Topten

Topten Kituo cha Tiba Mbadala kinachopatikana Mbezi Kwa Msuguri DSM na Mafinga Iringa. Kwa Msaada wa Haraka
Wasiliana nasi:
+255676298270
+255757298270

Kwa Msaada wa Haraka
Wasiliana nasi:
+255676298270
+255758298270

Wanawake ni Jeshi kubwa, Tunawapenda sana!!
08/03/2026

Wanawake ni Jeshi kubwa, Tunawapenda sana!!

Tuambie huko kwenu mnaitaje?
08/03/2026

Tuambie huko kwenu mnaitaje?

Ni chai bora sana kwa wenye cholesterol na wenye vitambi, Lakini pia inaondoa nyama uzembe na magonjwa nyemelezi, Haina ...
07/03/2026

Ni chai bora sana kwa wenye cholesterol na wenye vitambi, Lakini pia inaondoa nyama uzembe na magonjwa nyemelezi, Haina usumbufu wa kuharisha wakati wa kutumia.

Wasiliana na watoa huduma wetu kwa: + 255 676 298 270 au + 255 757 298 270

Huduma inakufikia popote ulipo kwa haraka na uhakika. Lakini pia unaweza kutupigia kwa changamoto yoyote inayokusumbua ya kiafya nasi tutakuhudumia.

04/03/2026

K**A UNAHITAJI KUPATA MTOTO HARAKA BASI FUATA HAYA MAELEKEZO.

ONGEZA KIPATO CHAKO KWA KUTENGENEZA  SABUNI YA MAGADI......TUJIFUNZE SASA.MAHITAJI.1. Mafuta 2. LYe3. Magadi / Soda Ash ...
04/03/2026

ONGEZA KIPATO CHAKO KWA KUTENGENEZA SABUNI YA MAGADI......

TUJIFUNZE SASA.

MAHITAJI.
1. Mafuta
2. LYe
3. Magadi / Soda Ash 1kg
4. Rangi.

JINSI YA KUANDAA.
1. Yeyusha Mafuta
2. Pima Lye na uchanganye na soda Ash
3. Mimina Mafuta kwenye Ndoo
4. Endelea kuchanganya Mafuta na Lye
5. Baada ya kuchanganyika vizuri chukua mchanganyiko weka rangi na ukoroge vizuri hadi rangi ichanganyike vizuri.
6. Weka ule mchanganyiko wako kwenye mold na umwagie mchanganyiko wenye rangi juu yake.
7.Anza kupitisha kijiti kutengeneza Maua kwa kwa kuchanganya mchanganyiko wenye rangi na usio na rangi.
8. Baada ya hapo acha mchanganyiko wako ugande kwa masaa 24 hadi 48 kisha toa kwenye mold na ukate kate vipande au miche na uache ikomae kisha peleka sokoni....

Ikiwa unatamani kujifunga Zaidi kutengeneza bidhaa na uongeze kipato chako wasiliana nasi ujipatie kitabu hiki kwa ofa ya Tsh 5,500 OFA HII NI LEO TU. Bonyeza
wa.me/255676298270
wa.me/255676298270
wa.me/255676298270.

03/03/2026

Ukiona mwanaume ameacha kukukosoa unapokosea Anza Kupanga vitu vyako mapema 😂😂😂

K**a unachangamoto ya mbegu kurudi wakati wa kushiriki tendo au mwenzi wako basi mwambie suruhisho ni TOPTEN HERBS CLINI...
28/02/2026

K**a unachangamoto ya mbegu kurudi wakati wa kushiriki tendo au mwenzi wako basi mwambie suruhisho ni TOPTEN HERBS CLINIC.
Tunatoa huduma popote alipo TANZANIA na nje ya nchi pia tunakufikia kwa gharama nafuu kabisa.
WASILIANA NA WATOA HUDUMA KWA NAMBARI: 0676298270
au 0757298270

RAMADAN KAREEM.....
27/02/2026

RAMADAN KAREEM.....

Wengi wetu tumekuwa tukisumbuliwa sana na changamoto ya BAWASIRI pasipo kupata majibu au tiba sahihi, Hivyo k**a wewe ni...
26/02/2026

Wengi wetu tumekuwa tukisumbuliwa sana na changamoto ya BAWASIRI pasipo kupata majibu au tiba sahihi, Hivyo k**a wewe ni muhanga unaweza kupata usaidizi kutoka TOPTEN HERBS kwa kupata kitabu cha TIBA ASILI kinachofundisha magonjwa na tiba zake zaid ya 75. lakini unaweza kupata huduma ya dawa moja kwa moja kutoka ofisini kwetu. wasiliana na watoa huduma kupitia nambari:
+255676298270 Dar es salaam- Mbezi kwa msuguri
+255757298270 Mafinga-IRINGA.

KARIBU KWA MSAADA WA USHAURI NA TIBA TOKA KWETU WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA ZETU....SISI TUNAPATIKANA DAR ES SALAMMAFIN...
26/02/2026

KARIBU KWA MSAADA WA USHAURI NA TIBA TOKA KWETU WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA ZETU....

SISI TUNAPATIKANA
DAR ES SALAM
MAFINGA IRINGA.

KARIBUNI SANA

22/02/2026

Wanawake huishi maisha marefu kuliko wanaume Kwa sababu wao Hawaoi 😂😂😂

Haya Matunda kwenu Mnayaitaje na Maarufu kwa kutibia Ugonjwa gani....??
22/02/2026

Haya Matunda kwenu Mnayaitaje na Maarufu kwa kutibia Ugonjwa gani....??

Address

Ubungo
Dar Es Salaam
34599

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Topten posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Topten:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram