UmmuAyman Mapishi

UmmuAyman Mapishi Karibu ujipatie Elimu ya Mapishi kwa kujifunza Mapishi aina mbalimbali na vitabu vitakavyokusaidia kukupa muongozo ukiwa nyumbani tu na simu yako

TUPIGIE +255712730178

TUNAUZA VITABU VYA MAPISHI TZUNATUMIWA VITABU VYAKO KWANZA WHASAP KISHA NDIO UNAFANYA MALIPO👏Bofya link kuingiahttps://w...
31/01/2026

TUNAUZA VITABU VYA MAPISHI TZ

UNATUMIWA VITABU VYAKO KWANZA WHASAP KISHA NDIO UNAFANYA MALIPO👏
Bofya link kuingia

https://wa.me/c/255712730178
👇👇👇👇
https://wa.me/c/255712730178

Bofya link kuingia wats App
1.âž–Kitabu Cha Mapishi Mazuri

2.âž–Kitabu Cha Mapishi ya Keki

3.âž–Kitabu Cha Upambaji wa Keki

4.âž–Kitabu Cha Vitafunwa

5.âž–Kitabu Cha Juice za Matunda Part: 1

6.âž–Kitabu Cha Juice za Matunda Part: 2

7.âž–Kitabu cha Ice-Cream za Biashara

8.âž–Kitabu Cha Lishe za Watoto

➖ Kila kitabu ni sh 1000 tu 👌

➖Ukihitaji Vitabu vyote 8 Utapatiwa kwa Ofa ya sh Elfu 4 tu 👏👏👏

➖ HATUNA UTAPELI 👌
👇👇👇
➖Tunakutumia Vitabu vyako kwanza ndio Unafanya Malipo 👏👏

(NI RAHISI SANA KUPATA VITABU VYAKO)

➖Ofa hii sio kwa Watu wote ni kwa Watu 100 wa Mwanzo tu👌

âž–Kitabu ni Softcopy

âž–LUGHA YA VITABU : KISWAHILI

âž–Nahitaji Wateja Serious tu ambao wanahitaji Vitabu

👇👇👇👇
➖Chagua Vitabu unavyohitaji hapo,Kama unahitaji WEKA NAMBA YAKO ya Whasap hapa Chini👏👏👏

Mapishi Ya Rojo TanzaniaRojo ni chakula maarufu kinachoweza kupikwa kwa mboga mbalimbali k**a viazi, ndizi, nyama, au sa...
29/01/2026

Mapishi Ya Rojo Tanzania

Rojo ni chakula maarufu kinachoweza kupikwa kwa mboga mbalimbali k**a viazi, ndizi, nyama, au samaki.

Ina ladha tamu na yenye viungo vinavyoongeza utamu wake.

Hapa kuna mapishi rahisi ya Rojo ya viazi na nyama.

1. Rojo Ya Viazi

Viungo:

Viazi – ½ kilo (vilivyomenywa na kukatwa)

Kitunguu maji – 1 (kilichokatwa)

Nyanya – 2 (zilizosagwa)

Karoti – 1 (iliyokatwa vipande vidogo)

Pilipili hoho – 1 (iliyokatwa vipande vidogo)

Vitunguu saumu – vijiko 2 vya chai

Tangawizi ya unga – kijiko ½ cha chai

Chumvi – kiasi

Mafuta ya kupikia – vijiko 3 vya chakula

Maji – vikombe 2

Majani ya giligilani (coriander) kwa harufu nzuri

Maelekezo:

Kaanga kitunguu maji kwenye mafuta hadi kibadilike rangi.

Ongeza vitunguu saumu, tangawizi, na nyanya zilizopondwa, kisha pika kwa dakika 5.

Ongeza karoti, pilipili hoho, na chumvi, kisha koroga vizuri.

Weka viazi na changanya vizuri.

Ongeza maji na funika sufuria. Pika kwa dakika 15 hadi viazi viwe laini.

Nyunyiza majani ya giligilani juu na uache rojo itulie kwa dakika chache kabla ya kutumikia.

2. Rojo Ya Nyama

Viungo:

Nyama ya ng’ombe – ½ kilo (iliyokatwa vipande vidogo)

Kitunguu maji – 1 (kilichokatwa)

Nyanya – 2 (zilizosagwa)

Pilipili hoho – 1 (iliyokatwa)

Karoti – 1 (iliyokatwa)

Viazi – 2 (vilivyokatwa)

Vitunguu saumu – vijiko 2 vya chai

Tangawizi ya unga – kijiko ½ cha chai

Chumvi na pilipili – kiasi

Mafuta ya kupikia – vijiko 3 vya chakula

Maji – vikombe 2

Majani ya giligilani kwa harufu nzuri

Maelekezo:

Chemsha nyama hadi ilainike kisha iweke pembeni.

Kaanga kitunguu maji kwenye mafuta hadi kibadilike rangi.

Ongeza vitunguu saumu, tangawizi, na nyanya, kisha pika kwa dakika 5.

Weka pilipili hoho, karoti, na viazi, kisha changanya vizuri.

Ongeza nyama iliyoiva na koroga.

Mimina maji, funika sufuria, na pika kwa dakika 20 hadi viungo vyote viive.

Nyunyiza majani ya giligilani na uache rojo ipoe kidogo kabla ya kutumikia.

Hitimisho

Rojo ni chakula kitamu na rahisi kupika.

Unaweza kubadilisha viungo kulingana na upendeleo wako.

Furahia Roj

Usikose ku Follow page yetu ujipatie mapishi mbalimbali kila sikuUmmuAyman Mapishi
26/01/2026

Usikose ku Follow page yetu ujipatie mapishi mbalimbali kila siku

UmmuAyman Mapishi

KUWA MPISHI BORA NDANI YA MUDA MFUPI JIFUNZE KUPIKA MAPISHI RAHISI 🍓TUNAUZA VITABU VYA MAPISHI SOFT COPY VIKO NA MAPISHI...
16/12/2025

KUWA MPISHI BORA NDANI YA MUDA MFUPI
JIFUNZE KUPIKA MAPISHI RAHISI 🍓

TUNAUZA VITABU VYA MAPISHI SOFT COPY
VIKO NA MAPISHIđź«‘ MENGI MCHANGANYIKO

Bonyeza Link kuingia wats App moja kwa moja

/255712730178
👇👇👇👇
https://wa.me/c/255712730178

Bofya link kuingia wats App

1.âž–Kitabu Cha Mapishi Mazuri

2.âž–Kitabu Cha Mapishi ya Tofauti tofauti

3.âž–Kitabu Cha Upambaji wa Keki za kisasa

4.âž–Kitabu Cha Vitafunwa na vyakula

5.âž–Kitabu Cha Juice za Matunda na biashara

6.âž–Kitabu kutumia viungo kwenye mapishi yako

7.âž–Kitabu cha kutengeneza viungo vya chakula

8.âž–Kitabu Cha Lishe za Watoto kuanzia miezi sita

9âž–Kitabu cha barafu za biashara

10.âž–Kitabu cha mapishi mchanganyiko wali kuku, pilau, samaki
Nk..

11âž–Kitabu cha kutengeneza sabuni za viwandani

➖ Kila kitabu ni sh 1500tu 👌

➖Ukihitaji Vitabu vyote 8 Utapatiwa kwa Ofa ya sh Elfu 4 tu 👏👏👏

➖ HATUNA UTAPELI 👌
👇👇👇
➖Tunakutumia Vitabu vyako kwanza ndio Unafanya Malipo 👏👏

(NI RAHISI SANA KUPATA VITABU VYAKO)

➖Ofa hii sio kwa Watu wote ni kwa Watu 100 wa Mwanzo tu👌

âž–Kitabu ni Softcopy

âž–LUGHA YA VITABU : KISWAHILI

âž–Nahitaji Wateja Serious tu ambao wanahitaji Vitabu

👇👇👇👇
➖Chagua Vitabu unavyohitaji hapo,Kama unahitaji WEKA NAMBA YAKO ya Whasap hapa Chini👏👏👏

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255757917009

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when UmmuAyman Mapishi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to UmmuAyman Mapishi:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram