28/10/2025
“Kutokana na uboreshaji wa miundombinu ya kutolea huduma, Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imefanikiwa kuanzisha huduma ya watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi ambapo zaidi ya watoto 450 wamehudumiwa na kufanyiwa upasuaji.
Dkt Godlove Mfuko
Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Upasuaji
MNH-Mloganzila