Saikolojia akili

Saikolojia akili Ni kituo Cha masuluhisho, ni mahali sahihi pakupata ushauri wa saikolojia na ushauri wa kiroho kupitia neno la Mungu
Mawasiliano 0612001042

11/11/2025

KITUO CHA AGAPE SPIRITUAL HEALING INTERNATIONAL CENTRE

USIPONIELEWA LEO UTANIELEWA KESHO

Tunaendesha semina kwa wanandoa watarajiwa

Semina hizi zitawahusisha wakufunzi wenye uzoefu

Kituo kinatoa ushauri nasaha kwa wanandoa wenye changamoto mbali mbali katika ndoa

Semina hizi zinaratibiwa kituoni kwa mawasiliano tuma ujumbe Whatsaap 0621001042

10/11/2025

UNATAFUTA MAHALI SAHIHI PA KULISHWA KIROHO USIANGAIKE TENA KUTAFUTA MAHALI PA KWENDA ZAIDI YA AGAPE NI NYUMBANI KWAKO PA KUCHONGWA KUWA JITU LA MBINGUNI

USIPONIELEWA LEO UTANIELEWA KESHO

Usiingie kwenye ndoa mpaka uhakikishe umepata mafundisho ya kutosha kuhusu ndoa na familia ili ukiingia huko usije ukaongeza idadi ya talaka na watoto wa mitaani!!

Ndoa si bahati nasibu, wala si k**ari ina kanuni za kiungu na za kawaida za kuishikilia mpaka mwisho

Usidanganywe na wanaosema ndoa haina mtaalamu wala fundi hao wameingia choo cha jinsia nyingine

Ndoa inaanzia kwenye aina ya mtu unayemchagua kuwa mke/ mume wala sio siku mnapewa vyeti madhabahuni

Taasisi ya ndoa na familia ndiyo inaamua jamii itakuwa ya namna gani?

Tatizo la talaka nyingi leo ni mke na mume wasio na material ya kutosha

Hakikikisha unakula material ya kutosha

Mtu hawezi kuwa zaidi ya alichonacho kichwani hata ungeombewa na kuwekewa mikono kichwani ni bure

Mtumishi wa Mungu wa huduma ya Agape 0621001042

10/11/2025

HAYA NI MAELEKEZO MUHIMU SANA KWA AJILI YAKO MWANANGU

K**A USIPONIELEWA LEO UTANIELEWA KESHO
๐Ÿ‘‡
NAJUA KILA MTU UNA MAHALI UNAPOABUDU KUNA WA JUMAPILI, JUMAMOSI, IJUMAA VYEMA KABISA

LAKINI JAMBO MOJA M MUHIMU NINALOTAKA UELEWE NI HILI NI MUHIMU UWE NA MADHABU UNAYOITOLEA SADAKA

MADHABAHU UNAYOPASWA KUACHILIA SADAKA ZAKO NI ILE INAYOKUPATIA MALEZI YA KUKUJENGA KWENYE UKIROHO WAKO KUPITIA MASOMO, USHAURI, MAOMBEZI, MAONYO NA MAKATAZO

WEWE MADHABAHU YAKO NI HAPA KWENYE HILI GROUP LA SAIKOLOJIA AKILI

CHOMBO CHA SADAKA CHA MADHABAHU UNAPOWEZA KUTUMA SADAKA YAO NI HICHI๐Ÿ‘‡
0688-082-390

09/11/2025

MWELEZE UKWELI๐Ÿ‘‡

Wakati mwingine tunaficha hisia zetu kwa watu tuwapendao kwa sababu tunahofia hisia zetu na wao haziko sawa

06/11/2025

TAARIFA RASMI KWA WANAGROUP

Kwa kawaida tunatoa masomo mbali mbali ya kujengana hata hivyo kutokana na kuomboleza kipindi tunachopitia tutaendelea na masomo lakini tuungane pamoja kwa maombi, faraja na heshima kwa waliotangulia mbele ya haki.

Asanteni kwa uelewa wenu na kuendelea kuwa sehemu ya safari hii ya kuelimishana na kusaidiana

Tuendelee na tafakari na maombolezo

Mtumishi wa Mungu wa huduma ya Agape

05/11/2025

ALIPANDA ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—–๐—›๐—ข๐—ญ๐—œ, AKAVUNA ๐—ž๐—ช๐—” ๐—™๐—จ๐—ฅ๐—”๐—›๐—”.
๐Ÿ‘‡
๐— ๐˜‚๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜‡๐—ฎ wa ๐—ฆ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐—œ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ๐˜‚๐—บ๐—ฎ

USIPONIELEWA LEO UTANIELEWA KESHO

Kulikuwa na mama mmoja aitwaye , Theresia, ambaye alikuwa mpishi hodari mwenye hoteli ndogo katikati ya mtaa wa Masaki.

Kwa muda mrefu, biashara yake ilikuwa ikienda vizuri

Wateja walijaa, chakula chake kilisifika, na hoteli yake ilikuwa maarufu kwa wali na maharage yaliyopikwa kwa ladha ya kipekee.

Lakini ghafla mambo yakabadilika. Wateja wakaanza kupotea, chakula kikipikwa kinabaki, na madeni yakaanza kumwandama.

Theresia alijitahidi kila njia alibadilisha wapishi, aliongeza matangazo, hata alijaribu kupunguza bei โ€“ lakini bado hakuna mabadiliko.

Siku moja, akiwa amechoka na huzuni, aliamua kwenda Kanisani kushiriki ibada, akiamini pengine Mungu angeingilia kati.

Wakati wa sadaka, alikagua pochi yake na kukuta ana shilingi elfu kumi na moja pekee.

Ndipo akasema moyoni, โ€œNitatoa elfu moja kwa Mungu, maana hali yangu ni ngumu.โ€

Lakini wakati akijitayarisha kutoa sadaka, kwa bahati mbaya, badala ya kutoa elfu moja, akatoa elfu kumi nzima na akaacha elfu moja mfukoni bila kujua.

Baada ya ibada, alirudi nyumbani akiwa na matumaini madogo kwamba siku hiyo biashara ingeenda vizuri.

Lakini hakujua bado k**a amebakiwa na elfu moja tu.

Alipoanza kupanga kwenda sokoni kununua mchele, maharage na samaki, akachukua pochi yake โ€” akashangaa kuona elfu moja tu!

Machozi yakaanza kumtiririka. Akasema kwa uchungu, โ€œEe Mungu, mbona umenifanya nitoe hela yote ile ndiyo ilikuwa mtaji wangu wa leo!โ€

Alikaa kimya, akihisi pengine Mungu amemsahau.

Lakini kabla hata hajamaliza majonzi, mlango ukagongwa. Akafungua, akakutana na rafiki yake wa siku nyingi aliyekuwa amepoteza mawasiliano naye kwa miaka mingi. Wakaingiana ndani wakaanza kuzungumza. Rafiki yake akamwambia, โ€œTheresia, nimekuwa nikikukumbuka kwa muda mrefu.

Nilikuazima pesa kipindi nikiwa chuoni, na leo Mungu amenigusa nizirejeshe.

Hizi hapa ni shilingi

05/11/2025

NJOO UONE USIPONIELEWA LEO UTANIELEA KESHO

NINAONA KATIKA ULIMWENGU WA ROHO WEWE KIJANA ULIFANYA AGANO LA KUCHANJIANA DAMU NA HUYO MPENZI WAKO WAKATI WA MAHUSIANO YENU SASA HILO AGANO LINAWATESA KIUKWELI UTAOA WALA UTAOLEWA MPAKA KUVUNJA HILO AGANO

K**A UNAHUSIKA TUMA UJUMBE WATHASUP 0621001042

04/11/2025

WANAFAMILIA YA SAIKOLOJIA AKILI MPO SALAMA TUJUZANE MAANA..........

26/10/2025

KUNA MTU UNATAMANI KUSAPOTI NINACHOKIFANYA UMEKUWA UKISEMA NITASAPOTI MWEZI UJAO LAKINI MWEZI UKIFIKA UNAAIRISHA AU KUNAINUKA VISABABU VINGI, K**A NI WEWE NJOO INBOX NINA UJUMBE WAKO USIPUUZE 0621001042

25/10/2025

*USIPONIELEWA LEO UTANIELEWA KESHO*

Usifike sehemu kwenye maisha ukaanza kuwaona wenzako k**a vinyago,

Usijitenge na wenzako ukaanza kujiona kwamba wewe ni mtu wa daraja la juu [ high class]

Mungu anatabia ya kuwashusha watu,

Mungu anaweza akakushusha chini wewe unayejiona uko juu na akawapa ngazi ya kupanda wafike juu unaowadharau

24/10/2025

NAOMBA UWE MWAMINIFU KUNIJIBU MTU WA MUNGU

K**A UNA RAFIKI YAKO AU UNACONECTION NA MTU YOYOTE UNAYEMJUA NI MKARIMU WA KUJITOLEA NAOMBA UJE INBOX, TUYAJENGE WHATSAAP 0621001042
ASANTE

24/10/2025

USIPONIELEWA LEO UTANIELEWA KESHO

Usifike sehemu kwenye maisha ukaanza kuwaona wenzako k**a vinyago,

Usijitenge na wenzako ukaanza kujiona kwamba wewe ni mtu wa daraja la juu [ high class]

Mungu anatabia ya kuwashusha watu,

Mungu anaweza akakushusha chini wewe unayejiona uko juu na akawapa ngazi ya kupanda wafike juu unaowadharau

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Saikolojia akili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category