Afya ya Uzazi kwa Wanaume

Afya ya Uzazi kwa Wanaume Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya ya Uzazi kwa Wanaume, Health & Wellness Website, Dar es Salaam.

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI NINI??Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kush...
10/05/2023

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI NINI??
Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. Tatizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume saba (7) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.

Hili tatizo huwanyima watu raha kwa kuwa na mawazo, kuwa na matatizo katika mahusiano, watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji kutumia dawa zisizo na madhara (Virutubisho lishe) na kubadilisha mitindo ya maisha yao ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo hili.

DALILI ZA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana. Na dalili hizo ni k**a;

•Kuwahi kufika kileleni
•Kukosa hamu ya mapenzi
•Kushindwa kurudia tendo la ndoa
•Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
•Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; •Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
•Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo.

*Kwa kupata Tiba lishe au ushauri Karibu kuwasiliana nasi kwa namba 0767193747 Calls/WhatsApp.

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME humaanisha kupungua uwezo wa kusimamisha uume vyema. ✅Mara nyingi SABABU hutokana na matatizo...
01/05/2023

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME humaanisha kupungua uwezo wa kusimamisha uume vyema.

✅Mara nyingi SABABU hutokana na matatizo ya kimwili (magonjwa) kwa zaidi ya asilimia 80 na asilimia hutokana 10 Sababu za kisaikolojia k**a msongo wa mawazo & sonona.

*Nguvu za kiume* (erectile function) huitaji mifumo minne
- Mfumo wa mishipa ya damu
- Mfumo wa mishipa ya fahamu
- Mfumo wa Homoni
- Utulivu wa AKILI/saikolojia

▪️Endapo mfumo mmoja utashindwa kufanya kazi basi lazima upate tatizo la kushindwa kusimamisha uume.

🔵Pombe haina nafasi Bali Lishe, mazoezi, uzito sawa, Utulivu wa akili na kujiamini.

*TIBA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*
-Tumia *C24/7 na KAHAWA LISHE* upone matatizo yote yanayohusiana na Upungufu wa nguvu za kiume.👇👇

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255767193747

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya Uzazi kwa Wanaume posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ya Uzazi kwa Wanaume:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram