04/03/2026
Sababu Kuu 3 Kwanini tumeanzisha movement ya TOKOMEZA KISUKARI
1. Bibi yangu alikatwa mguu kwaajili ya Kisukari.. hakuwa na muda wa kujitetea k**a wengine ..alichelewa kujigundua k**a ni mgonjwa so kipindi anagundulika tu ndani ya mwezi wa kwanza wakakata vidole, mwezi uliofuata wak**alizia mguu wake (sitamani kuona mtu mwingine au familia nyingine wakipata Maumivu haya)
2. Asilimia 80+ ya watu wenye ugonjwa huu wanafanya Tiba inayowasaidia kulea ugonjwa tu ndio maana hawaponi pamoja na kupoteza pesa nyingi kutumia madawa na madawa bado ugonjwa unakuwa palepale, unazidi kuwa sugu zaidi, kusababisha kero nyingi na wengine kuishia kupata madhara hatari yasiyorudishika nyuma. Ipo program maalumu na Asilia inayosaidia kuondoa kabisa kiini cha ugonjwa mpaka sasa nimepokea shuhuda nyingi mno za mafanikio kutoka kwa clients wangu..
Sababu no.3
▶️ Natokea kwenye familia yenye vinasaba vya Kisukari inamaana lifestyle yangu ikiwa mbaya ni rahisi sana kuugua pia so kupitia ufahamu huu nimebadili sana lifestyle yangu .. by the way nilianza kubadilika baada ya kuanza kuona dalili za awali za ugonjwa huu..😀 nitakuja kuelezea kwa upana siku moja so from there nikasema sisubiri mapigo ili kufuata ushauri. Nashukuru Mungu naenjoy sana lifestyle hii mpya ya kiafya inayomfaa kila mtu na inanifanya kuwa active sana while helping others
4. Sababu ya mwisho ni kwamba it's my passion .. nafanya k**a mchango wangu kwa jamii .. napenda watu.. napenda kuishi contributional life.. maisha yenye kugusa wengine.. hakuna Furaha kubwa kwangu k**a kuona shuhuda za transformation ya clients wangu
Hizo material things zinakuja na zitakuja abundantly kwangu k**a bonuses/rewards tu
So hivyo ndivyo ilivyo familia.. (this is unstoppable mission) 💪🏽🤝
Ni sababu ipi imekugusa hapo.. anyway karibu sana kwenye movement hii usaidike