Dr Nongwe Online Clinic

Dr Nongwe Online Clinic Pata tiba,ushauri na dondoo mbalimbali kuhusiana na afya yako.

ZIFAHAMU FAIDA ZA MTOTO KUNYONYA MAZIWA YA MAMA YAKE PEKEE.1. Maziwa ya Mama Yana virutubisho vyote vinavyohitajika kati...
22/01/2022

ZIFAHAMU FAIDA ZA MTOTO KUNYONYA MAZIWA YA MAMA YAKE PEKEE.

1. Maziwa ya Mama Yana virutubisho vyote vinavyohitajika katika mwili wa mwanadamu.
2. Huumarisha Kinga ya mwili wa mtoto.
3.Husaidia kujenga ukaribu mkubwa baina ya mama na mtoto.
4. Huzuia maradhi yanayoshambulia mfumo wa upumuaji, masikio na kuharisha.
5. Huufanya ubongo wa mtoto ukomae na kuupa nguvu.
6. Hupunguza idadi ya vifo vya watoto wachanga.
7.Maziwa ya mama ni freshi na yana joto stahiki.
8. Hupunguza gharama.
9. Humkinga mama dhidi ya maradhi ya kansa, kisukari na magonjwa ya moyo.

03/08/2018

07/07/2017

Zifahamu DALILI za Kisukari(Diabetes).

1- Kukojoa mara kwa mara(frequent urination).

2- Kupungua ghafla kwa uzito wa mwili.

3- Ganzi katika miguu na mikono.

4- NJaa ya mara kwa mara.

5- Kiu ya mara kwa mara.

6- Maambukizi ukeni( va**na infections).

7- Uchovu wa mara kwa mara.

8- Matatizo katika tendo la ndoa (sexual problems).

9- Vidonda visivyopona.

10- Kutokuona vizuri.

Okoa maisha. Kataa kutoa ujauzito.
27/12/2016

Okoa maisha. Kataa kutoa ujauzito.

Pata kufahamu madhara yatokanayo na utoaji wa mimba usio salama( unsafe abortion).Maudhi madogo madogo.•maumivu ya tumbo...
17/05/2016

Pata kufahamu madhara yatokanayo na utoaji wa mimba usio salama( unsafe abortion).

Maudhi madogo madogo.
•maumivu ya tumbo.
•kichefuchefu
•kutapika
•kuhara.
•kutokwa na damu.

Madhara makubwa.
•maambukizi (infections)
•kuharibika kwa shingo ya kizazi.( cervix)
•makovu katika ukuta wa mji wa mimba.
•kutoboka kwa mji wa mimba.
•kutoka na damu nyingi ukeni.
•kifo.

16/05/2016

03/05/2016

Zifahamu dalili 10 za hatari katika kipindi cha ujauzito, ambazo sio za kuzipuuza:-

• Maumivu makali ya tumbo na mgongo.

• Homa kali.

• Mtukutiko mwili au Degedege.

• Kuvimba uso, mikono na miguu.

• Maumivu makali ya kichwa.

• Kutokwa na damu au majimaji yenye harufu mbaya ukeni.

• Kizunguzungu.

• Mtoto kupunguza au kuacha kucheza ( baada ya wiki ya 28)

• Kuhisi maumivu au kuungua anapotoa haja ndogo.

• Kuharisha na kutapika kupita kiasi.

22/03/2016

Sio kila HOMA ni MALARIA.

13/05/2015

This was an interesting question asked to us by own of our readers who has ambition of becoming a Medical Doctor. Well, for an instance the question might sound

03/05/2015

Habari yako!
Napenda kuchukua fursa hii kukushukuru kwa uamuzi wako wa kuupenda (like) ukurasa ( page) wangu huu. Na kupata angalau kidogo ambacho kinapatikana hapa.
Mwenyezi Mungu akubariki sana .
Ahsante.

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 14:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

0715856754

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Nongwe Online Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category