FRANK NA AFYA

FRANK NA AFYA TUNATOA ELIMU NA TIBA LISHE JUU YA MAGONJWA SUGU KWA BINADAMU
📲📳0️⃣6️⃣7️⃣9️⃣7️⃣0️⃣5️⃣8️⃣1️⃣8️⃣

✍️✍️JAMBO USILOLIJUA NI KWAMBA MBOGA YA MAJANI HII IJULIKANAYO KWA JINA LA BROCCOLI🥦🥦 INA KIASI KIKUBWA CHA ANTIOXIDANTS...
11/08/2023

✍️✍️JAMBO USILOLIJUA NI KWAMBA MBOGA YA MAJANI HII IJULIKANAYO KWA JINA LA BROCCOLI🥦🥦 INA KIASI KIKUBWA CHA ANTIOXIDANTS AMBAYO USAIDIA KUZUIA UENEAJI ZAIDI WA VIDONDA KWENYE KUTA ZA TUMBO, , , LAKINI PIA KUNA COMPOUND INAYOJULIKANA KWA JINA LA SULFORAPHANE (Isothiocyanate) KAZI YAKE NI KUSAIDIA KUPUNGUZA UZALIANAJI WA BACTERIA WAITWAO H.pylori NDANI YA TUMBO NA KUZUIA MADHARA ZAIDI YA VIDONDA VYA TUMBO, , , HIVYO UNASHAURIWA KUTUMIA MBOGA HII NA IKIWEZEKANA KUNYWA JUICE YAKE HATA MALA MOJA KWA SIKU ITAKUSAIDIA🥦🥦📌📌📌






31/07/2023

🌹Kaa ukijua kwamba madhara yanayotokana na vidonda vya tumbo ni mengi na makubwa saana kuliko hata gharama ya tiba ya vidonda vya tumbo, kwani vinaweza kupelekea madhara k**a vile;
1.Kansa ya tumbo
2.Athari ya ini na kongosho
3.Kuziba kwa njia ya chakula
4.Kusababisha tundu katika tumbo na kusababisha tumbo kutoboka kwa ukuta wa tumbo
5.KIFO💔

🌹TUMEWEZA KUWASAIDIA WATU WENGI SANA KUONDOKANA NA TAKIZO NA KUPONA KABISA HIVYO UNAKARIBISHWA SANA✅✅

30/07/2023

Vidonda vya tumbo ni michubuko au makovu yanayotokea ndani katika kuta za tumbo au utumbo mdogo.
Vidonda hivi usababishwa na bacteria anayeitwa Helicobactor pyroli (H.pyroli).

🌹Zifuatazo ni dalili za vidonda vya tumbo;
1.Maumivu makali au kiungulia katikati ya kifua
2.Kutapika damu
3.Kupata haja kubwa yenye rangi ya kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya saaana
4.Maumivu makali sana ya tumbo

🌹Yafuatayo pia ni madhara yatokanayo na vidonda vya tumbo;
1.Saratani ya tumbo
2.Athari ya ini na kongosho
3.Kuziba kwa njia ya chakula
4.Kusababisha tundu katika tumbo

🌹🌹HABARI NJEMA NI KWAMBA TUMEWAHUDUMIA WATU WENGI SANA KWA KUTUMIA DAZA ZA TIBA LISHE HIVYO UNAKARIBISHWA SANA KUPATA HUDUMA PIA✅

healthylifestyle








29/07/2023

Usikubali kudanganyika kuwa vidonda vya tumbo havina tiba, , , nadhani mpaka mwisho wa hii video utapata kuelewa nini ufanye ili kuondokana na tatizo👇👇📌📌









Vidonda vya tumbo(Ulcers) vyaweza kusababishwa na maja kati ya sababu zifuatazo:1.Bacteria aitwaye HELICOBACTOR PYLORI a...
29/07/2023

Vidonda vya tumbo(Ulcers) vyaweza kusababishwa na maja kati ya sababu zifuatazo:
1.Bacteria aitwaye HELICOBACTOR PYLORI ambae anashambulia tumbo na kupelekea vidonda vya tumbo💔💔

2.Lakini pia vidonda vya tumbo vinaweza kutokea baada ya ukuta wa tumbo kuunguzwa na kemikali inayojulikana k**a GASTRIC JUICE💔💔
HIVYO WATU WENGI WAMEKUWA WAKIAMINISHWA KWAMBA VIDONDA VYA TUMBO HAVINA TIBA🤔🤔 SIO KWELI, , , , VIDONDA VYA TUMBO VINA TIBA SEMA HUJAPATA TIBA ILIYO SAHII📌📌

KUPITIA DAWA ZETU ZINAZOKUWA KATIKA MFUMO WA TIBA LISHE UNAWEZA KUPONA NA KUONDOKANA NA TATIZO NDANI YA SIKU 30-90 NA TUMEWASAIDIA WENGI SAAANA HIVYO NIPENDE KUSEMA KARIBUNI SANA TUWAHUDUMIE
#0679705818





Wasiliana nasi tukusaidie 0679705818
20/06/2023

Wasiliana nasi tukusaidie
0679705818

Bawasiri ni nini?Kabla ya kufahamu dawa sahihi ya asili ya kutibu na kuponyesha kabisa bawasiri, kwanza ni muhimu tufaha...
20/06/2023

Bawasiri ni nini?
Kabla ya kufahamu dawa sahihi ya asili ya kutibu na kuponyesha kabisa bawasiri, kwanza ni muhimu tufahamu bawasiri ni nini.

Bawasiri ni uvimbe wa mishipa iliyo ndani na karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa au kwenye puru ya chini (puru maana yake kikundu). Bawasiri huathiri mfumo wa mmeng’enyo wa chakula hasa utumbo mkubwa chini mwishoni. Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka ama kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe. Ugonjwa huu unasababisha muwasho na maumivu makali katika tundu la haja kubwa.

Sehemu ya mwisho ya utumbo mkubwa iitwayo a**l ca**l ina urefu wa kiasi cha takribani sentimeta 4. Sehemu ya chini kabisa ya a**l ca**l ni tundu la kutolea kinyesi nje ya mwili (yaani mkundu). Sehemu ya juu yake inaungana na re**um ambayo pia ni sehemu ya utumbo mpana. A**l ca**l ndio sehemu ya mwisho zaidi ya njia ya chini ya utumbo mkubwa, ambao upo kati ya ukingo wa mkundu (shimo la mkundu) kwenye msamba chini na puru kwa juu.

0679705818

Bawasiri ni nini?Kabla ya kufahamu dawa sahihi ya asili ya kutibu na kuponyesha kabisa bawasiri, kwanza ni muhimu tufaha...
20/06/2023

Bawasiri ni nini?
Kabla ya kufahamu dawa sahihi ya asili ya kutibu na kuponyesha kabisa bawasiri, kwanza ni muhimu tufahamu bawasiri ni nini.

Bawasiri ni uvimbe wa mishipa iliyo ndani na karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa au kwenye puru ya chini (puru maana yake kikundu). Bawasiri huathiri mfumo wa mmeng’enyo wa chakula hasa utumbo mkubwa chini mwishoni. Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka ama kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe. Ugonjwa huu unasababisha muwasho na maumivu makali katika tundu la haja kubwa.

Sehemu ya mwisho ya utumbo mkubwa iitwayo a**l ca**l ina urefu wa kiasi cha takribani sentimeta 4. Sehemu ya chini kabisa ya a**l ca**l ni tundu la kutolea kinyesi nje ya mwili (yaani mkundu). Sehemu ya juu yake inaungana na re**um ambayo pia ni sehemu ya utumbo mpana. A**l ca**l ndio sehemu ya mwisho zaidi ya njia ya chini ya utumbo mkubwa, ambao upo kati ya ukingo wa mkundu (shimo la mkundu) kwenye msamba chini na puru kwa juu.

Ni vipi vyoo vya kukaa vina sababisha tatizo la bawasiri?Unapotumia vyoo vya kukaa ina maana position inayotakiwa ili ch...
20/06/2023

Ni vipi vyoo vya kukaa vina sababisha tatizo la bawasiri?
Unapotumia vyoo vya kukaa ina maana position inayotakiwa ili choo kitoke haipatikani, hivyo basi inakupelekea kutumia nguvu kubwa katika kujikamua ili choo kitoke.

Kwa kufanya hivyo ina sababisha mishipa kuweza kutuna na kusababisha bawasiri

Angalizo: K**a utatumia vyoo vya namna hii hakikisha unapata kitu cha kuwekea juu miguu yako ili uweze pata position nzuri ili kuepuka kujikamua

0679705818

Address

Dar Es Salaam
000000

Telephone

+255679705818

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when FRANK NA AFYA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to FRANK NA AFYA:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram