Biolife

Biolife Dealing with HERBS and NUTRITIONAL SUPPLEMENTS

LIVER DETOXDawa ya mitishamba maalum kwa ajili ya kutoa sumu kwenye Ini na mwilini.Ini ndio kiungo kikubwa mwilini na ch...
18/02/2024

LIVER DETOX

Dawa ya mitishamba maalum kwa ajili ya kutoa sumu kwenye Ini na mwilini.

Ini ndio kiungo kikubwa mwilini na chenye kazi zaidi ya mia Moja mwilini.
Ila kazi kubwa ya Ini ni kuchuja na kupunguza sumu mwilini kabla hata ya kuenea sehemu zingine k**a kwenye Figo.

๐ŸŒžLiver detox pia Inatibu magonjwa ya Ini k**a homa za Ini ( hepatitis).

๐ŸŒžIna rekebisha utendaji kazi wa nyongo na kutoa mawe ( gall stones).

๐ŸŒžIna rekebisha seli za kongosho na kurekebisha kiwango Cha sukari.

๐ŸŒžIna tibu malaria sugu.

Viungo vya mimea vilivyomo: Milk thistle, Dandelion root extract.

Wasiliana nasi kwa namba
๐Ÿ’šDar es salaam Goba njia nne 0673402024 na 0688820050
๐Ÿ’šArusha Kaloleni mnara wa mwenge, 0766607688
๐Ÿ’šMwanza Buhongwa opposite na geti ya Buhongwa secondary 0682034530

๐ˆ๐๐…๐„๐‚๐“๐ˆ๐Ž๐๐’ ๐’๐‡๐ˆ๐„๐‹๐ƒ(๐Ÿค— ๐˜ฟ๐™–๐™ฌ๐™– ๐™ฎ๐™– ๐™ข๐™ž๐™ฉ๐™ž๐™จ๐™๐™–๐™ข๐™—๐™– ๐™ ๐™ฌ๐™– ๐™–๐™Ÿ๐™ž๐™ก๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™ข๐™–๐™–๐™ข๐™—๐™ช๐™ ๐™ž๐™ฏ๐™ž ๐™ข๐™—๐™–๐™ก๐™ž๐™ข๐™—๐™–๐™ก๐™ž๐Ÿ’).โ„๐•š๐•š ๐•Ÿ๐••๐•š๐•  ๐•œ๐•š๐•“๐• ๐•œ๐•  ๐•ช๐•’ :๐ŸŒฑ๐Ÿชต  sugu๐ŸŒฑ๐Ÿชต  safisha kiza...
14/02/2024

๐ˆ๐๐…๐„๐‚๐“๐ˆ๐Ž๐๐’ ๐’๐‡๐ˆ๐„๐‹๐ƒ
(๐Ÿค— ๐˜ฟ๐™–๐™ฌ๐™– ๐™ฎ๐™– ๐™ข๐™ž๐™ฉ๐™ž๐™จ๐™๐™–๐™ข๐™—๐™– ๐™ ๐™ฌ๐™– ๐™–๐™Ÿ๐™ž๐™ก๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™ข๐™–๐™–๐™ข๐™—๐™ช๐™ ๐™ž๐™ฏ๐™ž ๐™ข๐™—๐™–๐™ก๐™ž๐™ข๐™—๐™–๐™ก๐™ž๐Ÿ’).

โ„๐•š๐•š ๐•Ÿ๐••๐•š๐•  ๐•œ๐•š๐•“๐• ๐•œ๐•  ๐•ช๐•’ :
๐ŸŒฑ๐Ÿชต sugu
๐ŸŒฑ๐Ÿชต safisha kizazi pamoja na mirija
๐ŸŒฑ๐Ÿชต ( uvimbe)
๐ŸŒฑ๐Ÿชต Cysts ( Uvimbe kwenye mayai).
๐ŸŒฑ๐Ÿชต sugu
๐ŸŒฑ๐Ÿชต sugu
๐ŸŒฑ๐Ÿชต zingine

Bei TZS 30,000/=

Matumizi: Kijiko kimoja kidogo cha chai kwenye maji ujazo wa kikombe au glass mara Moja tuu kwร  siku jioni.

Tupo:
Arusha Kaloleni mnara wa mwenge 0766607688
Dar es salaam Goba njia nne 0673402024
Mwanza Buhongwa opposite na geti ya Buhongwa secondary 0682034530.

Slim plus. Ni maalum kwa ajili ya kupunguza mwili kwa ujumla.๐Ÿ’šInachoma mafuta.๐Ÿ’šInapunguza sana hamu ya kula.๐Ÿ’šIna boost m...
02/02/2024

Slim plus.
Ni maalum kwa ajili ya kupunguza mwili kwa ujumla.
๐Ÿ’šInachoma mafuta.
๐Ÿ’šInapunguza sana hamu ya kula.
๐Ÿ’šIna boost metabolism

Ingredients:
Garcinia
White kidney extract.
l- carnitine
Green tea
Raspberry ketone
Capsimax pepper
Lotus leaf
Cassia seed
Winter melon

Zinapatikana:
Arusha Kaloleni mnara wa mwenge 0766607688
Dar Goba njia nne 0673402024
Mwanza Buhongwa 0682034540

-

GINKGO  BILOBA ni mimea iliyo tumika miaka Mingi kwa ajili  ya Afya ya macho.๐Ÿ’šInasaidia kuimarisha mzunguko au mtiririko...
26/01/2024

GINKGO BILOBA ni mimea iliyo tumika miaka Mingi kwa ajili ya Afya ya macho.
๐Ÿ’šInasaidia kuimarisha mzunguko au mtiririko wa damu kwenye mishipa ya macho.
๐Ÿ’šHii inasaidia macho kupata Virutubisho mbalimbali k**a vitamins na madini kutoka kwenye vyakula.
๐Ÿ’™Pia Ina tibu pressure ya macho glaucoma.
๐Ÿ’“Ina tibu mtoto wa jicho cataract.
๐ŸŽ„Na rejesha Hali ya uono bila kutumia miwani.
Dar es salaam Goba njia nne 0673402024
Mwanza Buhongwa 0682034530
Arusha Kaloleni 0766607688

24/01/2024

Ubuyu ni unga wa rangi nyeupe au maziwa utokana na matunda ya mbuyu ukiwa na mbegu zake au bila mbegu.
Rangi nyeupe ndio rangi ya asili ya ubuyu, hizi rangi nyingine unazo ziona si rangi asili za ubuyu, ni rangi za viwandani, rangi za vyakula ( food additive).
Ubuyu husio ongezwa rangi Wala Sukari ni mzuri zaidi.

Ubuyu utokana na mti wa mbuyu, ambao ni mti wa asili ya kiafrika, lakini pia ni mti unaoaminika kuishi miaka Mingi zaidi, miaka zaidi ya elfu Moja.
Pia mbuyu ndio mti unao aminika kuwa mkubwa zaidi katika Afrika, ukitusaidia kuishi katika kujipatia chakula, makazi kwa baadhi ya wanyama k**a nyani, pia utunza maji kwa ajili ya matumizi ya wanyama pori pamoja na binadamu.

Watu wa jamii ya wa adzabe ukiachana na uwindaji utumia chakula chenye unga wa ubuyu na asali kwa miaka Mingi.

Faida za ubuyu.

Moja. Unga wa ubuyu una vitamini C.

Mbili. Ubuyu una kiwango kingi cha madini ya Kalshiamu (Calcium).

Tatu. Husaidia kujenga neva za fahamu mwilini.

Nne. Ina virutubisho vya kulinda mwili.

Tano. Ubuyu una vitamini B3 na vitamini B2 ambayo ni mhimu katika kuondoa sumu mwilini na umengโ€™enyaji wa madini ya chuma,

Sita. Unaongeza kinga ya mwili sababu ya kuwa na kiasi kingi cha vitamini C.

Saba. Huongeza nuru ya macho.

Nane. Husaidia kuzuia kuharisha na kutapika.

Tisa. Ina magnesiam ambayo husaidia kujenga mifupa na meno.

Kumi. Husaidia wenye presha ya kushuka na wenye matatizo ya figo.

Faida za Nyongeza:
Moja: Ina probiotics na prebiotics ambao ni bacteria rafiki kwa ajili ya kulinda mwili hususani tumbo.

Mbili: Asilimia hamisini ya ubuyu Huwa ni nyuzi nyuzi ( water soluble fibres) ambazo usaidia sana KATIKA mmeng'enyo wa chakula..

Yoni pearls ni dawa iliyotengenezwa kutibu matatizo mbalimbali katika mfumo wa uzazi wa mwanamke Inasaidia kutibu๐Ÿ‘‰Uvimbe...
15/01/2024

Yoni pearls ni dawa iliyotengenezwa kutibu matatizo mbalimbali katika mfumo wa uzazi wa mwanamke

Inasaidia kutibu
๐Ÿ‘‰Uvimbe fabroid/ovarian cyst chini ya cm 5
๐Ÿ‘‰Pid sugu
๐Ÿ‘‰Fangasi
๐Ÿ‘‰Bacteria vaginosis
๐Ÿ‘‰Kuzibua mirija
๐Ÿ‘‰Kuondoa ukavu ukeni
๐Ÿ‘‰Kukupa hamu ya tendo
๐Ÿ‘‰Ku balance hormone
๐Ÿ‘‰Kusaidia ku conceive
๐Ÿ‘‰Kuondoa harufu mbaya ukeni
๐Ÿ‘‰Ku balance ph ya uke

Unatakiwa kutumia dose kulingana na tatizo lako

Tumepost feedback nyingi sana za watu waliotumia yoni pearls na zikawasaidia pitia page yetu kwa chini uweze kujionea

Location:
Mwanza Buhongwa opposite na geti ya Buhongwa secondary 0682034530
Arusha Kaloleni mnara wa mwenge 0766607688
Dar es salaam Goba njia nne, 0673402024

MAFUTA YA SAMAKI ( OMEGA - 3).Mafuta ya samaki ni product nzuri sana inafaa kwa watoto watu wazima pamoja na wazeeMafuta...
15/01/2024

MAFUTA YA SAMAKI ( OMEGA - 3).
Mafuta ya samaki ni product nzuri sana inafaa kwa watoto watu wazima pamoja na wazee

Mafuta ya samaki yanasaidia vitu vifuatavyo kwenye mwili
โœจHusaidia kuondoa pressure ya kupanda na kushuka
โœจHuondoa cholesterol kwenye mishipa ya damu
โœจHusaidia kukukinga na magonjwa ya moyo
โœจHusaidia kuongeza kinga ya mwili na kulisha cell kwa kiwango cha juu
โœจHusaidia ukuaji wa ubongo na kutunza kumbukumbu
โœจKwa wamama wajawazito husaidia mtoto kuzaliwa akiwa na afya njema
โœจKuongeza uwezo wa kuona
โœจKupunguza kasi ya uzee
โœจHuimarisha afya ya ngozi
โœจHusaidia kuimarisha viungo yaan mifupa
โœจHusaidia kuondoa allergy kwa watoto
โœจHusaidia kuondoa constipation
โœจHusaidia kurudisha ute ute kwenye maungio

Kopo moja lina supplement 100

Jinsi ya kutumia
โœ…Unatakiwa kutumia supplement mbili kwa siku moja asubuhi na nyingine jioni

Bei:35000

Location:
๐Ÿ’šDar es salaam Goba njia nne 0673402024
๐Ÿ’š Arusha Kaloleni mnara wa mwenge 0766607688
๐Ÿ’šMwanza Buhongwa opposite na geti ya Buhongwa secondary 0682034530

SLIM PLUS ORIGINALBALAA SANA KATIKA KUPUNGUZA UZITO: ๐Ÿ“ INAPUNGUZA HAMU YA KULA ๐Ÿ“INACHOMA MAFUTA.0673402024 MANENO MACHAC...
13/01/2024

SLIM PLUS ORIGINAL
BALAA SANA KATIKA KUPUNGUZA UZITO:
๐Ÿ“ INAPUNGUZA HAMU YA KULA
๐Ÿ“INACHOMA MAFUTA.
0673402024

MANENO MACHACHE, VITENDO ZAIDI.

DEMENTIA. Ni Hali inayotokana na magonjwa ya mishipa ya fahamu, ambayo ua na dalili zifuatazo:โ‡๏ธKupungua uwezo wa kukumb...
12/01/2024

DEMENTIA.
Ni Hali inayotokana na magonjwa ya mishipa ya fahamu, ambayo ua na dalili zifuatazo:
โ‡๏ธKupungua uwezo wa kukumbuka matukio au kukumbuka vitu hasa kwa matukio yaliyo tokea hivi karibuni.
โ‡๏ธKupungua uwezo wa kufikiri au mtu anachukua muda mrefu kufikiri na kutoa maamuzi kwa mambo ambayo ni madogo madogo na ya msingi kwa maisha ya Kila siku.

โ‡๏ธHali ya kuchanganyikiwa na kuchanganya mambo.
โ‡๏ธKubadilika kwa tabia na mtu anaacha kufanya Kazi zake za Kila siku alizo zoeleka kufanya.

Dementia mara nyingi uwapata wazee.

Baadhi ya dawa na Virutubisho vitumika kwa miaka Mingi kutibu na Kurekebisha matatizo ya ubongo na mishipa ya fahamu hasa Dementia.

Baadhi ya dawa ni GINKGO BILOBA, SPIRULINA na OMEGA3.

Hizi zinamchango mkubwa katika Afya ya Ubongo.

ARMSLIM PATCHES Ni maalum kwa ajili ya kupunguza mikono.Ina patches 12.๐Ÿ“Œ Zinapatikana kwa elfu 25 .๐Ÿ’ฅMwanza Buhongwa oppo...
11/01/2024

ARMSLIM PATCHES
Ni maalum kwa ajili ya kupunguza mikono.
Ina patches 12.

๐Ÿ“Œ Zinapatikana kwa elfu 25 .

๐Ÿ’ฅMwanza Buhongwa opposite na geti ya Buhongwa secondary 0682034530
๐Ÿ’ฅArusha kaloleni mnara wa mwenge 0766607688.
๐Ÿ’ฅDar es salaam Goba njia nne, 0673402024

MAGNETIC BRACELETSIna health elements 4โœ’๏ธMagnetโœ’๏ธFar infraredโœ’๏ธGermanium โœ’๏ธ Negative ionsAmbazo Zina saidia mambo mengi ...
11/01/2024

MAGNETIC BRACELETS
Ina health elements 4
โœ’๏ธMagnet
โœ’๏ธFar infrared
โœ’๏ธGermanium
โœ’๏ธ Negative ions

Ambazo Zina saidia mambo mengi k**a:
๐Ÿ“ŒKuondoa mivimbe
๐Ÿ“ŒKuboresha mzunguko wa damu
๐Ÿ“ŒKupunguza sumu na acid mwili Kwa ku neutralize positive ions.
๐Ÿ“ŒKuponesha majeraha Kwa haraka.

UKIACHANA NA FAIDA HIZO PIA NI UREMBO AU UTANASHANI.
0673402024

ZIPO ZA RANGI MBALIMBALI
๐Ÿ’ฅGOLD ELFU 50
๐Ÿ’ฅSILVER ELFU 50
๐Ÿ’ฅCOPPER ELFU 60
๐Ÿ’ฅBLACK ELFU 60

Wasiliana nasi kwa 0673402024

Address

GOBA NJIA NNE
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Biolife posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Biolife:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram