Biolife

Biolife Dealing with HERBS and NUTRITIONAL SUPPLEMENTS

LIVER DETOXDawa ya mitishamba maalum kwa ajili ya kutoa sumu kwenye Ini na mwilini.Ini ndio kiungo kikubwa mwilini na ch...
18/02/2024

LIVER DETOX

Dawa ya mitishamba maalum kwa ajili ya kutoa sumu kwenye Ini na mwilini.

Ini ndio kiungo kikubwa mwilini na chenye kazi zaidi ya mia Moja mwilini.
Ila kazi kubwa ya Ini ni kuchuja na kupunguza sumu mwilini kabla hata ya kuenea sehemu zingine k**a kwenye Figo.

🌞Liver detox pia Inatibu magonjwa ya Ini k**a homa za Ini ( hepatitis).

🌞Ina rekebisha utendaji kazi wa nyongo na kutoa mawe ( gall stones).

🌞Ina rekebisha seli za kongosho na kurekebisha kiwango Cha sukari.

🌞Ina tibu malaria sugu.

Viungo vya mimea vilivyomo: Milk thistle, Dandelion root extract.

Wasiliana nasi kwa namba
💚Dar es salaam Goba njia nne 0673402024 na 0688820050
💚Arusha Kaloleni mnara wa mwenge, 0766607688
💚Mwanza Buhongwa opposite na geti ya Buhongwa secondary 0682034530

𝐈𝐍𝐅𝐄𝐂𝐓𝐈𝐎𝐍𝐒 𝐒𝐇𝐈𝐄𝐋𝐃(🤗 𝘿𝙖𝙬𝙖 𝙮𝙖 𝙢𝙞𝙩𝙞𝙨𝙝𝙖𝙢𝙗𝙖 𝙠𝙬𝙖 𝙖𝙟𝙞𝙡𝙞 𝙮𝙖 𝙢𝙖𝙖𝙢𝙗𝙪𝙠𝙞𝙯𝙞 𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞🍒).ℍ𝕚𝕚 𝕟𝕕𝕚𝕠 𝕜𝕚𝕓𝕠𝕜𝕠 𝕪𝕒 :🌱🪵  sugu🌱🪵  safisha kiza...
14/02/2024

𝐈𝐍𝐅𝐄𝐂𝐓𝐈𝐎𝐍𝐒 𝐒𝐇𝐈𝐄𝐋𝐃
(🤗 𝘿𝙖𝙬𝙖 𝙮𝙖 𝙢𝙞𝙩𝙞𝙨𝙝𝙖𝙢𝙗𝙖 𝙠𝙬𝙖 𝙖𝙟𝙞𝙡𝙞 𝙮𝙖 𝙢𝙖𝙖𝙢𝙗𝙪𝙠𝙞𝙯𝙞 𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞🍒).

ℍ𝕚𝕚 𝕟𝕕𝕚𝕠 𝕜𝕚𝕓𝕠𝕜𝕠 𝕪𝕒 :
🌱🪵 sugu
🌱🪵 safisha kizazi pamoja na mirija
🌱🪵 ( uvimbe)
🌱🪵 Cysts ( Uvimbe kwenye mayai).
🌱🪵 sugu
🌱🪵 sugu
🌱🪵 zingine

Bei TZS 30,000/=

Matumizi: Kijiko kimoja kidogo cha chai kwenye maji ujazo wa kikombe au glass mara Moja tuu kwà siku jioni.

Tupo:
Arusha Kaloleni mnara wa mwenge 0766607688
Dar es salaam Goba njia nne 0673402024
Mwanza Buhongwa opposite na geti ya Buhongwa secondary 0682034530.

Slim plus. Ni maalum kwa ajili ya kupunguza mwili kwa ujumla.💚Inachoma mafuta.💚Inapunguza sana hamu ya kula.💚Ina boost m...
02/02/2024

Slim plus.
Ni maalum kwa ajili ya kupunguza mwili kwa ujumla.
💚Inachoma mafuta.
💚Inapunguza sana hamu ya kula.
💚Ina boost metabolism

Ingredients:
Garcinia
White kidney extract.
l- carnitine
Green tea
Raspberry ketone
Capsimax pepper
Lotus leaf
Cassia seed
Winter melon

Zinapatikana:
Arusha Kaloleni mnara wa mwenge 0766607688
Dar Goba njia nne 0673402024
Mwanza Buhongwa 0682034540

-

GINKGO  BILOBA ni mimea iliyo tumika miaka Mingi kwa ajili  ya Afya ya macho.💚Inasaidia kuimarisha mzunguko au mtiririko...
26/01/2024

GINKGO BILOBA ni mimea iliyo tumika miaka Mingi kwa ajili ya Afya ya macho.
💚Inasaidia kuimarisha mzunguko au mtiririko wa damu kwenye mishipa ya macho.
💚Hii inasaidia macho kupata Virutubisho mbalimbali k**a vitamins na madini kutoka kwenye vyakula.
💙Pia Ina tibu pressure ya macho glaucoma.
💓Ina tibu mtoto wa jicho cataract.
🎄Na rejesha Hali ya uono bila kutumia miwani.
Dar es salaam Goba njia nne 0673402024
Mwanza Buhongwa 0682034530
Arusha Kaloleni 0766607688

24/01/2024

Ubuyu ni unga wa rangi nyeupe au maziwa utokana na matunda ya mbuyu ukiwa na mbegu zake au bila mbegu.
Rangi nyeupe ndio rangi ya asili ya ubuyu, hizi rangi nyingine unazo ziona si rangi asili za ubuyu, ni rangi za viwandani, rangi za vyakula ( food additive).
Ubuyu husio ongezwa rangi Wala Sukari ni mzuri zaidi.

Ubuyu utokana na mti wa mbuyu, ambao ni mti wa asili ya kiafrika, lakini pia ni mti unaoaminika kuishi miaka Mingi zaidi, miaka zaidi ya elfu Moja.
Pia mbuyu ndio mti unao aminika kuwa mkubwa zaidi katika Afrika, ukitusaidia kuishi katika kujipatia chakula, makazi kwa baadhi ya wanyama k**a nyani, pia utunza maji kwa ajili ya matumizi ya wanyama pori pamoja na binadamu.

Watu wa jamii ya wa adzabe ukiachana na uwindaji utumia chakula chenye unga wa ubuyu na asali kwa miaka Mingi.

Faida za ubuyu.

Moja. Unga wa ubuyu una vitamini C.

Mbili. Ubuyu una kiwango kingi cha madini ya Kalshiamu (Calcium).

Tatu. Husaidia kujenga neva za fahamu mwilini.

Nne. Ina virutubisho vya kulinda mwili.

Tano. Ubuyu una vitamini B3 na vitamini B2 ambayo ni mhimu katika kuondoa sumu mwilini na umeng’enyaji wa madini ya chuma,

Sita. Unaongeza kinga ya mwili sababu ya kuwa na kiasi kingi cha vitamini C.

Saba. Huongeza nuru ya macho.

Nane. Husaidia kuzuia kuharisha na kutapika.

Tisa. Ina magnesiam ambayo husaidia kujenga mifupa na meno.

Kumi. Husaidia wenye presha ya kushuka na wenye matatizo ya figo.

Faida za Nyongeza:
Moja: Ina probiotics na prebiotics ambao ni bacteria rafiki kwa ajili ya kulinda mwili hususani tumbo.

Mbili: Asilimia hamisini ya ubuyu Huwa ni nyuzi nyuzi ( water soluble fibres) ambazo usaidia sana KATIKA mmeng'enyo wa chakula..

Yoni pearls ni dawa iliyotengenezwa kutibu matatizo mbalimbali katika mfumo wa uzazi wa mwanamke Inasaidia kutibu👉Uvimbe...
15/01/2024

Yoni pearls ni dawa iliyotengenezwa kutibu matatizo mbalimbali katika mfumo wa uzazi wa mwanamke

Inasaidia kutibu
👉Uvimbe fabroid/ovarian cyst chini ya cm 5
👉Pid sugu
👉Fangasi
👉Bacteria vaginosis
👉Kuzibua mirija
👉Kuondoa ukavu ukeni
👉Kukupa hamu ya tendo
👉Ku balance hormone
👉Kusaidia ku conceive
👉Kuondoa harufu mbaya ukeni
👉Ku balance ph ya uke

Unatakiwa kutumia dose kulingana na tatizo lako

Tumepost feedback nyingi sana za watu waliotumia yoni pearls na zikawasaidia pitia page yetu kwa chini uweze kujionea

Location:
Mwanza Buhongwa opposite na geti ya Buhongwa secondary 0682034530
Arusha Kaloleni mnara wa mwenge 0766607688
Dar es salaam Goba njia nne, 0673402024

MAFUTA YA SAMAKI ( OMEGA - 3).Mafuta ya samaki ni product nzuri sana inafaa kwa watoto watu wazima pamoja na wazeeMafuta...
15/01/2024

MAFUTA YA SAMAKI ( OMEGA - 3).
Mafuta ya samaki ni product nzuri sana inafaa kwa watoto watu wazima pamoja na wazee

Mafuta ya samaki yanasaidia vitu vifuatavyo kwenye mwili
✨Husaidia kuondoa pressure ya kupanda na kushuka
✨Huondoa cholesterol kwenye mishipa ya damu
✨Husaidia kukukinga na magonjwa ya moyo
✨Husaidia kuongeza kinga ya mwili na kulisha cell kwa kiwango cha juu
✨Husaidia ukuaji wa ubongo na kutunza kumbukumbu
✨Kwa wamama wajawazito husaidia mtoto kuzaliwa akiwa na afya njema
✨Kuongeza uwezo wa kuona
✨Kupunguza kasi ya uzee
✨Huimarisha afya ya ngozi
✨Husaidia kuimarisha viungo yaan mifupa
✨Husaidia kuondoa allergy kwa watoto
✨Husaidia kuondoa constipation
✨Husaidia kurudisha ute ute kwenye maungio

Kopo moja lina supplement 100

Jinsi ya kutumia
✅Unatakiwa kutumia supplement mbili kwa siku moja asubuhi na nyingine jioni

Bei:35000

Location:
💚Dar es salaam Goba njia nne 0673402024
💚 Arusha Kaloleni mnara wa mwenge 0766607688
💚Mwanza Buhongwa opposite na geti ya Buhongwa secondary 0682034530

SLIM PLUS ORIGINALBALAA SANA KATIKA KUPUNGUZA UZITO: 🍓 INAPUNGUZA HAMU YA KULA 🍓INACHOMA MAFUTA.0673402024 MANENO MACHAC...
13/01/2024

SLIM PLUS ORIGINAL
BALAA SANA KATIKA KUPUNGUZA UZITO:
🍓 INAPUNGUZA HAMU YA KULA
🍓INACHOMA MAFUTA.
0673402024

MANENO MACHACHE, VITENDO ZAIDI.

DEMENTIA. Ni Hali inayotokana na magonjwa ya mishipa ya fahamu, ambayo ua na dalili zifuatazo:❇️Kupungua uwezo wa kukumb...
12/01/2024

DEMENTIA.
Ni Hali inayotokana na magonjwa ya mishipa ya fahamu, ambayo ua na dalili zifuatazo:
❇️Kupungua uwezo wa kukumbuka matukio au kukumbuka vitu hasa kwa matukio yaliyo tokea hivi karibuni.
❇️Kupungua uwezo wa kufikiri au mtu anachukua muda mrefu kufikiri na kutoa maamuzi kwa mambo ambayo ni madogo madogo na ya msingi kwa maisha ya Kila siku.

❇️Hali ya kuchanganyikiwa na kuchanganya mambo.
❇️Kubadilika kwa tabia na mtu anaacha kufanya Kazi zake za Kila siku alizo zoeleka kufanya.

Dementia mara nyingi uwapata wazee.

Baadhi ya dawa na Virutubisho vitumika kwa miaka Mingi kutibu na Kurekebisha matatizo ya ubongo na mishipa ya fahamu hasa Dementia.

Baadhi ya dawa ni GINKGO BILOBA, SPIRULINA na OMEGA3.

Hizi zinamchango mkubwa katika Afya ya Ubongo.

ARMSLIM PATCHES Ni maalum kwa ajili ya kupunguza mikono.Ina patches 12.📌 Zinapatikana kwa elfu 25 .💥Mwanza Buhongwa oppo...
11/01/2024

ARMSLIM PATCHES
Ni maalum kwa ajili ya kupunguza mikono.
Ina patches 12.

📌 Zinapatikana kwa elfu 25 .

💥Mwanza Buhongwa opposite na geti ya Buhongwa secondary 0682034530
💥Arusha kaloleni mnara wa mwenge 0766607688.
💥Dar es salaam Goba njia nne, 0673402024

MAGNETIC BRACELETSIna health elements 4✒️Magnet✒️Far infrared✒️Germanium ✒️ Negative ionsAmbazo Zina saidia mambo mengi ...
11/01/2024

MAGNETIC BRACELETS
Ina health elements 4
✒️Magnet
✒️Far infrared
✒️Germanium
✒️ Negative ions

Ambazo Zina saidia mambo mengi k**a:
📌Kuondoa mivimbe
📌Kuboresha mzunguko wa damu
📌Kupunguza sumu na acid mwili Kwa ku neutralize positive ions.
📌Kuponesha majeraha Kwa haraka.

UKIACHANA NA FAIDA HIZO PIA NI UREMBO AU UTANASHANI.
0673402024

ZIPO ZA RANGI MBALIMBALI
💥GOLD ELFU 50
💥SILVER ELFU 50
💥COPPER ELFU 60
💥BLACK ELFU 60

Wasiliana nasi kwa 0673402024

09/01/2024

Herbal Gray Hair.

Ni spray kwa ajili ya nywele,
yenye uwezo wa:

💚Kukuza nywele Zinazo katika,

💚Ina anti aging effect, kwa ajili ya kuzuia mvi.

💚Ina imarisha Afya ya nywele.

Ina mchanganyiko wa mimea
ya:.
📌Ganodema,
📌Ginseng,
📌Tangawizi na
📌polygonum mul tiflorum.

❤️ Inapatikana kwa elfu ishirini na Tano.
Wasiliana nasi kwa ajili ya delivery.

0673402024

ADVANCED SCAR GELHii ni maalumu kwa ajili ya kutoa makovu ya aina zote K**a:-💥Makovu ya moto💥Makovu ya baada ya operatio...
08/01/2024

ADVANCED SCAR GEL

Hii ni maalumu kwa ajili ya kutoa makovu ya aina zote K**a:-

💥Makovu ya moto
💥Makovu ya baada ya operation.
💥Makovu ya majeraha
💥Makovu ya vidonda
💥Keratoid
💥Makovu ya chunusi
Etc.
Bei: 🎯Elfu 25 tuu.

Inapatikana:
Dar es salaam Goba njia nne 0688820050 na 0673402024
Arusha, Kaloleni Mnara wa mwenge 0766607688

SLIMMING CAPSULESNi daraja katika kupunguza uzito, mwili na tumbo🔰K**a umefanya Diet mara kwà mara bila mafanio, au ulip...
06/01/2024

SLIMMING CAPSULES
Ni daraja katika kupunguza uzito, mwili na tumbo
🔰K**a umefanya Diet mara kwà mara bila mafanio, au ulipungua sasa umefikia kilele ila wataka kupungua zaidi.
🔰Huwezi fanya mazoezi kulingana na changamoto za kiafya.

Waweza punguza uzito kwà kutumia SLIMMING CAPSULES ambazo zina saidia:
🧃Kupunguza sana hamu ya kula
🧃 Kuyeyusha mafuta hasa mafuta ya tumboni.
🧃kuongeza visafirishi vya mafuta, fat carrier co enzymes.
🧃Kuchoma mafuta

Inapatikana kwà elfu 65,
🧺Dar es salaam Goba njia nne ,
🧺Arusha kaloleni mnara wa mwenge 0766607688, mikoani tunatuma.

Wasiliana nasi kwà namba 0688820050

Soy IsoflavonesHivi ni virutubisho maalum Kwa wanawake 💚Kushika mimba Kwa haraka💚Ute wa uzazi na k**a una tatizo la ukav...
06/01/2024

Soy Isoflavones
Hivi ni virutubisho maalum Kwa wanawake
💚Kushika mimba Kwa haraka
💚Ute wa uzazi na k**a una tatizo la ukavu.
💚Kubalance hormones
💚Kuongeza hamu na hisia ya tendo.

Inapatikana Kwa elfu 35 tuu

WEIGHT GAIN GUMMIESHivi ni virutubisho vilivyo Kwa mfumo wa p**i/ Jojo.Kwa ajili ya:🧩Kuongeza mwili 🧩Kuongeza uzito 🧩Kuo...
05/01/2024

WEIGHT GAIN GUMMIES
Hivi ni virutubisho vilivyo Kwa mfumo wa p**i/ Jojo.
Kwa ajili ya:
🧩Kuongeza mwili
🧩Kuongeza uzito
🧩Kuongeza misuli hasa Kwa body builders
🧩kukupa nguvu.
🧩Kuongeza hamu ya kula 🟥
60 gummies zinapatikana Kwa elfu 50.
Wasiliana nasi Kwa 0673402024

MWANZA TUPO BUHONGWA OPPOSITE NA GETI LA SHULE YA SEKONDARI BUHONGWA.MIDA YA KAZI: JTATU HADI IJUMAA, SAA 2 ASUBUHI HADI...
04/01/2024

MWANZA
TUPO
BUHONGWA OPPOSITE NA GETI LA SHULE YA SEKONDARI BUHONGWA.

MIDA YA KAZI: JTATU HADI IJUMAA, SAA 2 ASUBUHI HADI SAA 11 JIONI.
MAWASILINO: 0750676353

Address

GOBA NJIA NNE
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Biolife posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Biolife:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram