Topten

Topten Kituo cha Tiba Mbadala kinachopatikana Mbezi Kwa Msuguri DSM na Mafinga Iringa. Kwa Msaada wa Haraka
Wasiliana nasi:
+255676298270
+255757298270

Kwa Msaada wa Haraka
Wasiliana nasi:
+255676298270
+255758298270

Faida 5 kuu za Kivumbasi kwenye uzazi:1. Huongeza uwezo wa uzalishaji kwa wanaume (male fertility):   -Huchochea uzalish...
26/10/2025

Faida 5 kuu za Kivumbasi kwenye uzazi:

1. Huongeza uwezo wa uzalishaji kwa wanaume (male fertility):

-Huchochea uzalishaji wa shahawa zenye nguvu na kuimarisha motility (mwendo wa mbegu za kiume).
-Husaidia kulinda korodani dhidi ya uharibifu unaosababishwa na sumu au magonjwa.

2. Husawazisha homoni za uzazi kwa wanawake:
Husaidia katika kusawazisha homoni k**a estrogen na progesterone, hivyo kusaidia mzunguko wa hedhi kuwa wa kawaida.

3. Hupunguza maambukizi ya njia ya uzazi (UTI & PID):

Ina viambato vyenye uwezo wa antibacterial na antifungal vinavyosaidia kutibu na kuzuia maambukizi kwenye kizazi na mfumo wa mkojo — hali ambazo hupunguza uwezekano wa kupata ujauzito.

4. Huongeza hamu ya tendo la ndoa (aphrodisiac):
Harufu na mafuta ya Ocimum canum huchochea hisia na kuongeza libido kwa wanawake na wanaume.

5. Huimarisha afya ya mji wa Mimba na ovari:

Inasaidia mzunguko mzuri wa damu katika sehemu za uzazi, kupunguza uvimbe, na kulinda seli dhidi ya sumu zinazoweza kuathiri uwezo wa kupata ujauzito.

Ili upate matokeo mazuri usitumie pekee yake tengeneza dawa kwa kanuni ifuatayo:

🌿 Formula ya Dawa ya Uzazi (Natural Fertility Tonic)
Viambato:

1.Kivumbasi (majani) – 2 sehemu

2.Mlonge (majani) – 2 sehemu

3.Aloe vera (majani yaliyokaushwa) – 1 sehemu

4.Clove (karafuu) – ½ sehemu

5.Tangawizi – 1 sehemu

Changanya vitu vyote kwa uwiano huo kisha saga upate unga laini kabisa, baada ya hapo tumia kijiko kimoja cha chai kwenye maji ya moto kikombe kimoja kwa siku 21 hadi 28.
Ikiwa unatamani kujifunza mambo mengi zaidi kuhusu tiba asili unaweza kujipatia kitabu chetu cha TIBA ASILIA.

Kita hiki ni softcopy unakipokea kwa e-mail au whatsap kwa 5,000/- tu.

Unaweza kuwasiliana nasi kwa 0758 298 270

25/10/2025

Kumbe baba yetu anaijua biblia vizuri kabisa

Je, nani anafahamu Ile ibada ambayo Yesu alitakiwa kufanya Kwa shetani ili apewe falme na utajiri wote wa Dunia? Mathayo...
27/09/2025

Je, nani anafahamu Ile ibada ambayo Yesu alitakiwa kufanya Kwa shetani ili apewe falme na utajiri wote wa Dunia? Mathayo 4:8

Je, Siri ya kuwa Tajiri ni kumsujudia tu shetani au ni kufanya kazi Kwa bidii k**a wasemavyo walimwengu?

Watu wa rohoni hebu tusaidieni jamani 😂😂

Inaitwa Mother of thousands.... Ni dawa nzuri sana Kwa matatizo ya ngozi na Allergy (Soon utapata video yake)
25/09/2025

Inaitwa Mother of thousands.... Ni dawa nzuri sana Kwa matatizo ya ngozi na Allergy (Soon utapata video yake)

FAIDA 6 USIZOZIJUA ZA MZUGWA/MVUGA.Dawa hii ni nzuri sana kwa matatizo yote ya mfumo wa uzazi wa mwanamke, Ni dawa ambay...
23/09/2025

FAIDA 6 USIZOZIJUA ZA MZUGWA/MVUGA.

Dawa hii ni nzuri sana kwa matatizo yote ya mfumo wa uzazi wa mwanamke, Ni dawa ambayo imetumika kwa miongo mingi sana kutibia matatizo mbalimbali ya wanawake. Imethibitiksa kuwa na uwezo wa:-

1. Kusafisha Kizazi.
2. Kuzibua mirija ya uzazi
3. Inatibu kabisa matatizo ya change la uzazi
4. Inapevusha haraka mayai hivo kupelekea mwanamke kuwahi kupata mimba.
5. Inarekebisha mfumo wa homoni wa mwanamke
6. Inarekebisha Mfumo wa hedhi na kutibia maumivu makali wakati wa Hedhi.

MATUMIZI

Chukua majani haya yatangwe vizuri kasha loweka ikae kwa masaa 12 kisa mgonjwa anywe kikombe cha cha kutwa mara 3 kwa siku 3 hadi tano. Ni vizuri sana k**a mgonjwa atatumia kipindi chake cha hedhi. Lakini k**a hapati hedhi basi atumie muda wowote ule. Hivo ni vizuri sana kuyapanda majani haya nyumbani kwako kwa kuwa ni muhimu sana.

Endapo umependa mada hii na unapenda kujua jinsi ya kujitibia maradhi tofauti tofauti ukiwa nyumbani, unaweza kupata kitabu chetu ambacho tumeelezea jinsi ya kujitibia maradhi zaidi ya 70. Kitabu hicho ni soft copy (digital book) na unaweza kukipata kupitia whatsapp au email yako kwa shilingi 5000/- tu. Wasiliana nasi kupitia +255 676 298 270.

K**a una shida yoyote ya kiafya tafadhali waweza wasiliana nami kwa simu namba +255 676 298 270 au unaweza fika ofisini kwetu, Mbezi kwa Msuguri Dar es salaam na Mafinga Iringa

Ukiona mtoto wako ameanza kukaa hivi huwa ni dalili ya Nini? 😂😂😂
22/09/2025

Ukiona mtoto wako ameanza kukaa hivi huwa ni dalili ya Nini? 😂😂😂

FAIDA KUBWA YA VIFUU VYA N**INapenda nikujuze dawa rahisi sana ya kujitibia tatizo lolote la macho ndani ya siku 14 hata...
22/09/2025

FAIDA KUBWA YA VIFUU VYA N**I

Napenda nikujuze dawa rahisi sana ya kujitibia tatizo lolote la macho ndani ya siku 14 hata k**a unavaa miwani utaacha.

Mahitaji:
Vifuu vya n**i

Matayarisho na matumizi yake:

Choma vifuu hivyo kisha twanga twanga upate unga wake, weka kijiko kimoja cha chai kwenye maji ya vuguvugu kisha kunywa, fanya hivo kutwa mara 3 kwa siku 14.

Unatakiwa kunywa nusu saa au zaidi kabla ya kula. Ni dawa nzuri sana kwa matatizo yote ya macho.

Address

Ubungo
Dar Es Salaam
34599

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Topten posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Topten:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram