afya ya mifupa

afya ya mifupa tunatoa huduma za afya tupigie 0674769934

01/09/2025

HOMA YA INI (hepatitis) inatibika kama bado hujaathiriwa na madhara yake.

Kwanza Tumtangulize "MUNGU" na kuwa na imani ya kupona Homa ya ini na kuisha kabisa 🙏🙏

➡️Nimekuwa nikiwasaidia watu wengi wenye changamoto ya hepatitis kupitia tiba asilia.
Hasa kwa wale ambao hawajapata bado madhara makubwa na hata wale ambao Tayar wameshaanza kupata madhara ya Homa ya ini kama vile :
1. Kuvimba miguu
2. Kuvimba tumbo
3. Unjano wa macho au ngozi
4. Ngozi kuwasha
5. kubadilika rangi ya kinyesi
6. Kupata saratani ya ini
7. kuchoka sana au maumivu ya mwili

Kwa kushughulikia zaidi na:

1. Kupandisha (kuboost) kinga za mwili
2. Kumaliza viruses wa Homa ya ini mwilini
3. Kuondoa sumu mwilini, kulinda utendaji kazi wa ini na kusafisha mwili kwa ujumla yaani detoxification.

📌kama una Homa ya ini au una dalili zake Homa ya ini (hepatitis)

Basi unaweza kuwasiliana nasi kupata msaada wa haraka kupitia

0624359934

Lakin pia unaweza kunitumia ujumbe mfupi wa neno DAKTARI nitakupigia. Karibu sana

26/08/2025
Ifanye iwe marufuku kwako kutumia antibiotics. Matumizi ya dawa za kutuliza maumivu ni moja sababu zinazosababisha matat...
20/03/2024

Ifanye iwe marufuku kwako kutumia antibiotics.

Matumizi ya dawa za kutuliza maumivu ni moja sababu zinazosababisha matatizo makubwa ya ini.

Na kama unachangamoto ya ini tumia tu pale ambapo unadhani unaona kuna umhimu wa kutumia dawa hizi.

Jaribu kuziacha kabisaaa, ukianza kutumia dawa hata ukisikia maumivu ya upande wa kulia usijifariji kwa kutumia dawa hizo, heri uendelee kusikia hayo maumivu kuliko kutumia dawa za kutuliza maumivu, kwa watu wenye hii changamoto niko hapa kukwambia kwamba zitakuumiza mara mbili ya hayo maumivu uliyonayo.

Tumia pale kunapokua na ulazima wa kufanya hivyo.

Faraja utakayo jisikia kwa mda mfupi baada ya kutumia hizo dawa inakutengenezea kuzitegemea kwahiyo utajikuta unakua mtumwa, na wakati huo huo ni hatari zaidi kwa afya ya ini lako.

Ifanye iwe MARUFUKU kwako kutumia dawa alafu bila ushauri wa Daktari, kichwa kikiuma tu chwaaaaaaa panadol, Meloxicam. Big noooooooooo.

Ndio maana hua nashauri ukishakua na hili tatizo basi tafuta Daktari wako mmoja wa uhakika awe anaijua vizuri hepatitis maana kuna wengine yani utaogopeshwa huko mpka ushangae, huyo daktari kikiuma kichwa ongea nae, kidole ongea nae, sikio ongea nae, shingo ongea nae yaani huyo hata kucha ikiuma usitumie dawa mpigie kwanza ongea nae atajua nini cha kufanya eeeeeh.

Ukiwa unamtumia tumia na hela ya vocha kila mda mbona utasikilizwa sana tu na hatakuona msumbufu, nakwambia hivi kwasababu madaktari si wote wanawito wa kukusikiliza kumwambia kucha inauma na akakusikiliza.

Na kama uko na uwezo wa kua na specialist wa hematology (hematologist) ni vizuri zaidi.

Je unapitia changamoto ya ngozi? Kutokana na Allergies, reaction za dawa, kinga ya mwili kuwa chini  .. Aina ya magonjwa...
14/03/2024

Je unapitia changamoto ya ngozi? Kutokana na Allergies, reaction za dawa, kinga ya mwili kuwa chini ..

Aina ya magonjwa ya ngozi huwashambulia watu wengi wanaposhindwa kubaini chanzo cha tatizo
tujipende ni muhimu kubaini chanzo cha tatizo kisha suluhisho la kudumu.

Usipuuze dalili, karibu WhatsApp kupata usaidizi. +255692202979

Kama utapata ugonjwa kwa sababu ya mtindo mbaya wa Maisha, huo ugonjwa utapona kwa kufuata mtindo Mzuri wa Maisha..Magon...
29/02/2024

Kama utapata ugonjwa kwa sababu ya mtindo mbaya wa Maisha, huo ugonjwa utapona kwa kufuata mtindo Mzuri wa Maisha..
Magonjwa kama presha, mvurugiko wa homoni, Upungufu wa nguvu za kiume, kisukari uzito mkubwa..nk

Ujumbe kwa wanaumeKama una Fanya masturbation Kama una kisukari Kama una pressureNajua changamoto ya tendo inakusumbua T...
19/02/2024

Ujumbe kwa wanaume
Kama una Fanya masturbation
Kama una kisukari
Kama una pressure
Najua changamoto ya tendo inakusumbua

Tupo dar es salaam kimara stopover nipigie 0692202979
Kwa USHAURI na TIBA

Hizi ni baadhi ya mionekano ya haja kubwa, Kupata choo kigumu au kukosa choo (Constipation) ni Janga kwa watu wengi.. Je...
18/02/2024

Hizi ni baadhi ya mionekano ya haja kubwa, Kupata choo kigumu au kukosa choo (Constipation) ni Janga kwa watu wengi.. Je unapata muda wa kuhoji kwanini unapata choo kigumu? Karibu WhatsApp kupata usaidizi 0692202979

Tunapatikana dar es salaam kimara stopover

Je unapitia changamoto ya ngozi? Kutokana na Allergies, reaction za dawa, kinga ya mwili kuwa chini  .. Aina ya magonjwa...
18/02/2024

Je unapitia changamoto ya ngozi? Kutokana na Allergies, reaction za dawa, kinga ya mwili kuwa chini ..

Aina ya magonjwa ya ngozi huwashambulia watu wengi wanaposhindwa kubaini chanzo cha tatizo
tujipende ni muhimu kubaini chanzo cha tatizo kisha suluhisho la kudumu.

Usipuuze dalili, karibu WhatsApp kupata usaidizi.

Rheumatoid arthritis is an autoimmune condition, which means it's caused by the immune system attacking healthy body tis...
18/02/2024

Rheumatoid arthritis is an autoimmune condition, which means it's caused by the immune system attacking healthy body tissue. However, it's not yet known what triggers this. Your immune system normally makes antibodies that attack bacteria and viruses, helping to fight infection.

Kujamiiana ni moja ya mahitaji makubwa ya mwanadamu anapotimiza umri wa miaka 18 na zaidi, lakini wakati mwingine huja n...
15/02/2024

Kujamiiana ni moja ya mahitaji makubwa ya mwanadamu anapotimiza umri wa miaka 18 na zaidi, lakini wakati mwingine huja na changamoto.

•
Sababu mbalimbali zinaweza kusababisha vikwazo hivi, lakini baadhi ya sababu zinahusishwa na aina sita ya dawa.

•
1.)Dawa ya kutuliza maumivu.

2.)Dawa ya kutibu kuganda kwa damu,

3.)Dawa ya kuzuia wasiwasi.

•
•

WANAUME MPO
14/02/2024

WANAUME MPO

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255692202979

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when afya ya mifupa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to afya ya mifupa:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram