Thebridgegulio

Thebridgegulio Tupo DSM Sinza Mori, mtaa wa nyuma ya Delina Apartment . Agiza kutoka China/Nunua dukani DSM: WhatsApp : +255715316614
Tufollow Insta

45,000/= (SETI YOTE). Wapendwa wateja, tunazo dukani tayari, dryer za nywele set yote ya vitu k**a vinavyoonekana kwenye...
28/01/2026

45,000/= (SETI YOTE). Wapendwa wateja, tunazo dukani tayari, dryer za nywele set yote ya vitu k**a vinavyoonekana kwenye picha, bei ni 45,000/= tu.

Unapata hair dryer yenyewe, pasi yake ya umeme, kifaa cha kutengenezea mawimbi,vitana vyake tofauti vya kuchania pamoja na seti ya kutengeneza kucha.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. Tupigie simu/Whatsapp 0715 316 614.

pasiyanywele tuagize Tuagizeltd

Zipo dukani tayari mashine hizi za kupima pressure, bei yake ni 59,000/= tu.Inahifadhi kumbukumbu na inatoa sauti kukuam...
28/01/2026

Zipo dukani tayari mashine hizi za kupima pressure, bei yake ni 59,000/= tu.Inahifadhi kumbukumbu na inatoa sauti kukuambia k**a pressure yako ipo sawa,juu au chini.

Mashine ya pressure ni muhimu sana kuwa nayo ndani, kwa wale wenye wazee wetu wanaosumbuliwa na pressure tuwachukulie hizi mashine, wamama wajawazito pia sio kupima pressure hadi siku ya clinic, changamoto za pressure nyingi sana sasa, nunua weka ndani uwe una jimonitor mwenyewe nyumbani, sio unasubiri hadi inakuzidia ghafla bin vuu🙂

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. Namba ya simu/Whatsapp: 0715 316 614.

mashineyapressure presha mashineyapresha afya afyacheck

27/01/2026

Hii ni 8 in 1 combo heat press.... yenyewe unaweza kufanyia vitu kwenye mashine hii moja ikiwemo kuprint fulana, vikombe, sahani, kofia, makava ya simu, foronya nk nk.

Ina 8 attachments, inatumia umeme wa majumbani .Bei Tsh 1,580,000 piga simu/ Tuma ujumbe WhataApp 0715316614. Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment.

Hii ni 8 in 1 combo heat press.... yenyewe unaweza kufanyia vitu kwenye mashine hii moja ikiwemo kuprint fulana, vikombe...
27/01/2026

Hii ni 8 in 1 combo heat press.... yenyewe unaweza kufanyia vitu kwenye mashine hii moja ikiwemo kuprint fulana, vikombe, sahani, kofia, makava ya simu, foronya nk nk.

Ina 8 attachments, inatumia umeme wa majumbani .Bei Tsh 1,580,000 piga simu/ Tuma ujumbe WhataApp 0715316614. Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment.

Tunayo majagi ya kukunja ya umeme ya kuchemshia maji, maziwa, n.k, ni ya kukunja na ukikunja yanakuwa kidunchu na kukufa...
26/01/2026

Tunayo majagi ya kukunja ya umeme ya kuchemshia maji, maziwa, n.k, ni ya kukunja na ukikunja yanakuwa kidunchu na kukufanya kuweza kubeba popote.

Mazuri sana kwa mtu unaesafiri au una mtoto mdogo sababu hata uji waeza mpikia humo humo chaap kwa haraka 🤗. Bei ni 29,000/= tu na tayari yapo dukani.

Namba ya dukani ni 0715 316 614 . Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment na popote tunatuma.

jagilaumeme

26/01/2026

Yapo dukani majagi ya kukunja ya umeme ya kuchemshia maji n.k, ni ya kukunja na ukikunja yanakuwa kidunchu na kukufanya kuweza kubeba popote.

Mazuri sana kwa mtu unaesafiri au una mtoto mdogo sababu hata uji waeza mpikia humo humo chaap kwa haraka 🤗. Bei ni 29,000/= tu na tayari yapo dukani.

Namba ya dukani ni 0715 316 614 . Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment na popote tunatuma.

jagilaumeme

Tunazo raba za kuzuia wadudu,vumbi, mchanga n.k  kupita mlangoni, sasa bei ni 10,000/= tu! na size yake ni 93cm. Kwa uzo...
26/01/2026

Tunazo raba za kuzuia wadudu,vumbi, mchanga n.k kupita mlangoni, sasa bei ni 10,000/= tu! na size yake ni 93cm. Kwa uzoefu wetu kwa mlango wa nyuma raba moja tu inatosha, mlango wa mbele mara nyingi huwa ni raba moja na nusu hivyo uchukue mbili.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment na mawasiliano yetu utatupata kwa kawaida (kutupigia) au Whatsapp kwa namba 0715 316 614.

wadudumlangoni homecleaningchallenge cleaner usafi raba tuagize tuagizeltd thebridgetz thebridgegulio

26/01/2026

Tunazo raba za kuzuia wadudu,vumbi, mchanga n.k kupita mlangoni, sasa bei ni 10,000/= tu! na size yake ni 93cm. Kwa uzoefu wetu kwa mlango wa nyuma raba moja tu inatosha, mlango wa mbele mara nyingi huwa ni raba moja na nusu hivyo uchukue mbili.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment na mawasiliano yetu utatupata kwa kawaida (kutupigia) au Whatsapp kwa namba 0715 316 614.

Tunazo neti maalum za kuanikia vyakula nje kwenye jua, inazuia chakula kutoingia michanga au kuharibiwa na wadudu, kuku,...
24/01/2026

Tunazo neti maalum za kuanikia vyakula nje kwenye jua, inazuia chakula kutoingia michanga au kuharibiwa na wadudu, kuku, njiwa, ndege, kunguru n.k kwa wale wanaoandaa vitu vya uji na kuanika, wale wanaoanika dagaa, samaki.k

SIZE TULIZONAZO:-
Ngazi 3 (50*50*65cm) 28,000/=
Ngazi 5 (50*50*100cm) 35,000/=

Ukinunua unapata na hook yake ya kutundikia, tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. Namba ya Simu/Whatsapp: 0715 316 614.Popote tunatuma kwa gharama ya mteja.

Wale wanaoanika chini na kupata changamoto ya unyevu nyevu suluhisho ni hizi hanging net.

fooddryer kuagiza tuagize Tuagizeltd

24/01/2026

Zimekuja tena neti maalum za kuanikia vyakula nje kwenye jua, inazuia chakula kutoingia michanga au kuharibiwa na wadudu, kuku, njiwa, ndege, kunguru n.k kwa wale wanaoandaa vitu vya uji na kuanika, wale wanaoanika dagaa, samaki.k

SIZE TULIZONAZO:-
Ngazi 3 (50*50*65cm) 28,000/=
Ngazi 5 (50*50*100cm) 35,000/=

Ukinunua unapata na hook yake ya kutundikia, tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. Namba ya Simu/Whatsapp: 0715 316 614.Popote tunatuma kwa gharama ya mteja.

Wale wanaoanika chini na kupata changamoto ya unyevu nyevu suluhisho ni hizi hanging net.

fooddryer kuagiza tuagize Tuagizeltd

Sukuma kushoto kuona vyakula aina mbalimbali zilizokaushwa vizuri kwa njia ya mvuke tu kwa kutumia mashine hizi tulizona...
24/01/2026

Sukuma kushoto kuona vyakula aina mbalimbali zilizokaushwa vizuri kwa njia ya mvuke tu kwa kutumia mashine hizi tulizonazo maalum kwa kukausha vyakula.

Tunazo dukani Sinza Mori mashine za kukausha vyakula mbalimbali k**a nyama, samaki, dagaa, matunda, mbogamboga, nafaka, viungo nk.
Dukani tunazo za tray 16 bei 1,650,000/=

Ni nzuri MNO, hutajuta kuwa nayo. BEST QUALITY! Imara haswa! Makadirio kila tray inaingia kilo 2. Haishiki kutu ni stainless steel. Umeme ni wa majumbani! Ni ya kuagiza kutoka China.

Baadhi ya Mashine zingine tulizonazo dukani:-

1.Mashine ndogo za kusaga vitu vikavu kuwa unga. Pia zina kazi nyingi k**a kusaga peanut butter, rojo ya vitunguu swaum, tangawizi n.k
800gram 180,000/=

2. Mashine kubwa za kusaga vitu vikavu k**a mahindi na nafaka mbalimbali, viungo, mitishamba n.k 300kg hadi 500kg kwa saa. 1,499,000/=

3. Mashine za kusaga na kukoboa (2 in 1), Bei ni Tsh 1,799,000/= (inatumia umeme). Inazalisha 120-200kg/saa.

4. Pampu za kumwagilia maji zinazotumia gesi 699,000/=

5. Heat gun 58,000/=

6. Viti vya chooni vya wazee na wagonjwa
A.155,000/=
B.289,000/=

7. Mashine za kusaga peanut butter kubwa 15kg/saa 799,000/= na zipo za 1,100,000/= (Kilo 30)

8. Mashine za kupukuchua mahindi 1200kg/h (PETROL) 1,350,000/=

9. Mashine za kukamua juice ya miwa
A.Manual (Kusukuma kwa mkono) 730,000/=
B.Umeme 1,390,000/=
C.Petroli 1,490,000/=

10. Mashine kubwa za kukamua mafuta aina mbalimbali k**a mafuta ya n**i, karanga, mnyonyo, Parachichi, alizeti n.k 3,499,000/= ndogo zake 990,000/=(5kg/h)

11. Printer ya mkono kwa wajasiriamali inayoweka expire date, manufacturing date nk 750,000/=

12.Heat gun 58,000/=

13.Tunazo plastic sealer za kubana vifungashio mbalimbali k**a karanga , ubuyu, viungo mbalimbali, ice cream n.k tunazo za:
20cm: 65,000/=
40cm: 115,000/=

14. Mashine za kupima pressure 59,000/=

15. Dryer za nywele 45,000/=(SETI KUBWA YA VITU VINGI)

16. Hand mixer 25,000/=

17.Raba za mlangoni kuzuia wadudu 10,000/=

Tupo Sinza Mori, jirani na Delina Apartment,Simu/Whatsapp: 0715 316 614.

24/01/2026

Tunazo dukani Sinza Mori mashine za kukausha vyakula mbalimbali k**a nyama, samaki, dagaa, matunda, mbogamboga, nafaka, viungo nk.
Dukani tunazo za Tray 16 bei 1,650,000/=

Ni nzuri MNO, hutajuta kuwa nayo. BEST QUALITY! Imara haswa! Makadirio kila tray inaingia kilo 2. Haishiki kutu ni stainless steel. Umeme ni wa majumbani! Ni ya kuagiza kutoka China.

Baadhi ya Mashine zingine tulizonazo dukani:-

1.Mashine ndogo za kusaga vitu vikavu kuwa unga. Pia zina kazi nyingi k**a kusaga peanut butter, rojo ya vitunguu swaum, tangawizi n.k
800gram bei 198,000/=

2. Mashine kubwa za kusaga vitu vikavu k**a mahindi na nafaka mbalimbali, viungo, mitishamba n.k 300kg hadi 500kg kwa saa. 1,499,000/=

3. Mashine za kusaga na kukoboa (2 in 1), Bei ni Tsh 1,799,000/= (inatumia umeme). Inazalisha 120-200kg/saa.

4. Pampu za kumwagilia maji zinazotumia gesi 699,000/=

5. Heat gun 58,000/=

6. Viti vya chooni vya wazee na wagonjwa
A.155,000/=
B.289,000/=

7. Mashine za kusaga peanut butter kubwa 15kg/saa 799,000/= na zipo za 1,100,000/= (Kilo 30)

8. Mashine za kupukuchua mahindi 1200kg/h (PETROL) 1,350,000/=

9. Mashine za kukamua juice ya miwa
A.Manual (Kusukuma kwa mkono) 730,000/=
B.Umeme 1,390,000/=
C.Petroli 1,490,000/=

10. Mashine kubwa za kukamua mafuta aina mbalimbali k**a mafuta ya n**i, karanga, mnyonyo, Parachichi, alizeti n.k 3,499,000/= ndogo zake 990,000/=(5kg/h)

11. Printer ya mkono kwa wajasiriamali inayoweka expire date, manufacturing date nk 750,000/=

12.Heat gun 58,000/=

13.Tunazo plastic sealer za kubana vifungashio mbalimbali k**a karanga , ubuyu, viungo mbalimbali, ice cream n.k tunazo za:
20cm: 65,000/=
40cm: 115,000/=

14. Mashine za kupima pressure 59,000/=

15. Dryer za nywele 45,000/=(SETI KUBWA YA VITU VINGI)

16. Hand mixer 25,000/=

17.Raba za mlangoni kuzuia wadudu 10,000/=

Tupo Sinza Mori, jirani na Delina Apartment,Simu/Whatsapp: 0715 316 614.

Address

Dar Es Salaam

Telephone

0715316614

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Thebridgegulio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram