26/10/2025
Faida 5 kuu za Kivumbasi kwenye uzazi:
1. Huongeza uwezo wa uzalishaji kwa wanaume (male fertility):
-Huchochea uzalishaji wa shahawa zenye nguvu na kuimarisha motility (mwendo wa mbegu za kiume).
-Husaidia kulinda korodani dhidi ya uharibifu unaosababishwa na sumu au magonjwa.
2. Husawazisha homoni za uzazi kwa wanawake:
Husaidia katika kusawazisha homoni k**a estrogen na progesterone, hivyo kusaidia mzunguko wa hedhi kuwa wa kawaida.
3. Hupunguza maambukizi ya njia ya uzazi (UTI & PID):
Ina viambato vyenye uwezo wa antibacterial na antifungal vinavyosaidia kutibu na kuzuia maambukizi kwenye kizazi na mfumo wa mkojo — hali ambazo hupunguza uwezekano wa kupata ujauzito.
4. Huongeza hamu ya tendo la ndoa (aphrodisiac):
Harufu na mafuta ya Ocimum canum huchochea hisia na kuongeza libido kwa wanawake na wanaume.
5. Huimarisha afya ya mji wa Mimba na ovari:
Inasaidia mzunguko mzuri wa damu katika sehemu za uzazi, kupunguza uvimbe, na kulinda seli dhidi ya sumu zinazoweza kuathiri uwezo wa kupata ujauzito.
Ili upate matokeo mazuri usitumie pekee yake tengeneza dawa kwa kanuni ifuatayo:
🌿 Formula ya Dawa ya Uzazi (Natural Fertility Tonic)
Viambato:
1.Kivumbasi (majani) – 2 sehemu
2.Mlonge (majani) – 2 sehemu
3.Aloe vera (majani yaliyokaushwa) – 1 sehemu
4.Clove (karafuu) – ½ sehemu
5.Tangawizi – 1 sehemu
Changanya vitu vyote kwa uwiano huo kisha saga upate unga laini kabisa, baada ya hapo tumia kijiko kimoja cha chai kwenye maji ya moto kikombe kimoja kwa siku 21 hadi 28.
Ikiwa unatamani kujifunza mambo mengi zaidi kuhusu tiba asili unaweza kujipatia kitabu chetu cha TIBA ASILIA.
Kita hiki ni softcopy unakipokea kwa e-mail au whatsap kwa 5,000/- tu.
Unaweza kuwasiliana nasi kwa 0758 298 270