Maua Mkima

Maua Mkima PATA SULUHISHO LA MATATIZO YA UZAZI, PID SUGU, UTI SUGU, MIRIJA KUZIBA, FIBROIDS.. TUPO DAR ES SALAAM

14/11/2023

NAAM NINAJUA WAKINA MAMA WENGI TUNASUMBULIWA NA CHANGAMOTO YA MIFUPA…. ✍🏿✍🏿K**A WEWE UNASUMBULIWA NA. 🥲🙌MAUMIVU YA MGONGO KUTOKANA NA SINDANO YA GANZI BAADA YA KUFANYIWA OPARESHEN ( SURGERY) 😨, UNAHANGAIKA NA MAUMIVU YA MIGUU, GANZI NA MIFUPA🦴🍖🍖NTUPIGIE📞☎️ SIMU AU TUTUMIE UJUMBE KWA KUANDIKA NENO AFYA KWENDA NAMBA 📌📌📌📌📌📌🤣0620201792 📌📌
NATAKA NISAIDIE WANAWAKE WATANO TU WENYE UHITAJI (5)
📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌ANGALIZO USIJE INBOX K**A HUNA UHITAJI

OFFER HII MWISHO KESHO SAA TATU KAMILI USIKU

🌟🌟HABARI NJEMA KWA WAKINA MAMA WOTE🌟🌟🌟🌟‼️‼️‼️‼️JE UNASUMBULIWA NA. MGONGO UNAOTOKANA NA MATOKEO YA SINDANO YA GANZI BAAD...
26/07/2023

🌟🌟HABARI NJEMA KWA WAKINA MAMA WOTE🌟🌟🌟🌟‼️‼️‼️‼️

JE UNASUMBULIWA NA. MGONGO UNAOTOKANA NA MATOKEO YA SINDANO YA GANZI BAADA. YA KUJIFUNGUA KWA OPARESHENI
💥‼️NYONGA ZINAUMA
‼️💥HUWEZI KUTEMBEA
📌🌟UNAYUMBA NZURI NA UNASHINDWA KUPANDISHA NGAZI
N.k
🌟‼️UMEHANGAIKA HOSPITALI NYINGI NA HUJAPATA SULUHISHO

📌📌📌📌SASA NIMEBAKIWA NA PACKAGE 5 TU NATAKA NIWASAIDIE WATU 5 KWA TSH LAKI MOJA NA. THEMANINI TU(180000)….📌📌📌

UNAKWENDA KUSAHAU HIYO CHANGAMOTO KABISA
☘️☘️WATU SERIOUS WALIOCHOKA KUSUMBUKA NJOO INBOX☘️☘️☘️whatsap
TUTUMIE UJUMBE WHATSAP KWA KUANDIKA NENO AFYA WHTASAP
https://wa.me/message/C6KOQBMJRTP4K1

PID… MAAMBUKIZI KWENYE VIA VYA UZAZI …. N hatarii … yanaweza yakasababisha mbimba kutungwa nje ya mfuko wa kizaziyaanink...
03/02/2023

PID… MAAMBUKIZI KWENYE VIA VYA UZAZI …. N hatarii … yanaweza yakasababisha mbimba kutungwa nje ya mfuko wa kizaziyaaninkitaalamu tunaita (ectopic pregnancy) , kansa ya shingo ya kizazi , kutoshika mimba nk,…
LKN HUJACHELEWA SULUHISHO LIPO NIPIGIE AU NITUMIE MESEJ WHATSAP UANZE DOZI NAMBA 0676762367

03/02/2023
NATAFSIRI ya nambuacassandra~   Katika njia nipitazo kila siku najifunza ya kwamba,wako viumbe hai ambao hawana maono ya...
03/02/2023

NATAFSIRI ya nambuacassandra~ Katika njia nipitazo kila siku najifunza ya kwamba,wako viumbe hai ambao hawana maono ya kufika mbali.Wamefungwa ufahamu na hawana uwezo wa kufika katika ngazi tofauti za maisha.Hata umuchoree vipi ramani ya kufunguliwa, kuongezeka na kuwa na maendeleo bado atabaki kufungwa na kukaa ktk hali ya chini.Zero Brain Hi picha kutoka@minds_of_entrepreneurs imenipa majibu mengi.Hi picha imenifundisha na itanifanya nisikae ktk stress.Najifunza kuelewa makundi ya watu tofauti.Huyu mfungwa amewekewa funguo ya kufungua na kutoka jela awe Raia Huru.Na pembeni yake amepewa mkate.Ila kwa alichokitaka kwa hapo kwa hapo ni MKATE. Kwa upumbavu uliojirundika kichwani kwake anashindwa kujifunza NJAA nilionayo, nijikaze, nifungue mlango wa jela, nitoke niwe HURU.Mkate nitaukuta nje ya gereza, nitakuwa huru kula mkate ninavyotaka, nitaweza kupika na kuuza mkate nipate FAIDA, nitavaa nguo safi, nitajenga nyumba ninayotaka, nitajinunulia gari na hata kutunza familia yangu.Lakini bado anaacha fung

JE UNATAMANI KUPATA MTOTO!!?Nipigie/whatsap 0676762367
02/02/2023

JE UNATAMANI KUPATA MTOTO!!?

Nipigie/whatsap 0676762367

TUENDELEE KUTUMIA VIRUTUBISHO WATEJA WANGU KWA AFYA NJEMA NIPIGIE 0676762367 au nitumie mesej whatsap link kwenye bio
02/02/2023

TUENDELEE KUTUMIA VIRUTUBISHO WATEJA WANGU KWA AFYA NJEMA

NIPIGIE 0676762367 au nitumie mesej whatsap link kwenye bio

Tunalo suluhisho Tupigie au wa/me namba 0676762367
02/02/2023

Tunalo suluhisho

Tupigie au wa/me namba 0676762367

KUKAA NA INFECTION NI HATARI MNO…. Hasa PID
02/02/2023

KUKAA NA INFECTION NI HATARI MNO…. Hasa PID

Jamani jamanii…. HUU UGONJWA NI HATARI MNONipigie simu upate suluhisho yawezekana umehangaika mda mrefu na bado hujapata...
02/02/2023

Jamani jamanii…. HUU UGONJWA NI HATARI MNO

Nipigie simu upate suluhisho yawezekana umehangaika mda mrefu na bado hujapata suluhisho….
Wa/me namba 0676762367

NAMNA YA KUOSHA UKE KUEPUKA PIDHabarini wadau wangu Wa nguvu,Leo nataka nitoe somo maalumu kwa wanawake, Siku hizi nimek...
02/02/2023

NAMNA YA KUOSHA UKE KUEPUKA PID
Habarini wadau wangu Wa nguvu,Leo nataka nitoe somo maalumu kwa wanawake, Siku hizi nimekua nikipata maswali mengi sana yahusuyo kutokwa na uchafu sehemu za siri Mara kwa Mara katika kuchunguza nimegundua kwamba wanawake wengi hua hawajui namna ya kusafisha uke zao na k**a haujui kuosha uke nakuambia utaendelea kukesha hospitali ukilalamika kuhusu uchafu na kuwashwa ukeni
NAOMBENI TUFUATENI NINACHOSEMA KWA WANAWAKE
1) USIPIGE DEKI(DOUCHING):Kumekua na kasumba wanawake wengi wanadanganyana kuhusu kuosha uke kwa kutumia kidole ,kitambaa,sabuni nk.Nataka niwaambie watu wangu huo ni upotoshaji na jua kwamba uke unajiosha wenyewe kabisa. Usije ukaingiza kidole ndani ya uke kwa minajili usafi,huu ni kuzidi kujiharibu kwani kwa kufanya hivo kutaondoa wale bakteria wazuri na walinzi Wa uke na kuwapa nafasi wale fangasi na vimelea Wa kisamaki kupata nguvu ya kushambulia uke.KAMWE USIPIGE DEKI UKE
2) FUTA SHAVU LA NDANI: Katika kujiswafi andaa kitambaa safi kiloeke kwenye maji safi bila ya sabuni na baada ya hapo futa shavu lako la ndani pande zote mbili ,baada ya hapo futa na kwenye makutano ya shavu la ndani na nje,Usitumie nguvu kubwa kusafisha maana unaeza kuchubua mashavu yako.
3) OSHA SHAVU LA NJE: Kwenye kuosha shavu la nje waweza kutumia kitambaa kisafi na sabuni kidogo ,tumia sabuni ambazo hazina dawa ,futa kwa kuanzia mbele kwenda nyuma na usisugue kwa nguvu
4) OSHA MAUMBILE YA NJE(VULVA): Kwa hapa nje unaeza kuosha k**a kawaida kwa kutumia maji safi na sabuni,sabuni ni za kawaida sio zile zenye dawa. Maeneo ya nje sote tunayafahamu bila shaka
5) USAFI WA MAENEO JIRANI; kuna kusafisha maeneo jirani na uke k**a eneo kati ya uke na haja kubwa, unaweza kusafisha maeneo haya kwa sabuni za kawaida ,kumbuka wakati unasafisha nakushauri anzia mbele kwenda nyuma ili usije ukahamisha bacteria kutoka nyuma na kuwaweka kwenye uke ambao wanaweza kuuletea uke shida
6) ACHA KUTUMIA S*X TOYS ,ACHA KUINGIZA NDIZI,KAROTI,BIRINGANYA,WATER COMPRESSOR UKENI
NIMEMALIZA KUANDAA HAKA K**AKALA KAFUPI KA KUSAFISHA UKE,NAAMIN KAMEKUSAIDIA KIDOGO
KUNA UPOTOSHAJI UNAENDELEA KWAMBA USIPOINGIZA KIDOLE UTANUKA

02/02/2023

Address

TEMEKE
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maua Mkima posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram