Relaxation Massage

Relaxation Massage Tunatoa Huduma za
Full body Massage
Body to body Massage
Tunakufata ulipo
๐Ÿ“Dsm Tz๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Ipo caption ๐Ÿ‘€
09/06/2025

Ipo caption ๐Ÿ‘€

Transfer News Live: imefichuka Yanga wameofa tsh 750m (sign-on fee) na mkataba wa miaka miwili kwa Fei Toto,lakini pia w...
13/04/2025

Transfer News Live: imefichuka Yanga wameofa tsh 750m (sign-on fee) na mkataba wa miaka miwili kwa Fei Toto,lakini pia wameofa mshahara wa tsh 40m kwa mwezi.

Yanga wanapata kiburi kwani wataingiza pesa ndefu kupitia mauzo ya Aziz Ki.

Yanga wako serious wanahitaji Saini ya Fei Totoโœ๏ธ

Ofa ya mwisho ya Simba ilikuwa ni tsh 600m (sign-on fee) walimwambia Fei atalipwa tsh 400m kwenye msimu wake wa kwanza na tsh 200m kwenye msimu wake wa pili.

Endelea kufuatilia page yetu ili kujua zaidi Sport swahili

FT AZAM 1-2 YANGAโšฝ๏ธpacomeโšฝ๏ธDubeโšฝ๏ธLusajo
10/04/2025

FT AZAM 1-2 YANGA
โšฝ๏ธpacome
โšฝ๏ธDube
โšฝ๏ธLusajo

Plan ya kwanza ya Azam mara zote uwaga ni kumuumiza pacomeHT : AZAM 0-2 YANGAโšฝ๏ธpacomeโšฝ๏ธDube
10/04/2025

Plan ya kwanza ya Azam mara zote uwaga ni kumuumiza pacome

HT : AZAM 0-2 YANGA
โšฝ๏ธpacome
โšฝ๏ธDube

๐Œ๐€๐๐„๐๐™๐ˆ ๐๐€ ๐’๐Ž๐Š๐€ ๐’๐ˆ๐Š๐”๐‡๐ˆ๐™๐ˆ ๐‡๐€๐Š๐”๐๐€๐Ÿ’”Sir Alex Ferguson: "Baada ya Italia kutwaa Kombe la Dunia mwaka wa 2006 na Juventus kush...
04/04/2025

๐Œ๐€๐๐„๐๐™๐ˆ ๐๐€ ๐’๐Ž๐Š๐€ ๐’๐ˆ๐Š๐”๐‡๐ˆ๐™๐ˆ ๐‡๐€๐Š๐”๐๐€๐Ÿ’”

Sir Alex Ferguson: "Baada ya Italia kutwaa Kombe la Dunia mwaka wa 2006 na Juventus kushushwa daraja la pili,
nilikuwa na uhakika kwamba angeondoka Juventus. Mchezaji k**a yeye hachezi ligi daraja la pili. Wakati huo, Real Madrid pia walikuwa huitaji naye, na kutokana na masuala yaliyokuwa yakiizunguka Juventus wakati huo, nilifikiri kungekuwa na vita nzuri ya ofa kati yetu United na Real Madrid ili kumpata. Baada ya kutoa ofa yangu, jibu lake lilikuwa la kushangaza. Aliniambia:
โ€˜Sir โ€˜ umeshazungumza nami hapo awali, na ninakuheshimu sana, lakini Juventus wanateseka sana, na ni wajibu wangu kubaki hapa. Juventus iko taabani, na mimi ndiye nahodha wa timu. Unatarajia niwaache?โ€™โ€™

fans

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Richard Abwao amesema Jeshi la Polisi Mkoani humo limemuachia Afisa Habari wa Yanga All...
03/04/2025

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Richard Abwao amesema Jeshi la Polisi Mkoani humo limemuachia Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe kwa dhamana huku taratibu nyingine za kiuchunguzi kuhusu tuhuma zinazomkabili zikiendelea.

Akizungumza na mchana huu, Kamanda Abwao amenukuliwa akisema โ€œameachiwa kwa dhamana ambayo imetolewa muda mfupi uliopita, anaweza kusafiri ( nje ya Mkoa wa Tabora) lakini atatakiwa kuja kuripoti tarehe aliyopangiwa ambayo ni tarehe 21 mwezi huuโ€

Asubuhi ya leo Kamanda Abwao akiongea na alisema Jeshi la Polisi Tabora lilimk**ata Ally Kamwe tangu jana usiku kwa mahojiano baada ya kutuhumiwa kutoa lugha chafu kwa Viongozi wa Serikali.

Aiseeee๐Ÿ˜Ž
02/04/2025

Aiseeee๐Ÿ˜Ž

FT Al Masry 2-0 Simba
02/04/2025

FT Al Masry 2-0 Simba

Neymar Jr aliwahi kusema: โ€œNakumbuka nikiwa mdogo baba alinipa pesa ya bili ya umeme nipeleke kwenye shirika la umeme kw...
02/04/2025

Neymar Jr aliwahi kusema:

โ€œNakumbuka nikiwa mdogo baba alinipa pesa ya bili ya umeme nipeleke kwenye shirika la umeme kwa sababu muda ulikuwa umeshapita, lakini badala ya kulipa bili hiyo, nilitumia pesa hizo kuingia kwenye bahati nasibu ambapo zawadi ilikuwa gari jipya kabisa.

Nilipofika nyumbani, nilimweleza baba yangu nilichokuwa nimefanya, lakini hakukubaliโ€”alinipiga vibaya sana.

Kesho yake asubuhi tulipoamka tuliona gari limeegeshwa mbele ya nyumba yetu. Sote tulianza kulia, hasa mimiโ€ฆ kwa sababu gari lilikuwa la kampuni ya umeme, na walikuwa wamekuja kukata umeme wetu. Kisha baba akanipiga tena.โ€ ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

๐Ÿ”ฐ๐Œ๐€๐“๐‚๐‡๐ƒ๐€๐˜๐Ÿ”ฐ ๐Ÿ†   โšฝ๏ธ Tabora United๐Ÿ†šYoung Africans SC๐Ÿ“† 02.04.2025๐ŸŸ Ali Hassan Mwinyi๐Ÿ•– 10:15 Jioni
02/04/2025

๐Ÿ”ฐ๐Œ๐€๐“๐‚๐‡๐ƒ๐€๐˜๐Ÿ”ฐ

๐Ÿ†
โšฝ๏ธ Tabora United๐Ÿ†šYoung Africans SC
๐Ÿ“† 02.04.2025
๐ŸŸ Ali Hassan Mwinyi
๐Ÿ•– 10:15 Jioni


Endrick,Rodrygo na na Vinicicus Wameanz
01/04/2025

Endrick,Rodrygo na na Vinicicus Wameanz

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255686868590

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Relaxation Massage posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Relaxation Massage:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram