Afya ya mifupa na viungo

Afya ya mifupa na viungo nasaidia watu kutatua changamoto za afya kama BAWASILI , UVIMBE, TEZI DUME, UTI,PID,UZAZI,KISUKARI NK

MVURUGIKO WA HOMONI HORMONE IMBALANCE #0756601653Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua k...
16/03/2023

MVURUGIKO WA HOMONI HORMONE IMBALANCE
#0756601653
Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%.

VYANZO/SABABU ZA MVURUGIKO WA HOMONI

Mvurugiko wa homoni ni tatizo linalowakumba wanawake wengi kwa sasa, hii ni kutokana na maisha wanayoishi, elimu finyu waliyonayo juu ya afya zao na kutokula kulingana na makundi ya damu. Vyanzo vya kuvurugika kwa homoni ni:

-Uwepo wa sumu mwilini
-Unbalanced Lifestyle (mfumo mbovu wa maisha)
-Umri ukienda sana
-Kukoma kwa hedhi
-Kutofanya mazoezi, na kutokulala masaa anayostahili kwa siku
-Uzito mkubwa
-Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa
-Msongo wa mawazo
-Upungufu wa lishe mwilini
-Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
-Utoaji wa mimba
-Family History (Upungufu au ongezeko ya homoni ya progesterone na Estrogen)
- Wanawake wa Afrika wengi wana hili tatizo la ongezeko ya Homoni ya Estrogen, ndiyo maana wana maumbile makubwa"

DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI

Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi kadri umri unavyo songa mbele. Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile:
- Ukavu ukeni
- Maumivu wakati wa tendo la ndoa
- Kutoa jasho usiku
- Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
- Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
- Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7.
- Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
- Uchovu wa mara kwa mara
- Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
- Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k)
- Maumivu ya viungo
- Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
- Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)
- Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea

MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONI

Pamoja na dalili nyingi tulizoziona tungependa wanawake waelewe vitu vifuatavyo hutokea iwapo atatumia njia za kisasa za uzazi wa mpango. Njia hizo husababisha saratani ya kizazi, CD4 kushuka, sehemu ya uke kuwa baridi, huchangia kwa 50% kufanyiwa upasuwaji (operation) wakati wa kujifungua, huathiri mtoto atakayezaliwa, huathri ubongo (inapunguza uwezo wa kufikiria), kutokwa na majimaji yenye harufu mbaya ukeni na magonjwa ya mara kwa mara.
Ukiendelea kubaki na dalili tajwa hapo awali kwa muda mrefu, kinga ya mwili itashuka kwa kiasi kikubwa na kusababisha madhara mengi k**a yafuatayo:
-Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
-Mimba kuharibika mara kwa mara;
-Kukosa mtoto au Ugumba
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
-UTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara
-Maambukizi kwenye njia ya uzazi (PID)

DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA1. Maumivu kwenye Magoti2. Magoti kushindwa kujikunja3. Kushindwa kupanda nganzi kwa urahisi4. ...
26/02/2023

DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA
1. Maumivu kwenye Magoti
2. Magoti kushindwa kujikunja
3. Kushindwa kupanda nganzi kwa urahisi
4. Kusikia milio ya mifupa kugusana kwenye Magoti
MGONGO/UTI WA MGONGO
1.Maumivu kwenye mgongo
2.Kushindwa kuinama
3.Kusikia maumivu makali wakati wa kuinama
4. Kusikia nganzi kwenye mapaja au miguuni
BEGA (SHOULDER JOINT)
Kushindwa kunyanyua mkono na kusikia maumivu makali kwenye bega
Kwa msaada ,ushauri na matibabu zaidi piga sim nambari 0756601653

RHEUMATIC ARTHRITISTatizo hili hutokea pale ambapo Kinga ya mwili imegeuka na kutafuna cartilage ( gegedu )Hili linawapa...
26/02/2023

RHEUMATIC ARTHRITISTatizo hili hutokea pale ambapo Kinga ya mwili imegeuka na kutafuna cartilage ( gegedu )Hili linawapata watu wote ,watoto, vijana na watu wazima Hili ni moja ya Tatizo linaloitwa AUTOIMM. Kwa maelezo na ushauri Zaidi piga sim 0756601653

SABABU ZINAZO ONGEZA KASI YA KUTOKEA KWA OSTEOARTHRITIS (TATIZO LINALO ATHIRI VIUNGO)1. Uzito uliopindukia 2.Historia ya...
22/02/2023

SABABU ZINAZO ONGEZA KASI YA KUTOKEA KWA OSTEOARTHRITIS (TATIZO LINALO ATHIRI VIUNGO)
1. Uzito uliopindukia
2.Historia ya Familia
3. AjariSABABU ZINAZO ONGEZA KASI YA KUTOKEA KWA OSTEOARTHRITIS (TATIZO LINALO ATHIRI VIUNGO)
1. Uzito uliopindukia
2.Historia ya Familia
3. Ajari
4.kutumikisha viungo kupita kiasi mfano wanamichezo ,wanamazoezi nk
4.kutumikisha viungo kupita kiasi mfano wanamichezo ,wanamazoezi nk
Kwa msaada na ushauri piga sim nambari 0756601653

OSTEOARTHRITIS.× Hili ni tatizo linaloathiri viungo na linalotokana na Umri.× Hutokea baada ya gegedu(cartilage) kulika ...
22/02/2023

OSTEOARTHRITIS.
× Hili ni tatizo linaloathiri viungo na linalotokana na Umri.
× Hutokea baada ya gegedu(cartilage) kulika kwenye viungo pia Ute Ute kutisha
× Huathiri viungo mbalimbali k**a vile pingili za Ute wa mgongo,nyonga,magoti mk

KUMBUKA
1.Viungo ni muunganiko kati ya mifupa miwili (mfupa na mfupa)
2.Katikati ya viungo Kuna gegedu (cartilage), Hii ni plastic ya asili inayozuia mfupa na mfupa visigusane kwenye viungo
3. Pia kwenye viungo Kuna Ute Ute unaitwa synovial fluid
4.Osteoarthritis Hutokea pale ambapo gegedu (Cartilage) imelika na Ute Ute umepungua kwenye viungo
5 Gaut arthritis

SABABU KUU INAYOPELEKEA KUTOKEA KWA OSTEOARTHRITIS
1.Virutubisho vinavyosaidia kuimarisha gegedu vinapopungua mwilini mfano glucosamine
a. Mara nyingi virutubisho hupungua Kwa sababu ya Umri unavyozidi kwenda .
b. Inasenekana mtu akifikisha miaka 30 mwili hushindwa kuendelea kutengeneza virutubisho vinavyotengeneza gegedu (cartilage)
+255756601653 piga Kwa tiba na ushauri

Address

Ilala
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya mifupa na viungo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram