Mental Health Tanzania

Mental Health Tanzania Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mental Health Tanzania, Mental Health Service, Dar es Salaam.

We're the leading Tanzanian mental healthcare organisation committed in Advocacy|Awareness|Training|Psychosocial Support|Consultation|Research|Clinical & psychiatric services

Kila tarehe 10 mwezi wa kumi dunia huadhimisha siku ya Afya ya Akili. Kauli mbiu ya mwaka huu 2025 ni:  “Upatikanaji wa ...
10/10/2025

Kila tarehe 10 mwezi wa kumi dunia huadhimisha siku ya Afya ya Akili.

Kauli mbiu ya mwaka huu 2025 ni: “Upatikanaji wa Huduma za Afya ya Akili Wakati wa Majanga na Dharura.”

Kauli mbiu hii inasisitiza umuhimu wa kuhakikisha huduma za afya ya akili zinapatikana hata wakati wa majanga k**a vita, mafuriko, au magonjwa ya mlipuko. Inahimiza serikali na wadau kuingiza huduma za afya ya akili katika mipango ya dharura, kutoa msaada wa kisaikolojia, na kupunguza unyanyapaa.

Takribani watu bilioni 1 wanaishi na magonjwa ya akili duniani, mtu 1 kati ya watu 8 atapitia hali ngumu ya afya ya akili au kupata magonjwa ya akili katika maisha huku mahala pa kazi mtu 1 kati ya watu 7 huwa na matatizo ya afya ya akili.

Siku hii hutumika kuwakumbusha watu kuhusu umuhimu wa Afya ya Akili. Afya ya akili ni eneo lililosahaulika sana katika afya ya jamii.

Tunawashukuru wadau wanaoendelea kutoa elimu na huduma za afya ya akili

Kwa maulizo yoyote kuhusu afya ya akili wasiliana nasi: 0742 501 501

Reposted from@dyslexia_tanzania ✨ Unlock your child’s potential! ✨On the same day as the Dyslexia Awareness Run (Oct 5th...
23/09/2025

Reposted from@dyslexia_tanzania ✨ Unlock your child’s potential! ✨
On the same day as the Dyslexia Awareness Run (Oct 5th, Gymkhana Grounds, Arusha) we’re offering a special Psychometric Assessment at a subsidized cost of only Tsh 50,000 per child.

This one-day-only opportunity, led by expert professionals, will help you gain valuable insights into your child’s abilities and strengths 🌟.

Don’t miss out – invest in your child’s growth and future today!
📞 More info: 0688 535 848 | 0677 812 702

Posted from   🎉 Join us at the Dyslexia Awareness Run 2025 🏃‍♀️✨ Not only is it a fun-filled day with activities for the...
23/09/2025

Posted from

🎉 Join us at the Dyslexia Awareness Run 2025 🏃‍♀️✨ Not only is it a fun-filled day with activities for the whole family, but we’ll also be offering FREE Dyslexia/SPLD screenings for children 🧩💙. Don’t miss out—secure your spot today! ✅ Register now and be part of the change. 🌍💫

📅 5th Oct 2025 | 📍Uwanja wa Mgambo Gymkhana, Arusha.
✔️ 2.5 KM (Students) – 10,000 TSH
✔️ 5 KM & 10 KM – 35,000 TSH
💳 Pay via Vodacom Lipa Namba.

08/09/2025
Get the support you deserve — choose a service below that fits your needs- Counselling & psychotherapies - Corporate men...
01/09/2025

Get the support you deserve — choose a service below that fits your needs

- Counselling & psychotherapies
- Corporate mental health training
- Screenings & assessments services
- Mental health advocacy, awareness, psychoeducation & psychosocial support (Outreach program)
- Consultations, capacity building and mentorship programs
- Yoga, meditation and Wellness sessions
- Mental Health Clubs program
- Mental health Support Group Sessions
- Mental Health Crisis Interventions

📞 Contact us today: 0742501501 / 0683551117

Wasiliana nasi kushiriki  #0742501501
01/09/2025

Wasiliana nasi kushiriki #0742501501

🌿 We’re Now in Arusha! 🌿Mental Health Tanzania (MHT) is excited to announce that we are now based in Njiro (behind Nane ...
01/09/2025

🌿 We’re Now in Arusha! 🌿

Mental Health Tanzania (MHT) is excited to announce that we are now based in Njiro (behind Nane Nane), Arusha 🎉

💚 Get the support you deserve — from counselling, psychotherapy, screenings, wellness programs, to corporate mental health training and crisis interventions.

Together, let’s build a healthier, stronger community 💪

📞 Contact us today: 0742501501 / 0683551117

Njoo Tuzungumze Afya ya AkiliKuwa mmoja wa washiriki katika "MHT-Supportive Group"- Ulipitia na unaendelea vizuri au una...
25/08/2025

Njoo Tuzungumze Afya ya Akili

Kuwa mmoja wa washiriki katika "MHT-Supportive Group"

- Ulipitia na unaendelea vizuri au unapitia matatizo, magonjwa ya akili na changamoto za kisaikolojia?

- Mental Health Tanzania (MHT), kushirikiana na Spring of Joy, wanakukaribisha kukutana na kuzungumza na wadau wa afya ya akili k**a wewe.

- Siku ya Jumapili tarehe 31 Agosti 2025, saa tisa mchana.

- Lengo ni moja tu- kufahamiana, kubadilishana mawazo kuhusu afya ya akili na kujengana!

Ni kwa wakazi wa Dar Es Salaam tu!. Sehem ya kukutania ni Msasani tower, Msasani- Kinondoni.

Tafadhali DHIBITISHA uwepo wako kwa: 0746 779 787

Address

Dar Es Salaam
P.OBOX218

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mental Health Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram