Saikolojia akili

Saikolojia akili Ni kituo Cha masuluhisho, ni mahali sahihi pakupata ushauri wa saikolojia na ushauri wa kiroho kupitia neno la Mungu
Mawasiliano 0612001042

07/12/2025

AGAPE SPIRITUAL HEALING INTERNATIONAL CENTRE
๐Ÿ‘‡
Tunatoa huduma ya ushauri wa Kisaikolojia Counselling services

Huduma za ushauri wa Kisaikolojia mitandaoni Online Counselling services

0621001042

06/12/2025

HABARI MTU WA MUNGU

UKIWA NDUGU, RAFIKI, MSHIRIKA NA MTU WANGU WA KARIBU NINAOMBA NIKUKARIBISHE KUUNGANA NAMI KWENYE UTUME HUU WA UINJILISHAJI

UNARUHUSIWA KUTUMA SADAKA YAKO YA BARAKA NI MUDA MZURI WA KUPANDA MBEGU YAKO.

SIAMINI WATOTO WANGU NINAOWALEA HAPA KWA KUWAPA MAFUNDISHO BORA KABISA NI MASKINI KIASI CHA KUSHINDWA KUSAPOTI HUDUMA, NYINYI NI MATAJIRI NAZIONA BARAKA ZAKO NYINGI ZIMEZUILIWA KWAKO KWA SABABU UMESHINDWA KUMJARIBU MUNGU KWA NJIA YA UTOAJI
๐Ÿ‘‡
Mwanzo 26:12
[12]Isaka akapanda mbegu katika nchi ile, akapata mwaka ule vipimo mia kwa kimoja, BWANA akambariki.
Then Isaac sowed in that land, and received in the same year an hundredfold: and the LORD blessed him.

BWANA AKUPE MTU WA KUSUDI KWA AJILI YAKO NA WATU SAHIHI KWA AJILI YA MAISHA YAKO.

๐’๐€๐ƒ๐€๐Š๐€/๐Ž๐…๐…๐„๐‘๐ˆ๐๐†
AIRTEL MONEY 0688-082-390 AGAPE

04/12/2025

MWANAMKE RUDISHA UPENDO MWANAUME AKUGANDE

JE! UNA MASIKIO YANAYOSIKIA

Dada zangu katika ndoa huwezi kupata kila kitu, angalia cha muhimu kwako na ridhika nacho.

(1) Kuna ambao wanalia na kuteseka ili tu wapate wanaume wanaohudumia angalau watoto wale ingawa kitandani wanaridhishwa.

(2) Kuna ambao wanahudumiwa kila kitu wamepewa kila kitu lakini kitandani hakuna kitu wanachotaka ni mwanaume wakuwaridhisha tu kitandani.

(3) Kuna ambao wanaume ni walevi, wanawapiga, kuwanyanyasa na kuwafanyia kila aina ya madudu lakini wanavumilia kwakua angalau wanahudumiwa.

(4) Kuna ambao hawapati chochote kabisa, yaani hakuna cha tendo la ndoa, hakuna cha kuhudumiwa, kipigo wanakula na kila aina ya manyanyaso.

(5) Kuna ambao wamebahatisha na kupata vyote; hawa ni wachaache tena sana lakini mara nyingi nao hawaridhiki wanakua na visirani kwakua tu mwanaume kasahau siku ya kuzaliwa!.

Hivyo dada zangu kabla ya kumuonyesha kiburi mwanaume, kutaka kumuacha hembu pima hicho unachokipata kuona k**a kinathamani ya kile unachokikosa.

Maana ni ngumu kupata kila kitu.

Mtumishi wa Mungu wa huduma ya Agape na Mwalimu 0621001042

03/12/2025

Kwa huduma ya ushauri na utatuzi wa jambo lolote linahusu mahusiano au ndoa.

WhatsApp : 0621001042

03/12/2025

JE! UNA MASIKIO YA KUSIKIA

Kuna maarifa hayapewi kipaumbele ila ni maarifa muhimu yanayotafutwa na wale wanaotamani kukua na kuwajibika.

Mtumishi wa Mungu wa huduma ya Agape na Mwalimu 0621001042

01/12/2025

Habari za Muda huu Mpendwa

Samahani kwa usumbufu wa mara kwa mara

Kwa upendo wangu kwako nimekuwa nikikutumia masomo ili kuendelea kujifunza

Kuna wakati nashindwa kukutumia nikuombe uwe unaview stutas yangu ya Whatasaap na kusikiliza au kusoma huko kila siku naweka ujumbe

Kuna magroup mawili ya Whatasaap ninayalea

kila siku nafundisha mada mpaka tatu k**a wewe ni mkereketwa wa kujifunza na utapenda kujumuika kuendelea kujifunza unakaribishwa sana

Tafadhali nijulishe

THIS IS A PROPHETICAL VOICE FOR YOUMaisha yenyewe ndio haya Unayoishi, Ni ajabu iwapo bado Unasema  Kesho nitafanya Maam...
30/11/2025

THIS IS A PROPHETICAL VOICE FOR YOU

Maisha yenyewe ndio haya Unayoishi,

Ni ajabu iwapo bado Unasema Kesho nitafanya Maamuzi haya.....

Jambo hilo Unalolisogeza kila Kukicha litimize..

Wakati ndio huu.. Hakuna Siku Utaridhika na Kujitosheleza..

Maamuzi Mazito Husaidia..

30/11/2025

MOJA YA KITU HATARI SANA NI KIBURI

MWENYE UFAHAMU AELEWE

30/11/2025
29/11/2025

UMEIPUUZA SAUTI YA MUNGU KWA MUDA MREFU SASA IPO SIKUUUU

29/11/2025

ELIMU YA SAIKOLOJIA NA KUJITAMBUA MAKUNDI YA TABIA KUU NNE (4) ZA BINADAMU

*JE! UNA MASIKIO YANAYOSIKIA*

Leo nitaelezea namna makundi haya manne ya watu namna ambavyo tabia zinavyoweza kuathiri maisha ya mtu binafsi na jamii kwa ujumla

Ingawa ukubwa au udogo wa athari za tabia za mtu hutegemea mazingira ya mtu husika

kabla sijachambua haya makundi manne tuangalie jinsi wataalamu wa saikolojia walivyo yagawa makundi haya manne katika mgawanyo wa makundi makuu mawili ya kisaikolojia yanayoelezea tabia mbali mbali tulizonazo

katika hayo makundi mawili ndani yake kuna tabia
ambazo hurandana

Makundi hayo ya tabia ni;

โžก๏ธIntrovert na

โžก๏ธExtrovert
(I) EXTROVERT =>

Extrovert ni aina ya watu ambao hawana haya (aibu), ni wachangamfu na wana marafiki wengi pia hawana utaratibu wapo rough sana ni wachafu kwa asili.

Kimsingi unaweza sema ni watu wenye hisia za nje .

Katika kundi hili la Extrovert kuna makundi mawili ndani yake ambayo ni
๐Ÿ‘‰๐ŸฝSanguine na ๐Ÿ‘‰๐ŸฝCholeric.

Tabia chache za pamoja za kundi la Extrovert :
Hawa hawana haya (aibu) k**a introvert
Wapo social sana ni wachangamfu tofauti na introvert ( hawa ni wapiga makelele wazuri darasani)

Kiakili wapo wastani, sana sana hawapendi kufikiria I mean ni wavivu kufikiri!

(II) INTROVERT =>

Introvert ni aina ya watu ambao wapo na haya (aibu), hupenda kukaa pekee na ni watu wenye utaratibu n.k

Kimsingi waweza sema ni watu wenye hisia za ndani.

Katika kundi hili la introvert kuna makundi mawili ndani yake ambayo ni
๐Ÿ‘‰๐ŸฝPhlegmatic na ๐Ÿ‘‰๐ŸฝMelancholic.

Tabia chache za pamoja za kundi la Introvert :
Ni watu wapole na wataratibu.

Mara nyingi huwa si waongeaji mpaka wakuzoee vilivyo.

Ni watu ambao hawapo social,hawapendi kujichanganya na watu kwani wana aibu sana!.

Hupenda mambo ya kutafakarisha sana kwa sababu wana upeo mzuri wa kufikiri, mfano Kusoma vitabu na kufuatilia hoja mbalimbali.

1.TABIA YA SANGUINE

Sifa zake:

Ni mtu mcheshi na muongeaji

28/11/2025

TOA MALALAMIKO/ USHAURI/ PONGEZI KUHUSU HUDUMA ULIYOIPATA KWA WHATASAAP 0621001042

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Saikolojia akili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category