25/10/2022
TUNAKUONDOLEA KERO SUGU YA VIDONDA VYA TUMBO.
Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula katika mwili wa binadamu, ambapo kuta za mfumo wa uchakataji wa chakula huchubuka.
●Ni vidonda vinavyopatikana ndani ya mfumo wa tumbo.
●Ugonjwa huu huathiri zaidi watu wazima na kwa kiasi kidogo sana kwa watoto wadogo.
👉Viashiria vya kuwa kuna tatizo la vidonda ndani ya tumbo ni;
1)Kuwa na maumivu makali hasa baada ya kula,
2) Kuumwa tumbo baada ya kula vyakula k**a dagaa, maharage na pilipili,
3) Kuumwa mgongo au kiuno,
4)Kiungulia,
5)Tumbo kujaa gesi,
6Tumbo kuwaka moto,
7)Kukosa choo au kupata choo kwa shida, 8)Kutapika nyongo, kichefuchefu na Kushindwa kupumua vizuri K**a Awali.
●Na Vidonda vya tumbo huweza kuwa;
~Ndani ya mfuko wa tumbo kuu la kuhifadhi chakula na vikiwa huko hufahamika k**a Gastric Ulcers
~Sehemu ya mwanzo ya utumbo mwembamba na huitwa Duodenal Ulcers
~Sehemu ya mwisho/chini ya koromeo la chakula na huitwa Esophageal Ulcers
》Vidonda vya tumbo husababishwa na;
●Tindikali (Acid) inayopatikana ndani ya tumbo,
~ Kutokula chakula kwa wakati unaostahili,
~ Msongo mkali wa mawazo, Kula vyakula vyenye tindikali (acid) nyingi mara kwa mara,
~ Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori) bacteria hawa huanza kushambulia baada ya kuta za tumbo kuchubuliwa na acid,
~ Uvutaji wa sigara na matumizi ya vilevi vikali.
👉Tatizo la vidonda vya tumbo lisipotibiwa hupelekea;
●Kupata haja kubwa iliyochanganyika na damu,
●Kuchoka bila sababu maalumu,
● Kupungua kwa nguvu za kijinsia,
● Kizunguzungu,MAUMIVU YA TU
● Sehemu za mwili kupata ganzi,
●Kusahausahau na hasira bila sababu,
● Kukosa hamu ya kula.
●Kuhisi Maumivu Makali kifuani.
●Miguu kuwaka Moto.
●Kikohozi kuambatana Na damu .
👉changamoto ya vidonda vya tumbo kwa kuponyesha michubuko kwenye kuta za tumbo na kuua bacteria wanaochagiza tatizo la vidonda vya tumbo.
Na dawa hii haina madhara kwa mtumiaji.
-CHUPA MOJA NI 25000.
-DOZI YAKE NI CHUPA 4 KUMALIZA TATIZO KABISA.
-WASILIANA NASI KWA WASAP NAMBA 0755330730