Mkolwe

Mkolwe Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mkolwe, Dar es Salaam.

> 🌍 Mkolwe | SimuTatu TV
📺 Education | Health | Stories | Business
📧 Email: simutatutv@gmail.com
▶️ YouTube: SimuTatu TV
📸 IG:
🔔 Follow for ideas, knowledge & healthy living!

MAN U
26/01/2026

MAN U

25/01/2026

“Sauti ya Upweke – Hadithi ya Majonzi, Huzuni na Kupona | Hadithi ya Kusisimua ya Maisha Halisi”

25/01/2026

“Sauti ya Upweke – Hadithi ya Majonzi, Huzuni na Kupona | Hadithi ya Kusisimua ya Maisha Halisi”

kwa hadithi tamu zaidi karibu YouTube simutatu hadithi kubwa usisahau ku subscribe, like, share,na gonga kengere

Simba SC Tanzania wanahitaji uturivu tuu ila wanakikosi kizuri ni mtazamo wangu tuufollow us Mkolwe
24/01/2026

Simba SC Tanzania wanahitaji uturivu tuu ila wanakikosi kizuri ni mtazamo wangu tuu

follow us Mkolwe

Mchezo umekwisha.    follow us Mkolwe
24/01/2026

Mchezo umekwisha.

follow us Mkolwe

ni zipi sifa za mwanamke wa kuoa?follow us Mkolwe
24/01/2026

ni zipi sifa za mwanamke wa kuoa?

follow us Mkolwe

pole sana vijana wangu follow
24/01/2026

pole sana vijana wangu

follow

duuuuuuh polen msana Young Africans Sports Club follow us Mkolwe
24/01/2026

duuuuuuh polen msana Young Africans Sports Club

follow us Mkolwe

Mpango wa kocha Pedro ulikuwa wazi,tunacheza ugenini dhidi ya timu namba moja kwa ubora Africa,lazima kipindi cha kwanza...
24/01/2026

Mpango wa kocha Pedro ulikuwa wazi,tunacheza ugenini dhidi ya timu namba moja kwa ubora Africa,lazima kipindi cha kwanza tuwe na nidhamu ya kulinda na kushambulia kisha kipindi cha pili Pacome ataingia ili tufungue trubo na kwenda kwao.

Kocha aliona kwenda na back-3 itakuwa bora sana hivyo akaamuwa kumuweka nje Kiungo mshambuliaji (Pacome) na kumuanzisha beki wa kati (Nondo).

Lazima tuwe wakweli kipindi cha kwanza Yanga ilikuwa timu bora kiwanjani kwani walizuia vizuri na kushambulia kwa malengo….kwa bahati mbaya dakika ya mwisho ya kipindi cha kwanza Mwenda alilala Ahly wakapata goli,pia Yanga hawakuwa na ufanisi mbele ya lango zile nafasi mbili za Okello na Maxi zilitakiwa kuingia ndani.

Ni wazi mpago wa Pedro ulikuwa poa ila baadhi ya wachezaji hawakuwa na mechi nzuri hivyo timu ikapoteza mechi.

Mpango wa kocha Pedro ulikuwa wazi,tunacheza ugenini dhidi ya timu namba moja kwa ubora Africa,lazima kipindi cha kwanza...
24/01/2026

Mpango wa kocha Pedro ulikuwa wazi,tunacheza ugenini dhidi ya timu namba moja kwa ubora Africa,lazima kipindi cha kwanza tuwe na nidhamu ya kulinda na kushambulia kisha kipindi cha pili Pacome ataingia ili tufungue trubo na kwenda kwao.

Kocha aliona kwenda na back-3 itakuwa bora sana hivyo akaamuwa kumuweka nje Kiungo mshambuliaji (Pacome) na kumuanzisha beki wa kati (Nondo).

Lazima tuwe wakweli kipindi cha kwanza Yanga ilikuwa timu bora kiwanjani kwani walizuia vizuri na kushambulia kwa malengo….kwa bahati mbaya dakika ya mwisho ya kipindi cha kwanza Mwenda alilala Ahly wakapata goli,pia Yanga hawakuwa na ufanisi mbele ya lango zile nafasi mbili za Okello na Maxi zilitakiwa kuingia ndani.

Ni wazi mpago wa Pedro ulikuwa poa ila baadhi ya wachezaji hawakuwa na mechi nzuri hivyo timu ikapoteza mechi.

Hans
follow us Mkolwe

Address

Dar Es Salaam
MKOLWE

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mkolwe posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mkolwe:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram