Topten

Topten Kituo cha Tiba Mbadala kinachopatikana Mbezi Kwa Msuguri DSM na Mafinga Iringa. Kwa Msaada wa Haraka
Wasiliana nasi:
+255676298270
+255757298270

Kwa Msaada wa Haraka
Wasiliana nasi:
+255676298270
+255758298270

AFYA BORA YA UZAZI INAANZIA KWENYE MZUNGUKO MZURI NA WENYE  MPANGILIO RASMI....JE WEWE HEDHI ZAKO ZIPO KWA MPANGILIO AU ...
27/01/2026

AFYA BORA YA UZAZI INAANZIA KWENYE MZUNGUKO MZURI NA WENYE MPANGILIO RASMI....JE WEWE HEDHI ZAKO ZIPO KWA MPANGILIO AU ZIME VURUGIKA..........K**A ZIMEVURUGIKA SULUHISHO NI .....

Ikiwa unachangamoto yoyote y hedhi wasiliana nasi kwa msad zaidi. +255 676 298 270 / +255 757 298 270.

KWENYE PITAPITA ZAKO UMEWAHI KUONA MAJANI HAYA......??? SISI TUNAYAFAHAMU K**A DELEGA HII NI DAWA NZURI YA VIDONDA VYA T...
26/01/2026

KWENYE PITAPITA ZAKO UMEWAHI KUONA MAJANI HAYA......??? SISI TUNAYAFAHAMU K**A DELEGA HII NI DAWA NZURI YA VIDONDA VYA TUMBO ........NDIO
FANYA HIVII

Chukua majani kiasi weka kwenye blenda au kisagio chochote weka na maji kikombe kimoja au viwili Saga kwa pamoja mgojwa Atanakiwa kunywa juice yake kutwa mara mbili kwa siku 7 hadi 14 kwa Uwezo wa Mungu vidonda vya tumbo kwisha kabisa.....

KWA USHAURI NA MSAADA WA KIAFYA KARIBU TUKUSAIDIE.
Wa.me/255757298270

UMEJIANDAAJE NA MFUNGO.....????
26/01/2026

UMEJIANDAAJE NA MFUNGO.....????

K**A NGOZI YAKO INAKUFANYA UKOSE KUJIAMINI YAAANI INA1.Mabakabaka yasioisha2.Michirizi na Madoa Sugu3.Chunusi, vipele na...
24/01/2026

K**A NGOZI YAKO INAKUFANYA UKOSE KUJIAMINI YAAANI INA
1.Mabakabaka yasioisha
2.Michirizi na Madoa Sugu
3.Chunusi, vipele na makovu
4.UMEATHIRIKA NA VIPODOZI.

PIGA SIMU LEO UPATE SULUHISHO LA KUDUMU NA UHAKIKA.....KUMBUKA KUNA OFA YA MWISHO WA MWEZI

+255 676 298 270
+255 757 298 270

DAWA YA  KUSIMAMISHA MAZIWA.Wanawake wengi wamekuwa wakikubwa na changamoto ya kuwa na maziwa yaliyolala sana kitu kinac...
23/01/2026

DAWA YA KUSIMAMISHA MAZIWA.

Wanawake wengi wamekuwa wakikubwa na changamoto ya kuwa na maziwa yaliyolala sana kitu kinachowapunguzia uhuru na kujiamini. Leo nimekuletea njia rahisi na ya asili ya kuondoa tatizo hilo bila kupata madhara yoyote.

UNATAKIWA KUWA NA
1.Papai changa kabisa
2.Mafuta ya Zaituni (olive oil)

Katakata papai lako vipande vidogodogo kisha lichemshe kwenye mafuta yako ya zaituni kwa dakika 7 hadi 10 katika moto mdogo baada ya hapo acha yapoe na uyachuje vizuri. Unaweza kuweka vitamini E ili yaweze kukaa muda mrefu bila kuharibika .

Unatakiwa kupaka mafuta haya kutoka chini kuelekea kwenye chuchu, fanya hivyo kutwa mara mbili ×2 kwa siku 14 utaona matokeo bora kabisa

SISI NI WATAALAMU WA TIBA ASILI NA USHAURI WA KIAFYA TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM NA MAFINGA

KARIBU KWA USHAURI NA MSAADA WA KIAFYA.

23/01/2026

Je! ni sawa matatizo ya kifamilia kuyaongelea nje kwa staili hii??

KUOGELEA NI TIBA KUBWA SANA......JE UNAJUA NI TIBA YA NINI ???? NASOMA COMMENT....
21/01/2026

KUOGELEA NI TIBA KUBWA SANA......JE UNAJUA NI TIBA YA NINI ???? NASOMA COMMENT....

HII SIO YA KUKOSA, TIBU MAPEMA VIDONDA VYA TUMBO WAKATI HUU  WA MAANDALIZI YA MWEZI WA RAMADAN
16/01/2026

HII SIO YA KUKOSA, TIBU MAPEMA VIDONDA VYA TUMBO WAKATI HUU WA MAANDALIZI YA MWEZI WA RAMADAN

16/01/2026

IJUMAA NJEMA KWA WAISLAMU WOTE

HIVI KWANINI UKILA NANASI HALAFU UKANYWA MAJI UTAMU UNAGEUKA MCHUNGU........NAOMBA NIJIFUNZE KUTOKA KWENU.🙏
15/01/2026

HIVI KWANINI UKILA NANASI HALAFU UKANYWA MAJI UTAMU UNAGEUKA MCHUNGU........NAOMBA NIJIFUNZE KUTOKA KWENU.🙏

😂😂😂
15/01/2026

😂😂😂

MARA YA MWISHO LINI UMETUMIA CHAI YA MAJANI HAYA.....???
14/01/2026

MARA YA MWISHO LINI UMETUMIA CHAI YA MAJANI HAYA.....???

Address

Ubungo
Dar Es Salaam
34599

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Topten posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Topten:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram