Safari ya Leba

Safari ya Leba We provide online and offline consultation for health issues, including men and women with reproductive issues, menstrual problems.......

Je, Stretch Marks Zinaisha? Ukweli Huu Hauambiwi Wote…Stretch marks zinaonekana rahisi, lakini ukweli kuhusu k**a zinais...
22/11/2025

Je, Stretch Marks Zinaisha? Ukweli Huu Hauambiwi Wote…

Stretch marks zinaonekana rahisi, lakini ukweli kuhusu k**a zinaisha au la bado unachanganya watu wengi.
Kuna njia zinazosemwa “zinafanya kazi” na nyingine hazina ushahidi kabisa.

Lakini… ni ipi kweli?
Na mwili wako unaweza kubadilika kiasi gani?

👉 Pakua Mr. Afya App upate maelezo sahihi kutoka kwa wataalamu na ufahamu njia zinazofanya kazi kweli.

🍼 Mambo 5 ya Kuzingatia Kabla ya Kubeba UjauzitoKabla ya kuanza safari ya ujauzito, ni muhimu mama kujiandaa kiafya ili ...
21/09/2025

🍼 Mambo 5 ya Kuzingatia Kabla ya Kubeba Ujauzito

Kabla ya kuanza safari ya ujauzito, ni muhimu mama kujiandaa kiafya ili kuhakikisha mwili wake uko tayari na mtoto atakayebebwa anakuwa na afya njema. Haya ndiyo mambo makuu ya kuzingatia:

1️⃣ Tumia Folic Acid mapema
– Inashauriwa kuanza kabla ya ujauzito kwani huzuia matatizo ya mfumo wa fahamu wa mtoto.

2️⃣ Kula lishe bora
– Hakikisha unapata mboga za majani, matunda, samaki, nafaka zisizokobolewa na vyakula vyenye madini ya chuma ili kuimarisha afya ya damu na homoni.

3️⃣ Fanya uchunguzi wa afya
– Vipimo vya damu, shinikizo la damu na magonjwa ya zinaa husaidia kugundua changamoto mapema kabla hazijaathiri ujauzito.

4️⃣ Epuka vilevi na sigara
– Pombe, sigara na dawa za kulevya hupunguza uwezo wa kushika mimba na pia huathiri afya ya mtoto.

5️⃣ Dhibiti uzito na fanya mazoezi mepesi
– Uzito wa kupita kiasi au mdogo sana unaweza kuathiri uzazi; mazoezi husaidia mwili kujiandaa kubeba mimba salama.

✨ Kumbuka: Afya njema kabla ya ujauzito ni zawadi ya kwanza unayoweza kumpa mtoto wako.

📲 Pakua Mr. Afya App upate elimu zaidi na ushauri wa kitaalamu kwa safari yako ya uzazi.

🌸 Hata giza likiwa zito kiasi gani, mwanga wa tumaini hauzimiki...Muujiza wa kuitwa mama bado una nafasi. Usikate tamaa ...
11/07/2025

🌸 Hata giza likiwa zito kiasi gani, mwanga wa tumaini hauzimiki...
Muujiza wa kuitwa mama bado una nafasi. Usikate tamaa — safari yako haijaisha. 💫

Kwa wanawake wote wanaotafuta ujauzito au wanaopitia changamoto katika safari ya uzazi, Oviplus iko hapa kwa ajili yako:
🩸 Weka sawa hedhi yako
♦️ Balance hormone zako
🌹 Pevusha na kukomaza mayai
🤱 Beba ujauzito haraka bila changamoto
💃 Ongeza hamu ya tendo na ute wa uzazi

💚 Tembea na sisi kwenye safari ya leba.
👉 Like page hii kwa ushauri wa kila siku
👉 Pakua Mr. Afya App leo na uanze safari yako kwa matumaini mapya.
👉Piga 0744 714 710 kuongea na Daktari bure

📥 Pakua hapa: https://bit.ly/44G8vI6

Katika siku hii ya Sabasaba tunapoadhimisha maendeleo ya viwanda na biashara, tusisahau msingi muhimu wa taifa letu – ma...
07/07/2025

Katika siku hii ya Sabasaba tunapoadhimisha maendeleo ya viwanda na biashara, tusisahau msingi muhimu wa taifa letu – mama mjamzito mwenye afya bora.

🤰🏽 Kwa mama mjamzito:

Wewe ni kiwanda cha uzima.

Unabeba maisha, mustakabali wa taifa letu.

Tunakukumbusha:
✅ Hudhuria kliniki mara kwa mara
✅ Kula lishe bora yenye matunda, mboga na protini
✅ Pumzika vya kutosha
✅ Epuka kazi nzito na msongo wa mawazo
✅ Fuatilia maendeleo ya mimba yako kwa karibu

💚Safari ya leba inakutakia heri ya Sabasaba na ujauzito wenye afya njema hadi siku ya kujifungua.

📲 Pakua Mr. Afya App kwa ushauri wa kitaalamu kuhusu ujauzito na afya ya mama na mtoto:
👉 https://bit.ly/44G8vI6

🔍 Umekuwa ukiamini kila unachosikia kuhusu hedhi?🛑 Baadhi ni uongo unaoweza kukupotosha na kuhatarisha afya yako!📘 Mr. A...
02/07/2025

🔍 Umekuwa ukiamini kila unachosikia kuhusu hedhi?
🛑 Baadhi ni uongo unaoweza kukupotosha na kuhatarisha afya yako!

📘 Mr. Afya App inakufundisha:
✅ Nini ni kweli kuhusu hedhi
✅ Uongo maarufu unaosambaa
✅ Na jinsi ya kujitunza kiafya

🎯 Elimu sahihi ipo Mr Afya app.
Pakua Mr. Afya App sasa
Bonyeza hapa 👉 https://bit.ly/44G8vI6

Faida za kuwahi hospitali kujifungua:1. Usalama wa mama na mtoto – Mama anapofika mapema hospitali, hupimwa hali yake na...
23/06/2025

Faida za kuwahi hospitali kujifungua:

1. Usalama wa mama na mtoto – Mama anapofika mapema hospitali, hupimwa hali yake na mtoto, hivyo kusaidia kugundua changamoto mapema na kuchukua hatua.

2. Kuzuia matatizo wakati wa kujifungua – Wataalamu huweza kudhibiti hali k**a kutokwa na damu nyingi, shinikizo la juu, au mtoto kukwama.

3. Huduma ya dharura kwa haraka – Ikiwa kuna hali ya hatari k**a mtoto kupoteza mapigo ya moyo, upasuaji unaweza kufanyika kwa haraka.

4. Kupunguza uwezekano wa kujifungua njiani – Kuwahi hospitali hupunguza hatari ya kujifungua bila msaada wa kitaalamu.

5. Uangalizi wa karibu – Mama hupatiwa uangalizi wa karibu kwa vipimo, maelekezo, na msaada wa kiakili wakati wa uchungu.

6. Kupewa ushauri sahihi – Mama hupewa ushauri kuhusu namna ya kupumua, kujisukuma, na kujitunza baada ya kujifungua.

7. Huduma bora kwa mtoto baada ya kuzaliwa – Mtoto huchunguzwa haraka, hupimwa afya yake na kupewa chanjo au huduma zingine muhimu.

Hitimisho: Kuwahi hospitali kabla ya kujifungua huongeza usalama na hupunguza hatari kwa mama na mtoto.

Pakua Mr Afya App ujifunze mengi zaidi kuhusu Afya, Mahusiano na Maisha.

Faida za Kujua Mzunguko wa Hedhi1. Kusaidia kupanga au kuepuka mimba: Kujua siku za hatari husaidia kuamua lini kupata a...
07/06/2025

Faida za Kujua Mzunguko wa Hedhi

1. Kusaidia kupanga au kuepuka mimba:
Kujua siku za hatari husaidia kuamua lini kupata au kuepuka ujauzito.

2. Kugundua matatizo ya kiafya mapema:
Mabadiliko yasiyo ya kawaida kwenye mzunguko yanaweza kuashiria matatizo k**a PCOS, uvimbe au matatizo ya homoni.

3. Kuelewa mabadiliko ya mwili na hisia:
Mzunguko huathiri hisia, nguvu, na hamu ya kula; kujua hatua zako husaidia kujielewa zaidi.

4. Kurahisisha upangaji wa shughuli:
Mwanamke anaweza kupanga safari, mazoezi au shughuli muhimu kulingana na hali ya mwili wake.

5. Kusaidia madaktari kutoa tiba sahihi:
Rekodi ya mzunguko hutoa taarifa muhimu kwa uchunguzi wa kiafya na matatizo ya uzazi.

💃Kujua mzunguko wa hedhi ni msingi wa afya ya mwanamke. Ni njia rahisi ya kujitunza, kupanga maisha, na kuongeza nafasi ya kupata ujauzito au kuepuka mimba isiyotarajiwa.

Download Mr Afya App .👇

https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mrafya.app

🌹Dalili 10 za Mimba ChangaWiki za mwanzo za Mimba changa huanza kuonyesha dalili kadhaa k**a:-1. Kukosa Hedhi 🍒Dalili ma...
01/06/2025

🌹Dalili 10 za Mimba Changa

Wiki za mwanzo za Mimba changa huanza kuonyesha dalili kadhaa k**a:-

1. Kukosa Hedhi
🍒Dalili maarufu zaidi kwa wanawake wengi.

2. Kuchoka Haraka (Uchovu)
🍒Kutopata nguvu na kulala mara kwa mara.

3. Kichefuchefu na Kutapika
🍒Mara nyingi asubuhi (morning sickness).

4. Haja Ndogo Mara kwa Mara

5. Maumivu au Kuvimba kwa Matiti
🍒Matiti kuwa na Msisimko zaidi au kujaa.

6. Mabadiliko ya Ladha na Harufu
🍒Kutopenda baadhi ya vyakula au harufu.

7. Maumivu Madogo Kwenye Tumbo
🍒Kama yale ya hedhi (implantation cramps).

8. Mabadiliko ya Hisia
🍒Kubadilika ghafla kwa hisia (mood swings) Kuwa na hasira sana au kuwa na furaha zaidi.

9. Kutokwa na Damu Kidogo
🍒Mara chache, rangi ya pinki au brown.

10. Kuongezeka kwa Mate
🍒 Mate mengi zaidi kuliko kawaida.

Dalili hizi hutofautiana kati ya wanawake pia huwapata wenye shida za hormone imbalance.

✅Kwa uhakika zaidi fanya kipimo cha mimba.

Pakua Mr Afya App kwa dodoo mbalimbali za Afya, Mahusiano, Mapenzi na kuongea na Madaktari bingwa wa vitengo mbalimbali nchini.🙏

SHUHUDA 💃💃💃
31/05/2025

SHUHUDA 💃💃💃

"Umejaribu kila kitu lakini ujauzito hauji?" Pole sana…Lakini si mwisho wa safari!Oviplus imesaidia wanawake wengi k**a ...
10/05/2025

"Umejaribu kila kitu lakini ujauzito hauji?"
Pole sana…

Lakini si mwisho wa safari!
Oviplus imesaidia wanawake wengi k**a wewe💃

Inaweka sawa homoni, inakomaza mayai, na inachochea kunasa mimba haraka.

Usikate tamaa, jaribu Oviplus leo kutimiza ndoto yako!💚

Inapatikana katika clinic zote za Ndano Green Nutrition nchini

Piga 0744 714 710 kuweka order yako.

Au download Mr Afya App kuipata kwa Offer.

Ndano Green Nutrition Co Ltd inawatakia heri ya Siku ya Wafanyakazi Duniani! Tunathamini mchango wenu katika kujenga afy...
01/05/2025

Ndano Green Nutrition Co Ltd inawatakia heri ya Siku ya Wafanyakazi Duniani! Tunathamini mchango wenu katika kujenga afya na maendeleo ya jamii.

💚Pakua Mr Afya App...

Address

Tabata Aroma
Dar Es Salaam
12103

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Safari ya Leba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Safari ya Leba:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram