Sam Nature

Sam Nature 🤳 Nitafute kwa suluhisho la Kisukari na mengine kama Unene, Presha kwa njia Asilia

📞Mawasiliano: +255621596614

21/01/2026

Tofautisha Kudhibiti Kisukari na kushusha sukari

21/01/2026
20/01/2026

Kupata program kamili ya kutokomeza Kisukari niandikie ujumbe wenye neno TOKOMEZA KISUKARI kwenda Whatsapp 0621596614

19/01/2026

Kwanini wagonjwa wa Kisukari WANAONGEZEKA SANA? Kupata program ya kutokomeza Kisukari niandikie ujumbe kwenye Whatsapp 0621596614 wenye neno TOKOMEZA KISUKARI

18/01/2026

Haya njia rahisi kabisa ukiwa nyumban
Kwa program za namna ya kutokomeza Kisukari nitumie ujumbe Whatsapp kwenda namba 0621596614 andika TOKOMEZA KISUKARI

16/01/2026

Kwa WANAOTOKA kwenye familia zenye historia ya Kisukari kuna ujumbe wenu hapa

Ili uhai uendelee lazima uhai mwingine ufe...Kwahiyo hata uwe vegetarian lazima hiyo mimea itapoteza uhai ili wewe uende...
16/01/2026

Ili uhai uendelee lazima uhai mwingine ufe...

Kwahiyo hata uwe vegetarian lazima hiyo mimea itapoteza uhai ili wewe uendelee kuwa hai

Chakula ni sehemu ya mzunguko wa asili.. hata kula mimea kunahusisha kuharibu uhai, hivyo si nyama pekee

Anyway tuachane na hilo kwanza

Hivi Likija suala la nyama nini kinakuja kwenye akili yako? 😃

Watu wengi wako na meat phobia, yaani unakuta hadi mtu anajisifu kabisa nashukuru Mungu mwaka wa nane sasa sili nyama chakula changu ni dona tena namix mtama, ngano, mahindi na ulezi, natumia juice za matunda fresh n.k

Situmii mafuta ya wanyama natumia zangu alizeti, mafuta ya soya, 🌽 Corn oil

Halafu utakuta ana insulin resistance, ni mnene, ana kitambi, homoni zishavurugika, ana Kisukari kilichojificha au rasmi, analalamika maumivu ya mifupa na viungo ...

Tumekuwa domesticated na mafundusho mbalimbali shuleni, kanisani, familia na kwenye jamii zetu.. Bahati mbaya hatukuwa na uwezo wa kuhoji sana ila nature is neutral.. leo inatuadhibu kwa changamoto nyingi za kiafya kwa kupuuza asili ya miili yetu

Kuna haja ya kufuta na kujifunza upya haya mambo (Unlearn).. huko ulikokimbilia siko..

Kumbuka unahitaji Afya Bora kutimiza na kufurahia ndoto zako pia..

Hebu acha mtazamo wako hapa

~ Samnature

15/01/2026

Usiendelee kulalamika huku ukiendelea kuumia Bure.. rudisha power kupata program kamili ya kutokomeza Kisukari niandikie kwenye Whatsapp 0621596614 andika neno TOKOMEZA KISUKARI

15/01/2026

Wewe unadeal na ugonjwa wa Kisukari kwa level gani kati ya hizi 2? Kupata Program kamili enda Whatsapp 0621596614 niandikie TOKOMEZA KISUKARI

13/01/2026

Niambie kwenye comment

Address

Dar Es Salaam
255

Telephone

+255621596614

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sam Nature posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Sam Nature:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram