AFYA BORA KWA LISHE

AFYA BORA KWA LISHE habari wapendwa ukurasa huu kwaa ajili ya kujifunza afya zetu dhidi ya magonjwa

MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBAP.I.D(pelvic inflammatory disease) na FIBROIDS inavyotesa wanawake na kuwa...
22/08/2022

MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA

P.I.D(pelvic inflammatory disease) na FIBROIDS inavyotesa wanawake na kuwasababishia ugumba.

P.I.D NI NINI??

P.I.D ni maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke. Ugonjwa huu unaweza kupelekea uharibifu mkubwa kwenye mayai,mfuko wa uzazi,mirija ya uzazi nk . Pia ugonjwa huu ni moja ya UGUMBA kwa mwanamke.Huu ni ugonjwa unaosababishwa na kutotibu magonjwa ya zinaa kwa ufasaha na kuacha wale bakteria kuendelea kusambaa kwenye via vya uzazi wa mwanamke.

Je utajuaje kwamba huenda umeathirika na ugonjwa huu wa P.I.D ????

DALILI ZA P.I.D
👉Maumivu ya tumbo sehemu ya chini au ya juu upande wa kulia
👉Kutokwa kwa uchafu ukeni usio wa kawaida na harufu mbaya(wengi hudhani ni fangas kumbe sio)
👉Maumivu makali na kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa
👉Maumivu wakati wa kukojoa
👉Kutapika na homa
👉Uchovu
👉Kutokwa kwa damu nyingi isiyokuwa na mpangilio wakati wa hedhi au wakati sio wa hedhi( hii dalili kubwa na huwa inafanana sana na fibroids)
👉Ugumba( unatafuta mtoto kwa muda mrefu na hupati)
👉Kukojoa mara kwa mara

FIBROIDS NI NINI??

FIBROIDS ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambapo uvimbe huu unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi au nje kwenye ukuta wa kizazi

Je utajuaje k**a una fibroids?? Hebu angalia dalili zake

DALILI ZA FIBROIDS
👉Kutokwa damu nyingi kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi au wakati wa hedhi
👉Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya(wengi wenu huwa mnakimbilia kwamba mna fangas)
👉Maumivu ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe
👉Tumbo kuuma sana chini ya kitovu
👉Hedhi zisizikua na mpangilio na damu hutoka nyingi mpk kupelekea wengine kupungukiwa damu na kutakiwa kuongezewa damu
👉Maumivu wakati wa tendi la ndoa(hii hupelekea achukie tendo la ndoa)
👉Kukosa kwa choo kikubwa au choo kuwa kigumu(constipation)
👉Maumivu wakati wa kukojoa
👉Kukojoa mara kwa mara
👉Ugumba(kuchelewa au kutokupata mtoto)
👉Mimba kutoka mara kwa mara

KWANINI NIMEAMUA KUELEZEA KUHUSU P.I.D NA FIBROIDS????

JIBU:
👉Ni kwa sababu wanawake wengi wakiona dalili k**a kutokwa uchafu wanahisi ni FANGAS tu
👉 Wakiona mimba zinatoka mara kwa mara wengi hukimbilia kusema ni ushirikina au muhusika alikua anatoa mimba sana siku za nyuma wakati labda sio hivyo
👉Kingine mwanaume akiona mkewe hataki tendo la ndoa anahisi mkewe anamsaliti kumbe mwenzie anaumwa
👉 Lakini kubwa zaidi nimeeleza haya yote sababu dalili za magonjwa haya mawili yanafanana kwa ukaribu sana sana.

Tahadhari ukiona dalili yeyote iliyotofauti unapaswa kuwai hospital au kumuona mtaalamu wa afya ili kujua shida ni nini
Kuliko kusubiri mpka matatizo yakawa makubwa zaidi

🩺INAWEZEKANA UKAWA UNA CHANGAMOTO YEYOTE YA UZAZI au YA KIAFYA KWA UJUMLA.
Wasiliana Nasi Dr agustino afya line 1https://chat.whatsapp.com/GRCnRBZJ66aG3TTTqZRBrR

WhatsApp Group Invite

MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBAP.I.D(pelvic inflammatory disease) na FIBROIDS inavyotesa wanawake na kuwa...
22/08/2022

MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA

P.I.D(pelvic inflammatory disease) na FIBROIDS inavyotesa wanawake na kuwasababishia ugumba.

P.I.D NI NINI??

P.I.D ni maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke. Ugonjwa huu unaweza kupelekea uharibifu mkubwa kwenye mayai,mfuko wa uzazi,mirija ya uzazi nk . Pia ugonjwa huu ni moja ya UGUMBA kwa mwanamke.Huu ni ugonjwa unaosababishwa na kutotibu magonjwa ya zinaa kwa ufasaha na kuacha wale bakteria kuendelea kusambaa kwenye via vya uzazi wa mwanamke.

Je utajuaje kwamba huenda umeathirika na ugonjwa huu wa P.I.D ????

DALILI ZA P.I.D
👉Maumivu ya tumbo sehemu ya chini au ya juu upande wa kulia
👉Kutokwa kwa uchafu ukeni usio wa kawaida na harufu mbaya(wengi hudhani ni fangas kumbe sio)
👉Maumivu makali na kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa
👉Maumivu wakati wa kukojoa
👉Kutapika na homa
👉Uchovu
👉Kutokwa kwa damu nyingi isiyokuwa na mpangilio wakati wa hedhi au wakati sio wa hedhi( hii dalili kubwa na huwa inafanana sana na fibroids)
👉Ugumba( unatafuta mtoto kwa muda mrefu na hupati)
👉Kukojoa mara kwa mara

FIBROIDS NI NINI??

FIBROIDS ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambapo uvimbe huu unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi au nje kwenye ukuta wa kizazi

Je utajuaje k**a una fibroids?? Hebu angalia dalili zake

DALILI ZA FIBROIDS
👉Kutokwa damu nyingi kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi au wakati wa hedhi
👉Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya(wengi wenu huwa mnakimbilia kwamba mna fangas)
👉Maumivu ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe
👉Tumbo kuuma sana chini ya kitovu
👉Hedhi zisizikua na mpangilio na damu hutoka nyingi mpk kupelekea wengine kupungukiwa damu na kutakiwa kuongezewa damu
👉Maumivu wakati wa tendi la ndoa(hii hupelekea achukie tendo la ndoa)
👉Kukosa kwa choo kikubwa au choo kuwa kigumu(constipation)
👉Maumivu wakati wa kukojoa
👉Kukojoa mara kwa mara
👉Ugumba(kuchelewa au kutokupata mtoto)
👉Mimba kutoka mara kwa mara

KWANINI NIMEAMUA KUELEZEA KUHUSU P.I.D NA FIBROIDS????

JIBU:
👉Ni kwa sababu wanawake wengi wakiona dalili k**a kutokwa uchafu wanahisi ni FANGAS tu
👉 Wakiona mimba zinatoka mara kwa mara wengi hukimbilia kusema ni ushirikina au muhusika alikua anatoa mimba sana siku za nyuma wakati labda sio hivyo
👉Kingine mwanaume akiona mkewe hataki tendo la ndoa anahisi mkewe anamsaliti kumbe mwenzie anaumwa
👉 Lakini kubwa zaidi nimeeleza haya yote sababu dalili za magonjwa haya mawili yanafanana kwa ukaribu sana sana.

Tahadhari ukiona dalili yeyote iliyotofauti unapaswa kuwai hospital au kumuona mtaalamu wa afya ili kujua shida ni nini
Kuliko kusubiri mpka matatizo yakawa makubwa zaidi

🩺INAWEZEKANA UKAWA UNA CHANGAMOTO YEYOTE YA UZAZI au YA KIAFYA KWA UJUMLA.
Wasiliana Nasi Dr agustino afya line 1https://chat.whatsapp.com/GRCnRBZJ66aG3TTTqZRBrR

Complete ndio suluhu ya matatizo ya uzazi
16/08/2022

Complete ndio suluhu ya matatizo ya uzazi

14/08/2022

*🌹Utajuaje Una Uvimbe Kwenye Kizazi...?*
Kutambua una uvimbe kwenye kizazi utaona dalili hizi hapa 👇
â—ŹKubleed mabonge
â—ŹKubleed kiasi cha kuishiwa damu
â—ŹTumbo Kuwa kubwa
â—ŹTumbo kujaa gesi
â—ŹKupata maumivu makali sana wakati wa period
â—ŹKupata maumivu makali wakati wa ovulation
â—ŹKutokwa na uchafu ingawa sio kwa wote
â—ŹKutokwa damu baada ya tendo
â—ŹMimba kutunga nje ya kizazi
â—ŹKuvimba miguu
â—ŹKupata ganzi
â—ŹKupata pressure
Dalili hizi zinakuonyesha kuwa una uvimbe
*Kumbuka ni wakati wako wa kupona kabisaa uvimbe*

Ni kipi unahitajii nikusaidie fungukaa dr wako niko apaa leo nataka niwasaidie wanawake wengi katika research yangu nime...
11/08/2022

Ni kipi unahitajii nikusaidie fungukaa dr wako niko apaa leo nataka niwasaidie wanawake wengi katika research yangu nimeona mkiteseka na bila mafanikio mazuri

Ukweli ni kwamba uke ni makazi ya mabilioni ya bakteria wazuri na wale wabaya pia. Na harufu ya uke huwa inabadilika kil...
11/08/2022

Ukweli ni kwamba uke ni makazi ya mabilioni ya bakteria wazuri na wale wabaya pia. Na harufu ya uke huwa inabadilika kila siku wakati mwingine kila saa harufu hubadilika. Mabadiliko haya ni kawaida kabisa kutokana na mabadiliko ya mzunguko, afya yako pamoja na usafi kwa ujumla.
Zifuatazo ni aina za harufu ukeni na majibu kwa maswali yako je harufu husika ni mbaya au nzuri

1.Harufu ya Kuchacha(fermented)

Ni jambo la kawaida kabisa uke kuzalisha harufu ya kuchacha/sour aroma. harufu hii yaweza kufanana na harufu ya kuchacha kwa chakula. Ukweli ni kwamba baadhi ya vyakula na vinywaji kaama mtindi, bia na mkate vina bakteria wale wale ambao wapo kwenye uke wako.

Bakteria hawa wanaosababisha uchachu wanaitwa Lactobacilli. Lactobacilli wanafanya uke kuwa na tindikali nyingi, tindikali hii inalinda uke dhidi ya vimelea wabaya.

2.Harufu ya Kutu ama madini ya copper

Wanawake wengi huripoti kupata harufu k**a ya kutu ukeni. Hii ni kawaida kabisa wala usiwe na hofu kwamba kuna tatizo. Kinachosababisha harufu hii ni

Damu: Damu ina madini chuma , wakati wa hedhi damu iliyozalishwa baada ya ukuta wa kizazi kumeguka husafiri na kutolewa nje kwa njia ya uke.

Tendo la ndoa:Bleed kidogo baada ya tendo la ndoa ni jambo inalotokea sana kwa wanawake wengi hawa wale wakavu ukeni au k**a tendo lilifanyika kwa nguvu sana. Kuzuia hali hii jaribu kutumia vilainishi salama.
K**a haupo kwenye hedhi na wala hujakutana na mwanaume na unahisi harufu hii basi panaweza kuwa na shida. Nenda hospitali mapema k**a itatokea hivo.

3.Harufu nzuri

K**a harufu ya ukeni ni nzuri k**a kitu chene sukari basi usishtuke sana ni mabadiliko tu ya bakteria na ni jambo la kawaida.

4.Harufu ya kemikali k**a chumba kipya.

Kuna sababu mbili kubwa zinazopelekea upate harufu hii k**a
Mkojo: Mkojo una kemikali za ammonia. Unapovaa chupi kwa muda mrefu matone ya mkojo hujikusanya na kuzalisha harufu. K**a mkojo wako una harufu kali basi hakikisha unakunywa maji ya kutosha maana ni kiashiria kwamba umeishiwa maji.

Maambukizi ya bakteria: Sababu ya pili ni kwamba kuna shida ya maambukizi na unahitaji vipimo na tiba ya mapema. Endapo unapata dalili zingine k**a muwasho ukeni, maumivu wakati wa kukojoa, harufu mbaya inayonuka na uchafu wa kijivu au kijani basi ujue una maambukizi ya bakteria.

5.Harufu ya majani yaliyochomwa mfano wa bangi

Sababu kubwa ni stress ama msongo wa mawazo. Mwili una tezi mbili za jasho apocrine eccrine. Wakati wa joto sana tezi ya eccrine huzalisha zaidi jasho ili kupooza mwili na nyakati huku tezi ya apocrine ikifanya kazi kudhibiti athari ya msongo wa mawazo.

Ukiwa na mawazo apocrine huzalisha majimaji mepesi k**a maziwa yanatolewa kwenye kwamba na maeneo ya ukeni. Majimaji haya yakikutana na bakteria wa ukeni ndipo harufu kali huzalishwa.

6.Harufu ya shombo la samaki wabichi

Bilashaka umeshapatwa na hali hii ama kusikia kwa rafiri yako akipata harufu ya shombo la samaki. Sababu kubwa ni
Maambukizi ya akteria na ugonjwa wa trichomonisis. Magonjwa haya yote yanatibika, hakikisha unawahi hospitali haraka ukiona dalili hizo

7.Harufu mbaya K**a kitu kilichooza

Harufu mbaya inayokufanya hata wewe ubane pua ujue siyo ya kawaida kabisa. Ukiona harufu hii ujue kuna shida mahali na unahitaji kurekebisha haraka ili usiabike hata kwa mpenzi wako. Sababu kubwa ni maambukizi ama kutofanya usafi vizuri ukeni.

Lini Unapaswa Kumwona Daktari

Muone daktari mapema endapo harufu unayopata ukeni inaambatana na

muwasho au kuchoma ukeni
maumivu ya uke na maumivu kwenye tendo la ndoa
kutokwa uchafu mzito mweupe
kupata bleed wakati haupo kwenye hedhi
Vidonge Asili vya C P E Vinasafisha uke na kurejesha harufu nzuri ukeni.

**Je, Ni Vyakula Gani Vya Kawaida* *Vinavyosababisha Gesi?* * Vyakula mbalimbali vyenye wingi wa fiber vinaweza kusababi...
29/10/2021

**Je, Ni Vyakula Gani Vya Kawaida* *Vinavyosababisha Gesi?*
*
Vyakula mbalimbali vyenye wingi wa fiber vinaweza kusababisha gesi, navyo ni;

• Maharage na kunde
• Matunda
• Mbogamnboga
• Vyakula vya nafaka *NUKUU* : Ikiwa vyakula vyenye wingi wa fiber huongeza uzarishaji wa gesi, lakini fiber inafaa katika kuuweka mfuko wa umeng’enyaji katika utaratibu mzuri wa utendaji kazi na kurekebisha sukari kwenye damu pamoja na kiwango cha lehemu.

Je, Sababu Zingine Zinakuwaje?
Sababu zingine za lishe ambazo zinaweza kuchangia kuongezeka kwa gesi kwenye mfumo wa umeng’enyaji ni hizi zifuatazo;

• Vinywaji vyenye wingi wa Carbon, k**a vile soda na bia

• Tabia ya ulaji k**a vile, kula haraka haraka, kunywa harakaharaka, utafunaji, akuongea wakati unapotafuana ambako husababisha kuvuta hewa nyingi.

*Je, Nini Husababisha Tumbo Kujaa Gesi?* Gesi kujaa tumboni kwanza kabisa husababishwa na kumeza hewa wakati unapokula a...
29/10/2021

*Je, Nini Husababisha Tumbo Kujaa Gesi?*

Gesi kujaa tumboni kwanza kabisa husababishwa na kumeza hewa wakati unapokula au kunywa kinywaji. Gesi nyingi hupungua pale unapojamba. *NUKUU* : _Gesi hujengeka kwenye utumbo mkubwa wakati bakteria wanapotengeneza wanga, fiber, na baadhi ya sukari ambavyo havimeng’enywi kwenye utumbo wako mdogo. Bakteria pia huharibu baadhi ya gesi, lakini inayobaki hutolewa nje kwa kujamba_ .

**Je, Ni Kipindi Gani Unatakiwa Kufika Hospitali* ?* Fika hospitali ikiwa k**a tumbo lina gesi au maumivu ya gesi ni end...
29/10/2021

**Je, Ni Kipindi Gani Unatakiwa Kufika Hospitali* ?
*
Fika hospitali ikiwa k**a tumbo lina gesi au maumivu ya gesi ni endelevu au makali kiasi kwamba yanakufanya usijikie amani na furaha hata katika kufanya kazi zako za kila siku nyumbani au ofisini. Gesi au maumivu ya gesi yanayoambatana na dalili zingine yanaweza kuonyesha matatizo makubwa.
Fika hospitali haraka ikiwa k**a utaona dalili zozote kati ya hizi zifuatazo;

• Choo chenye damu
• Mabadiriko katika choo kinachotoka mara kwa mara
• Kupungua uzito
• Kukosa choo au kuharisha
• Kuhisi kichefuchefu au kutapika
Fanya juu chini uweze kupata matibabu haraka ikiwa k**a;
• Tumbo la chini litaendelea kuuma sana

• Kifua kuuma

*Je, Dalili Zake Zinakuwaje* ** ?Kwa kawaida huwa zipo aina mbalimbali za dalili za tumbo kujaa gesi au maumivu ya gesi ...
29/10/2021

*Je, Dalili Zake Zinakuwaje* ** ?

Kwa kawaida huwa zipo aina mbalimbali za dalili za tumbo kujaa gesi au maumivu ya gesi tumboni, nayo ni ni k**a ifuatavyo;

• Kujamba
• Kucheua
• Tumbo la chini kuunguruma, vichomi au kuuma
• Tumbo kujaa au kuunguruma
• Tumbo kuonekana kuwa kubwa

29/10/2021

*NUKUU* : _Kuongezeka kwa gesi au maumivu ya gesi yanaweza kutokana na ulaji wa vyakula ambavyo vinaweza kuzarisha gesi tumboni. Mara nyingi, mabadiriko katika tabia za ulaji yanaweza kupunguza masumbufu ya gesi._

_Matatizo mbalimbali katika mfumo wa umeng’enyaji, k**a vile kutoa choo hewa au chenye mak**asi k**asi, au tumbo kuvurugika, inaweza kusababisha dalili zingine kuongeza gesi na maumivu tumboni._

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA BORA KWA LISHE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA BORA KWA LISHE:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category