05/12/2025
“Kuna kipindi mtu anaonekana yuko vizuri, anacheka, anapost, anaonekana yuko strong… lakini moyoni anapigana na vita ambazo hajawahi kumwambia mtu yeyote.
K**a leo umepitia hapa, nakutumia nguvu hutakiwi kupigana peke yako.”
➡️ “Ulipofika mwisho wa nguvu zako mara ya mwisho, ni kitu gani kilikusaidia kusimama tena?