Topten

Topten Kituo cha Tiba Mbadala kinachopatikana Mbezi Kwa Msuguri DSM na Mafinga Iringa. Kwa Msaada wa Haraka
Wasiliana nasi:
+255676298270
+255757298270

Kwa Msaada wa Haraka
Wasiliana nasi:
+255676298270
+255758298270

01/04/2026

IJUE SIKU YA KUBEBA MIMBA....

Na k**a unachangamoto nyingine yoyote ya kiafya basi wasiliana nasi upate ushauri mzuri kabla ya kuanza tiba. + 255 676 298 270 au + 255 757 298 270

Watu wengi huwa wanatumia pilipili manga kwenye uji wa mama aliyejifungua kwa ajili ya kumsaidia kuongeza uzalishaji wa ...
01/04/2026

Watu wengi huwa wanatumia pilipili manga kwenye uji wa mama aliyejifungua kwa ajili ya kumsaidia kuongeza uzalishaji wa maziwa.

Na huwa tunaamini hii ndio inaongeza maziwa moja kwa moja kitu ambacho sio kweli ila hii kitu huwa inasaidia viini lishe vilivyomo kwenye uji kuingia haraka sana kwenye mwili bila kizuizi chochote kile.

Kwa maana hiyo k**a una lishe au dawa yako na unatamani ifanye kazi kwa haraka na ubora mkubwa basi uwe unaweka pilipili manga kidogo kwenye mchanganyiko huo kwa ajili ya kuongeza ufanisi.

Ikiwa unatamani kujifunza mengi zaidi kuhusu TIBA ASILIA unaweza kupata kitabu chetu cha Tiba Asilia ambacho utajifunza jinsi ya kujitibia maradhi zaidi ya 70 ukiwa nyumbani kwako.

Kitabu hiki ni Softcopy unakipokea kwenye whatsap yako au email yako. Unaweza kuwasiliana nasi kwa 0758 298 270 au +255676298270

Unapoamua kutumia kitunguu saumu kwa ajili ya matibabu hakikisha ni cha kienyeji ili uweze kupata faida zake k**a unavyo...
31/03/2026

Unapoamua kutumia kitunguu saumu kwa ajili ya matibabu hakikisha ni cha kienyeji ili uweze kupata faida zake k**a unavyokusudia.

Mara nyingi sana vitunguu vya kienyeji huwa ni vyembamba kwa umbo na huwa na rangi ya pink fulani hivi k**a unavyoona hapo pichani.

Ukishamenya na kukatakata au kutwanga au kusaga hakikisha unaviacha wazi kwenye hewa kwa dakika 10 hadi 15 ndio uvitumie k**a dawa.

Kitendo hiki cha kuviacha kwenye hewa kwa muda fulani ndio kunafanya dawa itengenezeke kwa wingi>

Ni muhimu sana kuweka kwenye hewa.

Ikiwa una changamoto yoyote ya kiafya na unatamani kupata usaidizi kutoka kwetu unaweza kuwasiliana0676 298 270

TUNAPATIKANA
DAR ES SALAAM- MBEZI KWA MSUGURI
+255 676 298 270

MAFINGA - IRINGA
+255 757 298 270

ALEART☎️☎️‼️Tumekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kila mtu anapata elimu ya Afya ili kuepukana na maradhi yanayoweza kuep...
31/03/2026

ALEART☎️☎️‼️

Tumekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kila mtu anapata elimu ya Afya ili kuepukana na maradhi yanayoweza kuepukika. Ugonjwa wa HEPATITIS B (homa ya ini) unaenea kwa kasi sana na moja ya njia inayotumika ni pamoja na kuchangia vifaa vya kunyolea au salooni.

USHAURI: Hakikisha kifaa kinawekwa dawa ya kuulia bacteria (spirit) kabla ya kuanza kutumika kwako au kwa mtu mwengine ili kuepuka na magonjwa mengine yanayoambukizwa kwa njia hiyo. Lakini itapendeza zaidi k**a utaamua kuilinda familia yako kwa kununua vifaa na ukawa unamuita tu fundi anakuja nyumbani.

wa.me.0676298270
wa.me.0757298270

Kwa hiyo vitu vitamu k**a hivi ndio hatutakiwi kula eti 😆😆Afu nawaza sisi tunaonunua nusu kilo afu tunakula familia nzim...
30/03/2026

Kwa hiyo vitu vitamu k**a hivi ndio hatutakiwi kula eti 😆😆

Afu nawaza sisi tunaonunua nusu kilo afu tunakula familia nzima tena mara moja kwa mwezi na sisi tupo kwenye kundi la wanaokula Nyama kweli?

Dunia ina mitihani sana kwa kweli tulipokuwa masikini tulikula Mboga na Leo tumepata uwezo tena eti tule tena Mboga 🤣🤣🤣

Natania tu jamani

Unachokiona hapo pichani ni Mdalasini(Cinnamon). Wengi wetu tunatumia k**a Kiungo kwenye mapishi yetu mbalimbali.Lakini ...
29/03/2026

Unachokiona hapo pichani ni Mdalasini(Cinnamon). Wengi wetu tunatumia k**a Kiungo kwenye mapishi yetu mbalimbali.
Lakini hii kitu ni dawa nzuri ya kuondoa maumivu kwenye mwili wako.

MAHITAJI:
Magome ya mdalasini
Chumvi ya mawe

JINSI YA KUANDAA NA KUTUMIA:
Chukua magome kiasi ya mdalasini chemsha kwenye maji hapa hakuna kipimo maalumu kadiria tu wewe upendavyo, iache ichemke kwa muda dakika 20 hadi dakika 30.

Hakikisha unachemsha ikiwa imefunikwa ili nguvu ya dawa isipotee kwa njia ya mvuke.

Baada ya kuchemka vizuri chukua chumvi ya mawe kidogo weka maji hayo. Funika iache ipoe,
Kunywa dawa hii nusu lita kila asubuhi kabla ya jua kuchomoza.
Itumie mfululizo kwa siku 5 hadi 7 kwa uwezo wa Mungu utapata matokeo mazuri sana.

Wakati unaendelea kunywa dawa hiyo hakikisha unakanda eneo hilo lenye maumivu kwa maji ya moto kabisa uliyochanganya na chumvi ya mawe.

Kumbuka kukanda tunakanda mara mbili kwa siku ila dawa tunakunywa mara moja kwa siku.

Ikiwa unatamani kujifunza mengi zaidi kuhusu tiba hizi za asili unaweza kujipatia kitabu chetu cha Tiba Asilia huko ndani utajifunza jinsi ya kujitibia maradhi zaidi ya 70 ukiwa nyumbani kwako.
Kitabu hiki ni Softcopy unakipokea kupitia whatsap au e-mail yako kwa mchango wa 5000 tu.
Ikiwa unahitaji wasiliana nasi kwa +255676298270

MTANGULIZE MUNGU kwenye matibabu yako

Makala hii imeandaliwa na:
Topten Herbs Clinic
Kituo cha tiba Mbadala

Tunapatikana
Mbezi Kwa msuguri DSM
+255676298270
Na
Mafinga Iringa
+255757298270

29/03/2026

Ujifunze kutengeneza Sabuni na Vipodozi ukiwa nyumbani kwako

KUNA FUMBO GANI HAPA....Umewahi kujiuliza kwa nini Serikali na taasisi za kijamii zimekuwa mstari wa mbele kuelimisha ku...
27/03/2026

KUNA FUMBO GANI HAPA....

Umewahi kujiuliza kwa nini Serikali na taasisi za kijamii zimekuwa mstari wa mbele kuelimisha kuhusu thamani ya mti huu na kupiga marufuku ukataji holela katika baadhi ya maeneo?

Kwa changamoto yoyote ya kiafya wasiliana nasi kwa 0676298270 au 0757298270 ili kupata ushauri kabla ya kuanza tiba.

27/03/2026

Hongera sana .mbise Kwa mapishi haya ila inabidi utuambie hizi chapati zinaitwaje maana umetuchanganya 😂😂😂

Huu ni mmea muhimu sana nyumbani kwako, je! wewe unaujuaje na unautumiaje ?Kwa changamoto yoyote ya kiafya, Hakikisha un...
26/03/2026

Huu ni mmea muhimu sana nyumbani kwako, je! wewe unaujuaje na unautumiaje ?

Kwa changamoto yoyote ya kiafya, Hakikisha unawasiliana na kwa nambari: + 255 676 298 270 au + 255 757 298 270 ili upate ushauri mzuri wa tatizo lako kabla ya kuanza matibabu.

23/03/2026

EPUKA MARADHI YA MARA KWA MARA.

Kila siku tunatoa elimu bure kwa watu wote ili sote tuwe na Afya njema.
, Afya yako, Jukumu letu. Hakikisha utatupigia simu kwa changamoto yoyote ya kiafya inayokusumbua kwa + 255 676 298 270 au + 255 757 298 270.

EID MUBARAK 🕌🕌🕌
21/03/2026

EID MUBARAK 🕌🕌🕌

Address

Ubungo
Dar Es Salaam
34599

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Topten posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Topten:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram