AFYA NI Utajiri wako

AFYA NI Utajiri wako Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA NI Utajiri wako, Medical and health, Mikocheni, Dar es Salaam.

20/11/2020

Ujumbe mfupi kwa siku ya leo

*UKWELI NI KWAMBA MWANAUME UNA UWEZO WA KUDUMU NDANI YA MCHEZO ZAIDI YA MASAA 2🤫*

✍🏻Asilimia kubwa ya wanaume, takwimu zinaonyesha wanatumia dakika 5 mpaka 10 kupata mshido wa kwanza, lakini Kumbuka, kumfikisha mwenza wako kileleni, maandalizi ni muhimu.

✍🏻Na sio pale mnapokuwa uwanjani, nazungumza aina ya vyakula unavyo kula kila siku, je unakula lishe kamili inayokuwezesha kupata nguvu stahiki🤔🤷🏻‍♂️

✍🏻Jibu ni kuwa mwenendo mbovu wa chakula cha mtanzania wa kawaida cha kila siku huchangia Kukua kwa tatizo hili la kuwahi kufika kileleni. Hivyo Kuna uwezekano wa tatizo kuendelea kuwepo maana tunakula kushiba sio kujenga mwili ambavyo matokeo yake hujaza sumu, kemikali, mafuta, wanga Mwingi: vitu ambavyo Husababisha Utendaji mbovu wa Mfumo wa Uzazi wa mwanaume na kusababisha tatizo husika.

✍🏻Unao uwezo wa kujitibu mwenyewe nyumbani kwako na kwa gharama zako na kwa muongozo unao pata hapa au kwa tiba zetu tunazo kujuza hapa.

⚠️Tiba na chakula tiba tunayotumia kumaliza changamoto uliokuwa nayo ya kuwahi kufika kileleni nayo ni C24/7 na Liven Latte.

➡️Hizi ni supplements, supplements hizi hukusaidia kuongeza Nitric Acid iliyopotea katika sehemu ya uzalishaji wa hamu ya tendo na manii (testosterone hormone) iliyokupelekea uk**aliza mshindo wa kwanza mapema na kushindwa kurudia mwingine kutokana na kutokuwepo mjimaji ya hamu,

➡️Lakini pia zitakusaidia kuweka mzunguko wa damu sawia katika uume wako, na kurudisha uimara uliopotea kwa uwepo wa vimelea sumu wanao punguza nguvu ya mzunguko wa damu (free radicals) na kusababisha uume wako ukishatoa mshindo wa kwanza tu kupoa.

➡️Supplements hizi ukitumia kwa siku 60 hadi 90, kwa 100% tatizo hili hutokaa ukalisikia likirejea kwako tena.

Kwa Msaada;

Piga simu, 0686844408
kupata Maelekezo zaidi.

✍🏻Waweza fika siku yoyote kuweza pata elimu tiba ana kwa ana na kuanza Dozi yako.

Wamikoani tuwasiliane kupata utaratibu kamili.

Karibu sana🤝🏻🤝🏻

, DAWA YA ALKALINE kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... .Ni dawa ya kudumu  yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya ti...
14/06/2020

, DAWA YA ALKALINE kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... .
Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kwa asilimia100 % k**a ifuatavyo.

1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia
2⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
3⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk

4⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka
5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha
6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( s***m mobility)
7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika
8⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU)
9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume
🔟 Inarutubisha mayai
NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA
Epuka aibu hii tumia" ALKALINE " ndio kiboko yao
Karibuni sana ofisini kwetu
Wasiliana kwa 0686844408

Na shuhuda zinazidi kuongezeka kila kukicha

30/05/2020

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.

CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali

Kwa msaada zaidi tucheki whtsap/call 0686844408

NIMEOTA KUNA MWANAMKE ANAWASHWA NGOZI YA CHINIYaaanii namaanisha kwenye Uke wake kuna miwasho inawasha sana, ila sio hil...
05/04/2020

NIMEOTA KUNA MWANAMKE ANAWASHWA NGOZI YA CHINI
Yaaanii namaanisha kwenye Uke wake kuna miwasho inawasha sana, ila sio hili tuu kuna kiharufu huwa kinatokea huku na majimaji machafu

Tena ukiwa unafanya mapenzi unatoa harufu k**a muuza samaki na wakati mwingine unatoa vitu k**a maziwa ya mgando

Madakitari Wengii wanasema ni fangas, wanachofanya wanakuandikia dawa za kuchomeka kwenye uke mwisho wa siku hizo dawa zina kemikari zinahalibu ukuta wa Uke huchochea usugu kwa bacteria, ndio maana baada ya kuweka ugonjwaa unapona kwa muda ugonjwaa huludiii

Baada ya muda au week 2 huaanza kusumbuka UTI ama kuendelea kuwashwa tena Chiniii k**a mwanzo

Sasa tatizo sio fangas kwa taarifa yako hizi ni dalili za kuhalibika kwa kizazi, saratani ya kizazi PID wakati mwingine huwa chanzo cha kuziba milija ya kizazi

KWA KUWA WEWE HUNA AKILI YA KIAFYA ZINGATIIII HAYA

1)kunywa maji mengi ya kutosha

2)kila ukitaka kulala tia kitambaa kisafi weka kitunguu swaumu kisha kiweke ukeni angalau mara 3 kwa siku

3)chukuwa makokwa ya embe kisha saga unga wake weka ukeni kesho tumia kutawazia ukeni

4)Chukuwa mkungu wa ndizi na majani ya parachichi chensha kunywa na mengine tawadhia

5)Chukua majani ya mwarobaini changanya na majani mgomba chensha kunywa

Tafadhali Shere na like nyingi kuweza kusaidia watu
Kwa mawasiliano 0686844408

24/03/2020
FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINY...
28/09/2019

FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINYAA.
👇
Pelvic floor muscle Ni msuli ambao umeshikilia Uume ,Wakati uume unasimama ndio unawezesha Mwanaume kusimamisha uume wake muda Mrefu .Ikiwa Ni Dhaifu uume unasimama kwa muda mfupi unalegea hatimaye uume unasinyaa .

Msuli huu umeunganisha uume na tundu la haja kubwa na sehemu ya mwanzo wa Uti wa Mgongo.(K**a unavyoona kwenye picha ,Hiyo sehemu iliyozungushiwa duara). Kuna vitu ambavyo hulegeza msuli huu na kuufanya kuwa Dhaifu ;

Moja, Bawasili -kutokwa na vinyama sehemu za haja kubwa.

Mbili,Kuvimbiwa (constipation ) tumbo linavyojaa gesi baada ya kushindwa kumeng'enya chakula Fulani,Basi msuli huu hulegea.

Tatu,Kupata Choo kigumu ,Yani ukienda chooni unatumia nguvu nyingi kusukuma haja kubwa.

Nne, Kujichua/punyeto.Punyeto pia husababisha msuli huu kulegea ,na Dalili inaonyesha Wakati wa kutoa mbegu za kiume Yani shahawa utakuta hazitoki kwa kasi ,haziruki zinafanya kudondoka K**a matone ya mvua.Yani zinadondoka tu.

Ikiwa huu msuli wa pelvic floor Ni imara utakuta shahawa zinatoka kwa Kasi na kwa nguvu zinaruka mbali na kwa Presha kubwa .Basi msuli huu ndio hufanya hiyo kazi.

Ukilegea shahawa zinatoka kwa uvivu , zinadondoka tu chini.

Tano, Uzito mkubwa/kitambi pia hulegeza msuli huu.Ndio maana wenye vitambi wengi uume ni mdogo umezama kwa ndani

Kwa upande wa Wanawake msuli huu ukilegea husababisha Uke kupanuka Sana na kuwa mlegevu.kubaini K**a anatatizo hili Ni kuingiza kidole ukeni alafu ajaribu kukibana akishindwa Basi misuli ya pc imelegea.

Waathirika wakubwa wa msuli huu wengi wao ni watu wa maofisini wanaokaa muda mrefu sehem moja, madereva wa magari na bodaboda, wanaojichua, wenye uzito uliopindukia, kisukari ,vidonda vya tumbo nk.
Suluhisho linahitajika mapema sana kabla msuli huo haujaaribika sana. Likiwa sugu litakusumbua.

Suluhisho; Tuma ujumbe kwenda WhatsApp 0686844408 au Piga simu usaidiwe mapema.

Address

Mikocheni
Dar Es Salaam

Telephone

+255658145988

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NI Utajiri wako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram