Mbochi Herbal LIFE

Mbochi Herbal LIFE Mbochi Herbal LIFE
Mkusanyiko wa wataalamu bingwa wa afya na tafiti za mimea tiba kwa ajili ya kuboresha afya yako.! All the medicines are 100 percent

HUDUMA ZETU

Uzazi & Mwanamke | STDs | Afya ya Mwanaume | Kupunguza Uzito | Ovarian Health/Cyst | Tezi Dume | Saratani | Homoni Balansi. We have medicines for various type of diseases.

05/11/2025

"NAPATA HEDHI... LAKINI KWA NINI SIPATI MIMBA?

Umeshawahi kujiuliza hilo pia? 💕
Mara nyingi si kwamba mwili hauwezi kushika mimba — bali homoni zimechoka, mayai hayakomai ipasavyo, au mfumo wa uzazi unahitaji tu msaada mdogo wa asili. 🌿

👇🏽 SABABU 5 ZINAZOWEZA KUCHELEWESHA UJAUZITO:
✅ O***y kushindwa kutoa yai kwa wakati
✅ Homoni zisizo sawa
✅ Mfuko wa uzazi uliolegea au wenye uvimbe mdogo
✅ Upungufu wa virutubisho vya uzazi
✅ Msongo wa mawazo (stress) unaovuruga mzunguko

Lakini usijali mama wa baadaye 💖
Kuna mpango wa asili unaoweza kusaidia kurudisha usawa wa mfumo wa uzazi wako:

🌸 “Combo Package” yenye nguvu tatu:
1️⃣ Ovarian Health – Kuimarisha afya ya mayai
2️⃣ Fertility & Pregnancy Support – Kuandaa mwili kupokea ujauzito
3️⃣ Twins Bless / Hormocare – Kusawazisha homoni kwa uzazi wenye afya

💚 Rudisha matumaini ya kuwa MAMA.
👉🏽 Anza leo safari yako ya uzazi wa asili 🌺

29/10/2025

NAPATA HEDHI LAKINI MBONA SIBEBI UJAUZITO.?

Mbochi Herbal Life, kimbilio la WENGI juu ya afya. Shukrani kwa Mwenyezi Mungu, wengi wamekuwa walezi na wenye watoto (hata MAPACHA!), ikithibitisha kwamba katika masuala ya uzao, hakika Mungu anatenda.

Kwa Nini Hedhi Inaingia Lakini Mimba Si shiki.?

Kupata hedhi ni ishara nzuri, lakini haitoshi! Kuna sababu za ndani zinazozuia ujauzito, ambazo zimetajwa na Mbochi Herbal Life

• HOMONI BALANSI (Kuvurugika): Mabadiliko ya homoni k**a vile Progesterone au Estrogen yanaweza kuzuia yai kukomaa au kujishikiza. Hedhi inaweza kuingia bila yai kutolewa (Anovulatory cycle)

• MIRIJA YA UZAZI KUZIBA: Mirija ndiyo njia kuu ya kukutanisha mbegu na yai. Kuziba kunakosababishwa na Maambukizi ya Zinaa (PID) au Endometriosis huizuia mimba kutunga.

• ENDOMETRIOSIS: Hii ni hali ambapo tishu za mji wa mimba hukua nje. Inaweza kusababisha maumivu makali na kuathiri vibaya uzazi.

KUMBUKA: Tambua Chanzo, Zuia Madhara. Kinga ni Tiba Bora!

Mimea Tiba ya Mbochi Herbal Life na Majukumu Yake
Mbochi Herbal Life hutumia mchanganyiko wa asili wa mimea kwa ajili ya kurekebisha Homoni na kuandaa mwili kwa Ujauzito. Hii ni orodha ya mimea tiba Nyumbani

• MAJABI YA MPERA (Guava Leaves): Huaminika kusaidia kupunguza uvimbe na maambukizi, na kutuliza mazingira ya uzazi.

• ROSEMARY: Tajiri wa vioksidishaji, hutumiwa kutuliza homoni na kusaidia mzunguko wa damu.

• MPINGI & Mjafali / Mlungulungu: Kijadi, huaminika kusaidia kusafisha mirija iliyoziba na kuondoa sumu mwilini.pia tiba kubwa kwa wenye uvimbe

• MDALASINI (Cinnamon): Ni muhimu sana katika kusaidia kurekebisha Usawa wa Homoni, hasa kwa kupunguza usugu wa Insulin, jambo muhimu kwa afya ya uzazi.
Ushauri wa Matumizi (Siku 7-14)
Matumizi ya dawa asilia kwa siku 7-14 hutoa nafasi ya kusafisha na kurekebisha mwanzo wa mzunguko wa hedhi.
AMUA LEO, BEBA UJAUZITO, UTE NA HOMONI BALANSI.!

NI MUHIMU KUTAMBUA: Kwa kuwa mimea hii inafanya kazi kwenye mfumo wa homoni, unahitaji KIPIMO SAHIHI na MWONGOZO WA WAKATI KAMILI WA MATUMIZI (kwa mfano, siku gani ya kuanza kwenye mzunguko wa hedhi)

USHAURI WETU:

Wasiliana Nasi Moja kwa Moja sasa!
+255 741 220 000
WWW.MBOCHIHERBALLIFE.CO.TZ

29/10/2025

HIV BOOSTER – SULUHISHO LIKO NYUMBANI
“Mwili Wenye Kinga Imara, Hauogopi Maambukizi.”

UTANGULIZI

Kinga ya mwili ni ngao ya uhai. Ndiyo ulinzi wa kwanza na wa mwisho wa mwili dhidi ya virusi, bakteria, fangasi, na magonjwa yote yanayodhoofisha afya.
Kwa mtu mwenye maambukizi ya HIV, au anayehitaji kuimarisha mwili baada ya maradhi, kuongeza kinga (immune booster) ni jambo la msingi.
Kinga inapokuwa dhaifu, mwili unashindwa kupambana na magonjwa — lakini inapokuwa imara, hata virusi vinashindwa kuleta madhara makubwa.

Muunganiko wa Mimea 8 Yenye Nguvu:

1️⃣ Majani ya Mpera – husafisha damu na kuua bakteria hatarishi.
2️⃣ Rosemary & Mint – huongeza mzunguko wa damu na kuupa mwili nguvu mpya.
3️⃣ Uwatu & Mziwazirwa – huimarisha homoni na kuupa mwili virutubisho vya asili.
4️⃣ Black Seed & Garlic – huongeza kinga ya mwili na kupambana na vimelea.
5️⃣ Majani ya Mlonge – hujenga seli, kuboresha damu na kuongeza stamina

NINI MAANA YA HIV BOOSTER.?

HIV BOOSTER NI mchanganyiko wa mimea asilia, matunda, na lishe bora unaolenga kuimarisha kinga ya mwili (immune system), kurejesha nguvu za mwili, na kusaidia mwili kupambana na magonjwa.

Kwa maneno rahisi 👇

HIV Booster = Ulinzi wa Mwili Unaotoka Asili.

FAIDA KUU ZA BOOSTER KWA MWILI

1. 💪 Huongeza seli nyeupe za damu (WBC) zinazopambana na maambukizi.

2. 🧬 Hurekebisha seli zilizoharibiwa na virusi.

3. 🌿 Huondoa uchovu wa mwili na kuongeza nguvu.

4. ❤️ Huimarisha ini, figo, na mfumo wa damu.

5. 🛡️ Husaidia mwili kupinga maradhi madogo madogo k**a mafua, homa, na vidonda vya koo.

FAIDA YA KUWA NA KINGA IMARA

Kinga imara ni msingi wa afya njema.

MTU MWENYE KINGA NZURI:

•Hachoki kirahisi

•Ana nguvu na hamu ya kula

•Ana ngozi na macho yenye afya

•Anapona haraka akiumwa

•Ana maisha marefu na yenye nguvu

Kwa lugha rahisi 👇

Kinga ni Uhai. Bila Kinga, dawa hazina nguvu.

AINA KUU ZA KINGA YA MWILI

1. Kinga Asilia (Innate Immunity)

Hii ndiyo kinga ya kuzaliwa nayo.

Hufanya kazi k**a ulinzi wa haraka – ngozi, k**asi, na joto la mwili.

2. Kinga Iliyopatikana (Adaptive Immunity)

Hupatikana baada ya mwili kukutana na virusi au chanjo.

Hutoa kumbukumbu ya kinga – ikirudiwa na ugonjwa uleule, mwili hupambana nao haraka zaidi.

MATUMIZI NA MAANDALIZI YA DAWA (BOOSTER ASILIA)

Vitu vya Kuandaa (Kwa Miezi 1–2)

•Tangawizi kipande

•Kitunguu saumu punje 5

•Mlonge majani au unga kijiko 1

•Black seed kijiko 1

•Mzaituni (olive oil) kijiko 1

•Asali ya asili vijiko 2

NAMNA YA KUANDAA:

1. Saga au twanga tangawizi na kitunguu saumu.

2. Ongeza black seed na unga wa mlonge.

3. Changanya na asali na kijiko cha mafuta ya mzaituni.

4. Hifadhi kwenye chupa safi.

MATUMIZI:

Kula kijiko kimoja asubuhi kabla ya kula na jioni kabla ya kulala.

Tumia kwa siku 30 hadi 60 mfululizo, kisha pumzika wiki moja kabla ya kuendelea.

LISHE BORA KWA WAGONJWA WA HIV AU WANAOONGEZA KINGA

Lishe bora ndiyo tiba ya kwanza ya mwili. Wagonjwa wanashauriwa kula.!

🥦 Mboga za majani (mchicha, kisamvu, broccoli)

🍊 Matunda yenye Vitamin C (machungwa, nanasi, papai)

🍚 Nafaka zisizokobolewa (uji wa dona, mtama, ulezi)

•Protini za asili (maharage, mayai, samaki, karanga)

•Kunywa maji mengi kila siku

•Epuka: sukari nyingi, pombe, na vyakula vyenye mafuta mengi.

NENO LA KIROHO TOKA MBOCHI HERBAL LIFE

“Mwili ni Hekalu la Roho Mtakatifu; tunapoutunza, tunamheshimu Muumba.” (1 Wakorintho 6:19-20)

Kinga imara huanza ndani, katika imani, amani ya moyo, na lishe safi ya asili

HITIMISHO

HIV Booster ni suluhisho rahisi, salama na la asili. Kinga yako ni silaha yako; usiiruhusu idhoofike. Amua leo kuipa mwili wako nguvu ya kupambana, kwa kutumia mimea ya asili na lishe yenye afya

🩸 Afya njema ni matokeo ya maamuzi sahihi ya kila siku.

28/10/2025

MBOCHI HERBAL LIFE, KIMBILIO LA
KILA MAMA MWENYE NDOTO YA
KUWA MAMA

“Afya ya Uzazi Huanzia Asili, Tunangazia Ndoto
Yako ya Kuwa Mama.”

💫 PID NI NI?

PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni maambukizi ya ndani ya viungo vya uzazi vya mwanamke k**a vile mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi na ovari.
Kwa kawaida husababishwa na bakteria wanaotokana na magonjwa ya zinaa (STD) k**a Chlamydia na Gonorrhea.
Dalili zake ni pamoja na maumivu ya tumbo la chini, kutokwa na majimaji ukeni, maumivu wakati wa tendo la ndoa, na wakati mwingine kukosa uwezo wa kushika mimba.

💫 PCOS NI NINI?

PCOS (Polycystic O***y Syndrome) ni hali ya kutofanya kazi vizuri kwa homoni ambapo ovari hutengeneza mayai yasiyo komaa.
Hali hii husababisha kukosa hedhi, hedhi zisizo na mpangilio, chunusi, unene, na ugumu wa kushika mimba.

💫 HOMONI NI NINI na kwanini hazibalansi.!

Homoni ni kemikali za mwili zinazoratibu kazi muhimu k**a hedhi, usingizi, hisia na uzazi.
Zikitokewa na usawa, mwanamke anaweza kupata changamoto k**a:

•Kukosa au kuchelewa kwa hedhi

•Maumivu makali ya tumbo

•Kukosa hamu ya tendo la ndoa

•Kushindwa kushika mimba

•Uvimbe kwenye ovari au mirija ya uzazi

Sababu kuu za kutokewa na usawa wa homoni ni:
🔹 Msongo wa mawazo (stress)
🔹 Kutokula lishe bora
🔹 Vyakula vyenye kemikali (processed foods)
🔹 Kutokulala vizuri
🔹 Matumizi ya dawa za homoni kwa muda mrefu

TIBA ASILIA NYUMBANI KWA PID, PCOS NA HOMONI

Asili imebarikiwa kuwa na tiba nyingi za kusaidia mwili kurudia usawa bila kemikali.
Miongoni mwa mimea yenye nguvu kubwa ya kurejesha afya ya uzazi ni:
👉 Mpingi, Mkundepori, Mkumbi, Tangawizi, Black Seed, na Manjano.

TANGAWIZI (Zingiber officinale)

Tangawizi ni mmea wa miujiza unaosaidia:

•Kuongeza mzunguko wa damu kwenye mfumo wa uzazi

•Kupunguza maumivu ya tumbo la hedhi

•Kusafisha mirija ya uzazi iliyo na vimelea

•Kuamsha mayai (ovulation) kwa wanawake wenye PCOS

•Kuboresha homoni za uzazi

Black Seed (Nigella sativa)

Inajulikana k**a Habbat Sawda au “Mbegu za Kalonji”

FAIDA ZAKE NI:

•Kurekebisha homoni za uzazi

•Kuondoa uvimbe kwenye ovari

•Kuimarisha kinga ya mwili

•Kutibu PID na maambukizi ya zinaa (STD)

•Kurejesha uwezo wa kushika mimba

MANJANO (Curcuma longa)

Manjano ina kiambato kinachoitwa curcumin ambacho ni dawa asilia ya kupunguza uvimbe na kusafisha damu.

•Husaidia kusafisha mirija ya uzazi iliyojaa uchafu

•Huzuia uvimbe na maambukizi kwenye kizazi

•Huboresha mzunguko wa hedhi na kinga ya mwili

NAMNA YA KUANDAA NA KUTUMIA DAWA HII NYUMBANI

VITU VYA KUANDAA

•Mpingi kipande kidogo

•Mkundepori kipande au majani

•Mkumbi kipande kidogo

•Tangawizi kipande cha wastani

•Manjano kipande kidogo

•Black seed kijiko kimoja (mbegu)

NAMNA YA KUCHEMSHA:


1.
Osha mimea yote vizuri.


2.
Chemsha kwa pamoja kwenye maji lita 1.5–2 kwa dakika 20.


3.
Tenga maji yake na uache yapoe.




MATUMIZI:

Kunywa kikombe kimoja asubuhi kabla ya kula na jioni kabla ya kulala.

Tumia kwa siku 7–14, kisha pumzika wiki moja kabla ya kuendelea

FAIDA KUU ZA DAWA HII

•Husaidia wanawake wenye magonjwa ya zinaa (STD)

•Hutibu PID na kuondoa maumivu ya tumbo la uzazi

•Husafisha na kufungua mirija ya uzazi iliyoziba

•Huondoa uvimbe kwenye ovari

•Hurejesha hedhi ya kawaida

•Huboresha homoni na kuongeza uwezo wa kushika mimba

Mbochi Herbal Life – Ndoto ya Kuwa Mama Iwe Halisi

Tunatengeneza tiba asilia kwa uangalifu mkubwa, tukitumia mimea halisi ya kiafrika yenye nguvu ya kutibu na kurejesha afya ya uzazi. Kwa kila mama aliye na ndoto ya mtoto

Mbochi Herbal Life ni suluhisho la kiasili, salama, na lenye matokeo

27/10/2025

TIBU STD NA MAGONJWA AMBUKIZI

Mlonge & Mpera

Mlonge una vitamini A, C, E na madini ya chuma, huongeza kinga, nguvu mwilini na kusaidia uzazi.
Mpera una vitamini C & A – huponya magonjwa ya njia ya mkojo, mafua na huimarisha ngozi.

Mchanganyiko wa asili unaojenga afya kutoka ndani!

NGUVU YA TIBA IKO KWENYE ASILI.!
Tumia mimea 2 tu yenye nguvu ya uponyaji wa kweli: Mlonge & Mpera

1. Mlonge (Moringa)
- Tajiri wa Vitamin A, C, E
- Lina madini ya chuma (Iron)
- Huongeza kinga ya mwili
- Hutoa nguvu na huimarisha afya ya uzazi
- Husaidia mwili kupambana na magonjwa sugu

2. Mpera (Guava)
- Lina Vitamin C & A
- Hupambana na maambukizi ya njia ya mkojo (UTI)
- Husaidia kuondoa mafua, kikohozi
- Huimarisha ngozi na mfumo wa upumuaji

✅ Mchanganyiko huu wa asili:

Hujenga afya kutoka ndani, huimarisha mfumo wa kinga na kusaidia mwili kujisafisha kwa njia salama.

🟢 Tumia kwa chai au unga uliosagwa:
- Mlonge – 1 kijiko
- Majani ya mpera – 1 kijiko
- Chemsha kwa vikombe 1½ vya maji
- Kunywa mara 2 kwa siku

Mbochi Herbal Life – Afya ni Uwezo.
0741 220 000

27/10/2025

ELIMU NI KINGA – ONGEZA CD4 KWA NJIA ASILIA, CHAKAZA VIRUSI, ISHI SALAMA!

Mwili wa binadamu una kinga ya asili inayoitwa CD4, ambayo husaidia kupambana na maradhi, hasa yale yanayoambatana na virusi sugu k**a HIV. Kadri CD4 inavyopungua, ndivyo mwili unavyodhoofika. Habari njema ni kwamba, baadhi ya mimea asilia ina uwezo wa kuamsha tena seli za kinga na kusaidia kudhibiti virusi

✅ MIMEA 8 MUHIMU YA ASILI Asili: TIBA NYUMBANI

1. Mlonge – Una Vitamin A, C, E, madini ya chuma na zinc. Hujenga seli mpya, huondoa uchovu na huongeza CD4

2. Kitunguu Saumu – Antibiotic ya asili. Huondoa sumu, huua bakteria na virusi wadogo.
3. Tangawizi – Huchochea damu, hupunguza uvimbe na huimarisha kinga

4. Black Seed (Habbat Sawda) – Hufufua seli zilizolala, hupambana na virusi na kuimarisha moyo

5. Kivumbasi (Holy Basil) – Hutuliza akili, huongeza utulivu wa homoni na mfumo wa kinga

6. Rosemary – Ina antioxidants kali k**a carnosic acid, hulinda seli dhidi ya kushambuliwa

7. Majani ya Mpera – Vitamini C, quercetin na lycopene, hupambana na maambukizi na kuimarisha uzazi

8. Ndimu – Vitamini C nyingi, antioxidants k**a flavonoids, husaidia kupambana na virusi na kuimarisha mwili

Maandalizi na Matumizi:

- Chukua kikombe 1 cha maji safi na uchemshue.
- Ongeza majani ya mpera (fungua 1 ), vipande vya ndimu (1–2), pamoja na vipande vya tangawizi na rosemary na majaninyote yaliyo elezwa Apo juu
- Funika na acha yachemke, kwa dakika 10–15.
- Tumia chai hii moto au baridi, mara 2 kwa siku (asubuhi na jioni). Hakikisha ukweli Sukari Bali unaweza ongeza ASALI na siyo lazima

- Kwa matokeo mazuri, tumia kwa mfululizo wa siku 30–60

TAHADHARI:

- Usizidishe matumizi ya mimea hii; fuata dozi iliyopendekezwa.
- Hii ni tiba mbadala; usiacha matibabu ya daktari k**a unahitaji.
- Hakikisha unakula lishe bora na kuepuka vitu vinavyodhuru afya k**a vile pombe na sigara

Mbochi Herbal Life – Afya ni Uwezo!

27/10/2025

ELIMU NI KINGA – ONGEZA CD4 KWA NJIA ASILIA, CHAKAZA VIRUSI, ISHI SALAMA!

Mwili wa binadamu una kinga ya asili inayoitwa CD4, ambayo husaidia kupambana na maradhi, hasa yale yanayoambatana na virusi sugu k**a HIV. Kadri CD4 inavyopungua, ndivyo mwili unavyodhoofika. Habari njema ni kwamba, baadhi ya mimea asilia ina uwezo wa kuamsha tena seli za kinga na kusaidia kudhibiti virusi

✅ MIMEA 8 MUHIMU YA ASILI Asili: TIBA NYUMBANI

1. Mlonge – Una Vitamin A, C, E, madini ya chuma na zinc. Hujenga seli mpya, huondoa uchovu na huongeza CD4

2. Kitunguu Saumu – Antibiotic ya asili. Huondoa sumu, huua bakteria na virusi wadogo.
3. Tangawizi – Huchochea damu, hupunguza uvimbe na huimarisha kinga

4. Black Seed (Habbat Sawda) – Hufufua seli zilizolala, hupambana na virusi na kuimarisha moyo

5. Kivumbasi (Holy Basil) – Hutuliza akili, huongeza utulivu wa homoni na mfumo wa kinga

6. Rosemary – Ina antioxidants kali k**a carnosic acid, hulinda seli dhidi ya kushambuliwa

7. Majani ya Mpera – Vitamini C, quercetin na lycopene, hupambana na maambukizi na kuimarisha uzazi

8. Ndimu – Vitamini C nyingi, antioxidants k**a flavonoids, husaidia kupambana na virusi na kuimarisha mwili

Maandalizi na Matumizi:

- Chukua kikombe 1 cha maji safi na uchemshue.
- Ongeza majani ya mpera (fungua 1 ), vipande vya ndimu (1–2), pamoja na vipande vya tangawizi na rosemary na majaninyote yaliyo elezwa Apo juu
- Funika na acha yachemke, kwa dakika 10–15.
- Tumia chai hii moto au baridi, mara 2 kwa siku (asubuhi na jioni). Hakikisha ukweli Sukari Bali unaweza ongeza ASALI na siyo lazima

- Kwa matokeo mazuri, tumia kwa mfululizo wa siku 30–60

TAHADHARI:

- Usizidishe matumizi ya mimea hii; fuata dozi iliyopendekezwa.
- Hii ni tiba mbadala; usiacha matibabu ya daktari k**a unahitaji.
- Hakikisha unakula lishe bora na kuepuka vitu vinavyodhuru afya k**a vile pombe na sigara

Mbochi Herbal Life – Afya ni Uwezo!

27/10/2025

Nguvu ya tiba iko kwenye asili.!
Tumia mimea 3–4 tu k**a Mlonge, Rosemary, Tangawizi na Holy Basil, kusaidia kuondoa PID & HPV, kuongeza kinga ya mwili, na kurejesha afya ya uzazi kwa njia salama..

Hii hapa *makala fupi na iliyoandikwa kwa mpangilio mzuri*, tayari kwa kuposti mtandaoni (Instagram, Facebook, au blog):

Tumia mimea 5 tu kusaidia kuondoa PID, HPV, na kuongeza kinga ya mwili kwa njia salama.

➡️ MIMEA YENYE NGUVU YA TIBA:

1. Mlonge – Tajiri wa Vitamin C, A, E, Calcium na Iron.
✅ Huongeza kinga
✅ Husafisha damu
✅ Hupunguza uvimbe na homoni zisizo sawa

2. Rosemary – Ina Iron, Calcium, Vitamin B6 & Carnosic Acid.
✅ Huzuia bacteria & fangasi
✅ Hupunguza maumivu ya nyonga (PID)
✅ Huimarisha mzunguko wa damu

3. Tangawizi – Ina Gingerol & antioxidants.
✅ Huondoa sumu mwilini
✅ Hupunguza maumivu ya tumbo & uchafu ukeni
✅ Hupambana na maambukizi ya ndani

4. Holy Basil (Kivumbasi) Ina Vitamin C, A, na Eugenol.
✅ Hupambana na virusi
✅ Huimarisha afya ya uzazi
✅ Hupunguza msongo wa homoni

5. Black Seed (Habbat Sawda) – Ina Thymoquinone, Omega-6 & Iron.
✅ Hurekebisha homoni
✅ Huuwa virusi na bakteria wanaosababisha PID & HPV
✅ Huongeza uzazi

✅ MAANDALIZI YA DAWA YA ASILI
- Mlonge – 1 kijiko cha chakula
- Rosemary – ½ kijiko
- Tangawizi – Vipande viwili
- Holy Basil – Majani 4–5

27/10/2025

TIBU STD NA MAGONJWA AMBUKIZI

Mlonge & Mpera

Mlonge una vitamini A, C, E na madini ya chuma, huongeza kinga, nguvu mwilini na kusaidia uzazi.
Mpera una vitamini C & A – huponya magonjwa ya njia ya mkojo, mafua na huimarisha ngozi.

Mchanganyiko wa asili unaojenga afya kutoka ndani!

NGUVU YA TIBA IKO KWENYE ASILI.!
Tumia mimea 2 tu yenye nguvu ya uponyaji wa kweli: Mlonge & Mpera

1. Mlonge (Moringa)
- Tajiri wa Vitamin A, C, E
- Lina madini ya chuma (Iron)
- Huongeza kinga ya mwili
- Hutoa nguvu na huimarisha afya ya uzazi
- Husaidia mwili kupambana na magonjwa sugu

2. Mpera (Guava)
- Lina Vitamin C & A
- Hupambana na maambukizi ya njia ya mkojo (UTI)
- Husaidia kuondoa mafua, kikohozi
- Huimarisha ngozi na mfumo wa upumuaji

✅ Mchanganyiko huu wa asili:

Hujenga afya kutoka ndani, huimarisha mfumo wa kinga na kusaidia mwili kujisafisha kwa njia salama.

🟢 Tumia kwa chai au unga uliosagwa:
- Mlonge – 1 kijiko
- Majani ya mpera – 1 kijiko
- Chemsha kwa vikombe 1½ vya maji
- Kunywa mara 2 kwa siku

Mbochi Herbal Life – Afya ni Uwezo.
0741 220 000

CHANGAMOTO ZA MWILI HAZIPASWI KUKUZUIA KUNG'AAMwili wako una nguvu ya asili ya kujirekebisha — unachohitaji ni msaada sa...
21/10/2025

CHANGAMOTO ZA MWILI HAZIPASWI KUKUZUIA KUNG'AA

Mwili wako una nguvu ya asili ya kujirekebisha — unachohitaji ni msaada sahihi

Bidhaa zetu asilia husaidia kuboresha afya ya uzazi, kusawazisha homoni, na kuimarisha kinga ya mwili kwa njia salama na ya asili.

1.Afya ya uzazi
2.Kinga ya mwili
3.Usawa wa homoni

💬 Tuma ujumbe sasa — tuanze safari ya afya njema pamoja

CHANGAMOTO ZA MWILI HAZIPASWI KUKUZUIA KUNG'AAMwili wako una nguvu ya asili ya kujirekebisha — unachohitaji ni msaada sa...
19/10/2025

CHANGAMOTO ZA MWILI HAZIPASWI KUKUZUIA KUNG'AA

Mwili wako una nguvu ya asili ya kujirekebisha — unachohitaji ni msaada sahihi

Bidhaa zetu asilia husaidia kuboresha afya ya uzazi, kusawazisha homoni, na kuimarisha kinga ya mwili kwa njia salama na ya asili.

1.Afya ya uzazi
2.Kinga ya mwili
3.Usawa wa homoni

💬 Tuma ujumbe sasa — tuanze safari ya afya njema pamoja

🔥 MILIKI MGUU WA MTOTO NDANI YA SIKU 7.! 🔥 Maumbile makubwa, unene wa uhakika na nguvu zisizoyumba — sasa ni zamu yako.!...
17/10/2025

🔥 MILIKI MGUU WA MTOTO NDANI YA SIKU 7.! 🔥
Maumbile makubwa, unene wa uhakika na nguvu zisizoyumba — sasa ni zamu yako.!

✅ Ongeza ujasiri wako
✅ Ata k**a HAISIMAMI KABISA
✅ Boresha stamina & mzunguko wa damu
✅ Ongeza Inch's 2.5 kwa wiki moja
✅ Faidika na Combo maalum ya siku 7 — matokeo ya haraka, salama & ya kudumu.!

👉 Wiki ya Moto inaanza sasa!
0741 220 000
Mbochi Herbal Life – Afya, Nguvu, na Kujiamini
Package Nzima Tsh. 59,999/=

Address

Morogoro Road, Magomeni Mapipa, Njiamaoni St
Dar Es Salaam
14101

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mbochi Herbal LIFE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mbochi Herbal LIFE:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram