25/01/2026
USIPOLIJUA HILI: CHANGAMOTO YAKO ITAKUTESA SANA NA HATA KUATHIRI FAMILIA YAKO YOTE.
Je umewahi kujiuliza kwanini kuna ongezeko la magonjwa sugu na yasiyoambukiza k**a hilo linalokusumbua, katika wakati ambao kuna ongezeko kubwa la Madaktari bingwa, dawa na vifaa tiba vya kisasa katika hospital zetu?
Swali hili k**a hujawahi kujiuliza, basi jiulize kidogo kisha uone k**a utapata majibu yake. Maana ni muhimu sana kulijua katika hizi nyakati.
Ndugu yangu hata k**a dunia nzima ikageuka kuwa madaktari bingwa, lakini k**a wewe na familia yako.
Msipo kuwa makini na mtindo wa maisha na vyakula mnavyotumia Magonjwa sugu na yasiyoambukiza yataendelea kuwa sehem ya maisha yenu na hata kuwaumiza kwa aina mabalimbali.
Hii ni kwa sababu lazima tukubaliane kwamba hakuna binadamu anayeweza kuishi bila chakula na siyo chakula tu bali chenye vitamini na Virutubisho vya kutosha.
Lakini pia lazima tukubaliane kwamba katika jamii yetu kwa sasa uzalishaji wa chakula umetoka kwenye kukidhi mahitaji ya lazima ya mwanaamu hadi kuwa sehemu ya biashara.
Hivyo vyakula vingi vinazalishwa bila kukidhi mahitaji ya mlaji, yaani kuwa na vitamini na Virutubisho vya kutosha.
Ili kulinda na kujenga miili yetu dhidi ya magonjwa.
Na badala yake vyakula visivyo salama na visivyo na virutubisho vya kutosha vimekuwa vichocheo vikubwa vya magonjwa hasa yasiyoambukiza na sugu k**a vile magonjwa ya ;
Shikizo la damu, Sukari, Figo, kansa, vidonda vya tumbo, Moyo, Bawasiri, changamoto ya Uzazi kwa wanawake na wanaume, macho, mifupa, ganzi na viungo kuwaka moto.
Pia magonjwa mengine ni U.T.I sugu, PI D, changamoto ya ngozi, Changamoto ya Ini. Upumaji n.k
Hivyo lazima tukubaliane kwamba kwa sasa dunia iko kwenye changamoto ya swala la kiaafya.
_*_ILA HAYO YOTE UNAYAJUA VYEMA, CHANGAMOTO YAKO KUBWA NI WAPI UNAPATA SULUHISHO LA KWELI LA CHANGAMOTO YAKO_ ?_*
Swali hili ni la msingi kwa sababu wapo wengi waliopoteza Maisha kwa kuendelea kupata matibabu sehemu zisizo sahihi kwao na changamoto husika.
Maana ni lazima ujue kabisa Tiba sahihi ya magonjwa Sugu na Yasiyoambukiza ni muhimu yahusishe matumizi virutubisho au tiba lishe
Ili kuondoa chanzo cha Ugonjwa, sumu na kujenga sehemu za mwili zilizopata hitirafu.
Vinginevyo utaendelea kutafuta matibabu bila Mafanikio kwa changamoto yako.
_I LI KUTOENDELEA KUHANGAIKA KARIBU UPATE SULUHISHO_ .
_
Hutakuwa wa kwanza wa wala wapili wengi temewasaidia changamoto k**a hiyo yako.
Kwa kushilikiana na Taasisi ya Kichina ya GCAT yenye Wataalam( Madaktari bingwa) wa kutosha na wenye Ueredi wa hali ya juu ya magonjwa sugu na yasiyoambukiza.
Sasa Tumetoa OFA ya kukjtana na madaktari wetu na kufanya vipimo vya mwili mzima kwa Tsh 20000 tu.
Vituo vyetu Dar es salam na mikoani kote pia, na OFA hii ni ya siku 5 tu.
Ili kupata huduma katika hiki cha Ofa piga 0755912740 ili kuwasiliana na Daktar wetu moja kwa moja na akuandalie namba ya Appointment wa kukutana nae.
Au bonyeza link hii kupata mawasiliano ya whatsap.https://wa.me/message/QKYRT5YPD4XBB1