12/12/2023
NI MUHIMU SANA KUCHUNGUZA AFYA YAKO KILA WAKATI ILI KUJIEPUSHA NA KUPUNGUZA GHARAMA YA KUTIBU MAGONJWA HATARI KWENYE MWILI WAKO.,AFYA NI MTAJI.,
Tunafanya vipimo vya MWILi mzima Kwa MASHINE ya kisasa yenye uwezo wa kugundua tatizo ndani ya mwili WAKO Kwa asilimia 100%
Karibu katika Kituo chetu Cha Afya uweze kufanyiwa vipimo vya MWILI WAKO mzima Bure Kabisa ( full body check up )., Utafungua file la kumbukumbu zako Kwa sh20000/= tu ( Elfu ishirini tu )
✓utamuona daktari bure
✓ushauri utapewa bure
✓vipimo utafanyiwa bure
✓hakuna kupanga foleni
✓utatibiwa chanzo cha tatizo lako either kwa njia ya lishe au tiba
HUDUMA ZINAZO JUMUISHWA
- Uchunguzi wa maswala ya uzazi Kwa wanawake na wanaume
- Vipimo vya shinikizo la damu
- Kipimo cha uzito na urefu
- uchunguzi wa mifupa na joints
-maumivu na ganzi kwenye miguu na mikono
- uchunguzi wa vidonda vya tumbo
- uchunguzi wa tatizo la sukari (diabetic) na tiba ya uhakika
- Uchunguzi wa Matatizo ya Figo na Ini.
- Uchunguzi juu ya magonjwa ya ngozi
- Uchambuzi wa matokeo na ushauri wa kitaalam
Fahamu zaidi kuhusu mwili wako. Huduma hii ya kipekee ni kwa muda wa kikomo, hivyo tuchukue fursa sasa!
Kuweka miadi ili usikae kwenye foleni , wasiliana nasi kwa simu: 0757 911 035