Sam Nature

Sam Nature 🤳 Nitafute kwa suluhisho la Kisukari na mengine kama Unene, Presha kwa njia Asilia

📞Mawasiliano: +255621596614

Mungu ibariki Tanzania
03/11/2025

Mungu ibariki Tanzania

26/10/2025
21/10/2025

Unachagua wapi

20/10/2025

Nini kinasababisha ugonjwa wa Kisukari zaidi kati ya KURITHI ama SABABU ZA LIFESTYLE PEKEE

20/10/2025

Why ugonjwa wa Kisukari unaitwa muuaji wa kimyakimya?

18/10/2025

Mambo 4 yanayopelekea Ugonjwa wa Kisukari.. kupata Program ya kutokomeza tatizo hili nicheki kwa namba +255621596614

KUJALI AFYA YAKO NI UWEKEZAJI, SIO GHARAMA.Anyway “Dawa bora kuliko zote ni kuwafundisha watu jinsi ya kuishi bila kuhit...
28/09/2025

KUJALI AFYA YAKO NI UWEKEZAJI, SIO GHARAMA.

Anyway “Dawa bora kuliko zote ni kuwafundisha watu jinsi ya kuishi bila kuhitaji dawa.”

Jifunze kula kiafya, kufanya mazoezi, na kutumia njia asilia kujitunza.” 🌿

Uwekezaji no.1 maishani ni katika wewe kwanza


*HII NDIO TIBA KAMILI YA KUTOKOMEZA KISUKARI ILIYOLETA MAFANIKIO MAKUBWA KWA MAMIA NA MAMIA YA WATU*Habari njema kwa wew...
28/07/2025

*HII NDIO TIBA KAMILI YA KUTOKOMEZA KISUKARI ILIYOLETA MAFANIKIO MAKUBWA KWA MAMIA NA MAMIA YA WATU*

Habari njema kwa wewe unayehangaika na Kisukari

Tumekuletea Tiba ya kweli ya Kisukari

MPANGO HUU UMETHIBITISHA KUSAIDIA WATU WENGI;

✅ KUPUNGUZA viwango vya juu vya sukari

✅ KUSITISHIWA matumizi ya dawa .. kuachana na utegemezi wa Dawa

✅ KUTOKOMEZA kabisa Kisukari na athari zake kama Ganzi, matatizo ya macho, Nguvu za kiume n.k-kwa njia ya lishe sahihi.

Programu hii inajumuisha:

1️⃣ DIABEAT PROGRAM: Utapewa Mwongozo kamili wa Tiba (PDF) unaokuonyesha:

1. VYAKULA vya kuepuka na vya kutumia

2. JINSI ya kupanga milo ya asubuhi, mchana na jioni

3. AINA ya mimea tiba (natural remedies) unazoweza kutumia mwenyewe nyumbani

4. FORMULA ya namna ya kuandaa Ratiba ya siku kwa siku ya kufuata (chakula + tiba)

NB: Mwongozo huu unatumiwa kwenye Whatsapp yako unaweza kusoma katika simu yako ama ukaenda Kuprint Stationary ili kupata kijitabu cha Kawaida (Hardcopy)

Vilevile utaungwa kwenye

2️⃣ GROUP maalum la usimamizi

👉🏾 UTAUNGANA na watu wengine wanaofanya programu hii chini ya usimamizi wetu, waliopata mafanikio makubwa na wanaoanza kama wewe

👉🏾 UNAPATA usimamizi wa karibu, kujibiwa maswali yako, na motisha ya kuendelea

Tutasimama nawewe hadi ufikie lengo la kupona kabisa..

Kila siku watu hutuma picha za vyakula wanavyokula, Reading za sukari yao na maendeleo yao kiujumla

Hii ni sehemu sahihi sana kwako kufanikiwa hata kama umeshatumia njia nyingi bila mafanikio

BEI RASMI NI SH.100,000 TU ZA KITANZAΝΙΑ

📩 Kama uko tayari kuanza safari hii ya kutokomeza Kisukari nitumie ujumbe wenye neno "NAHITAJI"

ili upate utaratibu wa kufanya malipo kisha nitakutumia Mwongozo wa Tiba na kukuinguza kwenye Group la usimamizi

Watu wengi wameweza kuagana na ugonjwa huu kupitia CHAKULA TIBA hata wewe utafanikiwa

Usiache fursa hii ikupite

karibu sana

Mwenye kujali Afya yako Samnature

Address

Dar Es Salaam
255

Telephone

+255621596614

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sam Nature posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Sam Nature:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram