Safari ya Leba

Safari ya Leba We provide online and offline consultation for health issues, including men and women with reproductive issues, menstrual problems.......

🔥 Unahitaji Ujauzito Haraka?Usiendelee kusubiri bila majibu!Pata ushauri wa kitaalamu wa uzazi moja kwa moja kupitia Mr ...
24/03/2026

🔥 Unahitaji Ujauzito Haraka?
Usiendelee kusubiri bila majibu!

Pata ushauri wa kitaalamu wa uzazi moja kwa moja kupitia Mr Afya App — bila usumbufu, bila aibu.

💚 Tunakusaidia:
✔️ Kuelewa chanzo cha tatizo
✔️ Kupata mwongozo sahihi wa tiba
✔️ Kuongeza nafasi ya kushika mimba

📲 Download Mr Afya App sasa
au
📞 Piga simu bure: 0678 95 94 90

👉 Anza safari yako ya kuwa mzazi leo!

Eid Mubarak
21/03/2026

Eid Mubarak

15/03/2026

Neema juu ya Neema

13/03/2026

Ndano Green Nutrition 1️⃣ Hedhi zako zinakuja vizuri kila mwezi?

2️⃣ Unajua k**a mayai yako yanakomaa na kutoka kila mwezi?

3️⃣ Inawezekana mirija ya uzazi ipo sawa haijaziba?

4️⃣ Je, kuna maambukizi kwenye kizazi yanayoweza kuzuia ujauzito?

5️⃣ Umehakikisha afya ya mbegu za mwenzi wako ziko sawa?

📱 Usibaki na maswali bila majibu.

Pakua Mr Afya App upate elimu sahihi ya afya ya uzazi na ushauri wa wataalamu moja kwa moja kupitia simu yako.

28/02/2026

Unatamani kupata mtoto? Usikate tamaa....... Tumaini bado lipo. Oviplus ni msaidizi wa afya ya uzazi kwa wanawake wanaot...
05/02/2026

Unatamani kupata mtoto?
Usikate tamaa....... Tumaini bado lipo.

Oviplus ni msaidizi wa afya ya uzazi kwa wanawake wanaotafuta ujauzito.

👩‍🍼Wanawake wengi tayari wanepokea baraka za sasa wanalea.

Kwa sasa inapatikana kwa Tzs 25,000/= tu

Wasiliana nasi 0678959490.

“Mwaka Mpya Mwema! 🎉Asante kwa kuwa familia ya Safari ya Leba . Tunawatakia mwaka wenye afya njema, mafanikio na fursa m...
01/01/2026

“Mwaka Mpya Mwema! 🎉
Asante kwa kuwa familia ya Safari ya Leba . Tunawatakia mwaka wenye afya njema, mafanikio na fursa mpya. Tupo pamoja kuijenga jamii yenye afya bora.”

Je, Stretch Marks Zinaisha? Ukweli Huu Hauambiwi Wote…Stretch marks zinaonekana rahisi, lakini ukweli kuhusu k**a zinais...
22/11/2025

Je, Stretch Marks Zinaisha? Ukweli Huu Hauambiwi Wote…

Stretch marks zinaonekana rahisi, lakini ukweli kuhusu k**a zinaisha au la bado unachanganya watu wengi.
Kuna njia zinazosemwa “zinafanya kazi” na nyingine hazina ushahidi kabisa.

Lakini… ni ipi kweli?
Na mwili wako unaweza kubadilika kiasi gani?

👉 Pakua Mr. Afya App upate maelezo sahihi kutoka kwa wataalamu na ufahamu njia zinazofanya kazi kweli.

🍼 Mambo 5 ya Kuzingatia Kabla ya Kubeba UjauzitoKabla ya kuanza safari ya ujauzito, ni muhimu mama kujiandaa kiafya ili ...
21/09/2025

🍼 Mambo 5 ya Kuzingatia Kabla ya Kubeba Ujauzito

Kabla ya kuanza safari ya ujauzito, ni muhimu mama kujiandaa kiafya ili kuhakikisha mwili wake uko tayari na mtoto atakayebebwa anakuwa na afya njema. Haya ndiyo mambo makuu ya kuzingatia:

1️⃣ Tumia Folic Acid mapema
– Inashauriwa kuanza kabla ya ujauzito kwani huzuia matatizo ya mfumo wa fahamu wa mtoto.

2️⃣ Kula lishe bora
– Hakikisha unapata mboga za majani, matunda, samaki, nafaka zisizokobolewa na vyakula vyenye madini ya chuma ili kuimarisha afya ya damu na homoni.

3️⃣ Fanya uchunguzi wa afya
– Vipimo vya damu, shinikizo la damu na magonjwa ya zinaa husaidia kugundua changamoto mapema kabla hazijaathiri ujauzito.

4️⃣ Epuka vilevi na sigara
– Pombe, sigara na dawa za kulevya hupunguza uwezo wa kushika mimba na pia huathiri afya ya mtoto.

5️⃣ Dhibiti uzito na fanya mazoezi mepesi
– Uzito wa kupita kiasi au mdogo sana unaweza kuathiri uzazi; mazoezi husaidia mwili kujiandaa kubeba mimba salama.

✨ Kumbuka: Afya njema kabla ya ujauzito ni zawadi ya kwanza unayoweza kumpa mtoto wako.

📲 Pakua Mr. Afya App upate elimu zaidi na ushauri wa kitaalamu kwa safari yako ya uzazi.

🌸 Hata giza likiwa zito kiasi gani, mwanga wa tumaini hauzimiki...Muujiza wa kuitwa mama bado una nafasi. Usikate tamaa ...
11/07/2025

🌸 Hata giza likiwa zito kiasi gani, mwanga wa tumaini hauzimiki...
Muujiza wa kuitwa mama bado una nafasi. Usikate tamaa — safari yako haijaisha. 💫

Kwa wanawake wote wanaotafuta ujauzito au wanaopitia changamoto katika safari ya uzazi, Oviplus iko hapa kwa ajili yako:
🩸 Weka sawa hedhi yako
♦️ Balance hormone zako
🌹 Pevusha na kukomaza mayai
🤱 Beba ujauzito haraka bila changamoto
💃 Ongeza hamu ya tendo na ute wa uzazi

💚 Tembea na sisi kwenye safari ya leba.
👉 Like page hii kwa ushauri wa kila siku
👉 Pakua Mr. Afya App leo na uanze safari yako kwa matumaini mapya.
👉Piga 0744 714 710 kuongea na Daktari bure

📥 Pakua hapa: https://bit.ly/44G8vI6

Katika siku hii ya Sabasaba tunapoadhimisha maendeleo ya viwanda na biashara, tusisahau msingi muhimu wa taifa letu – ma...
07/07/2025

Katika siku hii ya Sabasaba tunapoadhimisha maendeleo ya viwanda na biashara, tusisahau msingi muhimu wa taifa letu – mama mjamzito mwenye afya bora.

🤰🏽 Kwa mama mjamzito:

Wewe ni kiwanda cha uzima.

Unabeba maisha, mustakabali wa taifa letu.

Tunakukumbusha:
✅ Hudhuria kliniki mara kwa mara
✅ Kula lishe bora yenye matunda, mboga na protini
✅ Pumzika vya kutosha
✅ Epuka kazi nzito na msongo wa mawazo
✅ Fuatilia maendeleo ya mimba yako kwa karibu

💚Safari ya leba inakutakia heri ya Sabasaba na ujauzito wenye afya njema hadi siku ya kujifungua.

📲 Pakua Mr. Afya App kwa ushauri wa kitaalamu kuhusu ujauzito na afya ya mama na mtoto:
👉 https://bit.ly/44G8vI6

Address

Tabata Aroma
Dar Es Salaam
12103

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Safari ya Leba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Safari ya Leba:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram