05/06/2024
*KUTOPATA CHOO KWA MUDA MREFU AU KUPATA CHOO KIGUMU(CONSTIPATION)*
➡️Hili ni Tatizo la kutopata choo Kwa Muda Mrefu au Kupata Mara Chache
Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu Kubwa huwa inatumika Katika Kuhakikisha Walau hicho Kidogo Kinatoka kwa mafungu K**a Cha Mbuzi
➡️Inasababishwa na mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula
Kwenye tumbo Na Utumbo kutokana na sumu tunazoingiza mwilini kila siku kutoka kwenye vinywaji , Chakula , Dawa , Hewa tunazovuta Pamoja na Mafuta tunayokula
*DALILI ZA TATIZO*
➡️●Kutopata Choo Kila Siku Wakati Unakula milo 3 au Zaidi Kwa siku
➡️●Kupata Choo Kigumu Sana,K**a Cha Mbuzi
●Kutumia Muda Mrefu chooni, kutumia nguvu Sana
➡️●Kupata Gesi,mingurumo tumboni Au Kujamba Na Harufu mbaya Sana inatoka
●kuhisi kijinyama,Kupata miwasho,maumivu sehemu ya haja kubwa
➡️●Maumivu Ya Tumbo,miguu,mabega
●Kupungua Nguvu za Kiume,Kukosa Usingizi
➡️●Kukosa Hamu Ya Kula,Kupata Kiungulia,Harufu Mbaya Kinywani
*●K**a Unapata Choo Chini ya Mara Moja(1) Kwa SIKU Na Unakula Mara Tatu (3) Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Mengi K**a bawasiri, kansa ya utumbo,upungufu wa nguvu za kiume, harufu mbaya mdomoni,maumivu ya kiuno mgongo n.k*
*SULUHISHO*
Tafadhali K**a Wewe ni Muathirika wa Tatizo lolote kati ya Dalili Ulizoziona hapo Usiache Kuwasiliana nasi Kwa Msaada na Utatuzi wa Tatizo lako.
Tunatibu kwa Tibalishe zilizothibitishwa ubora wake kwenye kutatua Changamoto hii
Wasiliana Na Dr. FUMBUKA M FUMBUKA
Piga Simu 0766104869