15/10/2025
Je, umewahi kufikiria jinsi mabadiliko ya tabia ya nchi yanavyoathiri afya ya akili?
Zaidi ya athari kwenye mazingira, mabadiliko haya yanaathiri pia hisia, mawazo na ustawi wa binadamu.
Kupitia kauli ya Happy Itros ( ), Climate Justice & Engagement Coordinator wa ActionAid Tanzania, tunajifunza namna mabadiliko ya tabia ya nchi yanavyoweza kuongeza msongo wa mawazo na hofu katika jamii.
Ayya Africa inaleta mazungumzo haya ili kuongeza uelewa na kuchochea hatua kuhusu uhusiano kati ya tabianchi na afya ya akili.