega-3 imeundwa kumsaidia mama mjamzito tangu mwanzo hadi mwisho wa ujauzito 🤍✔️ Husaidia ukuaji wa ubo...
02/02/2026

Pregnacare Plus Omega-3 imeundwa kumsaidia mama mjamzito tangu mwanzo hadi mwisho wa ujauzito 🤍
✔️ Husaidia ukuaji wa ubongo na macho ya mtoto (DHA)
✔️ Huongeza damu na nguvu kwa mama
✔️ Huimarisha kinga ya mwili
✔️ Husaidia ukuaji wa mifupa na mfumo wa fahamu wa mtoto

💰 Bei: Tsh 55,000

📍 Inapatikana ZEDD Pharmacy

02/02/2026

Slimming Capsules - 30,000
Herbal Tea - 25,000

📍Sinza Mapambano & SGR Station, Dodoma

Ijumaa ni siku maalum kwa ushauri wa ngozi na bidhaa sahihi za matumizi.Mtaalamu wetu yupo tayari kukusikiliza, kuelewa ...
30/01/2026

Ijumaa ni siku maalum kwa ushauri wa ngozi na bidhaa sahihi za matumizi.
Mtaalamu wetu yupo tayari kukusikiliza, kuelewa changamoto zako za ngozi, na kukushauri bidhaa zitakazokusaidia kupata ngozi yenye afya na muonekano bora zaidi.

📍 Karibu sana ZEDD Pharmacy
⏰ Mtaalamu wetu yupo hadi saa 3 usiku

Afya ya mwanamke ni zaidi ya kile tunachokiona nje.Uchovu wa mara kwa mara, mood kubadilika, stress na kukosa nguvu vina...
29/01/2026

Afya ya mwanamke ni zaidi ya kile tunachokiona nje.
Uchovu wa mara kwa mara, mood kubadilika, stress na kukosa nguvu vinaweza kuwa ishara kwamba mwili hauko balanced.
Kujijali ni hatua ya kwanza ya afya bora 🤍

Mwili wako unakuhitaji, usiupuuze.

28/01/2026

Habari wateja wetu wapendwa,
Tunapenda kuwataarifu kuwa pharmacy zetu zote hufungwa saa 5:00 kamili usiku kuanzia Jumapili hadi Alhamisi.
Kwa siku za Ijumaa na Jumamosi, pharmacy zetu hufanya kazi kwa masaa 24 bila kufungwa.
Karibuni sana tupo tayari kuwahudumia kwa huduma bora na ya uhakika.
📍Sinza / SGR Station - Dodoma

26/01/2026

Hizi bidhaa ndio siri ya kuwa na ngozi nzuri.

Zote zinapatikana ZEDD Pharmacy
Mawasiliano: 0679960669

Address

66FJ+734, Inbound Street, Dar Es Salaam Dar Es Salaam TZ, 00255 Dar Es Salaam Dar Es Salaam 00255
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ZEDD Pharmacy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to ZEDD Pharmacy:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram