Ken Uzazi Tanzania

Ken Uzazi Tanzania TUNASAIDIA WANAUME WENYE CHANGAMOTO SUGU YA NGUVU ZA KIUME, KUPIGA PUNYETO, MAUMBILE MADOGO KWA TIBA ASILI NK. Kwa Mawasiliano Tupigie/Whatsapp
+255 787 289635

NGUVU ZA KIUME ZINATIBIKA, SULUHISHO TAYARI LIMEWAFIKIA. TUWASILIANE KWA NAMBA ZIFUATAZO: CALL/WHATSAPP:  0787 289 635
03/05/2024

NGUVU ZA KIUME ZINATIBIKA, SULUHISHO TAYARI LIMEWAFIKIA. TUWASILIANE KWA NAMBA ZIFUATAZO:
CALL/WHATSAPP: 0787 289 635

π—π—œπ—‘π—¦π—œ 𝗬𝗔 π—žπ—¨π—”π—–π—›π—” π—£π—¨π—‘π—¬π—˜π—§π—’:Punyeto ni tabia k**a zilivyo tabia nyingine k**a kunywa pombe,kubeti nk ambayo unaweza kuianza ...
04/04/2024

π—π—œπ—‘π—¦π—œ 𝗬𝗔 π—žπ—¨π—”π—–π—›π—” π—£π—¨π—‘π—¬π—˜π—§π—’:

Punyeto ni tabia k**a zilivyo tabia nyingine k**a kunywa pombe,kubeti nk ambayo unaweza kuianza kuendelea nayo au kuiacha.

Kutokana na madhara yake nimeona nikupe mbinu hizi namna ya kuacha tabia hiyo;

1 𝗔𝗖𝗛𝗔 π—žπ—¨π—”π—‘π—šπ—”π—Ÿπ—œπ—” 𝗣𝗒π—₯𝗑
Hizi ni video ambazo zimekua chanzo kikubwa cha punyeto kwa watu wengi kinachotokea ni kwamba zinajenga picha nyingi kwenye ubongo na kila picha unayoiona utataka ukaipigie punyeto hivyo kuacha kuziangalia tu ndio nafuu yako.

2 π——π—›π—”π— π—œπ—œπ—” π—žπ—¨π—§π—’π—”π—‘π—šπ—”π—Ÿπ—œπ—” 𝗣𝗒π—₯𝗑:
Bafuni ndio sehemu ambayo hutumika sana na watu wengi kupiga punyeto,namna ya kujizuia kupiga punyeto ukiwa bafuni fanya hivi

Oga haraka haraka,
Oga maji ya baridi

Jizuie kuchezea uume wako kwa sabuni

3 π—¨π—¦π—œπ—£π—˜π—‘π——π—˜ π—žπ—¨π—žπ—”π—” π—£π—˜π—žπ—˜π—˜ π—¬π—”π—žπ—’ π—‘π—¬π—¨π— π—•π—”π—‘π—œ:
Mara nyingi kukaa peke yako kunakufanya ushawishike kufanya tendo hilo, jichanganye na watu wengine,piga stori za mambo mengine.

4 𝗔𝗖𝗛𝗔 π—œπ—Ÿπ—˜ π—§π—”π—•π—œπ—” 𝗬𝗔 π—žπ—¨π—£π—œπ—šπ—” 𝗖𝗛𝗔 𝗠π—ͺπ—œπ—¦π—›π—’:
Siku zote wapiga punyeto wana akili moja ya kufikiria eti sasa leo napiga afu sirudii tena. Hicho kitu hakipo, kwani kesho yake utasema ivoivo, k**a unaacha acha mara moja.

5 𝗧𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 π— π—£π—˜π—‘π—­π—œ:
Ukiwa na mpenzi itakusaidia unapokua na hamu badala ya kujichua basi unakua naye hivyo itakupunguzia ile hali ya kutaka kujichua kila mara.

6 π—žπ—¨π—” π—•π—œπ—­π—˜:
Hii itakufanya uwe bize na mambo mengine pia mazoezi ya jioni yatakufanya uchoke na kushindwa kufikiria kupiga punyeto wakati wa kwenda kulala.

7 π—žπ—¨π— π—•π—¨π—žπ—” 𝗠𝗔𝗗𝗛𝗔π—₯𝗔 π—¬π—”π—žπ—˜:
Punyeto ina madhara mabayo kila mpiga punyeto hua anayapata muda huo huo k**a uchovu mkubwa, kuumwa kichwa na kusahau sana hii itakupa moyo wa kuacha kupiga punyeto.

Usisahau kuwasiliana nasi tusuluhishe mapema sana
Call / Whatsapp: +255 787 289635

Usisahau Kutufollow Ken Uzazi Tanzania kwa Suluhisho lililobora

Punyeto Husababisha Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Kwa Sababu Kuu Zifuatazo1.Hudhoofisha na kuharibu mishipa ya uume, ambayo...
04/04/2024

Punyeto Husababisha Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Kwa Sababu Kuu Zifuatazo
1.Hudhoofisha na kuharibu mishipa ya uume, ambayo ndio hufanya uume kusimama.

2.Hudhoofisha utendaji kazi wa mishipa ya ateri, ambayo ndio hutumika k**a njia ya kusafirisha damu kupeleka kwenye misuli ya uume na ivyo kuufanya uume usimame.

3.Punyeto hupelekea kuvuja kwa mishipa ya vena na hivyo kusababisha damu kufyonzwa kwa haraka sana kila iingiapo ndani ya misuli ya uume na matokeo yake ni uume kusimama kwa muda mfupi sana wakati wa tendo la ndoa.

4.Punyeto huathiri mtiririko wa damu kwenda kwenye mishipa ya uume, kwa sababu hudhoofisha misuli & mishipa ya uume pamoja na mishipa ya ateri ambayo ndio hutumika katika kusafirisha damu kwenda kwenye uume.

Madhara Ya Kupiga PunyetoπŸ‘‡
πŸ‘‰Mishipa midogo midogo ya uume udhoofika na kujaa mafuta ndani yake badala ya damu ambayo kazi ya damu katika mishipa hiyo midogo ni kuleta shorti ya uume kusimama,kuwa imara na hamu ya tendo la Ndoa
πŸ‘‰Uume huwa mdogo na kurudi ndani
πŸ‘‰Mwili kuchoka
πŸ‘‰Uume kuwa k**a rungu mfupi na kushindwa kufanya kazi yake vizuri
πŸ‘‰Uume hupelekea kutosimama na ukisimama unasimama kwa muda mfupi na kulala
πŸ‘‰Kupoteza hamu ya tendo la ndoa
πŸ‘‰Kujisikia hatia na aibu
πŸ‘‰Kuvuruga uzalishaji wa homoni za kiume mwilini
πŸ‘‰Kupungua kwa idadi ya mbegi za kiume
πŸ‘‰Kusababisha michubuko kwenye uume
πŸ‘‰Kutoka mbegu bila kujizuia(fistula ya mbegu za kiume)
πŸ‘‰Hupelekea uume kupinda
Pia hupelekea kuharibu mfumo wa uzazi wa mwanaume.
Wasiliana nasi kupitia nambari au whatsapp +255 787 289635

Address

Dar Es Salaam
35186,DARESSALAAM

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Telephone

+255787289635

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ken Uzazi Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Ken Uzazi Tanzania:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram