07/10/2025
SARATANI YA TEZI DUME
WhatsApp +255627737046
Uvimbe wa tezi dume (kwa Kiingereza Prostate Enlargement au Benign Prostatic Hyperplasia – BPH) ni hali ambapo tezi dume, ambayo ipo chini ya kibofu cha mkojo kwa wanaume, inaongezeka ukubwa kuliko kawaida.
Hali hii hujitokeza zaidi kwa wanaume wenye umri wa kuanzia miaka 40 na kuendelea.
DALILI ZA UVIMBE WA TEZI DUME
↪️Kukojoa mara kwa mara hasa usiku.
↪️Mkojo kutoka kwa shida au kwa nguvu ndogo.
↪️Kuhisi kibofu hakijaisha hata baada ya kukojoa.
↪️Kuanza kukojoa kwa kuchelewa.
↪️Mkojo kukatika katikati.
↪️Wakati mwingine maumivu au hisia ya kuungua wakati wa kukojoa.
MADHARA YA UVIMBE WA TEZI DUME(ukiachwa bila matibabu)
↗️Kuzuia kabisa mkojo (urinary retention).
↗️Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI).
↗️Kujeruhi kibofu cha mkojo kutokana na msukumo mkubwa wa mkojo.
↗️Madhara kwa figo – kutokana na shinikizo la mkojo kurudi juu.
↗️Maumivu na usumbufu wa kudumu wakati wa kukojoa.
⏹️Unapogundua dalili hizo, ni muhimu kumwona daktari wa mfumo wa mkojo (urologist) kwa uchunguzi na matibabu mapema ili kuepuka madhara makubwa.
Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi
WhatsApp +255627737046