23/01/2026
DAWA YA KUSIMAMISHA MAZIWA.
Wanawake wengi wamekuwa wakikubwa na changamoto ya kuwa na maziwa yaliyolala sana kitu kinachowapunguzia uhuru na kujiamini. Leo nimekuletea njia rahisi na ya asili ya kuondoa tatizo hilo bila kupata madhara yoyote.
UNATAKIWA KUWA NA
1.Papai changa kabisa
2.Mafuta ya Zaituni (olive oil)
Katakata papai lako vipande vidogodogo kisha lichemshe kwenye mafuta yako ya zaituni kwa dakika 7 hadi 10 katika moto mdogo baada ya hapo acha yapoe na uyachuje vizuri. Unaweza kuweka vitamini E ili yaweze kukaa muda mrefu bila kuharibika .
Unatakiwa kupaka mafuta haya kutoka chini kuelekea kwenye chuchu, fanya hivyo kutwa mara mbili ×2 kwa siku 14 utaona matokeo bora kabisa
SISI NI WATAALAMU WA TIBA ASILI NA USHAURI WA KIAFYA TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM NA MAFINGA
KARIBU KWA USHAURI NA MSAADA WA KIAFYA.