Makarius wilfred muba

Makarius wilfred muba FOLLOW LIKE COMMENT & SHARE
https://youtube.com/-m6t?si=Efypvp5n65fO9Lgi
(3)

Wakati Iran 🇮🇷 wanatangaza kufunga Strait of Homuz, Rais wa Marekani alisema Jeshi la Marekani zitasindikiza Meli na zit...
09/03/2026

Wakati Iran 🇮🇷 wanatangaza kufunga Strait of Homuz, Rais wa Marekani alisema Jeshi la Marekani zitasindikiza Meli na zitapita ila ghafla akamruhusu India anunue mafuta ya Mrusi kwa kuyaondolea vikwazo.

Ila leo katoa kali zaidi kasema Meli ziache Uoga sijikaze zipite😀 sio tena kuzisindikiza.

🚨 Ripoti: Israel Yaripotiwa Kuondoa Kamera za CCTV Baada ya Mashambulizi ya IranHabari:Ripoti kutoka vyombo vya habari v...
09/03/2026

🚨 Ripoti: Israel Yaripotiwa Kuondoa Kamera za CCTV Baada ya Mashambulizi ya Iran
Habari:
Ripoti kutoka vyombo vya habari vya Iran zinaeleza kuwa Israel inadaiwa kuondoa baadhi ya kamera za ulinzi (CCTV) katika maeneo yaliyokumbwa na mashambulizi ya makombora kutoka Iran, hatua inayodaiwa kufanywa ili kuficha ukubwa wa mauaji na uharibifu uliosababishwa na mashambulizi hayo.
Kwa mujibu wa kituo cha televisheni cha Iran PressTV, hatua hiyo inatajwa kufanywa katika baadhi ya maeneo yaliyoathiriwa na mashambulizi ya hivi karibuni, ambapo picha na video za tukio hilo zilikuwa zikirekodiwa na kamera za ulinzi.
Ripoti hiyo inadai kuwa kuondolewa kwa kamera hizo kunaweza kuwa sehemu ya juhudi za kudhibiti taarifa na picha zinazosambaa mtandaoni kuhusu athari za mashambulizi hayo.
Hata hivyo, hadi sasa mamlaka za Israel hazijatoa taarifa rasmi kuthibitisha madai hayo, huku hali ya usalama ikiendelea kuwa ya wasiwasi kufuatia mashambulizi ya makombora yanayoendelea katika mgogoro kati ya Iran na Israel.

Iddo Netaanyahu, kaka yake Benjamin Netaanyahu amepoteza maisha. Alichomwa moto akiwa hai nyumbani kwake.Kombora la bale...
09/03/2026

Iddo Netaanyahu, kaka yake Benjamin Netaanyahu amepoteza maisha.

Alichomwa moto akiwa hai nyumbani kwake.

Kombora la balestiki liligonga moja kwa moja nyumbani kwake.

Ripoti za ujasusi za Urusi zinaeleza kuwa Israel imepata hasara kubwa sana ndani ya masaa 72, baada ya mashambulizi ya k...
09/03/2026

Ripoti za ujasusi za Urusi zinaeleza kuwa Israel imepata hasara kubwa sana ndani ya masaa 72, baada ya mashambulizi ya kulipa kisasi yaliyofanywa na Iran, mashambulizi hayo ya Iran yamesababisha madhara kwenye kituo cha Nyuklia cha Israel (Dimona Nuclear reactor) kituo hicho cha Nuclear kimepoteza kabisa uwezo wake wa kufanya kazi.

Lakini pia sambamba na hasara hiyo list ya watu muhimu waliouwawa wa Israel ni k**a ifuatavyo wameuwawa wanasayansi 11 ambao walikua ni wakuu na wataalam wa Nuclear, Majenerali 6 wakuu wa Israel, Maafisa 198 wa jeshi la anga wakiwemo marubani wakuu, wanajeshi 462 wameuwawa kwenye Operation za ardhini na mashambulizi kwenye kambi za kijeshi, na Maajent 32 wa Mossad wameuwawa katika operation za siri zilizofeli.

Jumla ya vifo vya wanajeshi na maafisa wa ngazi za juu vinazidi 700, lakini Netanyahu bado hajazungumza madhara yaliyotokea katika kituo cha Nyuklia ( Dimona Nuclear reactor) lakini imeripotiwa kuwa mikutano ya dharura ya baraza la vita la Israel inaendelea.

Jeshi la Iran IRGC limesherehekea hadharani ushindi huo kwa kusema "Ni ushindi kutoa kwa Mwenyezi Mungu".

Breaking news Bomu lililipuka kwenye ubalozi wa Marekani mjini Oslo Nchini Norway siku ya jana
09/03/2026

Breaking news

Bomu lililipuka kwenye ubalozi wa Marekani mjini Oslo Nchini Norway siku ya jana

Breaking news Uturuki kuivamia nchi ya Cyprus na kuchukua kaskazini mwa Cyprus.Muda huu zimeonekana ndege vita za Uturuk...
09/03/2026

Breaking news

Uturuki kuivamia nchi ya Cyprus na kuchukua kaskazini mwa Cyprus.

Muda huu zimeonekana ndege vita za Uturuki zikipaa juu ya anga yake karibu na Cyprus

Breaking news Mwanajeshi mwingine wa Israel auawa vitani kwa shambulio lililofanywa na Hezbollah
09/03/2026

Breaking news

Mwanajeshi mwingine wa Israel auawa vitani kwa shambulio lililofanywa na Hezbollah

Breaking News Marekani kuingiza vikosi vya jeshi la ardhini Nchini Iran wakati wowote kuanzia hivi sasa.
09/03/2026

Breaking News

Marekani kuingiza vikosi vya jeshi la ardhini Nchini Iran wakati wowote kuanzia hivi sasa.

Breaking news Raia wa Israel wakimbilia uwanja wa ndege wa Ben Gurion kwa ajili ya kukimbia nchi kutokana na vita vinavy...
09/03/2026

Breaking news

Raia wa Israel wakimbilia uwanja wa ndege wa Ben Gurion kwa ajili ya kukimbia nchi kutokana na vita vinavyoendelea

Breaking news Iran yatoa orodha ya viongozi wa Israel wanaotakiwa kuuawa.Kwasasa wameanza na kaka wa Netanyahu, kafuata ...
09/03/2026

Breaking news

Iran yatoa orodha ya viongozi wa Israel wanaotakiwa kuuawa.

Kwasasa wameanza na kaka wa Netanyahu, kafuata Ben-Gvir na mak**anda wa jeshi la anga la wanajeshi wa Israel

Breaking News Raia kutoka India aliyekuwa nchini Israel akielezea madhara ya vita nchini Israel kwa kisema ya kwamba, "m...
09/03/2026

Breaking News

Raia kutoka India aliyekuwa nchini Israel akielezea madhara ya vita nchini Israel kwa kisema ya kwamba, "màkombôra ya Iran yamekuwa yakidondoka nchini Israel bila milio ya hali ya hatari kusika, mahandaki hayana usalama kabisa, mamlaka ya Israel yanazuia watu kwenda hospitali, watu wengi wamejeruhiwa na mamlaka inazuia watu kuchukua video matukio ya mashambulizi ya Iran

🇮🇱🇱🇧⚡~ Israel inakadilia ya kwamba, Hezbollah wataongeza uwigo wa mashambulizi dhidi ya Israel kwa siku za usoni ikiwa n...
09/03/2026

🇮🇱🇱🇧⚡~ Israel inakadilia ya kwamba, Hezbollah wataongeza uwigo wa mashambulizi dhidi ya Israel kwa siku za usoni ikiwa na maana ya Hezbollah wameshawachagua viongozi wapya kwenye kikundi hicho licha ya kuuawa kwa viongozi wao wengi kulikofanywa na Israel

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255759421587

Website

https://youtube.com/@makariuswilfredmuba-m6t?si=YH6TLA

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Makarius wilfred muba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Makarius wilfred muba:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram