Thebridgegulio

Thebridgegulio Tupo DSM Sinza Mori, mtaa wa nyuma ya Delina Apartment . Agiza kutoka China/Nunua dukani DSM: WhatsApp : +255715316614
Tufollow Insta

Hali ya hewa ya baridi na mvua hizi vifaranga vyako unawasaidiaje ndugu mfugaji? Tunazo dukani tayari taa maalum za joto...
30/03/2026

Hali ya hewa ya baridi na mvua hizi vifaranga vyako unawasaidiaje ndugu mfugaji? Tunazo dukani tayari taa maalum za joto za kulea vifaranga, moja ni 13,000/= tu, tunatuma popote.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment, Simu/Whatsapp: 0715 316 614 .

45,000/= (SETI YOTE). Wapendwa wateja, tunazo dukani tayari, dryer za nywele set yote ya vitu k**a vinavyoonekana kwenye...
30/03/2026

45,000/= (SETI YOTE). Wapendwa wateja, tunazo dukani tayari, dryer za nywele set yote ya vitu k**a vinavyoonekana kwenye picha, bei ni 45,000/= tu.

Unapata hair dryer yenyewe, pasi yake ya umeme, kifaa cha kutengenezea mawimbi,vitana vyake tofauti vya kuchania pamoja na seti ya kutengeneza kucha.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment. Tupigie simu/Whatsapp 0715 316 614.

pasiyanywele tuagize Tuagizeltd

28/03/2026

Mashine za kusaga pekeake mzigo umefika ofisini tayari. Mashine ni za kusaga vitu vyote vikavu unavyohitaji viwe unga mfano mahindi,mchele, wanaotengeneza unga lishe, viungo na chochote kikavu unachohitaji kiwe unga.

Mashine inatumia umeme wa kawaida tu, na uzalishaji wake ni kilo 300 hadi 500 kwa saa. Bei ni 1,499,000/= . Hii ni ya kusaga tu! Popote tunatuma.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment, Simu/Whatsapp: 0715 316 614.


Hakuna haja ya kutumia chumba kikuuuubwaaaaa! Kwa ajili ya biashara ya kukoboa. Unaweza kupata mashine hizi za kisasa ze...
28/03/2026

Hakuna haja ya kutumia chumba kikuuuubwaaaaa! Kwa ajili ya biashara ya kukoboa. Unaweza kupata mashine hizi za kisasa zenye umbo dogo za kukoboa au kusaga mahindi,mpunga n.k.

Kwenye picha hii ni mashine ya kukoboa, inatumia umeme wa kawaida tu, na uzalishaji wake ni kilo 150 hadi 200 kwa saa. Bei ni 1,500,000/= . Hii ni ya kukoboa tu! Popote mzigo tunatuma.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment, Simu/Whatsapp: 0715 316 614.


Mashine za kisasa za kusaga vitu vyote vikavu unavyohitaji viwe unga mfano mahindi,mchele, wanaotengeneza unga lishe, vi...
28/03/2026

Mashine za kisasa za kusaga vitu vyote vikavu unavyohitaji viwe unga mfano mahindi,mchele, wanaotengeneza unga lishe, viungo na chochote kikavu unachohitaji kiwe unga. WATU WANAOPATA SHIDA KUSAGA MWANI, HII MASHINE NDIO KIBOKO YA MWANI.

Mashine inatumia umeme wa kawaida tu, na uzalishaji wake ni kilo 300 hadi 500 kwa saa. Bei ni 1,499,000/= Hii ni ya kusaga tu! Popote tunatuma.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment, namba ya simu/Whatsapp 0715 316 614.

Mashine za kusaga na kukoboa (2 in 1) TUNAZO OFISINI KWETU, Bei ni Tsh 1,799, 000/= (inatumia umeme). Ina kinu cha kusag...
28/03/2026

Mashine za kusaga na kukoboa (2 in 1) TUNAZO OFISINI KWETU, Bei ni Tsh 1,799, 000/= (inatumia umeme). Ina kinu cha kusaga na kukoboa,inao uwezo pia wa kutumia vinu vyote viwili kwa wakati mmoja, umeme wa kawaida wa majumbani na inatumia mota moja ili kuokoa umeme.

Mashine ni nzuri sana ni 2 in 1 za kisasa zaidi, halafu inaumbo tu dogo haihitaji eneo kubwa. Inazalisha 120-200kg/saa.

Tupo SINZA MORI jirani na DELINA APARTMENTS , Delivery tunafanya popote ulipo mteja, wasiliana nasi: whatsApp/piga 0715316614.

28/03/2026

Tunazo mashine hizi za kusaga na kukoboa (2 in 1) TUNAZO OFISINI KWETU, Bei ni Tsh 1,799, 000/= (inatumia umeme). Ina kinu cha kusaga na kukoboa,inao uwezo pia wa kutumia vinu vyote viwili kwa wakati mmoja, umeme wa kawaida wa majumbani na inatumia mota moja ili kuokoa umeme.

Mashine ni nzuri sana ni 2 in 1 za kisasa zaidi, halafu inaumbo tu dogo haihitaji eneo kubwa. Inazalisha 120-200kg/saa.

Tupo SINZA MORI jirani na DELINA APARTMENTS , Delivery tunafanya popote ulipo mteja, wasiliana nasi: whatsApp/piga 0715316614.

28/03/2026

Mashine hizi za kusaga na kukoboa (2 in 1) TUNAZO OFISINI KWETU, Bei ni Tsh 1,799, 000/= (inatumia umeme). Ina kinu cha kusaga na kukoboa,inao uwezo pia wa kutumia vinu vyote viwili kwa wakati mmoja, umeme wa kawaida wa majumbani na inatumia mota moja ili kuokoa umeme.

Mashine ni nzuri sana ni 2 in 1 za kisasa zaidi, halafu inaumbo tu dogo haihitaji eneo kubwa. Inazalisha 120-200kg/saa.

Tupo SINZA MORI jirani na DELINA APARTMENTS , Delivery tunafanya popote ulipo mteja, wasiliana nasi: whatsApp/piga 0715316614.

Mashine za umeme za Kumenya vitunguu swaumu. Dukani tunazo aina mbili:-TYPE A Bei ni Tsh 699,000/= aina hii yenyewe desi...
27/03/2026

Mashine za umeme za Kumenya vitunguu swaumu. Dukani tunazo aina mbili:-

TYPE A Bei ni Tsh 699,000/= aina hii yenyewe design yake mdomo wake ni mkubwa unapokea kitunguu kizima kizima k**a kilivyo na kumenya.(Unakiweka kitunguu k**a kilivyo).

TYPE B Bei ni 599,000/= na mashine zote zinaweza kumenya kilo 25 za vitunguu ndani ya saa moja (25kg/h).

Tupo Dar es salaam SINZA MORI jirani na Delina Apartment. Mikoani tunatuma.
Simu/whatsApp 0715316614.

Mvua zikinyesha wale kumbikumbi wanaofuata taa barazani unawakuta sebuleni? Maji Je?Zipo dukani raba za kuzuia wadudu,vu...
26/03/2026

Mvua zikinyesha wale kumbikumbi wanaofuata taa barazani unawakuta sebuleni? Maji Je?Zipo dukani raba za kuzuia wadudu,vumbi, mchanga n.k kupita mlangoni, sasa bei ni 10,000/= tu! na size yake ni 93cm. Kwa uzoefu wetu kwa mlango wa nyuma raba moja tu inatosha, mlango wa mbele mara nyingi huwa ni raba moja na nusu hivyo uchukue mbili.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment na mawasiliano yetu utatupata kwa kawaida (kutupigia) au Whatsapp kwa namba 0715 316 614.

Tumeleta dukani hizi mizani za jikoni, zinapima kuanzia 1 gram hadi gram 5,000 (5kg), tunauza 23,000/= tu popote tunatum...
25/03/2026

Tumeleta dukani hizi mizani za jikoni, zinapima kuanzia 1 gram hadi gram 5,000 (5kg), tunauza 23,000/= tu popote tunatuma.

Tupo Sinza Mori jirani na Delina Apartment, simu/Whatsapp 0715 316 614

Address

Dar Es Salaam

Telephone

0715316614

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Thebridgegulio posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram