Topten

Topten Kituo cha Tiba Mbadala kinachopatikana Mbezi Kwa Msuguri DSM na Mafinga Iringa. Kwa Msaada wa Haraka
Wasiliana nasi:
+255676298270
+255757298270

Kwa Msaada wa Haraka
Wasiliana nasi:
+255676298270
+255758298270

DAWA YA MKANDA WA JESHI Mkanda wa jeshi(Shingles) ni jina linalotumika sana mitaani kuutaja ugonjwa unaoshambulia ngozi ...
08/12/2025

DAWA YA MKANDA WA JESHI

Mkanda wa jeshi(Shingles) ni jina linalotumika sana mitaani kuutaja ugonjwa unaoshambulia ngozi na kujenga tabaka la vijipele vikubwa vyenye majimaji ambavyo mara nyingi hutokea upande mmoja wa mwili. Ingawa vipele hivi huweza kutokea sehemu yoyote ya mwili lakini mara nyingi hutokea kifuani, shingoni, usoni, mgongoni na mikononi. Tatizo hili mara nyingi huwapata watu wenye umri mkubwa na watu wanaosumbuliwa na matatizo yanayopunguza kinga mwili. Nafikiri tumeelewana vizuri sasa twende kwenye Matibabu yake
--------------------------------------------------------------------------
MAHITAJI:
Ua la ndizi
Mafuta ya mgando

--------------------------------------------------------------------------
Matayarisho na Matumizi Yake:

Katakata ua hilo na ulichome upate majivu yake kisha changanya majivu hayo na mafuta ya kupaka. Mgonjwa ajipakaze dawa hiyo kwenye sehemu zote alizoungua, anaweza kupaka kutwa mara 2 au hata zaidi na atumie dawa hii.
--------------------------------------------------------------------------
Ikiwa unatamani kujifunza mambo mengi zaidi kuhusu tiba hizi za asili unaweza kuwasiliana nasi kwa wa.me/255676298270 ili uweze kujipatia kitabu cha TIBA ASILIA

Hiki ndio kitabu unachoweza kukipata Kwa kuchangia 5000 tu Kwa Tanzania na 300 kshs Kwa Kenya .Ndani yake unakwenda kujifunza jinsi ya kujitibia maradhi zaidi ya 70 ukiwa nyumba
Wasiliana nasi Kwa wa.me/255676298270

Mizizi ya papai dume ni dawa nzuri sana kwa ajili ya wanaume ambao chaji imepungua na hamu ya kuendesha gari haipo kabis...
07/12/2025

Mizizi ya papai dume ni dawa nzuri sana kwa ajili ya wanaume ambao chaji imepungua na hamu ya kuendesha gari haipo kabisa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Chemsha mzizi yake na unywe k**a chai tu utaona maajabu yake.

Leo napenda tujifunze faida 5 za kutumia unga wa mbegu za parachichi.1. Husaidia kupunguza uvimbe mwilini (anti-inflamma...
07/12/2025

Leo napenda tujifunze faida 5 za kutumia unga wa mbegu za parachichi.

1. Husaidia kupunguza uvimbe mwilini (anti-inflammatory)

Mbegu ya parachichi ina antioxidants nyingi k**a flavonoids na phenols ambazo hupunguza uvimbe kwenye viungo, hivyo kusaidia wagonjwa wenye maumivu ya viungo (arthritis) na uchovu wa mwili.

2. Inasaidia mfumo wa mmeng’enyo (digestion)

Unga wake una nyuzi nyuzi ambazo huboresha umeng’enyaji, kuzuia kujaa gesi, kukosa choo, na kusafisha utumbo.

3. Husaidia kupunguza sukari mwilini

Baadhi ya tafiti zinaonyesha kwamba unga wa mbegu ya parachichi unaweza kusaidia kupunguza kasi ya kunyonya sukari kwenye damu, hivyo kusaidia watu wenye insulin resistance au prediabetes.

4. Inaongeza kinga ya mwili

Virutubisho vyake hupunguza uharibifu wa seli, kusaidia mwili kupambana na magonjwa, fangasi, na bacteria fulani.

5. Husaidia kupunguza mafuta mabaya (cholesterol)

Baadhi ya virutubisho vilivyomo kwenye mbegu vina uwezo wa kupunguza LDL (cholesterol mbaya) na kulinda moyo.

--------------------------------------------------------------------------
JINSI YA KUTUMIA
Kwanza saga vizuri mbegu zako uweze kupata unga laini kisha pima kijiko cha chai cha unga huo weka kwenye maji ya vuguvugu au kwenye uji koroga vizuri kisha kunywa.

Ili uweze kupata matokeo ya haraka tumia dawa hii kutwa mara mbili hadi tatizo lako litakapokwisha.
--------------------------------------------------------------------------

Ikiwa unatamani kujifunza mengi kuhusu tiba asili na tiba mbadala basi jipatie kitabu chetu cha TIBA ASILIA kwa tshs 5,000/- na kenya ni 300 kshs tu.
Ndani ya kitabu hiki utajifunza jinsi ya kujitibia maradhi zaidi ya 70 ukiwa nyumbani kwako.
Kitabu hiki ni softcopy unakipokea kupitia whatsap yako au e-mail.
wasiliana nasi kwa wa.me/255676298270
wa.me/255676298270
wa.me/255676298270

Je, ni sahihi kwa mwanamke kuvaa kanga moja anapotoka kuoga na kupita mbele za watu? Tupe maoni yako ili nao wajifunze k...
06/12/2025

Je, ni sahihi kwa mwanamke kuvaa kanga moja anapotoka kuoga na kupita mbele za watu? Tupe maoni yako ili nao wajifunze kutoka kwako

Upo tayari kuacha vitu k**a hivi ule Mboga mboga? Sema UKWELI wako πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
06/12/2025

Upo tayari kuacha vitu k**a hivi ule Mboga mboga? Sema UKWELI wako πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

05/12/2025

Alivyoserious sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

04/12/2025

K**A UNACHANGAMOTO YA MBEGU AU MWENZA WAKO HATUNGISHI MIMBA MSAIDIE KWA KUPITIA VIDEO HII LAKINI K**A NA WEWE UNACHANGAMOTO YOYOTE YA AFYA BASI WASILIANA NASI πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
+ 255 676 298 270 au + 255 757 298 270

Zifuatazo ni faida Majani ya mmea huu, kwa Iringa mmea huu unajulikana sana k**a MASONGWE na kwa Kizungu mmea huu unaitw...
04/12/2025

Zifuatazo ni faida Majani ya mmea huu, kwa Iringa mmea huu unajulikana sana k**a MASONGWE na kwa Kizungu mmea huu unaitwa Golden Berries

βœ… Kupunguza uvimbe na maumivu ya mwili
βœ… Kusaidia na kulinda ini
βœ… Kupambana na bakteria, virusi na fangasi
βœ… Kudhibiti sukari ya damu
βœ… Kusaidia afya ya figo
βœ… Kuimarisha kinga ya mwili
βœ… Kuboresha mmeng’enyo wa chakula na kupunguza maumivu ya tumbo
βœ… Kusaidia afya ya tezi dume (prostate)
βœ… Kutibu vidonda na maambukizi mbalimbali.

--------------------------------------------------------------------------
JINSI YA KUTUMIA
Chemsha kijiko 1 cha majani kavu kwenye kikombe 1 cha maji kwa dakika 5–7.Acha ipoe kisha Kunywa mara 1 au 2 kwa siku. Tumia hadi tatizo lako litakapokwisha

--------------------------------------------------------------------------
Je, kwa kabila lenu mnaitaje? mnatumia kutibia matatizo gani hasa?
Tupe uzoefu wako hapo kwenye comments

--------------------------------------------------------------------------
Ikiwa unatamani kujifunza mambo mengi zaidi kuhusu tiba hizi za asili unaweza kuwasiliana nasi kwa wa.me/255676298270 ili uweze kujipatia kitabu cha TIBA ASILIA kitakachokusaidia kuweza kujifunza jinsi ya kujitibia maradhi zaidi ya 75 ukiwa hapo nyumbani.

DALILI 9 ZA MWANAMKE ANAEKUPENDA Kutambua ikiwa mwanamke amekupenda inaweza kuwa changamoto kwani kila mtu huonyesha na ...
04/12/2025

DALILI 9 ZA MWANAMKE ANAEKUPENDA

Kutambua ikiwa mwanamke amekupenda inaweza kuwa changamoto kwani kila mtu huonyesha na kuhisi upendo kwa njia tofauti. Hata hivyo, kuna ishara za kawaida ambazo zinaweza kuashiria hisia zake kwako.

1. Hupenda kuwa Karibu na Wewe: Ikiwa mwanamke amekupenda, huenda atataka kutumia muda wake mwingi kuwa pamoja nawe na kukupa kipaumbele katika maisha yake.

2. Anakuwa Huru Sana Kwako: Ikiwa anaonesha wazi mawazo yake, ndoto, wasiwasi, na mapungufu yake kwako, inaweza kuwa ishara kwamba anajisikia huru na anakutegemea, ambayo ni sehemu muhimu ya upendo.

3. Kukusaidia kutimiza malengo yako: Mtu anapokupenda, anajali kwa dhati kuhusu ustawi wako. Ikiwa anaonesha kujali kwa kukusaidia, kutoa msaada unapohitaji, na kuonesha wasiwasi wa dhati kuhusu furaha yako na mafanikio yako, inaweza kuwa ni dalili nzuri sana ya kuonesha kuwa anakupenda.

4. Mapenzi na ukaribu: Ikiwa anaonyesha mapenzi kupitia kukukumbatia, busu, kushikana mikono, au namna nyingine ya kuonyesha mapenzi kimwili, pamoja na ukaribu wa kihisia, inaweza kuwa ishara kubwa kwako.

5. Kusikiliza kwa makini na kukumbuka: Mtu anapokuwa katika upendo, huonyesha nia ya dhati kuhusu maisha yako, ndoto zako, na malengo yako. Ikiwa anasikiliza kwa makini, kumbuka maelezo ya mazungumzo yenu, na kuonesha hamu ya dhati kuhusu mawazo na uzoefu wako, inaweza kuashiria kuwa anajali kwa dhati upendo wako.

6. Wivu au tabia ya kukulinda: Ingawa wivu mkubwa sio mzuri, mwanamke anayekupenda anaweza kuonyesha tahadhari au wivu wa kawaida hasa anapokuona na wanawake wengine. Tabia hii inaweza kuwa inatokana na hofu ya kukupoteza na hamu ya kudumisha uhusiano wa pekee.

7. Anaweza kukwambia Hisia zake: Ingawa vitendo mara nyingi husema zaidi ya maneno, mwanamke anayekupenda anaweza pia kuelezea hisia zake kwa maneno. Anaweza kusema "Nakupenda," kuonesha mapenzi yake, au kutumia maneno mengine ya upendo na mahaba kuelezea hisia zake kwako.

8.Anajali sana hisia zako: Atahisi kujali na kuelewa hisia zako. Atakuwa tayari kusikiliza na kuzingatia jinsi unavyohisi na atajaribu kufanya mambo yanayokufanya ujisikie vizuri.

9.Anaonyesha nia ya kukujua vizuri: Atakuwa na hamu ya kujua zaidi kuhusu wewe, maisha yako, maslahi yako, na ndoto zako. Atakuwa tayari kuwekeza wakati na juhudi kukuonyesha kwamba anajali kuhusu wewe k**a mtu.

Ikiwa wewe ni mwanaume na una changamoto yoyote kuhusu mahusiano yako na unatamani kupata maarifa ya kukusaidia kuondokana na changamoto hizo basi jipatie kitabu chetu cha JINSI YA KUONGEZA HESHIMA YA NDOA BILA DAWA.

Kitabu hiki ni Softcopy na unakipata kwa kuchangia 5,000/- tu.

Ikiwa unatamani kukipata basi wasiliana nasi sasa kwa wa.me/255676298270
wa.me/255676298270
wa.me/255676298270

NB: Kitabu hiki ni softcopy utakipokea kwenye whatsap au e-mail yako.

K**A HUJAKIMBIA HISABATI .....TUPE JIBU LAKO HAPO πŸ˜‚
04/12/2025

K**A HUJAKIMBIA HISABATI .....TUPE JIBU LAKO HAPO πŸ˜‚

Unajua bidhaa za asili husaidia kurudisha uzuri wa ngozi bila madhara?Bidhaa zetu zina viambato vya asili 100% vinavyosa...
03/12/2025

Unajua bidhaa za asili husaidia kurudisha uzuri wa ngozi bila madhara?
Bidhaa zetu zina viambato vya asili 100% vinavyosaidia kupunguza makovu, kuboresha mng’ao na kulainisha ngozi.
Jaribu leo, ngozi yako itakushukuru!”

Nunua bidhaa yoyote ya ngozi leo na upate punguzo la 10%.
Ngozi yako ndio kipaumbele chetu.
WAHI KABLA OFA HAIJAISHA...

WEKA ODA YAKO SASA
+255 676 298 270
+255 757 298 270.

Address

Ubungo
Dar Es Salaam
34599

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Topten posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Topten:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram