Mahaba

Mahaba Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mahaba, Kaliakoo, Dar es Salaam.

Karibu kwenye Ukurasa wetu Hakikisha una Follow, like, share.Tunatangaza Biashara kwa njia ya Mtandao Tunadizaini Posters Mabango,Vitambulisho na Kusajili kampuni majina ya Biashara, Vikundi Vyama na Mashirika kwa njia ya mtandao Karibu piga 0625850656

KESI YA MANGE KIMAMBI YAPAMBA MOTO KUCHOMOKA NGUMU
17/12/2025

KESI YA MANGE KIMAMBI YAPAMBA MOTO KUCHOMOKA NGUMU

17/12/2025

πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£

11/12/2025

SIRI YAFICHUKA MANGE KIMAMBI ALIVYO HUJUMU NCHI

 : EDEPHONS JOACHIM CANONI MBUNGE WA JIMBO LA KALAMBO ANAWATAKIA WANAKALAMBO NA WATANZANIA WOTE HERI YA MAADHIMISHO YA M...
09/12/2025

: EDEPHONS JOACHIM CANONI MBUNGE WA JIMBO LA KALAMBO ANAWATAKIA WANAKALAMBO NA WATANZANIA WOTE HERI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 64 YA UHURU.

  KIMAMBI AJUTIA KUTUMIA KUVURUGA AMANI YA TANZANIA
08/12/2025

KIMAMBI AJUTIA KUTUMIA KUVURUGA AMANI YA TANZANIA

07/12/2025

K**A UNATAKA AMANI SEMA AMANI

07/12/2025

K**A WEWE MZIMA KUMBUKA KUMWAMBIA MUNGU ASANTE

  🍯 NI TIBA YA MAGONJWA MENGI PATA ASALI MBICHI LEO.
07/12/2025

🍯 NI TIBA YA MAGONJWA MENGI PATA ASALI MBICHI LEO.

07/12/2025

NDIO DAWA YA WANAO INGILIA NDOA πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

06/12/2025

#πŸ˜‚VUNJA MBAVU YA WAHINDI NI HATARIπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

  LA USAFIRI KALAMBO,SUMBAWANGA,TUNDUMA NA MBEYA LAPATIKANA MKURUGENZI WA KAMPUNI YA MULELE WA MULELE EXPRESS ILIYOPO WI...
05/12/2025

LA USAFIRI KALAMBO,SUMBAWANGA,TUNDUMA NA MBEYA LAPATIKANA

MKURUGENZI WA KAMPUNI YA MULELE WA MULELE EXPRESS ILIYOPO WILAYA YA KALAMBO MKOANI RUKWA

ANAPENDA KUWATANGAZIA WAKAZI WA WILAYA YA KALAMBO KUWA KAMPUNI ITAANZA SHUGHULI ZA USAFIRISHAJI

KALAMBO KWENDA SUMBAWANGA, TUNDUMA NA MBEYA TAREHE 06 DESEMBA EMBA 2025 KESHO JUMAMOSI
KATA TIKETI MAPEMA OFISI IKO KATEKA NA STENDI YA WILAYA PIGA 0764890338/ 0769601546 NA 0766900035

  WA MWENYEKITI NA MAKAMU MWENYEKITI HALMASHAURI YA KALAMBO WAKAMILIKALeo tarehe 03 Novemba 2025  Mkutano wa kwanza wa B...
03/12/2025

WA MWENYEKITI NA MAKAMU MWENYEKITI HALMASHAURI YA KALAMBO WAKAMILIKA

Leo tarehe 03 Novemba 2025 Mkutano wa kwanza wa Baraza la Madiwani wilayani ya Kalambo umefanyika agenda zikiwa ni
1. Uapisho wa Waheshimiwa Madiwani
2. Uchaguzi wa Mwenyeki na Makamu Mwenyekiti wa Halmshauri
3. Kuunda kamati za kudumu za Halmshauri
4. Kupokea taarifa za utekelezaji wa shughuli za Halmshauri kwa kipindi cha kuanzia Julai hadi Novemba 2025
5. Kupitisha vikao vya Halmshauri.

Madiwani wote wameweza kuapishwa na ndipo Uchaguzi wa kumchagua Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmshauri ukafanyika

Ambapo Mh: Leopard John Mbita Diwani wa kata ya Kasanga maarufu kwa jina Kanyerere ameibuka mshindi kwenye nafasi ya Mwenyekiti Halmshauri kwa kura 32 sawa na 100% za madiwani wote.

Aidha Mh: Kassim Lupia Simchimba Diwani wa kata ya Mnamba Maarufu kwa jina la Diwani Mgeni ameibuka mshindi kwenye nafasi ya Makamu Mwenyekiti kwa kura 32 sawa 100% za madiwani wote.

Katika kushukuru Mh: Mbita amewashukuru Waheshimiwa Madiwani kwa kumwamini,kumchagua na kumtengenezea Historia kubwa katika ukoo wake ambayo haiya wahi kutokea

Ameahidi kufanya kazi kwa ushirikiano weledi na kujishusha akitambua kwamba yeye sio kiongozi ni mtumishi ameahidi kutumika kwa maslahi ya umma.

Mh: Kassim pia amewashukuru Waheshimiwa Madiwani kwa kumchagua yeye Diwani mgeni na kwamba yeye kwake ni muujiza nikama ndoto lakini anashangaa imekuwa kweli, ameahidi kushirikiana na Mwenyekiti, Mbunge,Madiwani, Mkurugenzi na wakuu wa Idara kupeleka mbele Kalambo.

Katika kutoa nasaa Mh: Edephons Joachim Canoni Mbunge wa jimbo la Kalambo amewakaka Madiwani kuondokana na makundi migogoro na chuki

Wadumishe mshikamano upendo kujaliana na kuthaminiana hayo yaki fanyika Maendeleo yata kuwepo lakini kukiwa na migogoro hakuwezi kuwepo maendeleo

Ameahidi kutoa ushirikiano kwa wote bila kubagua wala kutengeneza matabaka, watafanya kazi kwa kushirikiana na viongozi wote na wakuu wa idara

Ameomba kila mtu akafanye kazi na kutimiza ahadi alizo ahidi huku akitambua maboss wa kila Diwani na yeye Mbunge ni wananchi hivyo ofisi yake itakuwa wazi kwajili ya kusikia kero na changamoto na kuzitafutia ufumbuzi.

Mh: Lazaro Komba Mkuu wa Wilaya ya Kalambo amewaomba Waheshimiwa Madiwani viongozi wa dini, viongozi wa kimila na taasisi mbalimbali kuhamasisha amani

Kwani amani ikitoweka hakutakuwa na maendeleo hata shughuli za kila siku za wananchi zita simama

Pia amewahakikishia wananchi wa wilaya ya Kalambo kuwepo kwa amani na utulivu na kuahidi kuendelea kulinda amani na utulivu ili Kalambo iweze kuendelea kupata maendeleo.

Na Ndg: Shafi Mpenda Mkurugenzi Mtendaji Halimashauri ya Kalambo amewaasa Madiwani kufanya kazi kwa kushirikiana

Na kuweza kuwasilisha kero na changamoto za wananchi ili ziweze kutafutiwa ufumbuzi sio kubaki na kero mfukoni

Amewatalifu pia kuwa ameandaa ziara anasubiri kibali cha mkuu wa Mkoa katika ziara hiyo Waheshimiwa madiwani wata tembelea baadhi ya wilaya ili kujifunza

Jinsi wilaya nyingine wanavyo tafuta fedha wanavyo buni Miradi, kusimamia na kutatua kero na changamoto za wananchi, ili kuongeza msukumo kwa Madiwani utakao saidia wilaya ya Kalambo kusonga mbele.

By Musa Mzopola ✍️

Address

Kaliakoo
Dar Es Salaam
1000

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mahaba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mahaba:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram