Afya yako kwanza

Afya yako kwanza Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya yako kwanza, Nutritionist, Mwenge, Dar es Salaam.

23/11/2025

```MIONGONI MWA SABABU ZINAZOSABABISHA MTOTO KUKOSA HAMU YA KULA
-Upungufu wa Vitamini na madini
-Maambukizi kwenye mfumo wa chakula
-Kuzoea chakula

Mtoto wako hana hamu ya kula?
Anaonekana mchovu hata baada ya kula?

Start na DETOX – kwanza toa sumu mwilini, especially baada ya dawa au antibiotics.

Endelea na Appetite Booster – yenye mchanganyiko wa Vitamini na madini itakayorudisha hamu ya kula kwa nguvu.

Kisha Mpatie Immunity Booster-yenye mchanganyiko wa mbogamboga na matunda itakayoimarisha kinga ya mwili ya mtoto dhidi ya magonjwa.
Finalize na Omega-3 Salmon Oil – yenye familia zote 8 za omega, kwa ubongo makini na nguvu za mwili.

Formula kamili ya
Afya bora inaanza ndani ya mwili.!```

23/11/2025

Umuhimu wa Matunda kwa Watoto

Matunda yana mchango mkubwa katika afya na maendeleo ya watoto. Hapa chini ni baadhi ya faida kuu za kula matunda kwa watoto:

1. Chanzo Bora cha Virutubisho

Matunda yana virutubisho muhimu k**a vile:

Vitamini (hasa Vitamini C na A)

Madini k**a potassium na magnesium

Antioxidants zinazosaidia kulinda mwili dhidi ya magonjwa

2. Huimarisha Kinga ya Mwili

Matunda yenye Vitamini C k**a machungwa, embe, na mapera husaidia kuimarisha kinga ya mwili, na kuwakinga watoto dhidi ya mafua, homa na maambukizi mengine.

3. Huimarisha Mmeng’enyo wa Chakula

Matunda mengi yana nyuzinyuzi (fiber) ambazo husaidia mmeng’enyo wa chakula kuwa mzuri, na kuzuia matatizo k**a kuvimbiwa.

4. Husaidia Ukuaji na Maendeleo ya Mwili

Matunda yana virutubisho vinavyosaidia ukuaji wa mifupa, ngozi, macho, na seli za mwili kwa ujumla. Kwa mfano:

Papai lina vitamini A kwa ajili ya macho

Ndizi zina potassium kwa ajili ya misuli na moyo

5. Huongeza Nguvu na Mvuto wa Kula

Matunda yana sukari asilia inayotoa nishati ya haraka, hasa kwa watoto wanaopenda kucheza. Pia, rangi na ladha tamu ya matunda huwafanya watoto kuvutiwa kula vyakula vyenye afya.

6. Huchangia Mazoea Bora ya Lishe

Kuwazoesha watoto kula matunda tangu wakiwa wadogo huwasaidia kujenga tabia ya kula vyakula vyenye afya hadi ukubwani.

---

Jinsi ya Kuhamasisha Watoto Kula Matunda:

Wape matunda k**a vitafunwa badala ya p**i au biskuti

Kata matunda kwa mtindo wa kuvutia (k**a maumbo ya wanyama)

Wahusishe watoto katika kuchagua au kuandaa matunda

Tayarisha juisi safi ya matunda nyumbani

Hitimisho:
Matunda ni muhimu sana kwa afya ya watoto. Kuyafanya kuwa sehemu ya mlo wa kila siku ni njia rahisi na bora ya kuhakikisha mtoto anakua vizuri, ana afya njema, na kinga dhidi ya magonjwa.

23/11/2025

🧒🏾👧🏽 LISHE BORA NA VIRUTUBISHO MUHIMU KWA WATOTO WETU! 🍽️🍓🧠

Watoto wanahitaji mlo kamili kila siku ili wawe na afya bora, akili timamu na mwili wenye nguvu. Lakini je, chakula peke yake kinatosha? 🤔

✅ Lishe bora inapaswa kuwa na:
🥦 Mboga na matunda kwa vitamini na kinga
🍗 Protini kwa ukuaji wa mwili
🍚 Wanga kwa nishati
🥜 Mafuta bora kwa ukuaji wa ubongo

Lakini mara nyingi watoto hawali mboga za kutosha au wanakuwa wachaguaji. Hapo ndipo virutubisho vya asili vinasaidia!

🌟 VITA SQUARES – Ni mchanganyiko wa vitamini na madini tamu za kutafuna kwa watoto:
👉 Huongeza hamu ya kula kwa mtoto
👉Huimarisha mfumo wa kinga
👉 Husaidia ukuaji wa mifupa na meno
👉 Inaboresha Mmeng'enyo wa chakula

🌟VITA GUARD - Ni mchanganyiko wa mbogamboga na matunda
👉Huimarisha kinga ya mwili
👉Huongeza Damu
👉 Inasaidia Kulainisha Choo

🌟OMEGA III SALMON OIL
👉Huongeza kiwango cha Kumbukumbu na kukuza uelewa
👉Huboresha afya ya moyo
👉Huboresha afya ya Macho
👉Husaidia kudhibiti Allergies na shida za ngozi
👉Husaidia Kulainisha choo

💡 Kwa matokeo bora:
➡️ Mpe mtoto mlo kamili kila siku
➡️ Ongeza VITA SQUARES, VITA GUARD na OMEGA III SALMON OIL

💚 Afya ya mtoto wako ni uwekezaji bora kwa kesho.

📞 Wasiliana nasi kwa maelezo na ushauri zaidi na jinsi ya kupata virutubisho hivi,Waweza kupiga simu/ Whatsapp
+255 672 651 625





23/11/2025

Mtoto wako anaogea sabuni gani?
Mtoto anapaka mafuta gani?
Hiyo sabuni inasaidia ngozi iliyopata vipele vya joto?
Sabuni anayoogea mwanao inampa mafua?

Haya changamka sasa upate Sabuni na Mafuta mazuri na salama kwa ngozi ya mtoto wa kuanzia siku moja..
SHOWER GEL SPECIAL & HAND AND BODY LOTION
Imetengenezwa mahsusi kwa ngozi nyeti — haina kemikali kali!
Inafaa kwa wenye:
• Allergy ya ngozi
• Pumu ya ngozi (eczema)
• Miwasho sugu na changamoto zingine za ngozi.

Ni pH balanced - Salama kwa kila aina ya ngozi!

Agiza sasa upokee package yako kwa kupiga simu/WhatsApp +255 672 651 625

23/11/2025

ZIJUE FAIDA ZA KUTUMIA VITAMIN C KWA MTOTO
✅️ Huimarisha kinga ya mwili na kusaidia mwili kupambana na magonjwa.

✅️ Huongeza uzalishaji wa collagen na kusaidia ngozi, meno, mifupa na mishipa kuwa imara.

✅️ Hupunguza uchovu na kusaidia mwili kuwa na nguvu na kuondoa hali ya kuchoka.

✅️ Hulinda chembehai na kuzisaidia zisichakae kwa haraka (Ni antioxidant.)

✅️ Husaidia mwili kufyonza madini ya chuma kwa urahisi zaidi.

Tsh 60000
Ofisi yetu ipo SKY CITY MALL OPPOSITE NA MLIMANI CITY Barabara ya Kuelekea Chuo cha Ardhi..
tunafanya delivery na mikoani tunatuma!!!!!

23/11/2025

OMEGA III SALMON OIL Imetengenezwa kwa Familia zote nane za FAT ACID na miongoni mwa familia hizo ni
☆DHA-Docosahexaenoic Acid
👉Inasaidia kuboresha Mfumo wa Fahamu na akili hivyo Husaidia kupata Relaxation sana

Hivyo K**a Mwanao Hapati Usingizi wa kutosha ama akilala anashtukashtuka Mpatie SALMON OIL 💃💃🤍

Inapatikana kwa Tshs 110,000 na inakuwa na Capsules 90

Ofisi yetu ipo SKY CITY MALL OPPOSITE NA MLIMANI CITY Barabara ya Kuelekea Chuo cha Ardhi....

Kwa Mawasiliano zaidi Piga/WhatsApp
+255 672 651 625

23/11/2025

``````WAZAZI WENGI WANASHINDWA KUTOFAUTISHA KATI YA VIPELE VYA JOTO NA PUMU YA NGOZI.....SASA USIMUACHE MTOTO WAKO AENDELEE KUTESEKA NINA SULUHISHO KWA AJILI YA CHANGAMOTO HIZO
Kiboko Ya Ngozi Zote Korofi,Pumu Ya Ngozi ,ALLEGIES ,Miwasho,harara na mapunye!!!!
!Unataka Afya Ya Ngozi Ya Mtoto Wako Iwe Nzuri na aepukane na changamoto zote hizo 👌🏽👌🏽👌🏽
SULUHISHO LIPO NA LA UHAKIKA...
TIBA NI KUANZIA NDANI YA MWILI NA NJE📌

```

23/11/2025

🧠 Virutubisho kwa ajili ya ubongo wa mtoto.

Omega 3 ni moja ya virutubisho muhimu sana kwa ajili ya afya na maendeleo ya ubongo wa mtoto wako.

Virutubisho hivi vitamsaidia mtoto wako kujifunza kwa wepesi, kuwa na kumbukumbu nzuri na faida zingine nyingi.

Huwa unampatia mtoto wako vyakula vyenye omega 3 mara kwa mara?



Nina MAFUTA YA SAMAKI AINA YA SALMON AMBAYO YAKO KWENYE NAMNA YA KIDONGE AMBAYO YANA FAIDA ZIFUATAZO.......

☆FAIDA ZA OMEGA III SALMON OIL
●Husaidia kuondoa mafuta machafu (cholesterol) kwenye mishipa ya damu
●Inasaidia afya ya moyo kwa watoto na wajawazito na mnaonyonyesha
●Inaondoa maradhi ya kurithi
●Inasaidia afya ya viungo hasa joints kwa watoto ambao hawajaanza kutembea
●Inasaidia afya ya ubongo kwa watoto hivyo Huongeza kumbukumb na kuwafanya watoto kuwa na uelewa mkubwa
●Inasaidia afya ya macho kwa watoto
●Inasaidia kuondoa allergies kwa watoto
●Inasaidia kuondoa rashes
Ie;Mtu mwenye kutumia mafuta haya ya samaki aina ya salmon Huwa na ngozi nzuri na yenye kung'aa muda wote

Jipatie Mafuta haya ya OMEGA III SALMON Ujionee maajabu yake
Call/WhatsApp
+255 672 651 625










23/11/2025

MIONGONI MWA SABABU ZINAZOSABABISHA MTOTO KUKOSA HAMU YA KULA
-Upungufu wa Vitamini na madini
-Maambukizi kwenye mfumo wa chakula
-Kuzoea chakula

Lishe kwa mtoto ni muhimu sana kwa ukuaji na maendeleo yake ya afya. Lishe bora kwa mtoto inapaswa kujumuisha Makundi yote ya chakula ikiwemo
●Protini
Nyama laini, samaki, mayai, na kunde k**a maharagwe na dengu ni vyanzo vizuri vya protini kwa watoto.
●Matunda na Mboga Mboga Matunda na mboga mboga ni muhimu kwa vitamini na madini. Hakikisha mtoto anakula matunda k**a maapulo, mapera, ndizi, na mboga k**a spinach, karoti, na broccoli.
●Vyakula vya Nafaka
Nafaka k**a mchele, ngano, mahindi, na mtama zinatoa nishati inayohitajika kwa ukuaji wa mtoto.
●Vitamini na Madini
Chakula cha mtoto kinapaswa kuwa na madini k**a kalsiamu, chuma, na vitamini mbalimbali k**a A, B, C, na D.
●Maji
Hakikisha mtoto anakunywa maji ya kutosha kila siku ili kuepuka upungufu wa maji mwilini.

Epuka vyakula vyenye sukari nyingi na mafuta yasiyofaa, na pia epuka kumlisha mtoto vyakula vyenye chumvi nyingi. Lishe bora itasaidia mtoto kukua kwa afya na kuwa na kinga imara dhidi ya magonjwa.

23/11/2025

Umejaribu kila kitu lakini mtoto wako bado hapati uzito unaofaa?

Kukosa uzito unaostahili kunaweza kuathiri ukuaji wake wa kimwili na kiakili, na pia kumfanya awe rahisi kupata magonjwa. Lakini usikate tamaa.

Kuna njia za kumsaidia mtoto wako kupata uzito unaofaa kwa njia salama na ya asili. Jua kwamba suluhisho linaweza kuwa katika kuboresha lishe yake ya kila siku na kuhakikisha anapata virutubisho vyote muhimu anavyohitaji.

Shake hii ni Protein iliyojitosheleza haijaongezwa ladha wala rangi bandia hivyo husaidia kujenga mwili na kutia nguvu kadhalika..!!!!
Mpatie shake hii pamoja na Mlo wake wa kila siku..!!!!

Tupe maoni yako. Ni changamoto gani unazokumbana nazo na uzito wa mtoto wako?

Address

Mwenge
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya yako kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category