Afya kwanza

Afya kwanza �Ushauri/Elimu/Tiba�
1.Afya ya uzazi��
2.Magonjwa ya wanawake
3.Magonjwa ya wanaume
4.Magonj

PID(PELVIC INFLAMMATORY DISEASE AU MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI) UGONJWA WA PID NI NINI??Ni ugonjwa wa maambukizi una...
17/04/2024

PID(PELVIC INFLAMMATORY DISEASE AU MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI)

UGONJWA WA PID NI NINI??
Ni ugonjwa wa maambukizi unaotokea katika via vya uzazi vya mwanamke ambapo huhusisha maambukizi katika shingo ya kizazi (CERVICITIS) , nyama katika mfuko wa uzazi (ENDOMETRITIS) na mirija ya uzazi (SALPINGITIS)

VYANZO NA VIHATARISHI VYA KUPATA UGONJWA WA PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)
Vimelea aina ya NEISSERIA GONORHOEAE pamoja na CHLAMYDIA TRACHOMATIS ndio chanzo cha
maambukizi ya ugonjwa wa PID ingawaje kuna aina kadhaa za vimelea vinahusishwa kusababisha ugonjwa wa PID hivyo nilivyotaja ndio vinaongoza Kwa umaarufu kusababisha ugonjwa wa PID.

Pamoja na vimelea hao kuwa chanzo kikuu cha
ugonjwa wa PID zipo njia KADHAA HATARISHI
KUSABABISHA MAAMBUKIZI HAYA NAZO NI;

*kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango.

*Kufanya ngono isiyo salama

*Maambukizi ya njia za uzazi mara baada ya kujifungua au mimba kuharibika.

*Kuambukizwa kupitia damu yenye vimelea wa PID.

*Kupata maambukizi wakati wa kutoa mimba kwa njia isiyo salama.

DALILI/VIASHIRIA VYA UGONJWA WA PID
Kuna dalili mbalimbali zinazoweza kuashiria ugonjwa huu
wa PID miongoni mwa dalili hizo ni,
*Mwanamke kupata maumivu ya tumbo hasa maeneo ya
chini ya kitovu.
*Kupata maumivu wakati wa kukojoa.
*Kupata homa na kuhisi kichefuchefu.
*Kupata maumivu ya mgongo na kutapika
*Kutokwa na hedhi bila mpangilio
*kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
*Kutokwa na uchafu(utoko)mweupe ukeni unaotoa
harufu mbaya.

NAMNA YA KUJIEPUSHA NA UGONJWA WA PID
Pamoja na kuwepo kwa dawa za kutibu tatizo hili ni vyema ukajiepusha na vihatarishi vya kupata tatizo hili kwa kuzingatia yafuatayo,
*Epuka kufanya ngono isiyo salama.
*Jiwekee tabia ya kufanya vipimo mara kwa mara hasa
kizazi.

*Usifanye mapenzi mara baada ya kujifungua au mimba
kutoka mpaka utakapohakikisha shingo ya uzazi
imefunga vema.

*Kuwahi kuonana na daktari unapoona dalili za ugonjwa
*Kuwa msafi na kula lishe bora
Note:
Uonapo dalili za ugonjwa huu wahi kupata matibabu
kwani ugonjwa huu ni mkubwa huweza kusababisha
ugumba ikiwa hautapata tiba vizuri.
asante kwa kuwa nami kusoma ujumbe huu rafiki k**a una

Tangazo Tangazo Tangazo🧼🫧ANATIC SOAP 🧼 Ni Sabuni Nzuri Sana Kwa Kuogea, Yenye FAIDA 👉Ina harufu Nzuri 👉Inangarisha Ngozi...
14/11/2022

Tangazo Tangazo Tangazo
🧼🫧ANATIC SOAP 🧼 Ni Sabuni Nzuri Sana Kwa Kuogea, Yenye FAIDA
👉Ina harufu Nzuri
👉Inangarisha Ngozi
👉Inaondoa Madoa Sugu,
👉Inaondoa Harara
👉Inaondoa Chunusi
👉Muwasho, Rashes Na  Inarudisha Ngozi  iliyokak**aa  Kurudi Kwenye Hali Nzuri 😊
Ni Nzuri Kwa Kuogea na Inatumiwa Na Watu Wote Wanawake kwa Wanaume
🧼🫧Povu la Kutosha na Harufu Nzuri Unaweza kupiga Namba
+255622198368
         Au
+255758077020

MTOTO WA KIUME AU WA K**E ANATOKEAJE? Katika urutubishaji yai la mwanamke linabeba chromosome X yani XXNa mbegu ya mwana...
16/09/2022

MTOTO WA KIUME AU WA K**E ANATOKEAJE?

Katika urutubishaji yai la mwanamke linabeba chromosome X yani XX
Na mbegu ya mwanaume inabeba chromosome XY
Chromosome X kutoka kwa mwanamke ikikutana na Y kutoka kwa mwanaume mtoto wa kiume hupatikana
Chromosome X kutoka kwa mwanamke ikikutana na X kutoka kwa mwanaume mtoto wa k**e hupatikana
FAHAMU SIFA ZA CHROMOSOMES X na Y za mwanaume
Ili uweze kufanikiwa kuchagua mtoto wa kiume au wa k**e lazima ujue sifa za chromosomes hizi zinazoamua jinsia ya mtoto.

SIFA ZA CHROMOSOMES Y

1.Zina spidi kubwa sana kwahiyo k**a yai lipo tayari zenyewe zitawahi kwenda kurutubisha
2.Zina maisha mafupi sana kulinganisha na X

SIFA ZA CHROMOSOMES X

1.Zina spidi ndogo sana
2.Zina maisha marefu kulinganisha na Y
Baada ya kujua sifa za chromosome ambazo ndo zinatusaidia kuamua jinsia twende moja kwa moja kwenye jinsi ya kupata mtoto wa jinsia unayotaka.

MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA KUAMUA JINSIA

1.Lazima mwanamke ajue mzunguko wake (menstrual cycle)siku ya 1-28
2.Lazima mzunguko wako uwe na mpangilio sahihi(unaweza ukachunguza mzunguko wako kwa miezi minne mfululizo)
3.PH ya uke lazima iwe kiwango sahihi 4-5.5(Tumia neplily pad kwa kuwa na PH sahihi
4.Ushirikiano kati ya mwanamke na mwanaume

JINSI YA KUPATA MTOTO WA KIUME

Ili uweze kupata mtoto wa kiume kisayansi unashauriwa kushiriki tendo la ndoa siku ambayo yai litakuwa limetoka k**a mzunguko wako uko sahihi ni siku ya 14
Njia nyingine ya kujua yai limetoka baba anaingiza vidole viwili ukeni wakati wa asubuhi na ukikuta uteute ujue yai limetoka kwahiyo jioni mnashiriki tendo la ndoa kwa ajili ya kupata mtoto wa kiume

KWANINI USHIRIKI TENDO LA NDOA WAKATI YAI LIMETOKA ILI KUPATA MTOTO WA KIUME?
Kisayansi chromosome Y ambayo inahusika katika kutunga mimba ya mtoto wa kiume ina spidi kubwa sana ni nyepesi na haiwezi kisihi mda mrefu kwahiyo ukishiriki tendo la ndoa wakati yai limetoka maana ake unaongeza nafasi ya kupata mtoto wa kiume

JINSI YA KUPATA MTOTO WA K**E
Ili ufanikiwe kupata mtoto wa k**e utatakiwa ushiriki tendo la ndoa siku tatu kabla ya yai kupevuka yani hapa ni baada ya kujua mzunguko
KWANINI USHIRIKI TENDO LA NDOA SIKU TATU KABLA
Hii ni kwasababu chromosome X ambazo ndo zinaunda mtoto wa k**e huwa zina sifa ya kuwa na maisha marefu na kutembea taratibu hivyo yai likitolewa litakuta chromosome X ziko hai

KUNA BAADHI YA WAZEE WA ZAMANI WANAAMINI HAYA KATIKA KUPATA MTOTO WA JINSIA UNAYOTAKA.

KUPATA WA K**E
Kula samaki ,mboga za majani,matunda,bidhaa za maziwa,mbegu za matikiti majia na alzeti nk
Wakati wa kufanya tendo la ndoa mwanamke akae juu nk

KUPATA WA KIUME
Kula nyama, ndizi ,Vyakula vya chumvi k**a chips ila usizidishe kiwango kingi chumvi,karanga na vyakula vingine vya potassium na sodium
Chromosomes Y zinahitaji pH ya alkane kuliko asidi ndio maana wazee waliona hili
Kuna mengi kuhusu wazee wa zamani ila nmeongelea haya ya mlo kwa maana yana mantiki kibaiolojia

MAMBO YANAYOWEZA ATHIRI KUPATA MTOTO UNAYEMTAKA
1.Kushindwa kuhesabu siku.
2.Mzunguko mbovu wa hedhi.

Wasiliana nasi kwa
What'sapp/piga
0758077020

Karibu kwa huduma bora zaidi
10/08/2022

Karibu kwa huduma bora zaidi

WASILIANA NASI KWA:whatsapp/piga+255758077020 👈🏼        Au+255622198368[  ] 《Tunajali Afya Yako...Karibu Sana》□
31/07/2022

WASILIANA NASI KWA:
whatsapp/piga
+255758077020 👈🏼
        Au
+255622198368

[  ] 《Tunajali Afya Yako...Karibu Sana》□

KWA MAWASILIANO ZAIDIwhat'sapp/piga +255758077020       Au +255622198368
29/07/2022

KWA MAWASILIANO ZAIDI
what'sapp/piga
+255758077020
Au
+255622198368

WASILIANA NASI KWA:whatsapp/piga+255758077020 👈🏼        Au+255622198368[  ] 《Tunajali Afya Yako...Karibu Sana》□
29/07/2022

WASILIANA NASI KWA:
whatsapp/piga
+255758077020 👈🏼
Au
+255622198368

[ ] 《Tunajali Afya Yako...Karibu Sana》□

Karibu N.G's Herbal clinic Kwa mawasiliano zaidi tuma ujumbe wako kwa njia ya;Whatsapp au piga +255758077020         Au+...
16/07/2022

Karibu N.G's Herbal clinic
Kwa mawasiliano zaidi tuma ujumbe wako kwa njia ya;
Whatsapp au piga
+255758077020
Au
+255622198368

*NG'S_Herbal clinic care comes with us*

16/07/2022

Karibu N.G's Herbal clinic
Kwa mawasiliano zaidi tuma ujumbe wako kwa njia ya;
Whatsapp au piga
+255758077020
Au
+255622198368

*NG'S_Herbal clinic care comes with us*

ZIJUE DALILI NA MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO (PEPTIC ULCER)Vidonda vya tumbo(Peptic Ulcer)Ni tatizo linalotokea baada ya...
16/07/2022

ZIJUE DALILI NA MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO (PEPTIC ULCER)
Vidonda vya tumbo(Peptic Ulcer)

Ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda, hii hutokea baada ya kuharibika kwa ukuta wenye ute unaozuia kemikali kuyeyusha chakula unaoitwa mucus.

*CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO*

✅Bacteria waitwao Helicobacter pylori

✅Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu k**a asprin

✅Matumizi ya pombe na vinywaji vikali

✅Kuwa na mawazo mengi.

*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO*

✅Kupata maumivu ya tumbo yanayokua k**a moto(kuunguza) baada na kabla ya kula

✅Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo

✅Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa

✅Kichefuchefu na kutapika(wakati mwingine kutapika damu)

✅Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito

*MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO*

✅Saratani ya tumbo(Stomach Cancer)

✅Upungufu wa damu(Anemia)

✅Kuvuja kwa damu ndani ya mwili(Internal bleeding)

✅Kupungua kwa nguvu za kiume

UTANGULIZI – LIJUE TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUMEUpungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi k...
16/07/2022

UTANGULIZI – LIJUE TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. atizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.

Hili tatizo huwanyima watu raha kwa kuwa na mawazo, kuwa na matatizo katika mahusiano, watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji kutumia dawa zisizo na madhara na kubadilisha mitindo ya maisha yao ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo, cha msingi ni kuzingatia yale utakayoelekezwa.

Kuna matatizo ya kutofanya mapenzi kikamilifu, nayo ni; kuwahi kumwanga mbegu za uzazi, Kuto kumwaga, kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa

CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;

• Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo

• Kuvuta sigala na unywaji wa pombe

• Uzito kupita kiasi na unene uliozidi

• Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi

• Kisukari

• Kuwa na mawazo na wasiwasi

• Matumizi ya madawa mbalimbali

• Umri hasa wazee

• Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili

• Kuwa na tatizo la kibofu

• Tabia za kujichua kwa mda mrefu

• Kutopata usingizi kamili

• Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni k**a;

• Kuwahi kufika kileleni

• Kukosa hamu ya mapenzi

• Kushindwa kurudia tendo la ndoa

• Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha

• Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji

• Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo

• Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)

• Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji

JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME

• Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku

• Kula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi

• Tibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini k**a kisukari, moyo, punguza unene na mengine

• Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol) au mafuta yaliyozidi

• Balansi usito wako

• Usivute sigara

• Punguza au acha kunywa pombe

• Punguza mawazo

• Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali

• Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9

• Usitumie dawa zenye kemikali nyingi huathiri mfumo wa uzazi

• Kunywa maji ya kutosha

TIBA YA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Hili ni tatizo ambalo huwanyima raha watu wengi kwasababu linaashiria upungufu flani wa kimwili, tunawashauri watu wengi wafanye mazoezi, kula chakula bora hasa asilia na pia wanywe maji mengi ili kuimarisha afya zao. Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linaondolewa japo ni kwa mda mrefu kidogo, wengi hudanganywa na kupewa dawa za kuongeza nguvu pale unapoenda kujamiiana na sio dawa ya kutibu.

Tuna dawa ya kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa. Dawa hiyo hutibu kwa mda kulingana na ukubwa wa tatizo, ukianza kutumia baada ya wiki mbili huonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa utumie kwasababu kuna mtindo wa maisha unaendekea kuongeza tatizo pia kuna mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa.

Tunamshukru Mungu kwa uumbaji wake na kutupa dawa ambazo alizileta ili kutuimarisha na kutuponya, Mungu hakuumba dawa nyingine zaidi ya mimea na vitu vingine vya asili, japo wengi hudharau. Mungu tunaomba utuokoe na kutuponya.

Kwa mawasiliano zaidi what'sapp/piga +255758077020 Au +255622198363

Karibu sana...✍🏽

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya kwanza:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram