Misingi Ya Afya Bora

Misingi Ya Afya Bora Tunawasaidia Wanaume Kutatua Changamoto Ya Kuwahi Kufika Kileleni Bila Kutumia Dawa Za Kemikali

20/11/2023

NAMNA YA KUFANYA MAZOEZI YA KEGEL KWA MWANAUME

Kuna aina mbali mbali za mazoezi lakini kuna baadhi ambayo huwa na manufaa ya kiafya inapokuja katika kujamiiana au tendo la ndoa kwa binadamu.

Mazoezi ya mwili ni sehemu muhimu sana ya afya ya mwanadamu na kuyafanya au kutoyafanya kunaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa hali ya afya ya mtu.

Je! Mazoezi ya kegel ni nini?

Kegel Ni mazoezi yanayofanywa kwa kurudiarudia kwa kukaza (kubana) na kuachia misuli iliyopo kwenye uvungu wa pelvis kitaalam inaitwa PELVIC FLOOR MUSCLES!

Pelvic floor muscles ni misuli inayoshikilia asilimia 85% ya Uume! na ndiyo misuli inayofanya kazi ya kudhibiti ufanyanyaji kazi wa dhakari.

mazoezi haya husaidia viungo vilivyopo chini ya nyonga kuboresha mawasiliano na udhibiti wa kibofu cha mkojo na pia kuimarisha uwezo wa tendo la ndoa.

SWALI LINAKUJA! NAFANYAJE HAYA MAZOEZI?! na ndio Dhumuni la kuandaa Makala hii, naamini ukisoma Mpaka mwisho utakuwa umepata jibu la swali lako!

Ukiwa umesimama au umekaa, legeza viungo vyako vyote vya mwili, usikaze makalio wala misuli yako ya miguu au ya tumbo. Kaza misuli yako ya uvungu wa sehemu nyeti k**a vile unazuia mkojo usitoke.

Ukiwa bado umeikaza misuli hiyo, hesabu sekunde 3 hadi tano kisha ilegeze (ukiweza kuhesabu sekunde zaidi ni vizuri zaidi).

Fuata ratiba uliyopewa hapa chini kuendelea na mazoezi yako.

Wiki ya 1 mikazo 30 kwa siku.

Wiki ya 2 mikazo 30 kwa siku โ€“ mara mbili kwa siku.

Wiki ya 3 mikazo 45 kwa siku โ€“ mara mbili kwa siku.

Wiki ya 4 mikazo 60 kwa siku โ€“ mara mbili kwa siku.

Wiki ya 5 mikazo 75 kwa siku โ€“ mara mbili kwa siku.

Naamini ukifanya hili zoezi Kwa muendelezo litakusaidia kukupa Uwezo wa kuweza kuhimili Tendo la ndoa Kwa mda mrefu sana! Maana misuli ya pelvic floor muscles Ina control kazi Nyingi za UUME.

ilimradi uweze kusupport tissues na misuli ya Uume! Pia ni muhimu Kupata Huduma ya Virutubisho ambavyo vitaenda kulisha seli za mwili na kutanua hii misuli!

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ๐Ÿ‘‡๐Ÿฝ

๐—ฃ๐—œ๐—š๐—” ๐—”๐—จ ๐—ช๐—›๐—”๐—ง๐—ฆ๐—”๐—ฃ๐—ฃ 0742825801

HAYA NI MAMBO AMBAYO YANAWEZA KUKUFANYA KUPOTEZA KABISA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA...(A) Upungufu wa homoni ya Testes...
20/11/2023

HAYA NI MAMBO AMBAYO YANAWEZA KUKUFANYA KUPOTEZA KABISA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA...

(A) Upungufu wa homoni ya Testesterone:

Ni homoni ya kiume ambayo ndiyo huratibu Mfumo Mzima Wa Kiume Kwa Mwanaume.

Homoni hii hufanya kazi ya Kuimarisha Misuli, Huboresha uzito wa mifupa na huchochea utengenezwaji wa mbegu za kiume (sperms).

Pia homoni hii huongeza hamu ya tendo la ndoa. Kupungua kwa homoni hii inayozalishwa na korodani, Husababisha kupungua kwa hamu ya kufanya tendo la ndoa na uzalishaji wa mbegu za kiume huwa kwa kiwango kidogo.

(B)Matumizi ya Dawa:
Kutumia baadhi ya dawa huweza kupunguza uwezo wako wa kushiriki na Mke wako.
Matumizi ya dawa k**a za high blood pressure k**a vile ACE na BLOCKER huweza kusababisha uwezo wa kufanya mapenzi kupungua na hamu ya tendo la ndoa kupotea kabisa.

(C)Mfadhaiko:
Mfadhaiko huathiri utendaji kazi wa mwili wako wote.
Mfadhaiko humfanya mtu apoteze kuvutiwa na kazi alizozoea kuzifanya hapo kabla ikiwa ni pamoja na tendo la ndoa. Imethibitika kuwa dawa za kupunguza mfadhaiko pia hupunguza hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa mtumiaji.

(D)Magonjwa ya Muda Mrefu:

K**a unajisikia vibaya kutokana na ugonjwa wa muda mrefu,kufanya tendo la ndoa haitakuwa hitaji lako la kwanza. Magonjwa k**a kansa hupunguza kiwango cha mbegu zako na hivyo hamu ya tendo la ndoa kupungua.

(E) Kukosa usingizi:
Imebainika kuwa tatizo la kukosa usingizi husababisha kupungua kwa kiwango cha homoni ya testesterone. Kupungua kwa homoni ya testesterone husababisha kupungua kwa hamu ya kufanya mapenzi pia.

(F) Msongo wa mawazo:
kwa mtu mwenye msongo uwezo wake wa kufanya tendo la ndoa hupungua.
Hii ni kwa sababu msongo husababisha hitilafu kwenye mfumo wa homoni.
Na hii huweza kupelekea mishipa ya ATERI kubana na kuzuia damu kufikia sehemu muhimu zinazohusika na ufanyaji wa tendo la ndoa.

(G) Kutojiamini:
Haitawezekana kufanya tendo la ndoa k**a wewe mwenyewe huamini.
Kutojiamini hupelekea wasiwasi ambayo husababisha mvurugiko wa homoni zinazohusika kuongeza hamu na ufanyaji wa tendo la ndoa.

(H)Pombe na Madawa ya kulevya:
Matumizi ya pombe husababisha kupungua kwa uwezo wa kufanya tendo la ndoa.

Matumizi ya madawa ya kulevya k**a ma*****na huharibu utendaji kazi wa tezi ya PITUITARIES inayoratibu utengenezwaji wa homoni ya TESTOSTERONE.

(I) Kushindwa Kufanya Kazi Vyema Kwa Mfumo Wa Fahamu:
Mifumo mzuri wa fahamu husaidia katika usafirishaji wa Taarifa kwa haraka kutoka katika ubongo mpaka katika Uume na hivyo kuwa na Uwezo wa Kusimama haraka.

Hivyo, Kushindwa Kufanya Kazi Vizuri Kwa Mfumo wa Fahamu na Kukosa hamu ya tendo la ndoa, Hupelekea Uume kushindwa kusimama na matokeo yake husababisha Mwanaume Kuwa na wasiwasi na kutojiamini.

Hata hivyo uume kushindwa kusimama ni dalili ya uwepo wa tatizo kubwa la kiafya k**a vile magonjwa ya moyo, Kisukari, Tezi Dume nk.

โš ๏ธUnapata Tatizo la Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa ?

Usihofu...

Vipo Virutubisho Lishe ambavyo vitakusaidia kumaliza kabisa Changamoto Yako Ya Kukosa Hamu Ya Tendo.

โš ๏ธ K**a Unakosa Hamu Ya Tendo, Kushindwa Kurudia Tendo, Misuli Kusinyaa au Kutoa Mbegu Chache...

๐—ž๐˜„๐—ฎ ๐—”๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ฒ๐—ต๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ž๐˜‚๐˜‡๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—บ๐˜‡๐—ฎ ๐—ก๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—บ๐—ถ ๐—ฃ๐—ฟ๐—ถ๐˜ƒ๐—ฎ๐˜๐—ฒ ๐—ž๐˜„๐—ฎ ๐—จ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ ๐—ญ๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ ๐—”๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ป๐—ถ๐—ฝ๐—ถ๐—ด๐—ถ๐—ฎ ๐— ๐—ผ๐—ท๐—ฎ ๐—ž๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ผ๐—ท๐—ฎ.

๐— ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ผ
โœ”0697 078 889. ๐—”๐—œ๐—ฅ๐—ง๐—˜๐—Ÿ
โœ”0742 825 801. ๐—ฉ๐—ข๐——๐—”๐—–๐—ข๐— 

Tuzungumze Uweze Kupata Mwongozo wa Suluhisho Lako

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Misingi Ya Afya Bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram