Nancy Green Organic Products

Nancy Green Organic Products Tunauza dawa za uzazi .PID,UTI, hormone imbalance,nguvu za kiume,hamu ya tendo,uke mkavu pamoja na vipodozi asili

Lotus Beauty Face &body Lotion ✨ ✨Ngozi yako ing’ae bila doa – kutoka usoni hadi mwilini!Unatafuta lotion inayotoa mwang...
04/11/2025

Lotus Beauty Face &body Lotion
✨ ✨

Ngozi yako ing’ae bila doa – kutoka usoni hadi mwilini!

Unatafuta lotion inayotoa mwanga wa asili, kuondoa ukavu, na kufanya ngozi laini kama hariri?
Jaribu lotus beauty face & body Lotion – imeundwa kwa viambato vyenye nguvu vinavyokupa matokeo ndani ya siku chache tu!

✅ Faida Kubwa Unazopata:

✨ Inang’arisha ngozi taratibu bila kuichubua
🌿 Imetengenezwa kwa viambato asilia (Shea butter, Vitamin C & E, Turmeric extract)
💧 Hufunga unyevu kwa saa 24 – no dryness!
🛡️ Husaidia kupunguza mabaka, weusi wa magoti, vifundo & shingo
👶 Ngozi inabaki laini, nyororo na yenye afya

📌 Inafaa Kwa Aina Zote za Ngozi:

Oily • Dry • Normal • Sensitive

💝 Matumizi:

Tumia asubuhi na jioni kwa uso na mwili mzima. Kwa matokeo bora, tumia kila siku.

✨ Hii sio lotion ya kubadilisha rangi – ni ya kukupa mwanga wa asili unaovutia!

Bei:25000
Ujazo.mls 200.

📍 Available now!
📞 Wasiliana nasi: 0677227220
📦 Tunafanya delivery nchi nzima

Unataka ngozi laini, yenye kung’aa na isiyo na madoa?🌸 Jaribu Mafuta ya Aloe Vera Asilia!💧 Faida kuu:✅ Hupunguza makovu ...
24/10/2025

Unataka ngozi laini, yenye kung’aa na isiyo na madoa?
🌸 Jaribu Mafuta ya Aloe Vera Asilia!

💧 Faida kuu:
✅ Hupunguza makovu na madoa ya ngozi
✅ Hutibu hutibu mba,utangotango na fangasi za ngozi
✅ Hulainisha ngozi kavu na iliyochoka
✅ Hupunguza muwasho na kuleta hisia ya baridi
✅ Husaidia ngozi kupona haraka na kuondoa wekundu wa jua au cream kali

🌼 Matumizi:
Pakaa matone machache kwenye ngozi safi asubuhi na jioni.
Kwa matokeo bora, tumia kila siku!

🍃 100% Asili, haina kemikali wala harufu kali.
Ni salama kwa ngozi ya watoto na watu wazima.

Tunafanya delivery popote

Mawasiliano 0677227220

Asante sana kipenzi kwa mrejesho...nikisema kijoy ni kiboko namaanisha Njio uanze dozi Acha kufuga magonjwa.Mawasiliano ...
23/10/2025

Asante sana kipenzi kwa mrejesho...nikisema kijoy ni kiboko namaanisha

Njio uanze dozi Acha kufuga magonjwa.

Mawasiliano 0677227220.

22/10/2025

KIJOY ni dawa ya asili iliyotengenezwa kutokana na mimea tiba kama vile mkwaju, msubili, majani ya mparachichi nk
Imeboreshwa kusaidia:
✅ Kusafisha mirija ya uzazi kwa wanawake
✅ Kuimarisha hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke
✅ Kurekebisha homoni
✅ Kuongeza uwezekano wa mimba kwa wanandoa
Kuondoa maambukizi ya PID
✅ Kupunguza maumivu ya tumbo la chini
✅ Kuondoa harufu mbaya na uchafu
Kuyeyusha uvimbe kwenye kizazi
💚 Kusafisha damu na homoni
💚 Kurudisha hedhi katika hali ya kawaida

Ni dawa ya asili, salama, haina kemikali wala madhara.
🌿 Inatumika kwa wanawake wa rika zote.

DOZI NZIMA NI KOPO 3 (45000).

DELIVERY TUNAFANYA POPOTE TANZANIA

TUPO KIJICHI CCM DAR ES SALAAM.

WAPENDWA WATEJA WANGU WA DAWA YA UZAZI KIJOY INAYOTIBU PID SUGU FANGAS HOMONI IMBALANCE KUKOSA HAMU YA TENDO KUTOKUSHIKA...
16/10/2025

WAPENDWA WATEJA WANGU WA DAWA YA UZAZI KIJOY INAYOTIBU PID SUGU FANGAS HOMONI IMBALANCE KUKOSA HAMU YA TENDO KUTOKUSHIKA MIMBA NIMEFUNGUA GROUP LA WHAT'S UP KWA AJILI YA KUPOST DONDOO ZA AFYA YA UZAZI,USHAURI, MIREJESHO YA DAWA PAMOJA NA UWANJA WA KUJADILIANA KUHUSU AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE KWA UJUMLA.

TAFADHALI BONYEZA LINK HII UJIUNGE

HAKUNA MALIPO YEYOTE (NI BURE)

https://chat.whatsapp.com/KQaWcBt82yV6RzSOSzth8J?mode=ems_copy_t

Unaweza nitumia msg 0677227220 ( NIUNGE UZAZI)

Utaungwa kwa group.

WAPENDWA WATEJA WETU WA DAWA YA UZAZI KIJOY INAYOTIBU PID SUGU FANGAS HOMONI IMBALANCE KUKOSA HAMU YA TENDO KUTOKUSHIKA ...
16/10/2025

WAPENDWA WATEJA WETU WA DAWA YA UZAZI KIJOY INAYOTIBU PID SUGU FANGAS HOMONI IMBALANCE KUKOSA HAMU YA TENDO KUTOKUSHIKA MIMBA NIMEFUNGUA GROUP LA WHAT'S UP KWA AJILI YA KUPOST DONDOO ZA AFYA YA UZAZI,USHAURI, MIREJESHO YA DAWA PAMOJA NA UWANJA WA KUJADILIANA KUHUSU AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE KWA UJUMLA.

TAFADHALI BONYEZA LINK HII UJIUNGE

HAKUNA MALIPO YEYOTE (NI BURE)

https://chat.whatsapp.com/KQaWcBt82yV6RzSOSzth8J?mode=ems_copy_t

KIJOY ni dawa ya asili iliyotengenezwa kutokana na mimea tiba kama vile mkwaju, msubili, majani ya mparachichi nk
Imeboreshwa kusaidia:
✅ Kusafisha mirija ya uzazi kwa wanawake
✅ Kuimarisha hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke
✅ Kurekebisha homoni
✅ Kuongeza uwezekano wa mimba kwa wanandoa
Kuondoa maambukizi ya PID
✅ Kupunguza maumivu ya tumbo la chini
✅ Kuondoa harufu mbaya na uchafu
Kuyeyusha uvimbe kwenye kizazi
💚 Kusafisha damu na homoni
💚 Kurudisha hedhi katika hali ya kawaida

Ni dawa ya asili, salama, haina kemikali wala madhara.
🌿 Inatumika kwa wanawake wa rika zote.

DOZI NZIMA NI KOPO 3 (45000).

DELIVERY TUNAFANYA POPOTE TANZANIA

TUPO KIJICHI CCM DAR ES SALAAM.

Mrejesho wa Moto kabisa...kijoy imefanya kazi ...hongera sana kipenzi..kama unachangamoto ya kutokushika mimba, PID sugu...
13/10/2025

Mrejesho wa Moto kabisa...kijoy imefanya kazi ...hongera sana kipenzi..kama unachangamoto ya kutokushika mimba, PID sugu,fangasi, hormone imbalance njio nikupe dawa ya uhakika.

Mawasiliano 0677227220.

📢 TAHADHARI KWA AFYA YAKO!PID – Pelvic Inflammatory Disease👉 PID ni ugonjwa wa maambukizi ya viungo vya uzazi vya ndani ...
23/09/2025

📢 TAHADHARI KWA AFYA YAKO!
PID – Pelvic Inflammatory Disease

👉 PID ni ugonjwa wa maambukizi ya viungo vya uzazi vya ndani kwa wanawake (mfano: kizazi, mirija ya uzazi na ovari).

⚠ Dalili kuu za PID:

Maumivu makali chini ya tumbo

Homa na kutokwa na jasho

Kutokwa na uchafu usio wa kawaida ukeni (wenye harufu mbaya)

Maumivu wakati wa kukojoa au kushiriki tendo la ndoa

Kutokwa damu katikati ya mzunguko wa hedhi

📌 Ukichelewa kupata matibabu, PID inaweza kusababisha:

Utasa (kukosa uwezo wa kupata mtoto)

Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi (ectopic pregnancy)

Maumivu ya muda mrefu ya nyonga

💡 Jinsi ya kujikinga na PID:

Tumia kondomu kila unaposhiriki tendo la ndoa

Epuka wapenzi wengi

Fanya uchunguzi wa mara kwa mara wa magonjwa ya zinaa

Pata matibabu mapema unapopata dalili

🏥 Kumbuka: Ukihisi dalili, anza tiba haraka kuepuka madhara makubwa zaidi.

Afya yako, maisha yako!

KARIBU TUKUHUDUMIE UPATE DOZI YA UHAKIKA YA PID.
KOPO MOJA 15000
DOZI NZIMA NI KOPO 3.

MAWASILIANO 0677227220.

DELIVERY TUNAFANYA POPOTE.

UNGA WA UWATU, FAIDA ZAKEUnga huu tunaouzungumzia faida zake unatokana na mbegu za UwatuTumia mbegu  zake kijiko kimoja ...
23/09/2025

UNGA WA UWATU, FAIDA ZAKE

Unga huu tunaouzungumzia faida zake unatokana na mbegu za Uwatu

Tumia mbegu zake kijiko kimoja cha chai, changanyia kwenye maji vuguvugu kikombe kimoja, fanya hivyo kutwa mara mbili hadi mwezi mzima.

Utakusaidia kwa haya:
◾Husaidia mno watu wanaojihisi hasira kila mara bila sababu, wanaokosa mood(off-mood)
◾Husaidia mno kupunguza uzito
◾Kuondoa uchovu wa mwili
◾Kukosa usingizi
◾Presha ya kupanda
◾Kukosa ute wa uzazi kwa wanawake, wanawake wakavu
Huchochea uzalishaji wa maziwa kwa mama anaenyonyesha

Kwa ushauri na tiba tafadhali wasiliana nasi kwa namba 0677227220

Tunafanya delivery popote Dar es Salaam na mikoani.

Kiboko ya maradhi ya uzazi wa kike.Hormone imbalance Kukosa hamu ya tendoUvimbe kwenye kizaziKushindwa kubeba ujauzito H...
15/09/2025

Kiboko ya maradhi ya uzazi wa kike.
Hormone imbalance
Kukosa hamu ya tendo
Uvimbe kwenye kizazi
Kushindwa kubeba ujauzito
Hedhi isiyoeleweka
Maumivu makali wakati wa hedhi.

DoI nzima 45000.

Mawasiliano 0677227220.

Mrejesho wa moto kabisa huu...nikisema Kijoy ni dawa ya uzazi isio naubabaifu namaanisha...kama unachangamoto za magonjw...
15/09/2025

Mrejesho wa moto kabisa huu...nikisema Kijoy ni dawa ya uzazi isio naubabaifu namaanisha...kama unachangamoto za magonjwa ya uzazi kama.
Hormone imbalance
Uvimbe kwenye kizazi
Kukosa hamu ya tendo la ndoa
Kushindwa kubeba mimba
Hedhi isiyoeleweka
Maumivu makali wakati wa hedhi nk.

Njoo nikupatie dawa ya uhakika.
Mawasiliano 0677227220.

Address

Kijichi CCM
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nancy Green Organic Products posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Nancy Green Organic Products:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram