05/11/2025
ALIPANDA ๐๐ช๐ ๐ ๐๐๐๐ข๐ญ๐, AKAVUNA ๐๐ช๐ ๐๐จ๐ฅ๐๐๐.
๐
๐ ๐๐๐ท๐ถ๐๐ฎ wa ๐ฆ๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐๐ป๐ฎ๐๐ผ๐๐บ๐ฎ
USIPONIELEWA LEO UTANIELEWA KESHO
Kulikuwa na mama mmoja aitwaye , Theresia, ambaye alikuwa mpishi hodari mwenye hoteli ndogo katikati ya mtaa wa Masaki.
Kwa muda mrefu, biashara yake ilikuwa ikienda vizuri
Wateja walijaa, chakula chake kilisifika, na hoteli yake ilikuwa maarufu kwa wali na maharage yaliyopikwa kwa ladha ya kipekee.
Lakini ghafla mambo yakabadilika. Wateja wakaanza kupotea, chakula kikipikwa kinabaki, na madeni yakaanza kumwandama.
Theresia alijitahidi kila njia alibadilisha wapishi, aliongeza matangazo, hata alijaribu kupunguza bei โ lakini bado hakuna mabadiliko.
Siku moja, akiwa amechoka na huzuni, aliamua kwenda Kanisani kushiriki ibada, akiamini pengine Mungu angeingilia kati.
Wakati wa sadaka, alikagua pochi yake na kukuta ana shilingi elfu kumi na moja pekee.
Ndipo akasema moyoni, โNitatoa elfu moja kwa Mungu, maana hali yangu ni ngumu.โ
Lakini wakati akijitayarisha kutoa sadaka, kwa bahati mbaya, badala ya kutoa elfu moja, akatoa elfu kumi nzima na akaacha elfu moja mfukoni bila kujua.
Baada ya ibada, alirudi nyumbani akiwa na matumaini madogo kwamba siku hiyo biashara ingeenda vizuri.
Lakini hakujua bado k**a amebakiwa na elfu moja tu.
Alipoanza kupanga kwenda sokoni kununua mchele, maharage na samaki, akachukua pochi yake โ akashangaa kuona elfu moja tu!
Machozi yakaanza kumtiririka. Akasema kwa uchungu, โEe Mungu, mbona umenifanya nitoe hela yote ile ndiyo ilikuwa mtaji wangu wa leo!โ
Alikaa kimya, akihisi pengine Mungu amemsahau.
Lakini kabla hata hajamaliza majonzi, mlango ukagongwa. Akafungua, akakutana na rafiki yake wa siku nyingi aliyekuwa amepoteza mawasiliano naye kwa miaka mingi. Wakaingiana ndani wakaanza kuzungumza. Rafiki yake akamwambia, โTheresia, nimekuwa nikikukumbuka kwa muda mrefu.
Nilikuazima pesa kipindi nikiwa chuoni, na leo Mungu amenigusa nizirejeshe.
Hizi hapa ni shilingi