Nairobi IVF - Dar es Salaam

Nairobi IVF - Dar es Salaam Muujiza wako ndio kazi yetu.

‎Tunapokaribia mwisho wa mwaka 2025, tunatumai kuwa mwanzo mpya utachukua nafasi katika maisha yako.‎Katika Kliniki cha ...
05/12/2025

‎Tunapokaribia mwisho wa mwaka 2025, tunatumai kuwa mwanzo mpya utachukua nafasi katika maisha yako.
‎Katika Kliniki cha Nairobi IVF - Dar es Salaam, tunaamini kila mwisho wa jambo ni fursa ya kuanza upya.

‎Anza safari yako ya uzazi wa mwaka mpya 2026 na:
‎ 👉🏽Ushauri wa Kibinafsi
‎ 👉🏽Matibabu ya IVF
‎ 👉🏽Kuhifadhi Mayai, Mbegu za Kiume na Viinitaji (Embryos)

‎Timu yetu ya wataalam hutoa matibabu ya kibinafsi kwa kutumia teknolojia ya kisasa ili kuongeza nafasi zako za kufaulu

‎Wasiliana nasi sasa ili kupata nafasi yako;
‎🌐 www.nivf-dar.com
‎☎️ +255 742 581 263
‎🏥 Alfa Plaza
‎📍 Ali Hassan Mwinyi Road,
‎Dar es Salaam

‎Nchini Tanzania, kiwango cha uzazi jumla ni watoto 4.6 kwa kila mwanamke.‎Kuna dhana potofu kuhusu uzazi na upangaji uz...
04/12/2025

‎Nchini Tanzania, kiwango cha uzazi jumla ni watoto 4.6 kwa kila mwanamke.
‎Kuna dhana potofu kuhusu uzazi na upangaji uzazi ambazo zinaendelea kuathiri maamuzi ya afya ya uzazi.

‎Hadithi hizi za uongo, ambazo mara nyingi hutokana na miiko ya kitamaduni, ukosefu wa elimu na taarifa potofu, zinachangia viwango vya juu vya mimba zisizotarajiwa, matumizi ya chini ya kupanga uzazi na vizuizi vya kupata huduma za matibabu kwa wakati.

‎Timu yetu ya wataalam hutoa matibabu ya kibinafsi kwa kutumia teknolojia ya kisasa ili kuongeza nafasi zako za kufaulu

‎Wasiliana nasi;
‎🌐 www.nivf-dar.com
‎☎️ +255 742 581 263
‎🏥 Alfa Plaza
‎📍 Ali Hassan Mwinyi Road,
‎Dar es Salaam

03/12/2025
‎TUNAAMINI, MWISHOWE NI MTOTO MIKONONI MWENU!‎Kwa wachumba wanaoingia katika kliniki yetu wakiwa wamevunjika moyo,‎Huwa ...
02/12/2025

‎TUNAAMINI, MWISHOWE NI MTOTO MIKONONI MWENU!
‎Kwa wachumba wanaoingia katika kliniki yetu wakiwa wamevunjika moyo,
‎Huwa mnaacha nyayo za tumaini kwenye sakafu yetu ambazo hazififii kamwe.
‎Kila sindano, kila dawa, kila miadi ya uchunguzi na kila uhamisho unaofanywa kwa wakati sahihi kabisa, ‎ni sisi tunasema:
"Hadithi yenu haitaishia kwa maumivu ya moyo. Itaishia kwa vidole vidogo vinavyo kukumbatia mkono wenu."

‎Sisi tunaamini mwisho huo kwa moyo wetu wote.
‎Na tutaipigania kwa nguvu zote k**a vile nyinyi mnavyopigania furaha.

‎Timu yetu ya wataalam hutoa matibabu ya kibinafsi kwa kutumia teknolojia ya kisasa ili kuongeza nafasi zako za kufaulu

‎Wasiliana nasi;
‎🌐 www.nivf-dar.com
‎☎️ +255 742 581 263
‎🏥 Alfa Plaza
‎📍 Ali Hassan Mwinyi Road,
‎Dar es Salaam

‎Hongera KWA MWEZI MPYA wa DESEMBA !! ‎‎Kutoka kwa timu yako ya Nairobi IVF - Dar es Salaam, Tunakutakia Desemba iliyoja...
01/12/2025

‎Hongera KWA MWEZI MPYA wa DESEMBA !!

‎Kutoka kwa timu yako ya Nairobi IVF - Dar es Salaam, Tunakutakia Desemba iliyojaa matumaini, upendo na baraka nyingi za Mungu.

‎Mwezi huu wa Shangwe na Mwanga ufungue milango ya ndoto zako (Hasa ile ndoto ya kushika mtoto wako mkononi.)

‎Tuko hapa pamoja nawe katika kila hatua ya safari yako ya uzazi. Hongera sana kwa nguvu na moyo wako thabiti!

‎Desemba ijazwe na habari njema kwako na kwa familia yako.
Karibuni sana, tunawapenda!

‎Timu yetu ya wataalam hutoa matibabu ya kibinafsi kwa kutumia teknolojia ya kisasa ili kuongeza nafasi zako za kufaulu

‎Wasiliana nasi;
‎🌐 www.nivf-dar.com
‎☎️ +255 742 581 263
‎🏥 Alfa Plaza
‎📍 Ali Hassan Mwinyi Road,
‎Dar es Salaam

‎IVF Ni Nini? (In Vitro Fertilization)‎Ni mbinu ya kusaidia kupata mimba ambapo mayai ya mwanamke yanachukuliwa, yana ju...
29/11/2025

‎IVF Ni Nini? (In Vitro Fertilization)
‎Ni mbinu ya kusaidia kupata mimba ambapo mayai ya mwanamke yanachukuliwa, yana jumuishwa na mbegu ya mwanamume katika maabara ili kuunda kiinitete (embryo).

‎Kiinitete hicho kisha kinahamishiwa tumboni mwa mwanamke ili kukua na kuwa mtoto.

‎Ni chaguo bora kwa wale wanaopitia matatizo ya uzazi k**a mabomba ya uzazi yaliyoziba, shida za mbegu au endometriosis.

‎Timu yetu ya wataalam hutoa matibabu ya kibinafsi kwa kutumia teknolojia ya kisasa ili kuongeza nafasi zako za kufaulu

‎Wasiliana nasi;
‎🌐 www.nivf-dar.com
‎☎️ +255 742 581 263
‎🏥 Alfa Plaza
‎📍 Ali Hassan Mwinyi Road,
‎Dar es Salaam

Karibu kwenye kliniki yetu ya Nairobi IVF - Dar es Salaam Hapa ndipo matumaini huungana na sayansi.Tuko nawe hatua kwa h...
28/11/2025

Karibu kwenye kliniki yetu ya Nairobi IVF - Dar es Salaam
Hapa ndipo matumaini huungana na sayansi.
Tuko nawe hatua kwa hatua katika safari yako ya kuwa mzazi, tukitumia teknolojia ya kisasa na huduma za kimataifa.
Safari yako ya ndoto ya uzazi inaanza hapa.

Wasiliana nasi-:
📍 Alfa Plaza, Ali Hassan Mwinyi Rd, Dar-es-Saalam
☎️ +255 742 581 263

Tuko tayari kukusaidia kupata mwana. Wasiliana nasi!
17/08/2024

Tuko tayari kukusaidia kupata mwana. Wasiliana nasi!

We are here to serve you in your quest to resolve challenges in fertility. Get to us if you seek assistance in getting a...
09/05/2024

We are here to serve you in your quest to resolve challenges in fertility. Get to us if you seek assistance in getting a baby through IVF or if you want to be an egg donor.

Watch this video to understand more about egg donation.
30/12/2023

Watch this video to understand more about egg donation.

Address

Alfa Plaza Off Ali Hasan Mwinyi Road
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nairobi IVF - Dar es Salaam posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Nairobi IVF - Dar es Salaam:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram